-
Maniema: Kazi za afia zaendeshwa vurugeni
Siku hizi wakaaji wa mjini Kindu wapigwa bumbwazi. Kwa kuwa tu viongozi wa kazi za zile ambazo si mhimu sana, wakitupilia mapaswa yaliyo ya mustari wa mbele
HABARI ZA JIMBO NA POPOTE
publié par
Swedy Bin Alaiu
il y a 2 ans
-
Nyama za kuoza zaonywa sokoni
Katika soko mahali kazaa jimboni mwa Maniema wanuuzi wajionea "Iwa mwende mkaone". Huko Maniema, yasemekana kuwa ni vema kula sombe ao maharagi kuliko nyama.
HABARI ZA JIMBO NA POPOTE
publié par
Swedy Bin Alaiu
il y a 2 ans
-
Kindu/Maniema: Malipo yawatisha wachuuzi sokoni Mama Yemo
Soko "Mama Yemo" ya Kindu kajengwa mwaka wa 1973. Wakati huo jimbo ndogo la Maniema lilikuwa chini ya uongozi wa mwananchi Kusasimba Diamasisa.
NENO LA WASOMAJI
publié par
Swedy Bin Alaiu
il y a 2 ans
-
Uwanja wa mpira utajengwa lini ?
Mwaka uliopita 1989,wazaliwa wa Maniema toka mahali mbalimbali wanakoishi kakusanyika mjini Kindu ili kutatua magumu ya ujenzi wa uwanja wa mpira na wa mji wa Kindu kwa jumla.
NENO LA WASOMAJI
publié par
Swedy Bin Alaiu
il y a 2 ans