• NOUS SUIVRE SUR

ARTICLE(S) RECHERCHE(S)

  • Bukavu: Kwa nini wachunguzi wa bei hawasaidie serikali kuleta usawa magukani na sokoni
    Kila mmoja wetu ajidai kuwa mwananchi wa kweli.
    HABARI ZA JIMBO NA POPOTE publié par MALIYABWANA Mwin'Anu il y a 5 ans
  • Kifupi cha maisha ya Raïs Mobutu
    Raïs Mobutu Sese Seko, alizaliwa mjini Lisala, Tarehe 14 oktoba 1930 katika kabila ya Ngbadi.
    Swahili publié par MALIYABWANA Mwin'Anu il y a 5 ans
  • Bwana Kronacker alisema: Nitafanya vyote niwezavyo ili Shirika ya Kiliba intengeneze toni 30.000 za Sukari kwa mwaka
    Siku hizi, bwana Kronacker, mtajiri na mkuu wa wabeleji wanaochanga mali yao kwa kutumikisha shirika lihusikalo na utengezaji sukari pa kiliba
    Swahili publié par MALIYABWANA Mwin'Anu il y a 5 ans
  • Bukavu: "SONAS" Iliwalipa wanafunzi watano kwa misiba iliowatukia
    Siku ya sita tarehe 18 oktoba 1980, kiongozi wa shirika la Bima, yaani "SONAS" humu jimboni
    Swahili publié par MALIYABWANA Mwin'Anu il y a 5 ans
  • Luvungi: "P.A.M." si kazi ya mzaha?
    Siku hizi, kiongozi wa mkoa mdogo wa luvungi, mwananchi Ndaye Kimbumbu yupo katika kazi ya kuwanimiza wakaaji wake
    Swahili publié par MALIYABWANA Mwin'Anu il y a 5 ans
  • Mwananchi Lokomba alisema: "Raïs Mobutu ni mwanye mapendo makuu kwa wananchi"
    Siku ya kwanza tarehe 27 oktoba 1980, mwenyekiti wa mji wa Bukavu mwananchi Lokomba kumuadeboni alisimamia mkutano wa pekee wa kiraia kunako soko kuu "Mama Mobutu"
    Swahili publié par MALIYABWANA Mwin'Anu il y a 5 ans
  • mwananchi Chizungu Bahirwe alitajwa kuwa kiongozi wa katana
    Siku ya tano tarehe 31 Oktoba 1980, naibu wa mwenyekiti wa mtaa wa kabare, mwananchi Madua, alijielekeza pa Irhambi, mkoa mdogo wa katana,
    HABARI ZA JIMBO NA POPOTE publié par MALIYABWANA Mwin'Anu il y a 5 ans
  • Les billets démonétisés de la "Coocec/Kivu" ont été échangés
    Le 25 décembre 1979, devant le petit écran de la télévision national, le Zaïre a fortement bougé.
    Informations générales publié par MALIYABWANA Mwin'Anu il y a 4 ans
  • Ujenzi wa kivu ni mapashwa ya kila mkaaji
    Siku ya kwanza tarehe moja desemba 1980 wakati wa jioninaibu wa liwali wa kivu ahusi.
    Swahili publié par MALIYABWANA Mwin'Anu il y a 4 ans
  • Mwananchi Makolo amesema: "Bukavu haisonge mbele!"
    Gazeti letu "JUA" lilikwisha andika mengi na hata kuwatolea mashauri bora wenyeviti wa mitaa popote mjini Bukavu
    Swahili publié par MALIYABWANA Mwin'Anu il y a 4 ans
  • ANEZA/ Kabare yahusika kabisa na Plan Mobutu
    Siku hizi, mwenzi wetu ndugu tisa mayele kamondo wa sauti ya Zaïre mjini Bukavu.
    HABARI ZA JIMBO NA POPOTE publié par MALIYABWANA Mwin'Anu il y a 4 ans
  • sange-Luberizi: Mwananchi ilondo Efambe alichungua kituo cha mlimo na ufugo cha "J.M.P.R."
    Baada ya kufika mjini bukavu na kuonywa chumba chake cha kazi, naibu wa kiongozi wa vijana katika chama cha Mapinduzi jimboji ambaye ahusika na uongozi wa tawi la kilimo
    HABARI ZA JIMBO NA POPOTE publié par MALIYABWANA Mwin'Anu il y a 4 ans
  • Safari ya mwananchi Makolo kindu na Goma
    Liwali wa kivu, mwananchi Mwando Nsimba, aliwakilishwa kindu na naibu wake ahusikaye na uchunguzi wa kazi za serikali
    HABARI ZA JIMBO NA POPOTE publié par MALIYABWANA Mwin'Anu il y a 4 ans
  • Raïs Mobutu yupo katika matembezi mjini Paris
    Baada ya kushiriki katika mkutano wa nne wa kilele wa marais wanamemba wa shirikisho la kiuchumi wa nchi zipatikanazo kando kando ya maziwa makuu
    Swahili publié par MALIYABWANA Mwin'Anu il y a 4 ans
  • Mwananchi Djoho awahimiza wageni kutumika vizuri
    Akiendelea na mpango wake maalum wa kukutana na makundi mbali mbali ya wakaaji ili wapate kujenga moyo wa mapendo
    Swahili publié par MALIYABWANA Mwin'Anu il y a 4 ans
  • Kinshasa: Liwali Mwando ahuzuria mkutano wa serikali
    Siku ya tatu tarehe kumi Desemba 1980, mwananchi na liwali wa kivu, mwananchi Mwando nsimba aliondoka mjini Bukavu na kujielekeza katika ziara
    Swahili publié par MALIYABWANA Mwin'Anu il y a 4 ans
  • Kadutu: Mwananchi Musole anakusudia kupunguza bei ya vyakula
    Siku hizi, naibu wa mwenye kiti wa mtaa wa kadutu, mwananchi Musole Maharaza Nyabangere ni mwenye kuendesha uchunguzi maalum kabisa
    Swahili publié par MALIYABWANA Mwin'Anu il y a 4 ans
  • Bukavu: Yafaa viongozi wa mikoa washurulike zaidi na miporomoko ya udongo
    Zaidi ya juhudi zinazofanywa daima na kamati ihusikayo na ukingo pia maendeleo na ujenzi wamji wa Bukavu
    HABARI ZA JIMBO NA POPOTE publié par MALIYABWANA Mwin'Anu il y a 4 ans
  • Enyi ndugu tuliowachagua, mnasahau kazi zenu asbabu ya uchuuzi?
    wakati uchaguzi uliendeshwa popote nchini mwaka 1977, ndugu zetu waliongombea nafasi katika chumba cha siasa
    HABARI ZA JIMBO NA POPOTE publié par MALIYABWANA Mwin'Anu il y a 4 ans
  • Kindu: Mwananchi Mbalanga aliwaomba wenyeji wa mahoteli waheshimu wapangaji
    Siku hizi, mwenyekiti wa whaya ya Maniema mwananchi Mbalanga alisimama mkutano maalum wa kikazi ambano anzungunza kimapinduzi na we.
    HABARI ZA JIMBO NA POPOTE publié par MALIYABWANA Mwin'Anu il y a 4 ans
  • Raïs Mobutu alisema mjini Paris kuwa
    Mwanzilishi wa chama cha Mapinduzi, Raîs Mobutu Sese Seko anayepatikana Paris
    Swahili publié par MALIYABWANA Mwin'Anu il y a 4 ans
  • Wakaaji wamoja walibadilisha
    Tangu siku ya tatu tarehe kumi na saba mpaka siku ya tano tarehe kumi na tisa Desemba 1980, wakaaji, watumishi katika vyunga
    Swahili publié par MALIYABWANA Mwin'Anu il y a 4 ans
  • senegal: Raïs Senghor atajiuzulu
    Habari zenye kuaminika toka Dakar, mji mkuu wa Jamhuri ya Senegal zahakikisha kuwa, Rais Léopol Sedar Senghor atajiuzulu kazini mwake.
    Swahili publié par MALIYABWANA Mwin'Anu il y a 4 ans
  • kadutu: Mwananchi Musole anakusudia kupunguza bei ya vyakula? (suite)
    Tutaelewa hapa kuwa, katika ukomo huo bora wa kupunguza bei ya chakula katika mtaa wote wa kadutu
    Swahili publié par MALIYABWANA Mwin'Anu il y a 4 ans
  • Lettre à nos élus
    Ces derniers temps, la disette se manifeste sur toute l'étendue urbaine de Bukavu.
    Nouvelles du Kivu publié par MALIYABWANA Mwin'Anu il y a 4 ans
  • Le PDG de la "SONAMO" a sejourné à Bukavu
    Le Président Délégué Général de la Société Nationale de la Main d'oeuvre, le citoyen Tshimbuka a séjourné à Bukavu du mardi 16 au jeudi 18 décembre dernier.
    Nouvelles du Kivu publié par MALIYABWANA Mwin'Anu il y a 4 ans
  • Les Ets Zagabe Nyamulinduka se préoccupent de la culture vivrière
    Durant la deuxième quinzaine du mois de novembre, le chef de la collectivité de Ngweshe, la Mwami-kazi Naweza Budjana mwa Naluganda avait parcouru toute l'étendue de sa juridiction politico-administrative.
    REPORTAGE publié par MALIYABWANA Mwin'Anu il y a 4 ans
  • Mwananchi Djoho alisimamia sherehe ya miaka 47 ya Kituo cha "INERA-Mulungu"
    Siku ya kwanza tarehe 22 Desemba 1980, naibu wa liwali wa kivu ahusikae na mwenendo bora wa siasa jimboni mwananchi Djoho tayeta alisimamia sherehe ya kumbukumbu ya miaka 47.
    Swahili publié par MALIYABWANA Mwin'Anu il y a 4 ans
  • SNCZ/Bukavu: priorité au ventre
    Pour épargner sa main d'oeuvre en particulier et tous ses travailleurs en général à la vie sociale qui est devenue presque inténable à Bukavu ces derniers temps, la sncz vient de céer une cantine en faveur des agents.
    Nouvelles du Kivu publié par MALIYABWANA Mwin'Anu il y a 4 ans
  • La citoyenne Amina et le couple Souza remportent les concours d'élégance et de danse
    Sous le heut patronnage du commissaire urbain de Bukavu, le citoyen Lokomba Kumuadeboni, l'association des barmen de la zone d'ibanda a organisé le samedi 3 jancier 1981 des concours d'élégance et de danse.
    Nouvelles du Kivu publié par MALIYABWANA Mwin'Anu il y a 4 ans
  • Kivu ya kushini: Waunguzi wa asili waendelea vema na kazi zao
    Mnamo siku zilizapita kiongozi kwa muda wa kamati ya waunguzi wa asili (wafumu) katika wilaya ya Kivu ya kusini, muananchi Kakozi Kithesi alisimamia mkutano moja maalum wa mwisho wa mwaka ambano alijifunza pamoja na mwezie...
    HABARI ZA JIMBO NA POPOTE publié par MALIYABWANA Mwin'Anu il y a 3 ans
  • Kampala: Afrika ya mashariki yakusudia kurudisha shirikisho lake la kiuchumi
    Habari zenye kuaminika toka Kampala, mji mkuu wa Jamhuri ya Uganda, Kahakikisha kuwa, Tanzania, Arap Moi wa kenya, Milton Obote wa Uganda (wa-liohuzuriwa na mwenzao Keneth Kaunda wa Zambia) kukutana kizazi mjini Kampala, waheshimiwa hao walkusudia kurudisha shikisho lao la kiuchumi kuletamo usawa kama ilivyokuwa hapo zamani. Shirikisho la kiuchumi la nchi za Afrika ya Mashariki ambalo lililoundwe tangu nchi hizo kujipatia uhuru lilivunjika mnamo mwaka 1977, wakati mizozo ya kisiasaili ilitukia kati ya nchi hizo jirani.
    Swahili publié par MALIYABWANA Mwin'Anu il y a 3 ans
  • Rwindi: Ulalo mpya umejegua juu ya mto Kanyasembe
    Siku hizi, shirika la kiserekali lihusikalo na ujelalo, kwa kifupi "office des routes", limejenga ulalo mpya juu ya mto Kanyasembe ambao wapatikana katika shamba la wanyama la Rwindi, Rutshuru.
    Swahili publié par MALIYABWANA Mwin'Anu il y a 3 ans
  • Bukavu: Wananchi Salumu na makolo washusika na mabodilishano ya biashara kati ya shaba na kivu
    Kisha kubaki muda wa siku nne kisangani, mji mkuu, jimbo ya Zaïre , ya juu, naibu wa liwali wa Kivu ahusikae na kazi za serikali, mwananchi Makolo Jibikilay, alimpokea mjini Bukavu mwenzie wa jimbo jirani la Shaba, mwanachi Salumu Amisi. Huyu alifika siku ya kwanza tarehe 21 januari 1981 akitokea Lubumbashi.
    Swahili publié par MALIYABWANA Mwin'Anu il y a 3 ans
  • Butembo: Matayarisha ya ujenzi wa Kivu ya Kashaziki yamefanyila
    Kulingana na amri iliyotangazwa kiserikali na Liwali wa Kivu kuhusu mipango inapashwa kutayirishwa na wenyeviti wa mawilaya kwa ajili ya ujenzi na maendeleo ya jimbo la kivu.
    Swahili publié par MALIYABWANA Mwin'Anu il y a 3 ans
  • Uvira: Mwananchi Kombozi aliapa kuwa atabaki mwaminifu kwa Raïs Mobutu
    Habari kamili toka mjini Uvira, makao makuu ya wilaya ya kivu ya Kusini zahakikisha kuwa naibu mpya wa mwenyekili wa mtaa wa Kalehe, mwananchi Kombozi Mashua Bonjoko, aliapa kuwa atabaki daima mwaminifu kwa Raïs Mobutu Sese Seko na nakutumika serikalimu she ria za Jamhuri ya Zaïre.
    Swahili publié par MALIYABWANA Mwin'Anu il y a 3 ans
  • Le pésident Mobutu à la presse belge: "Mon peuple me soutient"
    Le président fondateur du MPR, Président de la république, mle citoyen Mobutu Sese Seko, a accordé vendredi, 16 janvier 1981, une importante interview, au camp Tshatshi, à la presse belge. composé d'une dizaine de journalistes de différents organes de presse belge , le groupe des journalistes reçus par le Chef de l'Etat revenait de Mbuji-mayi après y avoir séjourné pendant vingt-quatres heures.
    Politique publié par MALIYABWANA Mwin'Anu il y a 3 ans
  • Ukimya na amasi vipo Fizi Baraka
    Siku Fizi, kundi moja maalum la watanganzaji habari toka miji ya "Bruxelles" nchini Ubelgiji na "Paris" Kafika Jamhuri ya Ufaransa. Limefanya ziara ya kiserikali katika jimbo la Kivu hasa katika ya mtaa wa fizi, moja kati ya mitaa ya wifaya ya kivu ya Kusini.
    NENO LA WASOMAJI publié par MALIYABWANA Mwin'Anu il y a 3 ans
  • Mwananchi Djoho Teyeta yupo,katika uchunguzi wa kazi za Chama
    Siku hizi, naibu wa Liwali wa Kivu ashusikaye na mwenendo wa siasa mwananchi Djiho Teyeta, apatikana Katika wilaya ya kivu ya Kaskazini ambako ashurulika kwa mara ya kwanza na uchunguzi katika vyumba vihusikavyo na kazi za Chama.
    NENO LA WASOMAJI publié par MALIYABWANA Mwin'Anu il y a 3 ans
  • Baada ya Kubaki mateka muda wa siku 444 nchini Iran
    Walumishi 52 katika ubalozi wa Marekani mjini Théhéran wallachwa huru nakupokewa kwa shanwe kubwa na Raïs Ronald Reagan mjini Washington.
    NENO LA WASOMAJI publié par MALIYABWANA Mwin'Anu il y a 3 ans
  • Cyangugu-Rwanda: Bwana Majyambere amefungua kiwandacha uuzaji na utengenezaji wa magari ya aina ya "DATSUN" na "NISSAN"
    Siku ya sika (Jamamosi) tarehe 24 Januari 1981, wanachama cha Mapinduzi kihusikacho na maendeleo nchini Rwanda tako pepo nne za jimbo la Cyangungu, walikutana malfu katika mtaa wa Cymbogo ili kusherehekea kuzinduliwa kwa kiwenda kinachohusika na uuzaji, pia utengenezaji wa magari ya aina ya "Datsun" na "Nissan".
    NENO LA WASOMAJI publié par MALIYABWANA Mwin'Anu il y a 3 ans
  • Bukavu : Hakuna masikilizano bora yaliyopatikana kati ya watetezi wa wafanyakazi na walimu
    Siku ya pili tarehe tatu februari 1981 wakati wa saa kumi kisha mchana, naibu wa katibu mkuu katika shirika la kiserikalilihusikalo na kuleta haki za wafanyakazi
    Swahili publié par MALIYABWANA Mwin'Anu il y a 3 ans
  • Mwananchi Makolo alisema: Bei ya biashara ni ghali sababu ya upuuzi wa wachunguzi wa bei jimboni na mjini Bukavu
    suku ya tatu tahere 28 januari 1981, nafou wa Liwali wa Kivu ahusikaya na kazi za serikali, mwananchi Makolo jibikilayi, aliwakaribisha chumbeni mwake wa kazi mwenyekiti wa mji wa Bukavu , mwanamapinduzi lokomba Kumuadebani, nakiongozi wa vyumba vya serikali vihusikavyo na uchumi, akiba na uchunguzi wa bei ya biashara jimboni, mwananchi Mutombo
    Swahili publié par MALIYABWANA Mwin'Anu il y a 3 ans
  • Rais Reagan alikutana na wapasha Habari
    siku ya nne tahere 29 january 1982 wakati wa usika nchini Amerika, Rais mpya Ronald Wilson Reagan alikutana kwa manzungumzo kwa mara ya kwanza tangu kuwa rais wa america na watangazaji wa nyumba mbali mbali za habari mwake.
    Swahili publié par MALIYABWANA Mwin'Anu il y a 3 ans
  • Mwananchi Djoho alisema : Upuuzi wa viongozi waharibu maendeleo kivu ya kaskazini
    Tulipoanza maandishi yetu haya kuhusa hali na mambo yenke kupita kila mara katika wilaya...
    Swahili publié par MALIYABWANA Mwin'Anu il y a 3 ans
  • Jamadari Likulia yupo kati yesu
    Jemadari Likulia anayepatika na katiza ziara ya kiserikali jimboni mwa Kivu tanga...
    Swahili publié par MALIYABWANA Mwin'Anu il y a 3 ans
  • Goma : Chumba cha feza chapashwa kujilisha matumizi ya kiasi cha zaires 200.000
    Habari zenya kuaminike toka Goma, mji mkuu wa wilaya ya Kivu...
    Swahili publié par MALIYABWANA Mwin'Anu il y a 3 ans
  • Lubero: Seheru kubwa ya pori la Itondi yarudishwa kwa wakaaji
    Habari kamili toka chumba cha kazi liwali kwa muda.
    Swahili publié par MALIYABWANA Mwin'Anu il y a 3 ans
  • Rutshuru: Mwenyekiti mpya wa mtaa mwananchi Kombozi alionywa mbele ya wasaidizi wake
    Habari hamili toka Rutshuru, makao makuu ya mtaa mwenye kuwa na jina hilo zahakikisha kuwa, mwenyeki....
    Swahili publié par MALIYABWANA Mwin'Anu il y a 3 ans
  • Bukavu: Biro ya mipango na maendeleo jimboni imeziduliwa
    Siku ya kwanza tahere kumi februari 1981, mwenyekiti wa mipango mbali mbali ya maendeleo nchini...
    Swahili publié par MALIYABWANA Mwin'Anu il y a 3 ans
  • Bukavu : Mwananchi Ngengo, Balezina Mwendambali waliiba kahawa za "Ozacaf" na "Pharmakina"
    Naiou wa kiongozi ahusikaye na uchungaji wa kahawa katika kiwanda wha shirika la "Ozacaf" mwananchi Ngengo akisaidiwa na wevi wenzie Balezi na Mwendambali ....
    Swahili publié par MALIYABWANA Mwin'Anu il y a 3 ans
  • Katibu mkuu wa Chumba cha kugombea haki ya wafanyakazi nchini ameachishwa kwa muda madaraka yake
    Mnamo tarehe 19 Februari 1981, katibu mkuu wa chumba cha kugombea haki ya wafanyiakazi nchini (UNTZa), mwananchi Mukwakani Gahungu, aliachishwa madaraka yake yote kwa muda.
    La chronique Politique publié par MALIYABWANA Mwin'Anu il y a 3 ans
  • Leo, Katibu mtendaji xa Chama cha Mapinduzi Bo-Boliko atasimulia na wanachama kunako "Ciné-Rwacico"
    Katibu mtendaji wa chama cha Mapinduzi, ambaye pia ni mwanamemba wa chumba kikuu cha siasa, mwanasiasa Bo-Boloiko Lokonga aliyefika ...
    Swahili publié par MALIYABWANA Mwin'Anu il y a 3 ans
  • Kalembe-lembe/Fizi : Kina mama Lusembula Selemani ahusika na kuinua maisha ya vilema !
    Tangu, tarehe 16 julayi 1980, kina mama Lusembula Selemani alisimika pa Kalembe-lembe, mjii mkuu wa mtao wa Fizi, kutuo binafsi kihusikacho na kuwasaidia ...
    Swahili publié par MALIYABWANA Mwin'Anu il y a 3 ans
  • Watu 24 waifariki nchini Philippines
    Kulingana na habari zinazoangazwa siku hizi na radio mbali mbali popote ulimwenguni, yaaminika kuwa kundi moja la watu wasiojulikana bado liliweza kuleta fujo nchini Philippines na kuuwa wananchi wapata mawili na wanne.
    Swahili publié par MALIYABWANA Mwin'Anu il y a 3 ans
  • Zimbabwe : Askari 55 wa ukombozi waliuawa kando kando ua mji wa Bulawayo
    Habari zenye kuaminika, ambazo zilitangazwa na Sauti ya Ujerumani Magharibi, zahaki kisha kuwa, siku hizi makundiya askari wa majeshi ya ukombozi nchini Zibambwe ...
    Swahili publié par MALIYABWANA Mwin'Anu il y a 3 ans
  • Kindu : Ujombo maalum toka Kinshasa ulihusika na maisha ya vijana wanaofunza kazi pa Lokandu
    Siku hizi, ujumbe maalum toka mjini Kinshasa ambao uhongowa na mmoja kati ya washauri wakuu kunako wizara ihusikayo na mahisha ya jamili nchini (Affaires sociales) ....
    Swahili publié par MALIYABWANA Mwin'Anu il y a 3 ans
  • Kabindula-Uvira : Ndugu Muvira Siwavira gazeti Jua si baraza la utitia !
    Katika gazeti letu namba 99 la tarehe 31 Januari mpaka 6 Februari 1981, tulitangaza kibarua cha musomaji wetu Muvira Siwavira, kibarua ambamo akweleza mengi ...
    Swahili publié par MALIYABWANA Mwin'Anu il y a 3 ans
  • ANEZA : Le citoyen Kahegeshe succède à lui-même
    Samedi le 21 février 1981 dernier, le Centre culturel français a servi de cadre pour l'assemblée annuelle de l'Aneza/Kivu. Des délégués de différents comités sous-régionaux s'y étaient rendus, nombreux, en vue de passer en revue des problèmes de leur association et d'élire, si besoin était, un nouveau Conseil général.
    Nouvelles du Kivu publié par MALIYABWANA Mwin'Anu il y a 3 ans
  • Uvira : Luvungi une localité pilote qui se meurt !
    Quand on parle de la collectivité des Bafulero, tout citoyen averti du Sud-Kivu en particulier et de la région en général, voit en premier lieu Luvungi, la localité pilote de cette entité politico-administrative.
    Nouvelles du Kivu publié par MALIYABWANA Mwin'Anu il y a 3 ans
  • Une randonnée sur le lac Kivu ce dimanche
    L'Association Touristique de Bukavu (AS.T.B.) organise ce dimanche 1er mars 1981, une randonnée sur le lac Kivu à destination de l'île d'Idjwi et plus précisément au petit pont de Monvu.
    Nouvelles du Kivu publié par MALIYABWANA Mwin'Anu il y a 3 ans
  • Liwali Mwando atawapokea leo mjini Goma waziri mkuu mbelegi Martens na mwenzie Nguz
    Bahada ya kupata matunzo mjini Bruxelles, nchini Ubelegi na kurejea nyumbani kwake pa nyofu.
    Swahili publié par MALIYABWANA Mwin'Anu il y a 3 ans
  • Bukavu : Waandishi wawili wagazeti JUA waalikwa Ujerumani Magharibi
    Mwaka huu, Jamhuri rafiki ya Ujerumani ya Magharibi iliwaalika wa gazeti "JUA" wyeti vya kuweza kujielimisha zaidi katika kazi zao. Ni hivi kiongozi wa gazeti "JUA" mwananchi Mutiti-wa-Bashara atakaefanya Gafari yake ya uchunguzi katika sehemu ya Goethe.
    Swahili publié par MALIYABWANA Mwin'Anu il y a 3 ans
  • Barabara imetengenezwa kwa wasafari tokea Bukavu mpaka Walikale
    Kulingana na mafazirio tuliyotolewa na naibu wa mwenyekki wa mtaa wa Walikale, barabar ni wazi sasa toka mjini Bukavu mpaka Walikale na vivi hivi.
    Swahili publié par MALIYABWANA Mwin'Anu il y a 3 ans
  • Gbadolite : Rais Habyarimana alizungumza na mwenzie Mobutu kuhusu mahusiano bora
    Mwanzo wa juma hii, Rais wa Jamhuri jirani na ndugu ya Rwanda, Jemadari JUvénal Habyarimana alikutana mjini Gbadolite katika mazungumzo ya kikazi na mwangazie Jemadari Mobutu Sese Seko ambamo walichungwa kwa karibu mahusiano bora ya nayokuwa daima katika ya Rwanda na Zaïre.
    Swahili publié par MALIYABWANA Mwin'Anu il y a 3 ans
  • Kinshasa : Kina Mama Bobi Ladawa alizungumza na wanawake wa mabalozi
    Siku hizi, mke wa Rais Mobutu Sese Seko kina mama Bobi Ladawa aliwapokea katika masimilizi kwenye meli "M.S/Kamanyola" wanawake wapaka makuni tano (amsini) wa mabalozi na wasimamizi wa mashirikisho makuu ulimwenguni wanaowakilisha nchini zao mjini Kinshasa.
    Swahili publié par MALIYABWANA Mwin'Anu il y a 3 ans
  • Luvungi : kijiji cha lazima kinachosahuliwa !
    Wengi kati yetu hasa kabisa wanachama wenye kuelewa hadisi za mkoa wa Bafulero, watakualiana nasi kwamba ujio, ngao na maendeleo ya mkoa huo yatokana na kijiji cha luvungi kinachoongozwa na suitani wa kweli wa asili, kijana Ndaya Kimbumbu.
    Swahili publié par MALIYABWANA Mwin'Anu il y a 3 ans
  • Katibu mkuu wa chama alikuwa jimboni mwa Kivu
    Tangu siku ya tano tarehe 20 mpaka siku ya Muangu tarehe 22 februari mwaka huu, katibu mkuu wa Chama, mwananchi Bo-Boliko Lokonga alikuwa katika ziara ya kikazi mjini Bukavu.
    Swahili publié par MALIYABWANA Mwin'Anu il y a 3 ans
  • Luvungi : Une localité pilote qui se meurt !
    Grâce aux travaux collectifs de Salongo, la population de Luvungi, vient de construire un centre de traitement médical dans le but de lutter contre le choléra qui se manifeste ces jours dans la plaine de la Ruzizi.
    Nouvelles du Kivu publié par MALIYABWANA Mwin'Anu il y a 3 ans
  • Rais Mobutu alizungumza kikazi na waziri mkuu Mbeleji Martens
    Aliporejea mjini Kinshasa akitokea Lusaka, mji kuu wa Jamhuri ya Zambia ambako alizungumza kikazi na mwenzie Kenneth Kaunda wa Zambia kuhusu mahusiano bora yanayodumu daima kati ya Zaïre ...
    Swahili publié par MALIYABWANA Mwin'Anu il y a 3 ans
  • Kiliba-Uvira : Mwananchi Amisi na Kamanda wa askari jeshi wajuta ujanja wao katika joja
    Habari kamili toka Uvira, makao makuu ya ywilaya ya Kivu ya Kusini zahakisha kwamba, kiongozi-mshauri wa mwandachi AMISI na mwenzie kamanda wa askari jeshi wapatikanao ...
    Swahili publié par MALIYABWANA Mwin'Anu il y a 3 ans
  • Bukavu : Vyumbu vya uzazi kwa kina mama vitazinduliwa
    Siku ya tatu tarehe kumina moja Marsi 1981, naibu wa Liwali wa Kivu ahusikae na kazi za serikali, mwananchi Makolo Jibikilay alichungwa kazi za ujenzi wa vyumba vya uzazi kwa kina mama vinanyojengwa kunako hospitali kuu mjini Bukavu.
    Swahili publié par MALIYABWANA Mwin'Anu il y a 3 ans
  • Leo tarehe 14 Marsi 1981 pa Kinshasa : Rais Mobutu atazungumza na maliwali
    Mwanamemba wa chumba kikuu cha siasa na waziri wa mambo ya ndani, mwananchi Duga Kugbe Toro, pamoja na mwanasiasa Liwali wa Kivu Mwando Nsimba Shaba waliondoka mjini Bukavu jana siku ya tano tarehe kumi na tatu Marsi 1981 ...
    Swahili publié par MALIYABWANA Mwin'Anu il y a 3 ans
  • Mwananchi Djoho alikubali kuwa : "Amani, sharia na kazi" vyadumu popote jimboni
    Baada ya kuchungua wilaya ya Kivu ya kaskazini kwa jumla na mtaa wa Walikale kwa upekee, naibu wa Liwali wa Kivu ausikae na mwenendo bora wa Chama cha Mapinduzi, mwananchi Djoho Tayeta alikubali kuwa ...
    Swahili publié par MALIYABWANA Mwin'Anu il y a 3 ans
  • Bukavu : Mwananchi Lokomba ashurulika na maendeleo mjini
    Siku hizi, mwenyekiti wa mji wa Bukavu, mwananchi Lokomba Kumuadeboni alisimamia mkutano moja maalum ambamo alizungumza kikazi na mwanamemba wa kamati ya washauri wake waliojifunza pamoja jinsi bora itakayowaruhusu kuzidisha maendeleo mjini.
    Swahili publié par MALIYABWANA Mwin'Anu il y a 3 ans
  • Mwami Lenge wa tatu :"Tuungane kwa ujio bora wa watoto wetu !"
    Siku ya kwanza tarehe mbili Marsi 1981, Mwami Lenge wa tatu Rugaza Kabale wa mkoa wa Bavira alisimamia mkutano moja maalum pa Kabindula, makoa makuu ya usultani na wa mkoa wake na kuwashauri wasaidizi wake waungane pamoja kwa maendeleo na ujio bora wa watoto wao.
    HABARI ZA JIMBO NA POPOTE publié par MALIYABWANA Mwin'Anu il y a 3 ans
  • En séjour à Bukavu, le citoyen Birere : "Que la masse laborieuse épaule le Guide à lutter contre les difficultés"
    Profitant de son congé parlementaire dans le chef-lieu de la région, le membre du Comité Central du Parti et premier secrétaire parlementaire, le citoyen Birere Mabano s'est adressé mardi dernier aux cadres politico-administratifs ainsi qu'à toute la population de Bukavu conduit par le commissaire de région chargé des activités du parti ...
    Actualités publié par MALIYABWANA Mwin'Anu il y a 3 ans
  • L'inauguration de la maternité de l'hôpital général
    L'inauguration de la maternité de l'Hôpital générale de Bukavu interviendra le 20 mais prochain. Cette nouvelle a été annoncée par le Commissaire de région chargé de l'Administration, le citoyen Makolo Jibikilay, à l'issue de la visite sur le chantier qu'il a effectué en compagnie du commissaire sous-régionalmal urbain de Bukavu ...
    Nouvelles du Kivu publié par MALIYABWANA Mwin'Anu il y a 3 ans
  • Uvira : 24 heures avec Ndongala et son orchestre Singa Mwambe
    Des mélomanes kivutiens ont été informés par les médias locaux de la présence dans la région de l'orchestre Singa Mwambe de Kisangani, formation musicale de l'artiste musicien Ndongala Tokanwa (Garcia).
    Nouvelles du Kivu publié par MALIYABWANA Mwin'Anu il y a 3 ans
  • Bukavu : Le citoyen Muliri invite la population à doubler de vigilance
    Le samedi 14 mars 1981, le secrétaire sous-régional chargé de la mobilisation et de l'orientation politique, le citoyen Muliri Muhumusa a présidé un important rassemblement populaire à l'intention des militantes et militants de la localité de Ndendere.
    Nouvelles du Kivu publié par MALIYABWANA Mwin'Anu il y a 3 ans
  • Mwenga : Le citoyen Bitinapaga et les routes d'intérêt agricole
    En rapport avec l'exécution du Programme Agricole Minimum (P.A.M.), le commissaire de zone de Mwenga, le citoyen Bitinapaga a trouvé une nouvelle formule de réfectionner les routes d'intérêt agricole, plus spécialement celles des collectivités de Burhinyi, de Wamuzimu et d'Itombwe.
    Nouvelles du Kivu publié par MALIYABWANA Mwin'Anu il y a 3 ans
  • La tournée de l'animateur politique sous-régional a pris fin
    Le citoyen Nyembo Simaundu, animateur politique sous-régional à titre provisoire vient de clôturer une tournée de sensibilisation et de contact qu'il a débuté depuis le 11 février à travers les toutes 3 zones urbaines et les grandes entreprises de celles-ci.
    Nouvelles du Kivu publié par MALIYABWANA Mwin'Anu il y a 3 ans
  • RAis Obote awaalika wafuasi wa Idi Amin kurejea nyumbani
    Lakini, tarehe kamili na ya mwisho ya kurudi kwa wafuasi hao wa zamani wa Idi Amin Dada hazijakamilishwa bado. Ila, ilijulishwa kama wale wananchi ambao hawawezi kurejea mbele tarehe kakayokamilishwa, hawaweza tena kukubadiliwa na kupokewa nchini Uganda.
    HABARI ZA JIMBO NA POPOTE publié par MALIYABWANA Mwin'Anu il y a 3 ans
  • Nouakchott : Moritania yavunja mahusiano ya kibalozi na Moro o.
    Habari zenye kuaminika toka chumba cha weziri ahusikae na mambo ya nje pia mahsiano bora mjini Nouakchott (Moritania) zahakikisha kuwa, baada ya kugundua mazumuni ya kutaka Rais Aidallah nchini Moritania ...
    HABARI ZA JIMBO NA POPOTE publié par MALIYABWANA Mwin'Anu il y a 3 ans
  • Bukavu : Mwananchi Muliri awaalika wakaaji wazidi kuwagundua maadui
    Siku ya sita tarehe 14 Marsi 1981, katibu ahusikae na maadibisho pia uongozi bora wa kazi za Chama mjini Bukavu. Mwananchi Muliri Muhumusi alisimamia mkutano moja maalum wa kiraia akihuziwa na Liwali kwa muda mwaanchi Djoho Tayeta ambamo alizungumza kimapinduzi na wakaaji wa mkoa wa ndendere.
    Swahili publié par MALIYABWANA Mwin'Anu il y a 3 ans
  • Mkutano wa kawaida wa Chumba kikuu cha siasa watezamiwa kutunguliwa mnamo tarehe 27 marsi
    Siku hizi, mwanzilishi wa Chama cha Mapinduzi, Jemadari Mobutu Sese Seko alikutana katika masimulizi ya kikazi na maliwali wa majimbo pamoja na yule wa mji wa Kinshasa katika mali yake bihatsi "M.S./Kamanyola".
    Swahili publié par MALIYABWANA Mwin'Anu il y a 3 ans
  • Paris : Mwananchi Boùboko alitetea juu ya manusiano bora na uchumi kati ya Ufaransa na Zaïre
    Katika muda wa siku zote alizobaki mjini Paris, nchini Ufaransa, mwanamemba wa chuma kikuu cha siasa ambaye ni naibu wa waziri mkuu na waziri wa mambo ya nje pia ahusiano bora kati ya chi mbali ulimwenguni na Jamhuri yetu ya Zaïre ...
    Swahili publié par MALIYABWANA Mwin'Anu il y a 3 ans
  • Mwanasiasa na katibu mkuu katika bunge Birere : "Yafaa wanachama wote wamsaidie Rais Mobutu Kumaliza magumu nchini"
    Siku hizi, mwanamemba wa chumba kikuu cha siasa nchini aliye pia katibu mkuu katika baraza ja wabunge, mwananchi Birere Mabano aliyekuwa katika mapumziko mjini Bikavu ...
    HABARI ZA JIMBO NA POPOTE publié par MALIYABWANA Mwin'Anu il y a 3 ans
  • Bukavu : Siku arbaini za mwizi mkuu "Ours" zimetimia !
    Wangwana wamesema kuwa : "siku za mwizi ni arbaini t !" Siku hizo arbaini (kamumi nne) zinapaona, sherti kabisa ujanja na upuuzi wa mwuizi huo ukomeswa.
    HABARI ZA JIMBO NA POPOTE publié par MALIYABWANA Mwin'Anu il y a 3 ans
  • Kwako bibi : Jinsi bora ya kuepuka mizozo katika unyumba !
    Wengi kati ya dada zetu wenye ndoa huwa wanajiuliza kutaka kujua jinsi bora inayoweza kuwaruhusu kuepuka mizazo kati yo na waume wao katika unyumba kutoka na tabia ngumu ao mbaya ya bwana.
    Swahili publié par MALIYABWANA Mwin'Anu il y a 3 ans
  • Mwenga : Mwananchi Bitinapaga anakusudia kutengeneza upya mabarabara ya mikoa
    Siku hizi, mwenyekiti wa mtaa wa Mwenga mwananchi Bitiapaga ni mwenye kukusudia kabisa kutengeza upya mabarabra ya mikao mtaani mwake hasa kabisa yale ya Burhinyi, Wamuzimu na Itombwe.
    HABARI ZA JIMBO NA POPOTE publié par MALIYABWANA Mwin'Anu il y a 3 ans
  • Kinshasa : Rais Mobutu alifungua mkutano wa pili wa kawaida wa chumba kikuu cha siasa
    Siku ya nne tarehe 26 Marsi 1981 wakati wa mchana, Mwanzilisha wa Chama cha Mapinduzi, Rais wa Jamhuri Mobutu Sese Seko alisimamia shereka maalum kunako jumba kubwa la taifa lili kufungua kiserikali kazi za mkutano wa pili wa kawaida wa chumba kikuu cha siasa nchini.
    Swahili publié par MALIYABWANA Mwin'Anu il y a 3 ans
  • Bukavu : Angalisho kwa wakaaji
    Ugonjwa mkali wa huhara unaombukia na kuwaangamiza vikali siku hizi wakaaji wa Kivu ya Kaskazini; ungonjwa ambao ulitokea katika kijiji ona Kisenyi ...
    HABARI ZA JIMBO NA POPOTE publié par MALIYABWANA Mwin'Anu il y a 3 ans
  • Wamza-Kabambare : Kalanga yakosa wanunuzi
    Wamaza ni moja kati ya mikoa mnamo limwa ama mbali ya chakula katina mtaa wa Kabambare, wilaya ya Maniema.
    HABARI ZA JIMBO NA POPOTE publié par MALIYABWANA Mwin'Anu il y a 3 ans
  • Habari za kiaskari : Jemadari Singa alichukuwa hatua muhimu
    Baada ya kutambua kama wamoja kati ya askari jeshi wetu walianza kuzaramu na kusahau kabisa mapashwa, mwendendo na kanuni z kazi yao, mwanamemba wa chumba kikuu cha siasa ambaye ni mmoja ...
    HABARI ZA JIMBO NA POPOTE publié par MALIYABWANA Mwin'Anu il y a 3 ans
  • Afrika ya kusini : Askari wa kukodiwa toka Ulaya Magharibi ni wengi
    Siku hizi, radio mbali mbali ulimwenguni kote zahakikisha kwamba askari wengi wa kukodiwa toka Ulaya ya Magharibi na shirikisho la Amerika ni wengi katika Jamhuri isiyokuwa halali ya Afrika ya Kusini.
    HABARI ZA JIMBO NA POPOTE publié par MALIYABWANA Mwin'Anu il y a 3 ans
  • Uganda : Mauti kumi na nne zimeokotwa porini
    Juma hii, mauti ya watu kumi na wanne, wakitambulikana kati yao watoto wawili wenye umri wa kufwata masomo zimeokotwa katika pori moja nchini Uganda.
    HABARI ZA JIMBO NA POPOTE publié par MALIYABWANA Mwin'Anu il y a 3 ans
  • Kinshasa : Liwali Mwando N'Simba alipokea na waziri Mvuendi
    Habari zenye kuaminika toka mjini Kinshasa zahakikisha kwamba, mwanasiasa na Liwali wa Kivu Mwando Nsimba Shaba alipokewa katika mazungu mzo ya kikazi na waziri ahusikae na masomo ya msingi na yale ya sekondari nchini ...
    Swahili publié par MALIYABWANA Mwin'Anu il y a 3 ans
  • Bado kidogo vilato toka Uvira mpaka Fizi vitajengwa upya
    Bado kidogo vilalo vipatikanavyo katika barabara inayounisha mji wa Uvira na mikoa midogo ya Kamanyola upande wa Kaskazini na - Lubumba - Ngandja - Mutambala - mpaka makao makuu ya mtaa mwenyewe wa Fizi, upande wa Kusini vitajengwa upya.
    Swahili publié par MALIYABWANA Mwin'Anu il y a 3 ans
  • Kina mama wa nchi za Burundi, Zaïre na Rwanda wakutana katika seminari pa Gisenyi
    Tangu siku ya tatu tarehe moja Aprili 1981, waziri Mnyarwanda ahusikae na maisha bora pia maendeleo ya kijamii, bwana Ntagerura André alisimamia kazi za kufungua seminari moja maalum inayokusanya pamoja ujumbe mbali mbali za shirikisho ...
    Swahili publié par MALIYABWANA Mwin'Anu il y a 3 ans
  • Amerika : Rais Ronald Reagan ameponyoka kifo
    Habari zenye kuaminika toka Washington, makao makuu ya shirikisho la Amerika zaeleza kwamba, Rais Ronald Reagan nchini humo ameponyoka kifo cha risasi siku ya kwanza tarehe 30 Marsi 1981.
    Swahili publié par MALIYABWANA Mwin'Anu il y a 3 ans
  • "Cimenterie de Katana" itaanza tena kazi zake
    Habari zenye kuaminika zaeleza kuwa, mnamo siku zijazo, shirika lihusikalo na utengenezaji wa simenti (seruji) katika mkoa mdogo wa Katana (Cimenterie de Katana) litaanza tena kazi zake za kutengeneza kifaa hicho.
    HABARI ZA JIMBO NA POPOTE publié par MALIYABWANA Mwin'Anu il y a 3 ans
  • Bukavu : Vyombo vipya vya Sauti ya Zaïre vimefika
    Baada ya kubaki mjini Kinshasa na kurejea nyumbani pa Bukavu, kiongozi kwa muda wa chumba cha kazi za serikali kihusikacho na upeperushaji wa habari kwa njia ya redio, mwananchi Katshunga Shabani alijulisha kuwa, vyombo vipya vya Sauti ya Zaïre mjini Bukavu vimefika.
    HABARI ZA JIMBO NA POPOTE publié par MALIYABWANA Mwin'Anu il y a 3 ans
  • Bamuguba-Kigulube : Ubaguzi wa dini waharibu pia maendeleo na masikilizano kati ya makaaji !
    Zaidi ya matatizo na magumu mbali mbali, kuna ubaguzi wa dini unaoharibu maendeleo ujenzi na masikilizano kati ya wakaaji wa mkoa mdogow a Bamuguba, mkoa wa Kigulube, mtaa wa Shabunda.
    HABARI ZA JIMBO NA POPOTE publié par MALIYABWANA Mwin'Anu il y a 3 ans
  • Kinshasa : Kina mama Bobi Ladawa alizindua kazi za ujenzi kituo cha vilema "Bondeko"
    Mwaka tunao, yaani mwaka 1981, ulitangazwa na jemadari Mobutu Sese Seko kuwa mwaka utakaoshurulika kwa kuinua maisha bora ya kijamii nchini. Ni hivi, kila mkuu katika Chama na serikalini ni mwenye kuhusika kwa karibu na jambo hilo muhimu.
    Swahili publié par MALIYABWANA Mwin'Anu il y a 3 ans
  • Kinshasa : Rais Mobutu alizungumuza na makaaji ya chumba kikuu cha siasa katika meli MS/Kamanyola
    Siku ya nne tarehe sita Aprili 1981wakati wa mchana cha Mapinduzi, Rais wa Jamhuri, Jemadari Mobutu Sese Seko aliwapokea katika mazungumzo wanamemba wa makamati mbali mbali ya chumba kikuu cha siasa waliomtolea ripoti kuhusu kazi katika meli ya binafsi "MS/Kamanyola"
    Swahili publié par MALIYABWANA Mwin'Anu il y a 3 ans
  • Wakimbizi milioni tano watawanyika popote katika nchi za Afrika
    Tangu Bara la Afrika kutikiswa na uhuru pia siasa, chumba kikuu cha Umoja wa mataifa kihusikacho na maisha ya wakimbizi popote ulimwenguni kulitangaza kwamba, wakimbizi milioni tano watawanyika popote katika nchi za Afrika.
    Swahili publié par MALIYABWANA Mwin'Anu il y a 3 ans
  • Leo siku ya sita, Rais Reagan atezamiwa kutoka hospitalini
    Habari zenye kuaminika ambao zilitangazwa na radio "Washington" siku ya nne tarehe tisa Aprili 1981 wakati wa asubuhi, saa za Mashiriki nchini Zaïre zahakikisha kwamba ...
    Swahili publié par MALIYABWANA Mwin'Anu il y a 3 ans
  • Yafaa maderewa waheshimu wasafiri wao !
    Mapendo, adabu na heshima, ni mambo ya lazima kabisa katika maisha ya binadamu. Ni hivi, kila dini, wazazi wetu na masomoni twafundishwa na kuombwa kila mara tuwe na mapendo ya kweli kati yetu, yulindiane adabu na kuheshimiana.
    HABARI ZA JIMBO NA POPOTE publié par MALIYABWANA Mwin'Anu il y a 3 ans
  • Mwananchi Sowa asimika mabomba za maji katika Bonde la Ruzizi
    Tangu mwaka 1978, mtaalam ao enjinia katika kazi za kuchimba mifereji, visiwa na kusilika bomba za maji safi ya kunyiwa katika sehemu ya Kaskazini - Mashariki nchini Zaïre,mwananchi Sowa ameshurulika na kazi hizo muhimu katika vijini vya Rubare ...
    HABARI ZA JIMBO NA POPOTE publié par MALIYABWANA Mwin'Anu il y a 3 ans
  • Mwananchi Bashige alisimamia seminari ya "Aneza-Kabare"
    Mnamo siku zilizopita, shirika la muungano wa wachuuzi na wafanyabiashara wadogo na wakuu nchini katika mtaa wa Kabare, "Aneza-Kabare" ilisimamia seminari moja maalum kabisi iliyodumu muda wa siku mbili katika makao wa mtaa huo chini ya uchunguzi wa prezidenti wa kamati hiyo, mwananchi Bashige Buyungu.
    HABARI ZA JIMBO NA POPOTE publié par MALIYABWANA Mwin'Anu il y a 3 ans
  • Watu 7 waliuawa na majambazi nchini "Pays-Bas"
    Katika miezi mitatu, watu kumi na saba waliuawa nchini "Pays-Bas" na majambazi wasiojulikana bado (terroristes). Kati ya watu hao kumi na saba, watatu wao waliuawa mnamo siku hizi za mwisho wakiwemo siku hiziza mwisho wakiwemo kiongozi mmoja katika vyumba vya kazi za serikali na maakida wawili majeshiri.
    HABARI ZA JIMBO NA POPOTE publié par MALIYABWANA Mwin'Anu il y a 3 ans
  • Zaïre na Uganda zadumisha mahusiano za kiuchumi na kibiashara
    Tangu siku ya tatu tarehe 15 mpaka siku ya tano tarehe 17 Aprili 1981 wakati wa saa nne za mchana waziri ahusikae na kilimo pia ujenzi na maendeleo ya vijijini nchini, mwananchi Kamitatu Massamba aliyehuzuriwa na Liwali wa Kivu Mwando Nsimba ...
    Swahili publié par MALIYABWANA Mwin'Anu il y a 3 ans
  • Seminari ya kisiasa imekoma
    Tangu tarehe 14 mpaka 17 Aprili 1981, walilu wa vyuo mbali mbali ya sekondari jimboni wanaohusika na maelimsho ya binadamu ...
    Swahili publié par MALIYABWANA Mwin'Anu il y a 3 ans
  • Kinshasa : Majambazi Elemba, Kalamba, Mpinda na Otshumba wilhu
    Siku ya pili tarehe 14 Aprili 1981 wakati ya asubuhi mapewa, majambazi Elemba, Kalamba, Mpinda na Otshumba ambao walimuua bure kina dada Nzumoa aligekuwa mtangazaji wa vipindi mbali mbali ...
    Swahili publié par MALIYABWANA Mwin'Anu il y a 3 ans
  • Barabara za mtaa wa Walikale zitatengenezwa kweli ?
    Siku hizi, mwenye kiti wa Kivu ya Kashaziri, mwananchi Likita alituma vipawa mia mia moja makumi saba (sabini) katika mtaa wa Walikale ili kurahisisha kazi za kufungua upya barabara yenye urefu wa kilimetri mia mbili kumi na tatu ambayo yaunganisha mtaa huo na mji wa Goma.
    Swahili publié par MALIYABWANA Mwin'Anu il y a 3 ans
  • Chombo "Columbia" kilichozunguuka dunia kilitua kwa utartibu yote
    Baada ya kuzunguuka dunia mara makumi matatu na sita katika saa makumi matano na nne, chombo cha Wamarekani kiitwacho "Columbia" kilichotupwa angani kilitua kwa utartibu na bila magumu yoyote ...
    Swahili publié par MALIYABWANA Mwin'Anu il y a 3 ans
  • Kilimo, ufugo, uvuvi, mawindo n ujenzi wa mabarabara ndivyo ngao ya maisha bora
    Ndugu, yara kabisa tuwe na moyo, juhudi na mazoezi bora ya kukubali makosa yetu ao mambo fulani mabaya tuliyotanya katika kudanganyika ao kudanganyiwa ili tupate kuyatengeneza baadae nakurudi katika njia ya usawa.
    HABARI ZA JIMBO NA POPOTE publié par MALIYABWANA Mwin'Anu il y a 3 ans
  • Kwako bibi : Ni vizuri kumueleza mmewe makosa yote ye ndugu zake ?
    Kina dada, wewe ni mke mwenye ndoa. Nyumbani mwako unaishi pamoja na wakwe, shemeki ao ndugu za mme wako.
    HABARI ZA JIMBO NA POPOTE publié par MALIYABWANA Mwin'Anu il y a 3 ans
  • Goma : Rukimbira, Haruna na Siradji wagunduliwa na uuzaji wa sigareti kimagendo
    Zaidi ya ubovu wa mabarabara, ukosefu wa zamiri ngema ya kazi "unaovundisha" vichwa vya wamoja kati ya viongozi na watumishi katika chama, serikalini, wafanyabiashara na wakaaji wenyewe ambavyo vyazidi kuharibu uchumi, maendeleo na maisha bora ya wakaaji jimboni mwa Kivu ...
    Swahili publié par MALIYABWANA Mwin'Anu il y a 3 ans
  • Bukavu : Kamati ya Chama cha Mapinduzi jimboni imechukua hatua mbali mbali
    Baada ya kurejea mjini Bukavu na kuchungua kwa karibu mambo mbali mbali kuhusu Chama cha Mapinduzi serikali, uchumi, maisha bora ya wakaaji jimboni na vivi hivi, mwanamemba wa chuma cha siasa, Liwali Mwando Nsimba Shaba alisimamia siku ya pili tarehe 21 Aprili 1981 mkutano moja maalum wa kamati ya Chama cha Mapinsuzi jimboni.
    Swahili publié par MALIYABWANA Mwin'Anu il y a 3 ans
  • Bukavu : Mwananchi Kapajika Kalota amkomboa mwenzie Namufetha
    Baada ya Kumkomboa kazini mwake mwanzie Namufetha wa Mulumba, katibu mpya wa vijana katika Chama cha Mapinduzi jimboni, mwananchi Kapajika Kalota alionyeshwa kiserikali mbele ya wasaidizi wake wote mjini Bukavu.
    HABARI ZA JIMBO NA POPOTE publié par MALIYABWANA Mwin'Anu il y a 3 ans
  • Kasindi-Beni-Rutshuru-Ishasha : Barabara za shehemu hizo zashurulikiwa
    Mtaalam jimboni katika kazi za ujenzi wa barabara na vilalo, bwan Chapon alipokewa katika masimulizi ya kikazi na mwanamemba wa chumba cha siasa, Liwali Mwando Nsimba Shab ambamo walizungumza mengi kuhusu ma barabara toka Kasindi, Beni, Rutshuru na Ishasha.
    HABARI ZA JIMBO NA POPOTE publié par MALIYABWANA Mwin'Anu il y a 3 ans
  • Weusi 9 walifariki kwa zaruba kali Afrika ya kusini
    Habari zenye kuaminika zahakikisha kwamba, Weusi tisa walifariki kwa zaruba kali iliyovuma kando kando ya mji w Johannesburg, moja kati ya mjini mikuu nchini Afrika ya Kusini.
    Swahili publié par MALIYABWANA Mwin'Anu il y a 3 ans
  • Gisenyi : Mkutano uhusikao na afia kati ya Burundi, Zaïre, na Rwanda utafanyika
    Mkutano zenye kuaminika toka Goma, mji mkuu wa udongo wa wilaya ya Kivu ya kaskazini zahakikisha kwamba, mkutano moja maalum utakaohusika na kujifunza pia kutawanya matunzo bora ya afia katika shirikisho la kiuchumi za nchi zinazopakana kando kando ya maziwa makuu (CEPGL) ...
    Swahili publié par MALIYABWANA Mwin'Anu il y a 3 ans
  • Mwananchi Makolo aendelea na safari yake ya uchunguzi
    Tangu siku ya tatu tarehe 29 aprili 1981, naibu wa Liwali wa Kivu ahusikae na kazi za serikali, mwananchi Makolo Jibikilay ahusika na uchunguzi mbali mbali katika mawilaya ya Kivu ya Kaskazini. Maniema na Kivu ya Kusini.
    HABARI ZA JIMBO NA POPOTE publié par MALIYABWANA Mwin'Anu il y a 3 ans
  • Uvira : Wakaaji wakosa amani ?
    Hapana ! Tangu siku nyingi sasa wakuu wa serikali jimboni waliruhusu makundi ya askari jeshi yasimikwe mahali mbali mbali mjini Uvira kwa kuweza kukinga usalama wa wakaaji na mali zao.
    HABARI ZA JIMBO NA POPOTE publié par MALIYABWANA Mwin'Anu il y a 3 ans
  • Liwali wa Kivu ahusika na uchunguzi wa watumishi wa serikali
    Kwa kuweza kulipa vema mishahara ya watumishi wa serikali katika mwezi wa nee 1981, makundi mbali mbali yaliundwa kwa kufanya uchunguzi maalum wa wafanyakazi wota wa serikali nchini.
    HABARI ZA JIMBO NA POPOTE publié par MALIYABWANA Mwin'Anu il y a 3 ans
  • Uvira : Japokuwa upo mtoto wa Basika, mimi ni dereva wa gari hili
    Katika gazeti letu namba 109 lililopigwa chapa tarehe 11 mpaka 17 aprili 1981, tulizungumza na kutoa mashauri fulani yenye kuwaelekea ndugu zetu madereva wa "taxi" na wa magari yahusikayo na usafirishaji watu toka Bukavu mpaka Uvira na kurudi kuhusu tabia yao mbaya.
    HABARI ZA JIMBO NA POPOTE publié par MALIYABWANA Mwin'Anu il y a 3 ans
  • La collectivité des Bavira en un clin d'oeil
    Ces dernier temps, le Mwami Lenge III Rugaza Kambale des Bavira, sillonne toute l'étendue de sa collectivité afin de sensibiliser sa population et ses collaborateurs aux récentes mesures économiques prises par les instances supérieures du pays.
    Régions publié par MALIYABWANA Mwin'Anu il y a 3 ans
  • Kinshasa : Rais Mobutu alizungumza na wasaidizi wake katika chama na serikali kuhusu kilimo
    Siku ya pili tarehe 5 Mayi mwaka huu, Baba wa taifa, Jemadari Mobutu Sese Seko alizungumza kikazi na wabunge pamoja na mawaziri mjini Kiwhasa.
    Swahili publié par MALIYABWANA Mwin'Anu il y a 3 ans
  • Bujumbura : Mkutano wa lazima ulifanyika kati ya Zaïre na Burundi
    Siku hizi, mkutano moja wa lazima kabisa ulitanyika mjini Bujumbura, makoa makuu ya Jamhuri ya Burundi nchini ya mamizi wa waziri rundi anusikae na mambo nje pamoja ...
    Swahili publié par MALIYABWANA Mwin'Anu il y a 3 ans
  • Kindu : Mwananchi Makolo alitoa mwanga kuhusu kazi za serikali
    Kama alivyokwisha fanya popote katika mawilaya ya Kivu ya Kaskazini na Kivu ya Kusini, naibu wa Liwali wa Kivu ahusikae na kazi za serikali, mwananchi Makolo Jibikilay alisimamya mkutano wa kikazi mjini Kindu ...
    Swahili publié par MALIYABWANA Mwin'Anu il y a 3 ans
  • Ujapani yakusudia kuacha uuzaji wa gari zake nchini Amerika
    Habari yenye kuaminika toka Tokyo, mji mkuu nchini Ujapani, zahakikisha kwamba, serikali imekusudia kuacha uuzaji wa gari nchini humo kwa shirikisho la Amerika muda wa miaka minne.
    Swahili publié par MALIYABWANA Mwin'Anu il y a 3 ans
  • Liwali Mwando aliwapokea watangazaji habari
    Siku ya pili tarehe tano Mayi 1981, mwanamemba wa chumba cha siasa, Liwali wa Kivu Mwando Nsimba Shaba na mkewe, waliwapokea nyumbani mwao watungazaji habari na wake zao katika karamu ya masimulizi.
    HABARI ZA JIMBO NA POPOTE publié par MALIYABWANA Mwin'Anu il y a 3 ans
  • Bukavu : Uchunguzi wa watumishi wa serikali umefanyika vema ?
    Wakuu wa serikali nchini walipotambua kuwa feza nyingi zatumiwa na kuibwa ovyo kwa kuwalipa bure watu wasiotumika kazi, wale waliokwisha fariki kazi kwa umri wao wa uzee, wale wenye mishahara miwili na zaidi kwa mwezi ...
    HABARI ZA JIMBO NA POPOTE publié par MALIYABWANA Mwin'Anu il y a 3 ans
  • Kwa nini kutaka kumuua Papa Paulo wa Pili ?
    Ulimwengu mzima ulishtuka na kujiuliza eti : "dunia inaenda wapi ?". Kushtuka huko kwatokana na habari mbaya iliyotangazwa Roma kusikia kama mrugaruga Mehmed Ali Agea, mzaliwa Turkia, aliejaribu kumuua kwa bunduki siku ya pili, tarehe 12 Mayi 1981 Papa Yoane Paulo wa Pili.
    Swahili publié par MALIYABWANA Mwin'Anu il y a 3 ans
  • Ushahiri : Kovu la milele !
    Kila tarehe 11 Mayi, ninapatwa na makiwai Ni kovu bichi na la milele maishani mwagui Tarehe hiyo, nilipotelewa
    Swahili publié par MALIYABWANA Mwin'Anu il y a 3 ans
  • Les dix ans de la "COOCEC/Zaïre"
    Les coopératives d'épargne et de crédit du Zaïre, s'apprêtent à célébrer, très modestement, leurs dix ans d'existence. Celle-ci se développent depuis 1971, à partir de ses trois centres qui sont Basankusu (dans l'Equateur), Kinshasa, qui englobe le Bas-Zaïre et le Bandundu, Bukavu (au Kivu).
    Régions publié par MALIYABWANA Mwin'Anu il y a 3 ans
  • Bakisi-Mwega : Liwali Mwando atawatumia wakaaji madawa
    Baada ya kuzungumza na kiongozi wa chumba kihusikacho na maisha bora ya wakimbizi katika majimbo ya Zaïre na Juu ya Kivu, Bwana Pierre Adouvo aliyemueleza mengi kuhusu ...
    Swahili publié par MALIYABWANA Mwin'Anu il y a 3 ans
  • Fizi : Mutunwa Lunda Lwaga ameua watu 3 wa Makobola
    Usiku wa siku ya tano tarehe 29 kuamikia ule wa siku ya sita tarehe 30 Mayi 1981, wakaaji wa kijiji cha Makobola, katika mtaa wa Fizi, walishushwa pande za saa kumi za usiku kwa vigelele na vilio toka popote katika nyumba za majirani wao.
    Swahili publié par MALIYABWANA Mwin'Anu il y a 3 ans
  • Gbadolite : Rais Mobutu aliwapokea wenzie Obote na Nimeiry
    Baada ya kubaki muda mchache mjini Bangui ambako alikutana na mwenzie David Dacko wa Jamhuri ya Afrika ya Kati, Rais Mobutu Sese Seko aliwapokea Gbadolite wenzie Milton Obote wa Uganda na Gaafar El Nimeiry wa Sudan.
    Swahili publié par MALIYABWANA Mwin'Anu il y a 3 ans
  • Maelezo ya jemadari Mobutu
    Kama ilivyokusudiwa na kutangazwa katika magazeti na redio, Jemadari Mobutu Sese Seko alisimamia mkutano wake wa kiraia mnamo tarehe 30 Juni kunako kijiji cha wavuvi pa Kinkole ...
    Swahili publié par MALIYABWANA Mwin'Anu il y a 3 ans
  • Kivu : Ce qu'il faut dire de la quatrième Assemblée générale de la Coocec
    Du samedi 27 au dimanche 28 juin 1981, s'est tenu à Amani, la quatrième Assemblée générale de la Coopérative centrale d'épargne et de crédit du Kivu, sous l'autorité de son président du conseil d'administration, le citoyen Sungura Kyembe qu'entouraient le directeur général de la Coocec/Kivu ...
    Nouvelles du Kivu publié par MALIYABWANA Mwin'Anu il y a 3 ans
  • Bukavu : Liwali Mwando anakataa malipo ya "O.N.L." yapandishwe
    Siku ya kwanza tarehe 13 julay 1981, mwanasiasa Liwali Mwando Nsimba alichukua hatua katika kibarua chake namba 01/1822 alimowakataza kabisa wakuu wa shirika la "ONL" wasijaribu hata kidogo kwa sasa kupandisha malipo ya nyumba zao.
    Swahili publié par MALIYABWANA Mwin'Anu il y a 3 ans
  • La "Texkivu" n'est pas morte
    "Texkivu", est l'unique usine textile implantée dans la région du Kivu. Elle a vu le jour depuis les années 1947 grâce aux efforts consentis par son fondateur, Monsieur De Waele
    Nouvelles du Kivu publié par MALIYABWANA Mwin'Anu il y a 3 ans
  • Kindu : Wahuni Londo na Kimuti walinaswa
    Siku ya Mungu tarehe 19 Julay 1981, mwenyekiti wa wilaya ya Maniema, mwananchi Mbalanga, alisimamia mkutano moja maalum ya kiraia uliowakusanya wanachama maelfu ambao walionyeshwa wahuni ...
    HABARI ZA JIMBO NA POPOTE publié par MALIYABWANA Mwin'Anu il y a 3 ans
  • Kamituga : Un franc succès autour de l'inauguration du bâtiment administratif
    Comme un seul homme, la population du centre minier de Kamituga, s'est rassemblement, le mardi 28 juillet 1981, pour saluer et fêter dans l'allégresse l'inauguration, tant attendue, du bâtiment administratif, construit sur une superficie de 27, 14 M2.
    Nouvelles du Kivu publié par MALIYABWANA Mwin'Anu il y a 3 ans
  • Mwenga : Jumba la serikali limezinauliwa pa kamituga
    Siku ya pili tarehe 28 julay 1981, wahamapinduzi wa Kamituga wanonekana wenye kicheko mdomoni wakati walipotukana wote kama vile watoto wa mtu mmoja vile ?
    Swahili publié par MALIYABWANA Mwin'Anu il y a 3 ans
  • Le 3ème congrès des témoins de Jéhovah prend fin demain dimanche
    Le 3ème congrès des témoins de Jéhovah qui a débuté à Bukavu ce jeudi 6 août 1981, regroupant dans l'enceinte de l'institut d'Ibanda plus de 2.000 fidèles, prend fin ce dimanche, 9 août 1981.
    Nouvelles du Kivu publié par MALIYABWANA Mwin'Anu il y a 3 ans
  • Wamusimu: Une collectivité pleine d'avenir
    "Le développement, le progrès de chaque société humaine, la détermination, la bonne volonté et surtout le dynamisme de son chef", dit-on.
    Nouvelles du Kivu publié par MALIYABWANA Mwin'Anu il y a 3 ans
  • Uvira : Mwananchi Ndaye wa Luvungi amekwisha kazi kwa muda
    Mnamo tarehe 20 Agosti 1981, mwenyekiti wa mtaa wa Uvira alimuachisha kazi kwa muda wa miezi miwili kiongozi wa mkoa mdogo wa Luvungitara, mwananchi Ndaye Kimbumbu Mutahonga wa pili.
    Swahili publié par MALIYABWANA Mwin'Anu il y a 3 ans
  • Uvira : Majambazi Kadutu, Mutungula na Baroli wametupwa jela
    Wangwana wamesama : "Mtoto alikilia wembe, mwachie. Kwani atajuta mwenyewe baadae". Fumbo hilo muhimu nq lenye maadibisho mengi, limetoa matunda yake bora siku hizi mjini Uvira hasa kabisa katika sehemu ya Mulongwe.
    HABARI ZA JIMBO NA POPOTE publié par MALIYABWANA Mwin'Anu il y a 2 ans