• NOUS SUIVRE SUR

ARTICLE(S) RECHERCHE(S)

  • Mgomo wa wafanyabiashara pa Kamituga
    Kiongozi wa umoja wa wafanyabiashara wa mtaa wa Mwenga (Aneza), bwana Masumbuko Kyalumba kafanya ziara ya kazi mjini Bukavu kwa kutafuta kutatutua shida iliyokabili wachuuzi wa mtaa huo.
    Swahili il y a 2 ans
  • Ijali ya gari pa Isango
    Ajali ya gari imetokea mnamo siku ya posho tarehe 31 agosti 1996 huko kibindibindi kunako ulalo wa mto isango kati ya kitutu na misioni ya kiprotestanti ya nyamibungu mtaani Mwenga
    Swahili il y a 2 ans
  • Mobutu hospitalini mchini Uswisi!
    Ni tangu tarehe 22 agusti 1996, mareshali Mobutu Sese Seko, Prezidenti wa jamhuri ya zaïre kajielekeza mjini Geneva nchini Uwisi kwa ajiji ya kuttunzwa ugonjwa wa Kansa ya Prostate.
    Swahili il y a 2 ans
  • Bwegera: Mahali pa kuchunguzwa vema
    Katika bonde la Ruzizi, njiani pa kwenda Uvira, kati ya Kamanyola na Sange, kuna mahali paitwapo Bwegera huko ambako abiria na wapita njia wajinunuliwa maziwa ya ngombe.
    Swahili il y a 2 ans
  • Maadibisho Bora
    Kwakweli, imeonekana kuwa wazazi wengi hukwepa kwa sasa mapaswa ya kuwalea vema na kuwaadibisha watoto wao. Na dalili nyingi za kuonya kitendo hicho zinazidi kujitokeza siku kwa siku hapa nchini na hasa zaidi katika miji mikubwa.
    Swahili publié par André Bisimwa L-B. Tserou il y a 2 ans
  • Uhariri: Bonana, mwaka mpya 1991
    Mwaka 1990 kapita labda kama umeme. Twafurahia sasa mwaka 1991. Kweli mambo yamefyatuka kwa mwendo wa kuruka kama kunguru kwa ginsi tukitupa jicho nyama tutajionea wenyewe namna gani mwaka 1990 wabeba mzigo wa magumu ...
    Swahili publié par André Bisimwa L-B. Tserou il y a 2 ans
  • Zaïre: Raia bado katika uwasiwasi
    Kutokana na maelezo katoa spika wa Baraza la mawaziri siku zilizopita kuhusu maoni ya serikali juu ya kidemokrasia, yahitajika nchini na hasa inayoelekea uwingi wa vyama, uchumi na siasa ya kijamii, bado uwasiwasi washika raia siku kwa siku
    Swahili publié par André Bisimwa L-B. Tserou il y a 2 ans
  • Utamaduni: Dada Mastaki Nyabana "Lili" kachaguliwa binti mzuri wa mji wa Bukavu na wa jimbo la Kivu ya Kusini
    Akiwa na umri wa miaka 18 na miezi mitano, dada Mastaki Nyabana "Lili" kachaguliwa mnamo tarehe 12 Ogusti 1990 kunako Soko la kiuchumi na kiutamaduni la mji wa Bukavu kama vile kijana binti mzuri kuliko hao waliojionya mjini Bukavu na jimboni lote la Kivu ya Kusini.
    Swahili publié par André Bisimwa L-B. Tserou il y a 2 ans
  • Je, umesikia ...?
    KUWA katika mmkoa wa Buholo II mke moja toka Kinshasa ... kuiba mtoto moja mke mwenyi umri wa miaka 9 ...
    Swahili il y a 2 ans
  • Kwako bibi: Usafi wa nymba waonya zamiri yako, mama
    Kila mutu anayejiona mngwena anayo taarifa ya kai zake. Iwenyumbani wala kazini. Huyu ajua mbele ya wakati kazi gani atafanya paa saa Kamili. Ni wazi taarifa hiyo yaweza kubadili kutokana na visa fulani.
    Swahili publié par André Bisimwa L-B. Tserou il y a 2 ans
  • Afrika ya Kusini: Maadui wa Mandela kavumbuliwa
    Maadui wa Mandela kavumbuliwa. Mfungwa mashuhuri ulilmwenguni, aliyekuwa huru miezi tano sasa, na mzaliwa wa Afrika ya Kusini katembelea shirikisho la Amerika.
    Swahili publié par André Bisimwa L-B. Tserou il y a 2 ans
  • Uhariri: Mkuu kwa wote
    Miaka 2000 kapita tangu hapo Yesu wa Nazareti kashulubiwa na kufariki msalbani kwa kuwaokoa watu. Ni hiyo kwa mapenzi ya Babaye. Yesu kweli kajitolea. Kifo chake ni mwanzo wa maisha mapya ya waumini na wa wasio waumini.
    Swahili publié par André Bisimwa L-B. Tserou il y a 2 ans
  • Maniema: Raïa walaumu Kithima na Tshiala
    Hapo majuzi, mnamo mwezi wa Julay (saba) 1990, bwana Kithima bin Ramazani hapo zamani katibu mkuu wa Chama Mapinduzi "MPR", kakusanya mjini Kindu raïa wa mji wa Kindu waliojielimisha.
    Swahili publié par André Bisimwa L-B. Tserou il y a 2 ans
  • Zaire: Serkali yakubali migomo, bali ...
    Baraza la mawaziri kaundwa baada ya hotuba ya Raïs wa Jamhuri mnamo tarehe 24 Aprili 1990 kaleta mabadilliko mengi na muhimu katika siasa ya nchi Zaïre tangu hapo kasimikwa.
    Swahili publié par André Bisimwa L-B. Tserou il y a 2 ans
  • Je, umesikia ...?
    KUWA namna "Salongo" yaendeshwa kila siku y tatu mjini Bukavu yauzikisha wakaaji ? Kwa nini ? Kila mara kazi hizo zaendeshwa tu na wamama wachuuzi wadogo kwenye soko.
    Swahili il y a 2 ans
  • Uhariri: Nafasi gani kwa vijana nchini Zaïre ?
    "Vijana wetu wa takua ginsi tullivyowatayarisha". Usemi huu waishi midomoni mwa viongozi nchini mwetu. Kila mara wanema wazi kuwa vijana hao ndiwo tegeme la nchi na iongozi wa kesho.
    Swahili publié par Bakanirwa Bachiyeka il y a 2 ans
  • Bukavu: Shirika P.E.V. kaendesha chanjo za ukingo wa mama na mtoto
    Hapo majuzi shirika P.E.V. kaendesha mjini Bukavu chanjo za ndui za uukngo wa mama wenye umri wa miaka 14 hadi 44 na watoto kuhusu magonjwa ya kuambukia.
    Swahili publié par Bakanirwa Bachiyeka il y a 2 ans
  • Zaïre: Kwa nini watumishi wa serkali kagoma ?
    Hapo majuzi mnamo mwezi wa Julay watumishi wa serkali kagoma hasa wakitupilia kazi kutokana na kutoongezewa mishahara kama vile kahaidwa na wakuu serikalini.
    Swahili publié par André Bisimwa L-B. Tserou il y a 2 ans
  • Uamzi: Mke wa pili adai zaire 1.000.000,00 kwa mwananchi Sampi
    Katika kitabu ya uamzi mambari RC 2486 kwenye mahakma kuu ya mji wa Bukavu, mama Mbayu M'Ndeko(Paola) adai zaïre 1.000.000,00 kila mwezi kwa mwananchi ...
    Swahili il y a 2 ans
  • Vilema, watu kama sisi
    Hapo mwezi wa tano 1990 tarehe 27, kiuo cha vilema "Heri Kwetu" Kilisherechekea siku kuu ya vilema. Sherehe hizo ziliweza pia kuhuzuriwa na mke wa liwali wa jimbo, Mama Dillingi wakiweko pia makamu wa liwali Ngoy Shambuyi ...
    Swahili publié par André Bisimwa L-B. Tserou il y a 2 ans
  • Kivu ya Kusini: Shirika la kutoza ushuru lahaidiwa zaïre 800.000.000,00
    Mwananchi Mapasi Bula, kiongozi wa shirika la watoza ushuru (contribution) katika jimbo la Kivu ya Kusini, kaeleza hapo majuzi mbele ya wapaswahabari kuwa kodi zote kwa jumba la mwaka huu jimboni ...
    Swahili publié par Bakanirwa Bachiyeka il y a 2 ans
  • Je, umesikia
    KUWA mjini Kindu wanatufunzi hujionea cha "mtema kuni"? Yasemekana huko heti walimu na viongozi wa shule ...
    Swahili il y a 2 ans
  • Ascofu Munzihirwa akamilisha katika diosezi ya Kasongo
    Kutokana na hatua kachukuliwa na Baba Mtakatifu wa Roma, Yoane Paulo wa Pili. Askofuu Munzihirwa katamilishwa kama vile askofu mwenyekiti wa diosezi ya Kasongo akimgomba hivi askofu Pirigisha Mukombe ambaye katimiza ...
    Swahili publié par André Bisimwa L-B. Tserou il y a 2 ans
  • Kwako bibi: Ukahaba msinji wa maisha rahisi, mazuri na starehe ?
    Watu ambao wavikwa madaraka ya kuadibisha na kuongoza vikundi vya vijana wapiga yohwe. Wale wasimamizi wa makanisa wasema eti tayari mwisho wa dunia wakaribia.
    Swahili publié par Bakanirwa Bachiyeka il y a 2 ans
  • Mzozo kunako univasti na vyuo vikuu nchini Zaïre utaisha lini ?
    Tangu tarehe 18 mpaka 19 Juni, Bunge la Taifa katafua mzozo kazaa ambao kalewa na wanafunzi wa univasti na wa vyuo vikuu mbalimbali inchini mwetu.
    Swahili publié par Bakanirwa Bachiyeka il y a 2 ans
  • Adabu za saa zote: Soga na maongezi
    Kwa siku za leo, sababu ya kujua luga nyingi, tunao uwezo wa kuongea popote tunapokuwa kitundini. Lakini namna gani soga (michezo, maburudiko) zetu zinapaswa kufanyiwa na maongezi yetu ni sherti ielekee nini?
    Swahili publié par Kimengele Kimode il y a 2 ans
  • Kivu ya Kusini: Njaa yaikumba mtaa wa Beni
    Siku hizi mtaa wa Beni wasulumishwa kwa ukosefu wa chakula kingi na chenye kufaa shirika SOLIDARITE PAYSANNE kaonya jambo hilo wazi mbele ya wataalam wengine ambao katangulia huko.
    Swahili il y a 2 ans
  • Uchumi wavutia siasa ya kidemokrasia
    Tangu tarehe 24 Aprili 1990, hali ya kidemokrasia yaonywa na kurudishwa ukamilifu wa uwezo na madaraka ya Bunge, Barza la Mawaziri na Barza la Sheria. Kwa kweli, hali ya kidemokrasia yategemea uhuru wa maoni, mwanzo na masemi hasa huo wa upashaji wa habari, haki ya kugoma ...
    Swahili publié par André Bisimwa L-B. Tserou il y a 2 ans
  • Uhariri: Nani ahitajika kuongoza nchini ?
    Uhongozi nchini sio mzaa. Kwani kila mwananchi anayetezami wa kuongozi nchini katika ngazi mbalimbali yafaa afanye kila analoweza ili kuongeza kiwango cha elimu anayo, ujuzi mbalimbali, ufundi pamoja na mbinu za kumudu madaraka wanayozaminiwa na umma.
    Swahili publié par André Bisimwa L-B. Tserou il y a 2 ans
  • "Homa" yaikumba michezo jimboni
    Miaka michache iliyopita, michezo kama vile ya kandanda, riaza, makonde, kinga na hata ya vikapo na nyavu ilikuwa yakitiliwa maanani sana gazeti ngazi ya vijijini, mji mikuu hadi taifa kuanzia shuleni.
    Swahili publié par André Bisimwa L-B. Tserou il y a 2 ans
  • COOCEC/Kivu
    Kama illivyo kawaida kila mwisho wa mwaka; Koperative kuu ya akiba na mkopo jimboni mwa Kivu (COOCEC-KIVU) kafanya mkusannyo wakee mkuu hapo majuzi mjini Bukvu.
    Swahili publié par Bakanirwa Bachiyeka il y a 2 ans
  • Kivu ya kusini yahatarishwa na wakimbizi
    Zaidi ya wakimbizi 100.000 toka nchi za Rwanda na Burundi waishi katika majimboo ya Kivu Kusini na ya Kashazini. Ingawa wengi wakimbizi hao toka nchi hizo mbili idadi ...
    Swahili il y a 2 ans
  • Lunda Bululu, Waziri mkuu mpya
    Baada ya kusimikwa kwa Jamhuri ya tatu hapo tarehe 24 aprili 1990 Kutokana na mabadiliko kafanywa nchini Zaïre kuhusu siasa, ilimpendeza Raïs wa Jamhuri, Mareshali Mobutu, kumtaja mwananchi Lunda Bululu.
    Swahili publié par André Bisimwa L-B. Tserou il y a 2 ans
  • Uwingi wa vyama wakubaliwa nchini Zaïre, lakini ...
    Katika hotuba wake muhimu kafanya Raïs wa Jamhuri ya Zaïre, Mareshali Mobutu mnamo tarehe 24 aprili 1990 kijijini N'sele kwa wajumbe wa majimbo wakiweko mabalozi wa nchi rafiki na wapashohabari toka nchi kazaa za kigeni
    Swahili publié par André Bisimwa L-B. Tserou il y a 2 ans
  • Baada ya mahitaji
    Mabadiliko ya siasa nchini kujulishwa na Raïs wa Jamhuri, Mareshali Mobutu, kapokelewa na furaha na raïa ambao kaionya kwa mandamano, pongezi za kumfukuza ...
    Swahili publié par André Bisimwa L-B. Tserou il y a 2 ans
  • Je, umesikiya
    Kuwa uko katika mtaa wa kadutu wasichana (wabinti) waendelea na iwao iwa kutosha mimba na kutupa watoto katika mifereji ama yalala ?
    Swahili il y a 2 ans
  • Je, umesikia ... ?
    KUWA mjini Bukavu wamoja kali ya akina mama wachuuzi walifezeesha kunako soko kuu la kadutu siku kwa siku ? kwa nini ?
    Swahili il y a 2 ans
  • Raïs Mobutu ahusika na maisha ya raia
    Baba wa Taifa, Mareshali Mobutu, ajifikiri siku kwa leo pia hapo makesho nchini Zaïre. Kweli, twazani wote kuwa Mareshali Mobutu tangu kuchukua madaraka ya uongoziwa nchi afanya vyote aweza kwa kufikilia maisha rahisi na bora kwa raïa.
    Swahili publié par André Bisimwa L-B. Tserou il y a 2 ans
  • UHARIRI : Hewa yay mabadiliko !
    Kutokana na maoni ya Prezidenti-muundaji wa Chama cha Mapinduzi, Raïs wa Jamhuri ya Zaïre, Mareshali Mobutu, kwatezamiwa mabadiliko muhimu katika uongozi wa Chama-serikali katika hotuba yake ya tarehe 24 Aprili 1990 kwa raïa.
    Swahili publié par André Bisimwa L-B. Tserou il y a 2 ans
  • Wakaaji wa Bukavu wamtumainia Regideso
    Wakaaji wataweza kushota tena maji safi kama hapo zamani mjini Bukavu siku zijazo. Kwa kuwa kiwanda kipya chakutoa maji safi chajenwa huko Murhundu.
    Swahili publié par Bakanirwa Bachiyeka il y a 2 ans
  • Ukadirisho wa uzazi muhimu jamaani
    Kulokana na matatizo kazaa wa kazaa kuhusu uchumi, dini, utamaduni na ongezo la jumba la watu kusudio la kukadirisha uzazi uchukuliwa ummani siku kwa siku.
    Swahili publié par André Bisimwa L-B. Tserou il y a 2 ans
  • Je, umesikia ... ?
    KUWA chawa yaweza kuambukiza ugonjwa wa Sida ? Imejulikana kuwa mahali kazaa duniani watoto wengi wenyi umri ya miaka kuingia shuleni na wangineo wachanga wazaliwa tangu tumboni mwa mama zao ...
    Swahili il y a 2 ans
  • Muungano wa Bunyikiri "SIBU" wajikamilisha
    Wanamemba wa muungano kuhusu maendeleo yaa Bunyikiri "SIBU" walikutana hapo majuzi kunako masomo ya segondari ya Funu/kadutu . Siku hiyo ilitolewa ripoti ya mkusanyo uliofany n wasimamizi wa "SIBU" hapo Bunyiakira mnamo mwezi wa pili ...
    Swahili publié par Bakanirwa Bachiyeka il y a 2 ans
  • Na mwishoe, Namibia nchi huru
    Nchi ya Namibia ambayo ipatikanayo Kusini mwa Bara la Afrika na kuangamizwa na ubaguzi wa rangi na mabeberu wa Afrika ya Kusini kasherehekea uhuru wake mnamo tarehe 21 Marsi 1990 ...
    Swahili publié par André Bisimwa L-B. Tserou il y a 2 ans
  • Kwako bibi: Mimi si ndumba !
    Kutokana na magonjwa mengi yanayoshambulia watu, kati yap magonjwa ya kisonono na kwa leo ugonjwa haramu na mkali wa "SIDA", yafaa kweli kujikinga tukichukua hatua kazaa na kufuata mashauri ya wanganga na wataalam wote wahusikao ambao kutaja jina ttu ...
    Swahili publié par André Bisimwa L-B. Tserou il y a 2 ans
  • Uhariri: Mishahara na bei
    Kwa kweli tukitchungua hali ya maisha ya leo ummani, bei ya vyakula, ya vifaa ne mengineo biashara, bei ambayo yapanda siku kwa siku mwendo wa kungurru, watumishi nchini, hasa hao wa daraja za chini wasulubishwa na maisha magumu ambayo yamasonga.
    Swahili publié par André Bisimwa L-B. Tserou il y a 2 ans
  • Wabunge wa Jimbo la Kivu ya ksini wapigwa bumbwazi
    Wakati wamapumziko yao jimboni, wabunge wa Kivu ya Kusini waliweza kutembelea mitaa kazaa ili kujionea na kujisikilia binafsi ginsi uongozi wa Chama-sekl wafanyikao huko Matukio ya matembei ...
    Swahili publié par André Bisimwa L-B. Tserou il y a 2 ans
  • Raïs Mobutu awahimiza raïa kutoa maoni yao juu ya Chama-serkali
    Juma kwa juma, siku hizi Mareshali Mobutu, Prezident-Muundaiji wa Chama cha Mapinduzi "MPR" kaendelea na ziara yake kiserikali majimboni kwa kuwahimiza raïa kutoa maoni na mahitaji yao kuhusu uongozi na mwenendo wa Chama-seikali baadaya miaka 25 ya kimapinduzi na karibu sasa miaka 30 ya uhuru.
    Swahili publié par André Bisimwa L-B. Tserou il y a 2 ans
  • Marais Buyoya, Habyarimana na Mobutu wajikamilisha
    Ni katika mpongo wa uhusiano wapaswa kuweko kati nchi tatu, ndugu , rafiki na jirani yaani Burundi, Rwanda na Zaïre, nchi hizo kaunda muungano wa kiuchumi "CEPGL".
    Swahili publié par André Bisimwa L-B. Tserou il y a 2 ans
  • Uhariri: UTASHI BORA
    Muungano wa kiuchumi wa nchi zinazopakana na maziwa makuu (CEPGL) ambao kaundwa mnamo tarehe 20 septemba 1976 na kufikilia hapo makesho miaka 14, ingawa muda huo si mrefu
    Swahili publié par André Bisimwa L-B. Tserou il y a 2 ans
  • BABA WA TAIFA AZUNGUMZA NA RAIA KIDEMOKRASIA
    Muda wa siku tatu, tangu terehe 30 januari hadi 1 februari 1990, Baba wa Taifa, Mareshali Mobutu alistarehe na raia jimboni mwa Kivu ya Kusini katika ziara ya kiserkali mjini Bukavu ambako kapokelewa ...
    Swahili publié par André Bisimwa L-B. Tserou il y a 2 ans
  • Kivu ya Kusini: NJAA YAANGAMIZA WAKAAJI
    Katika jimbo la Kivu ya Kusini yaani mitaani Kabare, Walungu, Fizi, Shabunda, Mwenga na mji wa Bukavu, maisha ya wakaaji huhatarishwa kwa kuwa waangamizwa nanjaa, sawa vile mwaka wa 1984.
    Swahili publié par Chirume Simba il y a 2 ans
  • Adabu za saa zote: DEREVA AO MTEMBEZA GARI
    Hapa tutasimulia juu yule ambaye gari si lake, yule ambaye kutembeza gari ndio kazi yake. Maana yake yule anayetumikia myu mwengine ao shirika fulani.
    Swahili publié par Kimengele Kimode il y a 2 ans
  • BENKI KUU YA ZAIRE KAFUNGUA SOKO LA UNUNUZI WA ZAHABU
    Ukomo wa Benki kuu la Zaïre kwa kununua zahabu ni kuipiatia nchi ya Zaïre feza nyingi, kanena Liwali wa Benki hilo mwanchi Pay-Pay wa Syakassighe ambaye hapo majuri kafungua keserkali soko la ununuzi ...
    Swahili publié par Chirume Simba il y a 2 ans
  • DAFTARI KAMILI YA WANAMEMBA WA SERKALI
    Hapo majuzi Prezindenti-muundaji wa Chama cha Mapinduzi, Mareshali Mobutu, kabadidi wenyekiti madarakani katika Chama-serkali. Mabadiliko kafanya Baba wa Taifa yaonya kuwa ahusika na mwenendo bora unaopaswa kuweko katika kazi zahendeshwa kwa manufa.
    Swahili publié par André Bisimwa L-B. Tserou publié par Lubunga Bya 'Ombe il y a 2 ans
  • JUA yatimiza mwaka 9
    Ni katika furaha na shangwe kubwa njo karanu ya kutimiza miaka kenda ya kuzaliwa kwa gazeti letu ilifanyika kunako biro yake.
    Swahili publié par MUSEMI KILONDO NKULA il y a 2 ans
  • Burundi : Raia wamechangua katiba mpya
    Mnamo tarehe 18 novemba mwaka huu, raia wa Jamhuri ya Burundi walikubali mwito wa wakuuw wa Chama "UPRONA". Wenyeviti wale waliwaalika kuboa msimamo wao juu ya katiba (Construction) mpya iliyotajarishwa chini ya utawalo wa Mheshimiwa Rais Jean-Baptiste Bagaza.
    Swahili publié par MUSEMI KILONDO NKULA il y a 2 ans
  • Mashariki ya Kati Msiri na Israëli wabaki marafiki
    "Patano linalounga Msiri na Israëli ni la kweli", Maneno yale yalitamkwa na Mheshimiwa Rais Hosni Moubarak mbele ya wadeule wakikutana katika ukomo wa kwendelea na kazi yao ya kawaida kisha mapumziko yao.
    Swahili il y a 2 ans
  • Dolari milioni sita zitatumiwa kwa kutawanya biblia Barani
    Habari zinazoaminika kutoka Kinshasa zinasema kwamba Shirika linaloshurulika na kazi ya kutawanya biblia ulimwenguni (Alliance biblique universelle) lakusudia kutumia dolari milioni sita mwaka huu.
    Swahili il y a 2 ans
  • Je, umesikia ... ?
    KWAMBA baada ya bibi mmoja kumtoroka mme wake, huyu, aliwahi kupeleka mashtaki kwenye wakwe wake ? Basi kisha masikilizano, jamaa ya bibi ikaona ni vizuri mme atanguliye kwake na kisha, kama desturi ya asili yao, mke wake atasindikizwa na ndugu, kwa ajili hiyo mamakuu na mama ya mke wakachukua bjia na kumsindikiza bibi huyo.
    Swahili il y a 2 ans
  • Miaka 16 ya Mapinduzi yatimia
    Katika historis ya taifa letu mwezi wa Novemba ni wa lazima sana. Ni katika mwezi huu ndipo sisi Wazairwa tunazoea kufanya sherehe za kimotomoto.
    Swahili publié par MUSEMI KILONDO NKULA il y a 2 ans
  • Je, umesikia ... ?
    KWAMBA jeshi la Muungano linapopambana, macho kwa macho, na jeshi la Bralima katika mchezo wa kabumbu wa kugombania kikombe cha mashindano yasiyokuwa kawaida ni sherki Muungano ilazwe machali ?
    Swahili il y a 2 ans
  • Tangazo la mganga
    Enyi wakaaji wa Goma na wa kandokando, mnajulishwa kama kuna mgnga wa kiasili kutoka Afrika ya Mashariki, kisiwani Zanzibar-Tanzania.
    Swahili il y a 2 ans
  • Walungu: Mchafuko utaisha lini huko Ngweshe ?
    Siku hizi mkoa wa Ngweshe watikishwa vikali na fujo moja kubwa. Fujo hiyo yawatenga Mwamikazi na wakaaji wake na mwenyekiti wa mtaa wa Walungu, ndugu Onauchu.
    Swahili publié par MUSEMI KILONDO NKULA il y a 2 ans
  • Lwiro : Seminari itafayika juu ya afya
    Habari ziazoaminika kutoka biro ya Liwali wa jimbo letu, mwananchi Mwando N'Simba, zinasema kwamba seminari moja maalum itafanyika kunako majengo ya IRS/Lwiro.
    Swahili publié par MUSEMI KILONDO NKULA il y a 2 ans
  • Mkutano wa kamati ya Chama jimboni umemalizika
    Siku ya pili tarehe 3 mwezi huu, kazi za mkutano maalum wa kamati ya Chama cha Mapinduzi katika jimbo zimemaliza. Kama ilivyo desturi mwananchi Mwando N'Simba, mkuu wa tawi la Chama katika jimbo letu amesimamia binafsi mkutano ule.
    Swahili il y a 2 ans
  • Dawa ya kuponya ukoma imevumbuliwa ?
    Habari zinazoaminika ambazo zilichapwa katika gazeti "Nap _ Nouvelle Agence de Presse" zahakikisha kwamba, kamati ya waganga wa Umoja wa nchi huru ulimwenguni wahusikao na kitoa cha uta ufuta wa kiganga ...
    Swahili il y a 2 ans
  • Waganga wa Rwanda na Zaïre walikutana
    Siku hizi, waganga wa nchi huru na jirani za Rwanda na Zaïre walikutana katika Hoteli Residence ya Bukavu. Shabaha muhimu ya kukutana kwa waganga hao ilikuwa ya kutafuta majawabu kwa kukomesha magonjwa nanayoangamiza vikali wakaaji wapatikanao mipakani mwa nchi za Rwanda, Burundi na Zaïre.
    Swahili publié par André Bisimwa L-B. Tserou il y a 2 ans
  • Bukavu : Vilema wamepewa zawadi ya zaïre elfu tatu
    Siku zilizopita tuliwatukaza mjini Bukavu ndugu zetu vilema. Baada ya mapambono ya kandanda yaliyoendeshwa kwa jimbo la Kipu aliye kuwa kwa muda, mwananchi Lokomba Kumuadeboni walitoa kwa ndugu zetu vilema zaire elfu tatu.
    Swahili publié par Bujiriri Mwangaza il y a 2 ans
  • Kwako bibi : Weka dawa ya jamaa vizuri
    Dawa ni kitu kizuri lakini kuna WALAKINI ... Na walakini yanyewe yaoneka vibaya. Uzuri wake waonekana kwa hatari ya kufa. Wakati ufe inaponya kabisa magonjwa mbali mbali ambayo yalikuwa yanatutesa kwa muda fulani.
    Swahili publié par Kusinza Nyenyezi il y a 2 ans
  • Je, umesikia ... ?
    KUWA sababu ya kupenda mno feza binti mmoja ambaye kazi yake kubwa ni kuwayawaya popote mikoani akitafuta kuwapevusha wabwana wa wengine alikuwa karibu ya kumuuwisha baba yake mzazi siku ya sita iliyopita ?
    Swahili il y a 2 ans
  • China : Pekin yaomba Wachina waungane
    Katika toleo la tarehe 30 Septemba iliyopita, AZaP imetangaza habari maalum ambazo zahusu mahitaji ya Mheshimiwa Rais wa China (kubwa), Mareshali Ye Jianying.
    Swahili publié par MUSEMI KILONDO NKULA il y a 2 ans
  • Bukavu yampata Komanda mpya
    Lietenan - koloneli Mukuta, mkuu wa kazi za kiaskari katika jimbo la Kivu amemuonya kiserikali Major Tshisungu Katanga kwa kiongozi wa mji wa Buavu ...
    Swahili il y a 2 ans
  • Bukavu : Wavuvi wahesabiwe
    Siku ya tatu tarehe 30 Septemba 1981, mwenye kiti wa mji wa Bukavu, mwananchi Lokomna Kumuadeboni, amekutana na wavuvi wanaokuwa na zoezi ya kuua samaki katika ziwa Kivu.
    Swahili publié par MUSEMI KILONDO NKULA il y a 2 ans
  • Kivu : Wanawake waamshwe
    Mnamo siku ya tano tarehe 2 mwezi huu, kina mama Munyololo Kipene, katibu wa serikali ahusikaye na maisha ya kina mama, na dada katika jimbo letu ameondoka Bukavu na kujieleza Kinshasa.
    Swahili publié par MUSEMI KILONDO NKULA il y a 2 ans
  • Kwako bibi : Wauguzi wa chumba cha uzazi wanauzi
    Watu wote wanajua kama wauguzi wa chumba cha uzazi wana kazi kubwa wana. Daktari, peke yake, anaitika kama wamama hawa wanatumika mingi saana, kwani kuna siku wanatumika usiku pia.
    Swahili publié par Bujiriri Mwangaza il y a 2 ans
  • Kwako bibi : Usiwe mpuuzi wakati wa mimba
    Siku hizi, tuko wenye huzuni kubwa wakati tunapotambua kwamba wengi kati ya wamama wenye kuwa na mimba wamekwisha kuwa wapuuzi sana. Kwa kusema kweli ni jambo la huruma sana kukuona wewe bibi unayekuwa na mimba hautimiza afya kusudi upate kuishi vizuri kwa muda ule wa maisha yako.
    Swahili publié par Bujiriri Mwangaza il y a 2 ans
  • Bukavu : Ruhusa za kujega zitatolewa na mtaa
    Kusudi ya kukomesha hiyo tabia mbaya ya kujenga ovyo na nafasi zisizo nzuri kwa majengo, mkuu wa mji wa Bukavu, alifanya mkutano moja maalum mnamo tarehe 10 Septemba mwaka huu.
    Swahili publié par MUSEMI KILONDO NKULA il y a 2 ans
  • Raïs Mobutu amesema :"Angalisho kwa makanisa nchini"
    Wakati wa kuanzisha kiserikali kazi za mkutano wa tatu wa Kamati kuu ya Chama cha Mapinduzi, mkutano uliofunguliwa siku ya kwanza tarehe 14 mwezi huu, Raïs wa Jamhuri, Muundaji wa Chama chetu, mwananchi Mobutu Sese Seko ...
    Swahili il y a 2 ans
  • RUTSHURU : Nyamilima ni parokia
    Kufuatana na habari kutoka Rutshuru ambazo zimetumwa katika gazeti letu na kiongozi wa mtaa ule, mwananchi Kombozi Masua Bodjoko, inaaminika kwamba kina askofu Ngabu wa diosezi ya Goma anakusudia kugeuza kijiji cha Nyamilima kuwa paroki mpya ya Kanisa katoliki katika wilaya ya Kivu ya Kashazini.
    Swahili publié par MUSEMI KILONDO NKULA il y a 2 ans
  • Goma : Watu 9 walifariki na 5 wa aungua vikali
    Habari kamili toka Goma, nakao makuu ya wilaya ya Kivu ya Kaskazini zahakikisha kuwa, katika jamaa ya wachuuzi wa tatu wa reja wajulikanao hasa kwa jina la "Kaddafi" tisa (kenda) waliteketea kwa moto wa esansi (essence).
    Swahili publié par André Bisimwa L-B. Tserou il y a 2 ans
  • Uhuru wa Namibia wakaribia
    Siku hizi, Afrika nzima _ kuacha tu ile sehemu yake ya Kusini; yaani Jamhuri ya Afrika ya Kusini ambayo yaongozwa bado na Wazungu walio wachache _ yashurulika sana na ujio wa Namibia.
    Swahili publié par MUSEMI KILONDO NKULA il y a 2 ans
  • Kwako bibi : Sikia ukomo wa biro yenye kuhusika na maisha yako
    Ni kweli kuwa wengi kati yetu wangali bado wakiljiuliza mafaa gani itakayowaletea hiyo biro mpya iliyofunguliwa nchini mnamo tarehe 4 Februari mwaka huu kufuatana na wazo lililotolewa na Mheshimiwa Rais wa Jamhuri yetu, mwananchi Mobutu Sese Seko.
    Swahili publié par Kusinza Nyenyezi il y a 2 ans
  • Je umesikia ... ?
    KWAMBA mwendo wa wabinti na vijana wengi wa Kadutu uhazia kuharibika siku hizi sababu ya yale maonyesho ao michezo ya sinema ambayo huyo padiri mgeni (mzaliwa wa ... huko Ulaya ya Magharibi) anazoea kila mara ?
    Swahili publié par JUA il y a 3 ans
  • Mwenga : Usultani wa Burhinyi wamrudilia Bashengezi
    Mfilozofia mmoja amesema hivi : "Japokuwa watu hupenda kukolokanisha mambo ao maneno fulani juu ya kujifurahisha, ni azima ukweli upate kushinda mwisho wake". Haya maana ya wazo lake yaonekana wazi kisha uchunguzi wa hali ya kitisho iliyokuwa ikivuma huko Burhinyi; uchunguzi uliofanywa kwa utaratibu na wakuu wa jimbo ambaowalitolewa mashauri na wakuu wa serikali ...
    Swahili publié par MUSEMI KILONDO NKULA il y a 3 ans
  • Uvira : Mwananchi Ndaye wa Luvungi amekwisha kazi kwa muda
    Mnamo tarehe 20 Agosti 1981, mwenyekiti wa mtaa wa Uvira alimuachisha kazi kwa muda wa miezi miwili kiongozi wa mkoa mdogo wa Luvungitara, mwananchi Ndaye Kimbumbu Mutahonga wa pili.
    Swahili publié par MALIYABWANA Mwin'Anu il y a 3 ans
  • Wapima nyama sokoni wanafia feza
    Siku hizi wakuu wa serikali wafanya vyote wawezawyo kusudi ya kuweza kuinua maisha ya makaji. Ni katika mpango ule njo serikali yakusudia kukomesha kabisa ule wizi wa feza za serikali ambao ulikuwa ungali bado ukifanyika na watumishi wengi wa serikali pamoja na wale wenzao ...
    Swahili publié par MUSEMI KILONDO NKULA il y a 3 ans
  • Wamama wachuuzi wameunda kamati yao
    Tarehe 27 Agusti mwaka huu, katika chumba cha mikutano za Chama, chumba kinachopatikana Kadutu, wamama wachuuzi wa mji wa Bukavu walikutanana humo siku ile kusudi ya kuunda kamoti ya shirika lao.
    Swahili publié par Kusinza Nyenyezi il y a 3 ans
  • Bei ya samaki itapunguzwa kabisa
    Kwa upande wake, mwenye kiti wa mtaa wa Uvira, mwananchi MIRINDI BULEFU alisimamia mnamo siku zilizopita mkutano moja wa kiuchumi ambamo alihuzuriwa na naibu wake, mwananchi KITABA SALEH pamoja na uchumi pia mchunguzi wa bei za biashara katika wilaya ya Kivu ya Kusini ...
    Swahili publié par MUSEMI KILONDO NKULA il y a 3 ans
  • UVIRA : Kilalo cha Kimanga kitajengegwa tena
    Siki hizi, mwenyiekiti wa wilaya ya Kivu ya Kusini, mwananchi NGILO Vangula anakusudia kuandisha kazi za ujenzi wa kilalo cha Kimanga ambacho chaunganisha sehemu za Mulongwe na makao ya wakuu wa serikali mjini Uvira.
    Swahili publié par MUSEMI KILONDO NKULA il y a 3 ans
  • UGANDA : Wapinzani wa Rais Obote hawajachoka
    Siku hizi, radio ya Ujerumani Magharibi ilitangaza kuwa, wapinzani wa Rais Milton Obote nchini Uganda hawajachoka bado: ilitangazwa hivyo baada ya kuona kama kundi lingine la askari wafuazi wa Idi Amin Dada walitoka tena porini na kushambulia kituo kimoja cha askari polisi.
    Swahili publié par MUSEMI KILONDO NKULA il y a 3 ans
  • Bukavu : Gari la kusomba "Kasigisi" limeanguka Kadutu
    Siku ya mungu, tarehe 9 mwezi huu, msiba wa gari ulitukia katika barabra ya kuondoka kunako panda, njia ipatikanayo mbele ya Kanisa la waprotestanti na kwenda pande za mkoa wa Tshimpunda katika mtaa wa Kadutu.
    Swahili publié par MUSEMI KILONDO NKULA il y a 3 ans
  • Je, umesikia...?
    KWAMBA Regideso ni yenye kushindwa sasa na kazi yake ? Siku hizi wakaaji wa Bukavu hunungunika vikali sababu ya kuona hali chafu ya maji yenye Regideso iko inawatolea.
    Swahili il y a 3 ans
  • Kinshasa: Mwananchi Kimpanga atasambishwa
    Kisha mkutano wa mawaziri uliofanyika siku ya tano tareheh 7 mwezi huu, mkutano uliondeshwa chini ya uongozi wa Mheshimiwa Baba wa Taifa; Jemadari Mobutuu Sese Seko, msemaji wa serikali aliye pia waziri wa upashaji habari ...
    Swahili publié par MUSEMI KILONDO NKULA il y a 3 ans
  • Rwanda: Uchaguzi wa wateule watayarishwa
    Habari kutuka Kigali, mji mkuu wa Jamhuri ya Rwanda, habari ambazo zilihakikishwa baada ya mkutano wa serikali ya ile, Mheshimiwa Rais Juvenal Habyarimana, afanya siku hizi matembezi yake ya kiserikali katika majimbo mbali mbali.
    Swahili il y a 3 ans
  • Gambia: Rais Jawara amekwisha okoa kiti chake
    Kwa ajili ya msaada aliotolewa na serikali ya Senegal, Rais Dauda Jawara wa Jamhuri ya Gambia, amekwisha okoa madarakA yake. Kwa sasa anapatikana Banjul, mji mkuu ambako iko anafanya juhudi za kurudisha usalama wa wakaaji na nchi zao.
    Swahili publié par MUSEMI KILONDO NKULA il y a 3 ans
  • Angalisho na malaria !
    UGONJWA huu wazidi kuleta vifo vingi katika nchi nyingi za Afrika. Sio Afrika tu ishambuliwayo na ugonjwa huu bila pia nchi nyingine za Asia na Amerika.
    Swahili publié par KIONGOZI il y a 3 ans
  • Bukavu: Mkuu wa mji anaomba bei zipunguke
    Siku hizi, hali ya maisha imekwisha badilika kabisa katika mji mkuu wa jimbo letu. Pahali pa kusonga mbele, maisha yanazidi kurudi nyma.
    Swahili publié par MUSEMI KILONDO NKULA il y a 3 ans
  • je, umesikia... ?
    KWAMBA kilema cha wizi kimekwisha komaza mzizi yake katika kijiji cha Mulonge-Kaundji katika mkoa mdogo wa Bunyakiri. Sababu gani ? Kwani kiongozi wa kijiji hicho awaunga mkono wevi.
    Swahili il y a 3 ans
  • Kabare : Wahimizaji wa chama wanakusanyika Lwiro
    Kama ilivyotangazwa kiserikali katika siku zilizopita, wahimizaji wa Chama katika jimbo la Kivu wanakusanyika leo kunako tawi la Kivu wanakusanyika leo kunako tawi la shirika la kiserikali ambalo ...
    Swahili publié par MUSEMI KILONDO NKULA il y a 3 ans
  • Walungu : Sikukuu ya Mubande imefanyika
    Wasomaji wataturuhusu hapa kuwatolea machache juu ya sikukuu ya "Mulande" iliyofanyika tarehe 26 julay mwaka huu katika mkoa wa Ngweshe, mtaa wa Walungu
    Swahili publié par MUSEMI KILONDO NKULA il y a 3 ans
  • Mwenga : Jumba la serikali limezinauliwa pa kamituga
    Siku ya pili tarehe 28 julay 1981, wahamapinduzi wa Kamituga wanonekana wenye kicheko mdomoni wakati walipotukana wote kama vile watoto wa mtu mmoja vile ?
    Swahili publié par MALIYABWANA Mwin'Anu il y a 3 ans
  • Kwako bibi : Usiwe kiwele-wele !
    Wakati tunapotembea katika mikoa ya mji wetu, tuko tunasikia mambo mengi yenye kusemwa na wakaaji. Kati ya mambo ama maneno yale kuna, kwa mtano ...
    Swahili publié par André Bisimwa L-B. Tserou il y a 3 ans
  • Homa kali ya siasa imetikisa pia nchi za Ulaya na zile za Mashariki ya Kat
    Natumaini kama wakubwa wa "Jua" watanipatia nafasi ndogo ili nipate kuwatolea mawazo machache hao wasomaji wa Gazeti hii ambao wengi bado walinisoma katika HODI mara ya kwanza mwezi wa saba katika mwaka 1956 !
    Swahili publié par Balozi Kititwa B.T. il y a 3 ans
  • Je, umesikia ...?
    KAMA Regideso inaanzatena "iwake" ? Zaidi ya jambo lile kuwatoleaw akaaji maji machafu, Regideso inaanza tena kuwatumia tena "factures" zake za ajabu.
    Swahili il y a 3 ans
  • Kwako bibi : Leo uko ngumba kesho utakuwa mzazi
    Ikiwa hatudanganyike tumekwisha zugumza nawe juu ya mambo mengi katika kipindi hiki ambacho gazeti letu limekutolea ili upate kutoa maoni yako juu ya mambo uliyokwisha sikia.
    Swahili publié par MUSEMI KILONDO NKULA il y a 3 ans
  • Liwali wa Kivu amemkokota kiongozi wa ONL masikio
    Katika juma hii, Liwali wa jimbo letu la Kivu, mwancnhi Mwando Nsimba, alimpokea kwa mazungumzo kiongozi wa tawi la Shirika la liserikali linalohusika na kazi za kuwapangisha wakaji mikoani katika nyumba za Shirika hilo linalojulikana hasa kwa kifupi cha "ONL"katika kifaransa.
    Swahili publié par MUSEMI KILONDO NKULA il y a 3 ans
  • Hali ya maisha katika jimbo imefanyika
    Kuhusu uchumi, wakuu wao wawili walitambua kwamba kufanya kwa bidii kabisa kazi bora za mlimo wa mashamba.
    Swahili publié par MUSEMI KILONDO NKULA il y a 3 ans
  • Zahabu itaanza kuuzishwa kiserikali jimboni
    Siku hizi, katibu mkuu wa serikali anayeshurulika na uongozi bora wa kazi katika wizara ya kazi za kuchimba madini, mwananchi Elongo Pene Ongala, apatikana jimboni.
    Swahili publié par MUSEMI KILONDO NKULA il y a 3 ans
  • Kwako bibi : Lugha gani kusimulia katika jamaa ?
    Zamani, ulizo hilo halingeweza kuwa na maana yoyote kwani familia zilikuwa zikishi katika vijiji vyao vya asili ukoo kwa ukoo. Wakati nuo, watu wote walikuwa nafazimishwa kusimuliavema lugha ya mababu wao wababu hawakuwa nakutana sana na watu wa makabila mengine ao kuishi nao.
    Swahili publié par MUNYOLOLO KIPENE il y a 3 ans
  • Serikali yakusudia kukomesha ule moyo wa kuombaomba kituliro
    Siku hizi, watumishi wa serikali wamekwisha ambukiwa na tabia chafu ya kuombaomba kituliro mbele ya kufanya kazi fulani.
    Swahili il y a 3 ans
  • Wajemadari Boteti na Itambo wamerudishwa kazini
    Habari zinazoaminika kutoka Kinshasa mji kuu wa Jamhuri ya Zaïre zinaeleza kwamba Mheshimiwa Baba wa taifa, Rais wa Jamhuri, Jemadari Mobutu Sese Seko, amechukua siku hizi hatua ya kutengeneza vizuri uongozi wa majeshi yote ya askari halali nchini.
    Swahili il y a 3 ans
  • Askofu Dhejju ndiye mkombozi wa askofu Catarzi wa Uvira
    Kulingana na hatua iliyochukuliwa na kutangazwa kiserikali na Baba Mtakatifu wa Roma, Yoane Paulo w Pili, mwananchi Dhejju alitajwa kuwa askofu mpya wa diosezi wa Uvira.
    Swahili il y a 3 ans
  • Kinshasa : Serikali yawaalika wale watumishi
    Mkutano wa serikali uliendeshwa chini ya uongozi wa waziri mkuu, mwananchi Nsinga. Kisha kuzunumza juu ya mamo yanayoelekekea maisha ya kijamii ...
    Swahili il y a 3 ans
  • Unicef yashurulika na ujenzi wa vijiji
    Baada ya masimulizi aliyofanya na Liwali Mwando Nsimba, Bwana Vogel, kiongozi wa tawi la "UNICEF" ambalo lahusika na kazi ya vijiji katika majimbo ya Kivu na Zaïre ya Juu ...
    Swahili il y a 3 ans
  • Je, Umesikia ...?
    KAMA watumishi matumishi kunako mkange (Barrière) wa Kamanyola wamekwisha kuwa sawa wa malaya ? Kila mara wanapoona gari kufika pale wao wanaishambulia sawa vile nzige. Ukomo wao sio kwelikuwachungua wasafari na mizigo yao bali kuomba wasafiri makuta.
    Swahili il y a 3 ans
  • Kwako bibi : Wanawake wengi ni msingi wa fujo
    Katika asili yetu, mababu walikuwa wanaruhusu mme fulani kuoa wanawake wawili ao zaidi kufuatana visa vilivyokuwa vikiwasukuma.
    Swahili il y a 3 ans
  • Kishasa : Vipofu watajengewa masomo makubwa ya kisasa
    Habari kamili toka Kishasa zaeleza kuwa, Baba wa taifa Mobutu Sese Seko aliwatolea ndugu zetu vipofu wa chuo cha "Mama Mobutu" mjini Kinshasa zawadi ya kiasi cha zaïre milioni moja.
    Swahili il y a 3 ans
  • Bei yapingwa sokoni na katika vilabu
    Kulingana na kibarua cha Liwali wa jimbo la Kivu, Mwananchi Mwando Nsimba kuhusu hali ya vifaa mbali mbali kama vile chakula na vivi hivi mjini wa Bukavu, Mwananchi Lokomba Kumuadeboni aliyetangaza kibarua hicho kiserikali mnamo siku ya pili tarehe 14 julay ...
    Swahili publié par MUSEMI KILONDO NKULA il y a 3 ans
  • Bukavu : Liwali Mwando anakataa malipo ya "O.N.L." yapandishwe
    Siku ya kwanza tarehe 13 julay 1981, mwanasiasa Liwali Mwando Nsimba alichukua hatua katika kibarua chake namba 01/1822 alimowakataza kabisa wakuu wa shirika la "ONL" wasijaribu hata kidogo kwa sasa kupandisha malipo ya nyumba zao.
    Swahili publié par MALIYABWANA Mwin'Anu il y a 3 ans
  • Zaïre imepata mkopo wa miliarni moja ya dolari za Arika
    Tawi la Banki kuu ya dunia ambalo lashurulika na kazi ya kutolea mataifa yaliyo bado maskini mikopo ya feza, kwa kifupi "F.M.I." (Fond Mondial International) limekopa taifa letu miliardi ka.
    Swahili il y a 3 ans
  • Zaïre 15.600 zimetolewa kwa vilema
    Kama vile tunavyofahamu sisi wote, Umoja wa mataifa huru ulimwenguni unatanaza kwamba mwake huu tunao ni wavilema. Hii ni kusema kama kila mmoja wetu amealikwa kushurulika zaidi na nafsi ya kila ndugu aliye kilema.
    Swahili publié par MUSEMI KILONDO NKULA il y a 3 ans
  • Je, umesikia... ?
    KWAMBA kijana wa mtaa wa Kadutu amekwisha patwa na ugonjwa wa wazimu ? Wakati unapokutana naye njia ni utamsikia akieteza kama chanjo la ugonjwa wake ni mwendo mchafu wa mkubwa wake. Huyu anawaachilia sana.
    Swahili il y a 3 ans
  • Wabibi hawapendi unyumba wa mikoshi
    Jua mpenzi, upendezwe kutangaza barua yangu hii katika ukurasa wetu wa Neno la wasomaji. Ukomo wangu kamili ni kupata mwanga wako kuhusu jambo la kuvunjwa kwa ndoa nyingi katika mkoa wetu wa Wanyanga.
    Swahili il y a 3 ans
  • Kwako bibi : Yafaa kuwa msafi kila siku
    Mazungumzo yetu yataelekea hali unayopashwa kuwa nayo wakati unapokuwa sasa mama wa jamaa. Ni jambo la kusikitisha sana wakati unapoona wabibi wengi wanabadilisha tabia zao mzuri walizokuwa nazo wakati wa ubinti wao.
    Swahili publié par MUNYOLOLO KIPENE il y a 3 ans
  • Mama mazazi wa miaka 10!
    Ajabu ! Habari kutoka Venezuela katika Amerika ya Kusini zajulisha kuwa, binti mmoja, Carmen Escalona mwenyi umri wa miaka 10 alijifungua kitoto kiume chenyi uzito wakiilo 2,600 mjini Guarare.
    Swahili il y a 3 ans
  • Maelezo ya jemadari Mobutu
    Kama ilivyokusudiwa na kutangazwa katika magazeti na redio, Jemadari Mobutu Sese Seko alisimamia mkutano wake wa kiraia mnamo tarehe 30 Juni kunako kijiji cha wavuvi pa Kinkole ...
    Swahili publié par MALIYABWANA Mwin'Anu il y a 3 ans
  • Mwanga juu ya hatua zilizochukuliwa na serikali
    Siki hizi tuko tunaishi katika kipindi kipya cha Mapinduzi yetu. Kwa kusema kweli, magumu tunayoishi leo yamekwisha pita mipaka.
    Swahili il y a 3 ans
  • Je, umesikia ... ?
    Kama bibi mmoja wa Kinshasa ambaye iko ngumba ameiba mtoto mchanga katika "maternite" ya Mama Yemo ?
    Swahili il y a 3 ans
  • Kwako bibi : Tufanyeje wa kuwaokoa wabinti wetu ?
    Dunia ya leo sio ya jana mambo mengi yamekwishageuka mwendendo wa wabinti wetu umekwisha badilika na kuwa mbaya zaidi.
    Swahili publié par MUNYOLOLO KIPENE il y a 3 ans
  • Je, Umesikia ... ?
    KWAMBA watu huzoea kusema mtu akiisha wina hawezi kuiba. Katika juma hii, kumetukia jambo moja ambalo limeonyesha kinyume cha maneno yale tumekwisha kumbucha hapo juu.
    Swahili il y a 3 ans
  • Kinshasa : Uhusiano kati ya Uganda na Zaïre wadumishwa
    Bwana Tawungwa, waziri wa Jamhiri ya Uganda ausikae na ushirikiano (coopération) alirejea Kampala baada ya kuuongoza ujumbe wa nchi yake katika matayarisho ya mkutano mkuu uliozikusanya nchi za Uganda ...
    Swahili il y a 3 ans
  • Bukavu : Siku ya mwizi ni ...
    Tangu muda wa siku nyingi sasa wakuu wa shirika "Breski" la Bukavu Alikuwa tayari kujiongoa nywele sababu ya kuvumbua mwizi aliyekuwa aki waiba kila mara vibweta vya rangi na masanduku ya vio.
    Swahili il y a 3 ans
  • Goma : Mkutano wa pili wa Benki ya maendeleo ya nchi za maziwa umekoma
    Siku ya tatu tarehe 10 na siku ya nne 11 Juni tunayo, mkutano wa pili wa Banki ya maendeleo ya nchi zipatikanazo kando kando ya maziwa makuu umeendeshwa Goma mjii mkuu wa wilaya ya Kivu ya Kashazini.
    Swahili il y a 3 ans
  • Goma : Mipango mipya ya kuchungua vema hali kamili ya milima ya moto imechukuliwa
    Kundi moja maalum linoundwa na wataalam wawili kutoka Japani, bwana Mukarani na bwana Kachongo na wale wa chumba cha "IRS Lwiro" chini mwetu wapatikana katika wilaya ya Kivu ya Kashazini kwa kusimika vyombo ...
    Swahili il y a 3 ans
  • Bukavu : Balozi wa Nigeria inchini alitembelea Kivu
    Tangu siku ya pili tarehe 9 mpaka siku ya tano tarehe 12 Juni 1981, balozi wa nchi ya Nigeria nchini Zaïre, bwana NNOCHIRI, alikuwa mjini Bukavu.
    Swahili il y a 3 ans
  • Uhariri : Kuna kitu kitakachobadilika
    Kufuatana na makusudio ya lazima yaliyochukuliwa na Kamati Kuu ya Chama chetu cha Mapinduzi; makusudio yaliyotangazwa wazi wazi siku ya pili tarehe 9 mwezi huu, wakaaji wa Kivu ...
    Swahili publié par JUA il y a 3 ans
  • Bukavu : Serikali imekwisha wavumbua watumishi wasio wa kueli 703
    Kisha uchunguzi uliofanyika na serikali katika mji wa Bukavu mnamo siku zilizopita (yaani mwezi wa Aprili mwaka huu) watu 703 waliokuwa wakilipwa mishahara na serikali ijapokuwa hawakuwa wanamtumikia wamekwisha vumbilia.
    Swahili publié par MUNYOLOLO KIPENE il y a 3 ans
  • Flambeau ya Baraka ilifika kutembea
    Baada ya mchezo wa kabumbu uliowapambanisha wanafunzi wa Nyangezi na wenzao wa Kadutu kwa muda wa dakita 90, wachezaji wa C.S. Bralima/BR ya Bukavu na wapinza wao wa F.C. Flambeau kutoka Baraka katika mtaa wa Fizi waliokuwa kujionya mbele ya wahuzuriaji ili wapate kupima mizani yao uwanjani.
    Swahili publié par André Bisimwa L-B. Tserou il y a 3 ans
  • Kwako bibi : Ni kuendelea ao ujinga ?
    Tangu mwaka 1975 mpaka mwaka 1985 yalitangazwa kuwa wakati wakushurulika zaidi na maendeleo ya hali ya kina mama popote duniani, nchi nyingi zafanya nguvu yao yote ili hao wapate dunia ...
    Swahili publié par MUNYOLOLO KIPENE il y a 3 ans
  • Kwako bibi : Ni kuendelea ao ujinga ?
    Tangu mwaka 1975 mpaka mwaka 1985 yalitangazwa kuwa wakati wakushurulika zaidi na maendeleo ya hali ya kina mama popote duniani, nchi nyingi zafanya nguvu yao yote ili hao wapate dunia ...
    Swahili il y a 3 ans
  • Tangazo la kifu
    Mwananchi MUHYAHYA RUKWIRA, mtumishi wa shirika "LA PRESSE ZAIROISE" mjini Bukavu, anayo uchungu mkubwa moyoni mwake ya kutangaza kifo cha mkuwe mpenzi mwa RUBANGIZA.
    Swahili il y a 3 ans
  • Rais Mobutu alisema
    Mzairwa mwenye zamiri ngema anapashwa kuepukwa uvivu kwani wamgeuza mpuunzi, mwongo na mwizi, vitendo vibaya vinavyomzaraulisha.
    Swahili il y a 3 ans
  • Gbadolite : Rais Mobutu aliwapokea wenzie Obote na Nimeiry
    Baada ya kubaki muda mchache mjini Bangui ambako alikutana na mwenzie David Dacko wa Jamhuri ya Afrika ya Kati, Rais Mobutu Sese Seko aliwapokea Gbadolite wenzie Milton Obote wa Uganda na Gaafar El Nimeiry wa Sudan.
    Swahili publié par MALIYABWANA Mwin'Anu il y a 3 ans
  • Fizi : Mutunwa Lunda Lwaga ameua watu 3 wa Makobola
    Usiku wa siku ya tano tarehe 29 kuamikia ule wa siku ya sita tarehe 30 Mayi 1981, wakaaji wa kijiji cha Makobola, katika mtaa wa Fizi, walishushwa pande za saa kumi za usiku kwa vigelele na vilio toka popote katika nyumba za majirani wao.
    Swahili publié par MALIYABWANA Mwin'Anu il y a 3 ans
  • Bakisi-Mwega : Liwali Mwando atawatumia wakaaji madawa
    Baada ya kuzungumza na kiongozi wa chumba kihusikacho na maisha bora ya wakimbizi katika majimbo ya Zaïre na Juu ya Kivu, Bwana Pierre Adouvo aliyemueleza mengi kuhusu ...
    Swahili publié par MALIYABWANA Mwin'Anu il y a 3 ans
  • Papa amekwisha pona
    Kufuatana na habari kutoka Roma ambazo zimetagazwa na radio nyingi za kigeni, inaaminika kwamba Baba mtakatifu, Yohane Paulo wa pili, apatikana nyumbani mwake Vatica tangu siku ya nne tarehe 4 mwezi huu.
    Swahili publié par MUSEMI KILONDO NKULA il y a 3 ans
  • Algeria : Jina za miji zitabadilishwa
    Habari kutoka Alger, mji mkuu wa Jamhuri ya Algeria, zinaeleza kwamba, waziri wa mambo ya ndani alichukua hatua muhimu ya kubadilisha majina ya miji mbali mbali nchini humo.
    Swahili il y a 3 ans
  • Katibu mkuu wa mambo ya kijamii akusudia kuinua maisha ya wakaaji nchini
    Tangu siku ya sita tarehe 30 Mayi mpaka siku ya tatu tarehe 3 juni, Katibu mkuu wa mambo ya kijamii nchini, kina mama Kashemwa Laini Nyota alikua katika ziara ya kiserikalini ....
    Swahili publié par MUNYOLOLO KIPENE il y a 3 ans
  • Kwako bibi : Tama ya mno si vema kwa mama wenye ndoa
    Wangwana walisema kwamba kuku hula kadiri ya mdomo wake. Tunasema hivyo sababu tutachugua katika mistari ifatayo vinyume vikali vinavyoletwa na tamaa ya mno hasa kwa kina mama wenye ndoa.
    Swahili publié par MUNYOLOLO KIPENE il y a 3 ans
  • Rais Mobutu alisema
    Inafaa watu wema watukuzwe na kupewa zaidi na zawadi na wale wabaya wazidi kuazibiwa vikal ...
    Swahili il y a 3 ans
  • Rutshuru : Nani atakomesha wizi wa pembe za tembo
    Kila mmoja wetu ni mwenye kujiuliza sasa kama ndugu zetu wageni toka nchi mbali mbali za Afrika nchini mwetu Zaïre katika ukomo wa kuharibu uchuli wa taifa letu.
    Swahili il y a 3 ans
  • Mwananchi Djoho Tayeta alizungumza na washauri mjini
    Siku ya pili tarehe 26 Mayi 1981, Makamu wa Liwali ahusikaena mambo ya Chama, mwananchi Djoho Tayeta alizungumza kikazi na washauri 26 wa mitaa na wilaya ya mji wa Bukavu ...
    Swahili il y a 3 ans
  • Jumba pya la uzazi limezinduliwa
    Mnamo tarehe 20 Mayi iliyopita tuliposhangilia miaka kumi na nne ya siku kuu ya ukumbusho wa kuundwa kwa Chama chetu cha Mapinduzi, jumba mpya la uzazi kwa kina mama limezinduliwa kunako hospitali kuu mjini Bukavu.
    Swahili publié par MUNYOLOLO KIPENE il y a 3 ans
  • Kadutu : Wakati wa kuomba viwanja umekwisha
    Mwezi wa tano Mayi 1981, mkutano wa kamati ihusikayo na kazi za uchunguzi wa ujenzi wa nyumba katika mtaa wa Kadutu ulifanyika chini ya uongozi wa makamu wa mwenyekiti wa mtaa huo, mwananchi Musole Maharaza Nyabangere.
    Swahili il y a 3 ans
  • Liwali Mwando amewachukulia wahuni hatua kali
    "Tangu sasa, hakuna huruma yoyote kwa watenda maovu". Amehakikisha Liwali Mwando Nsimba katika hotuba yake maalum aliotamka siku ya pili tarehe 19 Mayi 1981 mbele ya wanachama wa mitaa mitatu ya mji wa Bukavu ...
    Swahili il y a 3 ans
  • Afia bora ndio yaleta maendeleo
    Kulingana na mpango wa Umoja wa mataifa huru alimwenguni, miaka makumi matatu kisha nchi npingi za Bara la Afrika kupata uhuru, imetngazwa na kujulisha kuwa maendeleo yazidi kufanyika.
    Swahili il y a 3 ans
  • Kwako bibi : Kutumia "biberon" kwaweza kuleta magonjwa ya hatari
    Siki hizi, magazeti, radio na mazungumzo mengi popote duniani yafanya vyote ili kuwasikilizisha raia vinyume vikali vya matumizi ya "Biberon" kwa watoto wazaliwa.
    Swahili publié par MUNYOLOLO KIPENE il y a 3 ans
  • Kombe za timu bingwa (CACC) : AS Vita Club ilichapa Silures 1-0 Canon de Yaounde na ASEC d'Abidjan 0-0
    Baada ya matayarisho muhimu mjini Kishasa, timu bingwa la Zaïre, AS Vita Club ilimchapa FC Silures, jeshi bingwa la Volta ya Juu kwa goli moja kwa sifuri (1-0). Mchezo huo uliendeshwa pa Bobo Dioulasso. Goli hilo lilitandikwa na mwhezaji maarufu Bobutaka.
    Swahili publié par André Bisimwa L-B. Tserou il y a 3 ans
  • Kombe la Zaïre : OC Muungano ilimtoa CS Bukavu-Dawa 5-3
    Katika mapambano ya kandanda ya kugombea kombe la Zaïre, timu maarufu (grandes équipes) nchini mwetu zilona nyota mbele ya zile wanazoita kuwa ndogo (petites équipes).
    Swahili publié par André Bisimwa L-B. Tserou il y a 3 ans
  • Ushahiri : Kovu la milele !
    Kila tarehe 11 Mayi, ninapatwa na makiwai Ni kovu bichi na la milele maishani mwagui Tarehe hiyo, nilipotelewa
    Swahili publié par MALIYABWANA Mwin'Anu il y a 3 ans
  • Zaïre yakusudia kuinua kabisa uchumi wake
    Tangu tarehe 16 mpaka 18 Marsi 1981, mkutano moja maalum uliwakutanisha pamoja mjini Paris, makao makuu ya mchi ya Ufaransa wakuu na wataalam wa jamhuri za Ufaransa na Zaïre.
    Swahili publié par NAP il y a 3 ans
  • Rais Mobutu alisema
    Hakuna hata mwananchi moja anayeweza kujiruhusu kuwatisha au kuwagopesha wananchama na wakaaji wengine, akusingizia na kujidai kuwa ...
    Swahili il y a 3 ans
  • "DCMP"/Kivu imepokea toni 5 ya "penicilline"
    Siku ya tatu tarehe 13 Mayi mwaka huu, Liwali wa Jimbo la Kivu, mwananchi Mwando Nsimba, alimpokea chumbani mwake mwa kazi mganga mkuu kwa mda jimboni, mwananchi Mutombo.
    Swahili il y a 3 ans
  • Zaïre-Angola : Mahusiano bora yazidi kudumisha
    Siku ya tatu tarehe 13 Mayi 1981 wakati wa asubuhi, Muundaji wa Chama cha Mapinduzi, Rais wa Jamhuri, Jemadari Mobutu Sese Sesko liongoza ulumbe moja maalum mjini Luanda, makoa makuu ya Jamhuri ya kiraia ya Angola.
    Swahili il y a 3 ans
  • Liwali Mwando aomba "SNCZ" na "AIR ZAIRE" ziheshimu wasafiri
    Liwali Mwando akusudia na moyo wake wote kuinua maisha ya kijami ya wakaaji wote wa jimbo la Kivu. Ni hivi siku ya nne tarehe 14 Mayi 1981, alizungumza na mwenyekiti wa mji wa Bukavu, mwananchi Lokomba Kumuadeboni, pamoja na vyongozi wa vyumba vya serikali ...
    Swahili il y a 3 ans
  • Kwa nini kutaka kumuua Papa Paulo wa Pili ?
    Ulimwengu mzima ulishtuka na kujiuliza eti : "dunia inaenda wapi ?". Kushtuka huko kwatokana na habari mbaya iliyotangazwa Roma kusikia kama mrugaruga Mehmed Ali Agea, mzaliwa Turkia, aliejaribu kumuua kwa bunduki siku ya pili, tarehe 12 Mayi 1981 Papa Yoane Paulo wa Pili.
    Swahili publié par MALIYABWANA Mwin'Anu il y a 3 ans
  • "M.P.R." ndio ustaarabu wa taifa !
    Kesho tarehe 20 Mayi 1981, tutasherehekea sikukuu ua ukumbusho wa miaka kumi na nne tangu kuundwa kwa Chama chetu cha Mapinduzi. Chama cha Mapinduzi chatueleza nini?
    Swahili publié par JUA il y a 3 ans
  • Umuhimu wa Chama cha Mapinduzi
    Tarehe 12 Desemba 1965, wanachama maelfu mjini Kinshasa walikusanyika pamoja katika uwanja wa mpira wa tarehe 20 Mayi ili kufuata kwa karibu hotuba na mafasirio kamili yaliyomtakwa na kutolewa na Jemadari Mobutu Sese Seko siku hiyo.
    Swahili il y a 3 ans
  • Kwako bibi : Usiwatese bure watoto wa mme wako
    Mazungumzo yetu ya leo yataelekea kina mama anayewatesa bure watoto walioachwa na mke mwenzake.
    Swahili publié par MUNYOLOLO KIPENE il y a 3 ans
  • Ujapani yakusudia kuacha uuzaji wa gari zake nchini Amerika
    Habari yenye kuaminika toka Tokyo, mji mkuu nchini Ujapani, zahakikisha kwamba, serikali imekusudia kuacha uuzaji wa gari nchini humo kwa shirikisho la Amerika muda wa miaka minne.
    Swahili publié par MALIYABWANA Mwin'Anu il y a 3 ans
  • Kindu : Mwananchi Makolo alitoa mwanga kuhusu kazi za serikali
    Kama alivyokwisha fanya popote katika mawilaya ya Kivu ya Kaskazini na Kivu ya Kusini, naibu wa Liwali wa Kivu ahusikae na kazi za serikali, mwananchi Makolo Jibikilay alisimamya mkutano wa kikazi mjini Kindu ...
    Swahili publié par MALIYABWANA Mwin'Anu il y a 3 ans
  • Bujumbura : Mkutano wa lazima ulifanyika kati ya Zaïre na Burundi
    Siku hizi, mkutano moja wa lazima kabisa ulitanyika mjini Bujumbura, makoa makuu ya Jamhuri ya Burundi nchini ya mamizi wa waziri rundi anusikae na mambo nje pamoja ...
    Swahili publié par MALIYABWANA Mwin'Anu il y a 3 ans
  • Kinshasa : Rais Mobutu alizungumza na wasaidizi wake katika chama na serikali kuhusu kilimo
    Siku ya pili tarehe 5 Mayi mwaka huu, Baba wa taifa, Jemadari Mobutu Sese Seko alizungumza kikazi na wabunge pamoja na mawaziri mjini Kiwhasa.
    Swahili publié par MALIYABWANA Mwin'Anu il y a 3 ans
  • Hakuna mtu wa bure mbele ya mwengine
    Siku ya Mungu tarehe 3 May 1981, kipofu mmoja mwananchi Kabakaba alifunga ndua ya kikristu mjini Kinshasa na binti mmoja aitwae Isina.
    Swahili il y a 3 ans
  • Uchuli na maisha bora ya kijamii
    Uchumi, maisha bora ya kijamii, ujenzi, maendeleo, usalama na ukingo wa jimbo letu la Kivu ndio mambo muhimu yaliyoshurulikwa hasa siku hizi na Liwali wa jimbo Mwando Nsimba pamoja na wasasidizi wake popote walipo.
    Swahili il y a 3 ans
  • Watumishi wa serikali hawatumikaki tena ?
    Mara nyingi, kila unapojielekeza katika chumba cha kiongozi fulani ao mtumishi hauwezi kukuta mtu. Utakapouliza utajibiwa kwamba alitoka kwa muda mfupi alipoenda kuitika kwa Liwali wa Kivu (yo !).
    Swahili il y a 3 ans
  • Walioiba feza za serikali waazibuwe !
    Kweli, feza za serikali ziliteketea kwa wizi uliofanywa na wamoja kati ya viongozi katima Chama, serikalini, majeshini, wakuu na walimu wa masomo pamoja na watumishi mbali mbali serikalini waliokuwa wakisikilizana na wale wahusikao na kulinda feza ao kulipa mishahara yao.
    Swahili il y a 3 ans
  • Binti mchana, malaya usiku ?
    Kila mara wakati wa mchana, huwa tunakutana njiani na wabinti wakiwa na mavazi pamoja na mabuku yao ya kianafunzi.
    Swahili il y a 3 ans
  • Mwananchi Lokomba analia kazini mwake ?
    "Dunia haina wema na ni mbaya ? Hapana. Dunia si mbaya, na binadamu ndio wabaya kwani wanachukiana, kutiliana fitina na vivi hivi.
    Swahili il y a 3 ans
  • Rais Mobutu alisema
    Wananchi waliofanya umbalimbali na mapinduzi yetu, sio maadui wangu.
    Swahili il y a 3 ans
  • Padri Dheiju ametajwa kuwa Askofu wa diosezi ya Uvira
    Kulingana na hatua hiliochukuliwa na kutangazwa kiserikali na Papa Paulo wa pili wa kanisa Katolika Takatifu mjini Roma, padri Dheiju ametajwa kuwa Askofu wa diosezi ya Uvira.
    Swahili il y a 3 ans
  • Gisenyi : Mkutano uhusikao na afia kati ya Burundi, Zaïre, na Rwanda utafanyika
    Mkutano zenye kuaminika toka Goma, mji mkuu wa udongo wa wilaya ya Kivu ya kaskazini zahakikisha kwamba, mkutano moja maalum utakaohusika na kujifunza pia kutawanya matunzo bora ya afia katika shirikisho la kiuchumi za nchi zinazopakana kando kando ya maziwa makuu (CEPGL) ...
    Swahili publié par MALIYABWANA Mwin'Anu il y a 3 ans
  • Korti ndogo la kiaskari litasimikwa pa Kamituga
    Habari zinazoaminika toka chumba kikuu cha kiaskari jimboni zaeleza kuwa, mnamo mwezi mayi tunaoanza, krti moja ndogo la kiaskari walinda sheria (inspection judiciaire) litashimishimikwa katika mkao mdogo wa Kamituga, mtaa wa Mwenga.
    Swahili il y a 3 ans
  • Liwali Mwando na mwenzie Shunguyinka walichungua hali ya mpaka kati ya Goma na Gisenyi
    Baada ya kurjea mjini Goma. mwanamemba wa chumba cha siasa, Liwali Mwando Nsimba Shaba alisimamia siku ya tano tarehe 1 mayi 1981 mjini Bukavu sherehe maalum ya sikukuu ya wafanyakazi popote ulimwenguni.
    Swahili il y a 3 ans
  • Weusi 9 walifariki kwa zaruba kali Afrika ya kusini
    Habari zenye kuaminika zahakikisha kwamba, Weusi tisa walifariki kwa zaruba kali iliyovuma kando kando ya mji w Johannesburg, moja kati ya mjini mikuu nchini Afrika ya Kusini.
    Swahili publié par MALIYABWANA Mwin'Anu il y a 3 ans
  • Uganda : Watu 32 waliuwa na waziri Otime aliumizwa kwa risasi
    Usalama haujarudi ao kudumisha kabisa nchini Uganda. Siku hizi, ilitangazwa tena kwamba, wapinzani wa siasa ya Rais Milton Obote nchini Uganda wanaojidai kuwa wakombozi nchini humo waliua kwa risasi watu makumi matatu n mawili katika mitego ...
    Swahili il y a 3 ans
  • Jemadari Mobutu aliwahotubia wabunge mjini Kinshasa
    Kulingana na umuhimu wa sikukuu ya wabunge nchini, Muudaji wa Chama cha Mapinduzi, Jemadari Mobutu Sese Seko aliwahotubia wabunge mjini Kinshasa siku ya pili tarehe 28 Aprili 1981 kunako jumba kuu la taifa.
    Swahili il y a 3 ans
  • Uzazi
    Kiongozi wa chumba kihusikacho na kazi za wapokea wageni kwenye ofisi ya katibu ya vijana katika Chama cha Mapinduzi jimboni mwa Kivu ...
    Swahili il y a 3 ans
  • Isopo-Mwenga : "Wakuu wetu watunyonya nguvu !"
    Jua mpenzi, pokea malalamiko yetu sisi wakaaji wa mikoa midogo ya Isopo, Ngando na Kigalama katika mtaa wa Mwenga. Malalamiko yetu yaletwa hasa na matendo mabaya yakiongozi wa mkoa mdogo ya Kasika anayeshirikiana pamoja na kamanda wa askari ...
    Swahili il y a 3 ans
  • Mashamba hayatalimwa tena Kadutu ?
    Mwenye kiti wa mtaa Kadutu, mwananchi Mulyanga Mugobe alitangaza siku hizi hatua moja inayowakataza wakaaji wake kulima juu ya milima na popote mtaani mwake. Tujuavyo sisi, jambo hilo si jipya ao kutatazwa kwa mara ya kwanza.
    Swahili il y a 3 ans
  • Kuoenda binti unayetumika nae ni vibaya ? ...
    Siku hizi, wabinti na kina mama wengi watumika katika vyumba mbali mbali vya kazi za Chama, vya serikali na katika maofisi. Wamoja kati ya viongozi na marafiki fulani wa kazi wapevushwa na urembo wa wabinti na kina mama hao na kuanza kuwaita waishi kirafiki.
    Swahili il y a 3 ans
  • Wezi ao askari ?
    Mwanzo wa juma tunayo, kusangaza ulifanyika kunako duka moja mjini Uvira. Kila mkaji na mpita jia alijiliza ili kuja vema jinsi wizi huo ulitendeka.
    Swahili il y a 3 ans
  • Kadutu : "Feza na wanawake ndio mambo mawili yanayoharibu dunia ?"
    Ndungu zetu wapiga mziki katika Jamhuri jirani ya Kongo walipaliza sauti zao juu a kuimba katika lugha la lingala kwamba : "Feza na wanawake ndio mambo mawili yanayoharibu dunia".
    Swahili publié par Nyuki il y a 3 ans
  • Bukavu : Kamati ya Chama cha Mapinduzi jimboni imechukua hatua mbali mbali
    Baada ya kurejea mjini Bukavu na kuchungua kwa karibu mambo mbali mbali kuhusu Chama cha Mapinduzi serikali, uchumi, maisha bora ya wakaaji jimboni na vivi hivi, mwanamemba wa chuma cha siasa, Liwali Mwando Nsimba Shaba alisimamia siku ya pili tarehe 21 Aprili 1981 mkutano moja maalum wa kamati ya Chama cha Mapinsuzi jimboni.
    Swahili publié par MALIYABWANA Mwin'Anu il y a 3 ans
  • Goma : Rukimbira, Haruna na Siradji wagunduliwa na uuzaji wa sigareti kimagendo
    Zaidi ya ubovu wa mabarabara, ukosefu wa zamiri ngema ya kazi "unaovundisha" vichwa vya wamoja kati ya viongozi na watumishi katika chama, serikalini, wafanyabiashara na wakaaji wenyewe ambavyo vyazidi kuharibu uchumi, maendeleo na maisha bora ya wakaaji jimboni mwa Kivu ...
    Swahili publié par MALIYABWANA Mwin'Anu il y a 3 ans
  • Burundi itafungua ubalozi wake mdogo jini Bukavu
    Mshauri mkuu kunako ubalozi wa JAmhuri ya Burundi nchini Zaïre, bwana Ngendarukiyo Damase aliyepokea katika masimulizi ya kiserikali na Liwali wa Kivu Mwando Nsimba Shaba alihakikisha katika mazungumzo yao kuwa ...
    Swahili il y a 3 ans
  • Rais Mobutu ameunda serikali mpya
    Baada ya kuunda serikali mpya, mawaziri wote waliongozwa na waziri mkuu Nsinga, waliapa siku ya tano tarehe 24 Aprili 1981 wakati wa saa tatu mchana kunako jumba kuu la taifa mbele ya Muundaji wa Chama cha Mapinduzi, Jemadari Mobutu Sese Seko.
    Swahili il y a 3 ans
  • Mwalimu, baba yangu ni mtajiri !
    Siku hizi, wamoja kati ya wanafunzi tena adabu, heshima na hutii kwa walimu wao, hasa kabisa wale wanaojidai kuwa watoto wa matajiri. Ni hivi, utawasikiao kuwaona wenye kiburi kwa walimu wao wakiwakosea adabu, heshima na kukosa kuwatii.
    Swahili il y a 3 ans
  • Wenye mahoteli waheshimu kanumiza kazi zao ?
    Mara nyingi, huwa tunawaona wasafiri toka mjini na chi mbali mbali wanakosa vyumba kulala mahoteleni.
    Swahili il y a 3 ans
  • Siku gani kanuni za serikali zitakaguliwa tena ?
    Mnamo siku zilizopita, chumba kikuu cha siasa nchini kilichukua na kutangaza hatua maalum zinazuhusu ukaguzi wa hatua na kanuni za serikali zilizokwisha chukuliwa na tangazwa ajili ya uongozi bora wa taifa letu.
    Swahili il y a 3 ans
  • Walimu wanaogopa viongozi wao ?
    Tangu wakuu wa serikali kutangaza kuwa kutafanyika uchunguzi maalum ili kuwangundua wale walimu wenye vyeti vya uwongo, wale wasiofundisha na wanaoziditu kupokea bure feza za serikali ...
    Swahili il y a 3 ans
  • Walimu wanaogopa viongozi wao ?
    Tangu wakuu wa serikali kutangaza kuwa kutafanyika uchunguzi maalum ili kuwangundua wale walimu wenye vyeti vya uwongo, wale wasiofundisha na wanaoziditu kupokea bure feza za serikali ...
    Swahili il y a 3 ans
  • Mwananchi Nguz na mkwewe wamecha kazi zao zote
    Siku ya tano tarehe 17 Aprili 1981, wakati wa mchana, Muundaji wa Chama cha Mapinduzi, Jemadari Mobutu Sese Seko alisimamia mkutano usiokuwa wa kawaida wa chumba kikuu cha siasa nchini ...
    Swahili il y a 3 ans
  • "Bashamuka" 119 juu ya 145 walimchagua tena kina mama Nsimire kuwa kiongozi wao
    Siku ya tatu tarehe 15 Aprili 1981, makamu wa Liwali wa Kivu ahusikaena kazi za serikali, mwananchi Makolo Jibikilay, alifanya safari ya uchugunzi pa Irhambi-Katana, makaomakuu ya mkoa mdogo wenye jina hilo.
    Swahili il y a 3 ans
  • Chombo "Columbia" kilichozunguuka dunia kilitua kwa utartibu yote
    Baada ya kuzunguuka dunia mara makumi matatu na sita katika saa makumi matano na nne, chombo cha Wamarekani kiitwacho "Columbia" kilichotupwa angani kilitua kwa utartibu na bila magumu yoyote ...
    Swahili publié par MALIYABWANA Mwin'Anu il y a 3 ans
  • Barabara za mtaa wa Walikale zitatengenezwa kweli ?
    Siku hizi, mwenye kiti wa Kivu ya Kashaziri, mwananchi Likita alituma vipawa mia mia moja makumi saba (sabini) katika mtaa wa Walikale ili kurahisisha kazi za kufungua upya barabara yenye urefu wa kilimetri mia mbili kumi na tatu ambayo yaunganisha mtaa huo na mji wa Goma.
    Swahili publié par MALIYABWANA Mwin'Anu il y a 3 ans
  • Kinshasa : Majambazi Elemba, Kalamba, Mpinda na Otshumba wilhu
    Siku ya pili tarehe 14 Aprili 1981 wakati ya asubuhi mapewa, majambazi Elemba, Kalamba, Mpinda na Otshumba ambao walimuua bure kina dada Nzumoa aligekuwa mtangazaji wa vipindi mbali mbali ...
    Swahili publié par MALIYABWANA Mwin'Anu il y a 3 ans
  • Seminari ya kisiasa imekoma
    Tangu tarehe 14 mpaka 17 Aprili 1981, walilu wa vyuo mbali mbali ya sekondari jimboni wanaohusika na maelimsho ya binadamu ...
    Swahili publié par MALIYABWANA Mwin'Anu il y a 3 ans
  • Zaïre na Uganda zadumisha mahusiano za kiuchumi na kibiashara
    Tangu siku ya tatu tarehe 15 mpaka siku ya tano tarehe 17 Aprili 1981 wakati wa saa nne za mchana waziri ahusikae na kilimo pia ujenzi na maendeleo ya vijijini nchini, mwananchi Kamitatu Massamba aliyehuzuriwa na Liwali wa Kivu Mwando Nsimba ...
    Swahili publié par MALIYABWANA Mwin'Anu il y a 3 ans
  • Kuna sasa masomo ya wizi gerezazi ?
    Kila wakati ambao mkaaji wa Kivu kwa jumla anazungumza kuhusu uhuni, urugaruga, uyanguyangu na wizi, uso na jina la kwanza linalomtelemesha ni lile la fundi-mwizi Kisala kufuatana na matendo yake wa wizi na mauaji aliyokwisha fanya mnamo siku zilizopita.
    Swahili il y a 3 ans
  • Askari hawaweze kuacha kutangatanga na vivazi vyao mikoani kisha kazi ?
    Katika mwezi Marsi uliopita, mwanamemba wa chumba kikuu cha siasa nchini aliye pia mkuu wa chumba kikuu cha askari jeshi, Jemadari Singa Boyenge Mosambay alichukua na kutangaza kiserikali hatua mbali mbali zinazohusu kanuni za kuleta usawa katika vikozi vyote vya majeshi nchini.
    Swahili il y a 3 ans
  • Namna gani chaki za walimu zamalizika mwaka huu ?
    Wazazi wa wanafunzi wanazidi tu kupata ao kuangamizwa na magumu mbali mbali kuhusu majifunzo ya watoto wao, Zaidi ya malipo wanayoomba wa wazazi kwa kujenga kuta ao kuzidisha vyumba vingine vya masomo.
    Swahili il y a 3 ans
  • Ukitaka siri za serikali, tafuta kwa wachuuzi wa kalanga na ...
    Kwa kweli, viongozi na watumishi wamoja katika vyumba vya serikali na Chama chetu cha Mapinduzi walikwisha haribika kabisana kupotelewa na zamiri ngema ya kazi sababu tu ya "loho"na puga kali ya feza.
    Swahili il y a 3 ans
  • Leo siku ya sita, Rais Reagan atezamiwa kutoka hospitalini
    Habari zenye kuaminika ambao zilitangazwa na radio "Washington" siku ya nne tarehe tisa Aprili 1981 wakati wa asubuhi, saa za Mashiriki nchini Zaïre zahakikisha kwamba ...
    Swahili publié par MALIYABWANA Mwin'Anu il y a 3 ans
  • Pembe za tembo makumi nane zilinaswa katika gari la bwana Jaffary mjini Goma
    Ndugu zetu hao toka nchi mbali mbali za Afrika na Azia wanaanza sasa kufaula na moyo wetu huyo wetu huyo wa ukarimu wa kuharibu ukimya, usalama na uchumi ...
    Swahili il y a 3 ans
  • Wakimbizi milioni tano watawanyika popote katika nchi za Afrika
    Tangu Bara la Afrika kutikiswa na uhuru pia siasa, chumba kikuu cha Umoja wa mataifa kihusikacho na maisha ya wakimbizi popote ulimwenguni kulitangaza kwamba, wakimbizi milioni tano watawanyika popote katika nchi za Afrika.
    Swahili publié par MALIYABWANA Mwin'Anu il y a 3 ans
  • Katibu wa chumba cha kugombea haki za wafanyakazi jimboni amerundi
    Siku ya Mungu tarehe 5 aprili mwaka huu, katibu wa chumba serikali kihusikacho na kugombea haki za wafanyakazi jimboni mwa Kivu, mwananchi Biruru Shabanyitu alirudia mjini Bukavu akitokea Kinshasa ...
    Swahili il y a 3 ans
  • Kinshasa : Rais Mobutu alizungumuza na makaaji ya chumba kikuu cha siasa katika meli MS/Kamanyola
    Siku ya nne tarehe sita Aprili 1981wakati wa mchana cha Mapinduzi, Rais wa Jamhuri, Jemadari Mobutu Sese Seko aliwapokea katika mazungumzo wanamemba wa makamati mbali mbali ya chumba kikuu cha siasa waliomtolea ripoti kuhusu kazi katika meli ya binafsi "MS/Kamanyola"
    Swahili publié par MALIYABWANA Mwin'Anu il y a 3 ans
  • Kinshasa : Kina mama Bobi Ladawa alizindua kazi za ujenzi kituo cha vilema "Bondeko"
    Mwaka tunao, yaani mwaka 1981, ulitangazwa na jemadari Mobutu Sese Seko kuwa mwaka utakaoshurulika kwa kuinua maisha bora ya kijamii nchini. Ni hivi, kila mkuu katika Chama na serikalini ni mwenye kuhusika kwa karibu na jambo hilo muhimu.
    Swahili publié par MALIYABWANA Mwin'Anu il y a 3 ans
  • Kutafuta ndungu
    Mwananchi Miruho Kanda, mtumishi kunako shirika "La presse zaïroise" mjini Bukavu, anamtafuta dadae anayejulikana kwa jina la Nyabienda Kashagaza.
    Swahili il y a 3 ans
  • Askari wa "B.R" hajacha "lulombo"
    Ingawa barazala mawaziri lilikwisha sema mengi kuhusu mwenendo mbaya wa askari walinzi wa usawa mabarabarani, jamaa hao hawajaacha "lulombo" Iwao iwa feza kwa madereva.
    Swahili il y a 3 ans
  • Watumishi wa O.T.C.Z. hawataacha upuuzi ?
    Si mara kwanza wakaaji kulalamika kuhusu vitendo vya wizi vinavyotendwa karibu kila siku na wamoja kati ya watumishi wa "OTCZ" mjini Bukavu.
    Swahili il y a 3 ans
  • Kodi ya "mwende mukaone" pa kilombwe
    Mwandishi wetu N'Dekelelo Amundala, mkaaji katika kijiji cha Amisi mkoa wa Kilembe, mtaa wa wa Fizi alitujulisha siku hizi kuwa, kiongozi wa mkoa wa huo ...
    Swahili il y a 3 ans
  • "Adjudant" anayesikia utamu wa feza sawa vile asale !
    Wakaaji wa kijiji cha Kigulube, katika mtaa wa Shabunda wanaona "cha mtema kuni" na hawajui watakimbilia wapi Kali anayetajiwa jina la "adjudant" wa kijiji hicho, lazima atetemeke sawa vile mtu anayekutana na simba mwenye njaa.
    Swahili il y a 3 ans
  • Amerika : Rais Ronald Reagan ameponyoka kifo
    Habari zenye kuaminika toka Washington, makao makuu ya shirikisho la Amerika zaeleza kwamba, Rais Ronald Reagan nchini humo ameponyoka kifo cha risasi siku ya kwanza tarehe 30 Marsi 1981.
    Swahili publié par MALIYABWANA Mwin'Anu il y a 3 ans
  • Kina mama wa nchi za Burundi, Zaïre na Rwanda wakutana katika seminari pa Gisenyi
    Tangu siku ya tatu tarehe moja Aprili 1981, waziri Mnyarwanda ahusikae na maisha bora pia maendeleo ya kijamii, bwana Ntagerura André alisimamia kazi za kufungua seminari moja maalum inayokusanya pamoja ujumbe mbali mbali za shirikisho ...
    Swahili publié par MALIYABWANA Mwin'Anu il y a 3 ans
  • Bado kidogo vilato toka Uvira mpaka Fizi vitajengwa upya
    Bado kidogo vilalo vipatikanavyo katika barabara inayounisha mji wa Uvira na mikoa midogo ya Kamanyola upande wa Kaskazini na - Lubumba - Ngandja - Mutambala - mpaka makao makuu ya mtaa mwenyewe wa Fizi, upande wa Kusini vitajengwa upya.
    Swahili publié par MALIYABWANA Mwin'Anu il y a 3 ans
  • Kinshasa : Liwali Mwando N'Simba alipokea na waziri Mvuendi
    Habari zenye kuaminika toka mjini Kinshasa zahakikisha kwamba, mwanasiasa na Liwali wa Kivu Mwando Nsimba Shaba alipokewa katika mazungu mzo ya kikazi na waziri ahusikae na masomo ya msingi na yale ya sekondari nchini ...
    Swahili publié par MALIYABWANA Mwin'Anu il y a 3 ans
  • Kwako bib : Hakuna ugonjwa wa haya !
    Ikiwa wataala! wamekwisha vumbua dawa nyingi za kupinga na kukomesha kabisa magonjwa mbali mbali, magonjwa mengine ya hatari yazidi kutesa na kuharibu mwili wa binadamu wengi ingawa wanafahamuvema kuwa kuna dawa inayoweza kuponya mapema ...
    Swahili publié par MUNYOLOLO KIPENE il y a 3 ans
  • Mafasirio kamili kwa ndugu Amuri Juma wa Mulongwe pa Uvira na Mazambi-Mbiliizi-Mateso wa Mwenga
    Ndugu Amuri, mkaaji pa Mulongwe mjini Uvira, tunakujulisha kwamba tumepokea kibarua chako ambambo umetuandikia mambo yaliyotusisimua sana.
    Swahili il y a 3 ans
  • Viwanja vyagawiwa ovyo katika mtaa wa Kadutu
    Tembea ukajionee, kuambiliwa kuna wongo ! Unapotembea mikoani katika mtaa wa Kadutu, utaona nyumba nyingi hujengwa ovyo ovyo.
    Swahili il y a 3 ans
  • Mkimbie mme wako woleo na tajiri !
    Wewe mama wa Buholo ya nne (4) usimshauri mtoto mke wako vile ! Mama huyu alipoona mtoto wake mke amebeba mimba, alimpeleka upesi kwa uficho kwa bwana.
    Swahili il y a 3 ans
  • Mwanafunzi, nunua alama zako
    Furaha ya wazazi ni pia kuona watoto wao wanaendelea vizuri shuleni kwa namna siku zitakazokuja wapate kuwasaidia na kujisaidia wenyewe.
    Swahili il y a 3 ans
  • "Kampanye imeanza Kadutu" ?
    Mnamo siku zilizopita naibu wa mwenyekiti wa mataa wa Kadutu, mwananchi Musole Maharaza alipita pita popote mikoani katika ukomo wa kuwagu ndua wale wafanyabiashara wote wabaya wanaoangmiza wakaaji, hasa kabisa kuvunja zile bei zao za wizi.
    Swahili il y a 3 ans
  • Kinshasa : Rais Mobutu alifungua mkutano wa pili wa kawaida wa chumba kikuu cha siasa
    Siku ya nne tarehe 26 Marsi 1981 wakati wa mchana, Mwanzilisha wa Chama cha Mapinduzi, Rais wa Jamhuri Mobutu Sese Seko alisimamia shereka maalum kunako jumba kubwa la taifa lili kufungua kiserikali kazi za mkutano wa pili wa kawaida wa chumba kikuu cha siasa nchini.
    Swahili publié par MALIYABWANA Mwin'Anu il y a 3 ans
  • Askari jeshi watafanya mazoezi ya vita
    Habari zanye kuaminika ambao zilitangazwa na "Sauti ya Zaïre" mjini Kinshasa zahakikisha kwamba, tangazo moja maalum toka chumba cha kazi za kamanda mkuu wa askari jeshi wote nchini, Jemadari Mobutu Sese Seko laeeleza kuwa siku hizi vikosi mbali mbali wya askari jeshi ...
    Swahili publié par MUNYOLOLO KIPENE il y a 3 ans
  • Kadutu : "Centre social" yawaomba wabinti na kina mama kujiandikisha wengi
    Siku ya kwanza tarehe 23 Marsi 1981, mwenyekiti wa mtaa wa Kadutu, mwananchi Mulyanga Mugobe, amepokea mchumbani mwake mwa kazi kiongozi wa kitua cha maelimisho ya kazi za mikono na ufundi wa ujuzi wa mambo ya kijamii kwa kina dada na mama Kalmeri.
    Swahili publié par MUNYOLOLO KIPENE il y a 3 ans
  • Kwako bibi : Jinsi bora ya kuepuka mizozo katika unyumba !
    Wengi kati ya dada zetu wenye ndoa huwa wanajiuliza kutaka kujua jinsi bora inayoweza kuwaruhusu kuepuka mizazo kati yo na waume wao katika unyumba kutoka na tabia ngumu ao mbaya ya bwana.
    Swahili publié par MALIYABWANA Mwin'Anu il y a 3 ans
  • Matangazo ya vifo
    Mwananchi Luyungula-wa-Sembeya, mtengenezaji wa magari na "Mashini" mbali mbali kwenye shirika lihusikalo na ulimishaji na utengenezaji wa mitumba ya upamba "ESTAGRICO" ...
    Swahili il y a 3 ans
  • Chimpunda-Bukavu : Mawnanchi Kabutula, mchuuzi wa kisikisi aache uaguzi
    Jua mpenzi, ninapokuandikia barua hii, sina hata kidogo wazo la kumchafua mkaaji fulani ao kutaka kujilipisha kisasi.
    Swahili il y a 3 ans
  • Paris : Mwananchi Boùboko alitetea juu ya manusiano bora na uchumi kati ya Ufaransa na Zaïre
    Katika muda wa siku zote alizobaki mjini Paris, nchini Ufaransa, mwanamemba wa chuma kikuu cha siasa ambaye ni naibu wa waziri mkuu na waziri wa mambo ya nje pia ahusiano bora kati ya chi mbali ulimwenguni na Jamhuri yetu ya Zaïre ...
    Swahili publié par MALIYABWANA Mwin'Anu il y a 3 ans
  • Mkutano wa kawaida wa Chumba kikuu cha siasa watezamiwa kutunguliwa mnamo tarehe 27 marsi
    Siku hizi, mwanzilishi wa Chama cha Mapinduzi, Jemadari Mobutu Sese Seko alikutana katika masimulizi ya kikazi na maliwali wa majimbo pamoja na yule wa mji wa Kinshasa katika mali yake bihatsi "M.S./Kamanyola".
    Swahili publié par MALIYABWANA Mwin'Anu il y a 3 ans
  • Bukavu : Mwananchi Muliri awaalika wakaaji wazidi kuwagundua maadui
    Siku ya sita tarehe 14 Marsi 1981, katibu ahusikae na maadibisho pia uongozi bora wa kazi za Chama mjini Bukavu. Mwananchi Muliri Muhumusi alisimamia mkutano moja maalum wa kiraia akihuziwa na Liwali kwa muda mwaanchi Djoho Tayeta ambamo alizungumza kimapinduzi na wakaaji wa mkoa wa ndendere.
    Swahili publié par MALIYABWANA Mwin'Anu il y a 3 ans
  • Lubarika-Uvira : Kwa nini mwananchi Maboko anawatesa wakaaji ?
    Siku hizi, msomaji wetu Nakatele Gombarino alituandikia kibarua chake jii kutujulisha magumu ya kila aina ambayo wakaaji wa mkoa mdogo wa Luvungi wanatendewa kila mara na mshauri wa kazi za serikali katika mkoa huo mdongo upatikanao katika mkoa wa BAfulero.
    Swahili publié par Nyuki il y a 3 ans
  • Hali ya mlimo nchini
    Mavuno ya mahindi hayatoshi kwa kuweza kulisha wanazaïre jinsi inavyostahili. Kwa hajili hiyo, wakuu na wataalam nchini walitanya vyote wawezavyo ili waweza kujifunza na kupata majawabu hayo yatimizwa moja moja kutokana kuongezwa kwa mavuno ya mahindi mchini ili wakaaji wapate kula kwa shibe.
    Swahili publié par Nyuki il y a 3 ans
  • Maboyo-Beni : Wachimba zahabu kimagedo wanatomboka
    Habari zenye kuaminika toka kijini cha Maboya, katika mkoa wa Beni; kijiji kipatikanacho kwenye kitambo cha kilometri makumi mawili na mkoa wa Butembo zahakikisha kuwa, kundi moja la wachimba zaabu kimagendo limewashambulia askare jeshi wawili ...
    Swahili publié par Nyuki il y a 3 ans
  • Bukavu : Mwananchi Lokomba ashurulika na maendeleo mjini
    Siku hizi, mwenyekiti wa mji wa Bukavu, mwananchi Lokomba Kumuadeboni alisimamia mkutano moja maalum ambamo alizungumza kikazi na mwanamemba wa kamati ya washauri wake waliojifunza pamoja jinsi bora itakayowaruhusu kuzidisha maendeleo mjini.
    Swahili publié par MALIYABWANA Mwin'Anu il y a 3 ans
  • Mwananchi Djoho alikubali kuwa : "Amani, sharia na kazi" vyadumu popote jimboni
    Baada ya kuchungua wilaya ya Kivu ya kaskazini kwa jumla na mtaa wa Walikale kwa upekee, naibu wa Liwali wa Kivu ausikae na mwenendo bora wa Chama cha Mapinduzi, mwananchi Djoho Tayeta alikubali kuwa ...
    Swahili publié par MALIYABWANA Mwin'Anu il y a 3 ans
  • Leo tarehe 14 Marsi 1981 pa Kinshasa : Rais Mobutu atazungumza na maliwali
    Mwanamemba wa chumba kikuu cha siasa na waziri wa mambo ya ndani, mwananchi Duga Kugbe Toro, pamoja na mwanasiasa Liwali wa Kivu Mwando Nsimba Shaba waliondoka mjini Bukavu jana siku ya tano tarehe kumi na tatu Marsi 1981 ...
    Swahili publié par MALIYABWANA Mwin'Anu il y a 3 ans
  • Bukavu : Vyumbu vya uzazi kwa kina mama vitazinduliwa
    Siku ya tatu tarehe kumina moja Marsi 1981, naibu wa Liwali wa Kivu ahusikae na kazi za serikali, mwananchi Makolo Jibikilay alichungwa kazi za ujenzi wa vyumba vya uzazi kwa kina mama vinanyojengwa kunako hospitali kuu mjini Bukavu.
    Swahili publié par MALIYABWANA Mwin'Anu il y a 3 ans
  • Kwako bibi : Ni nani msingi wa uzazi wa aina moja tu ya watoto ?
    Wengi kati ya wazazi wapatwa na huzuni kubwa moyoni mwao wababu wamepata bahati mbaya ya kuzaa aina moja tu ya kuzaa aina moja yu ya watoto. Ni kusema kwamba kuna jamaa zinazopata tu watoto wakiume ao watoto wakike.
    Swahili publié par MUNYOLOLO KIPENE il y a 3 ans
  • Mwananchi Mbalaga alisema : Wilaya ya Maniema yakusudia kukamilisha mpongo wa kuongeza mazao ya mashamba (PAM)
    Mnamo siku zilizopita, wenyeviti wa mawilaya yote jimboni walikutana mjini Bukavu ambako walizungumza kikazi na katibu mkuu wa Chama chetu cha Mapinduzi Bo-Boliko Lokonga Monse Mihombo.
    Swahili publié par MUNYOLOLO KIPENE il y a 3 ans
  • Maulizo na majibu
    1) Tufanyeje kwa kupiganisha matendo mabaya ya warugaruga wanaotuangamiza siku hizi ?
    Swahili il y a 3 ans
  • Kiliba-Uvira : Mwananchi Amisi na Kamanda wa askari jeshi wajuta ujanja wao katika joja
    Habari kamili toka Uvira, makao makuu ya ywilaya ya Kivu ya Kusini zahakisha kwamba, kiongozi-mshauri wa mwandachi AMISI na mwenzie kamanda wa askari jeshi wapatikanao ...
    Swahili publié par MALIYABWANA Mwin'Anu il y a 3 ans
  • Mwananchi Kahegeshe achaguliwa tena kubaki mkuu wa "Aneza" jimboni
    Siku ya sita tarehe 21 februari 1981, wafanyabia shara katika mawilaya mbali mbali jimbo mwa Kivu walikutana kunako chumba cha maonyesho ya kiutamaduni cha Ufaransa mjiniBukavu iti kuchagua kamati yao mpya, yaani, "Aneza".
    Swahili publié par André Bisimwa L-B. Tserou il y a 3 ans
  • Bukavu : Bado kidogo wapangaji wa "Bonas" wenye madeni watafukuzwa
    Siku ya tatu tarehe nne marsi 1981, haibu wa Liwali wa Kivu ahusikae na mwenendo bora wa kazi za serikali, mwananchi Makolo Jibikilay alimpokea katika masimulizi chumbani mwake mwa kazi kiongozi wa tawi ...
    Swahili publié par MUNYOLOLO KIPENE il y a 3 ans
  • Mitetemeko ya dunia ilisikia mjini Bukavu
    Mnamo siku ya kwanza tarehe 2 marsi pa saa saba na dakika 50, siku ya pili tarehe 3 marsi pa saa nane za usiku na siku ya nne tarehe 5 marsi mwaka huu pa saa 12 za asubuhi, mitetemeko ya dunia yamesikia mjini Bukavu pasipo kuleta hasara yoyote.
    Swahili publié par MUNYOLOLO KIPENE il y a 3 ans
  • Rais Mobutu alizungumza kikazi na waziri mkuu Mbeleji Martens
    Aliporejea mjini Kinshasa akitokea Lusaka, mji kuu wa Jamhuri ya Zambia ambako alizungumza kikazi na mwenzie Kenneth Kaunda wa Zambia kuhusu mahusiano bora yanayodumu daima kati ya Zaïre ...
    Swahili publié par MALIYABWANA Mwin'Anu il y a 3 ans
  • Viongozi wa chama wa mawilaye na mitaa watatajwa
    Kamati ya Chama cha Mapinduzi jimboni mwa Kivu ilikusanyila siku zilizopita katika mkutano moja maalum, chini ya uchunguzi wa naibu wa Liwali wa jimbo ya Chama mwananchi Djoho Tayeta.
    Swahili publié par André Bisimwa L-B. Tserou il y a 3 ans
  • Uchunguzi mkali wa vilabu wafanyika mjini Bukavu
    Tngu siku ya nne tarehe 26 februari mwaka huu, makamu wa mwenyekiti mjini Bukavu, mwananchi Mawanga Tsongo - Tsongo ni mwenyikusimamia kundi lihusikalo na uchunguziwa viabu vya pombe katika mkaa yote ya mji wa Bukavu.
    Swahili publié par MUNYOLOLO KIPENE il y a 3 ans
  • Katibu mkuu wa chama alikuwa jimboni mwa Kivu
    Tangu siku ya tano tarehe 20 mpaka siku ya Muangu tarehe 22 februari mwaka huu, katibu mkuu wa Chama, mwananchi Bo-Boliko Lokonga alikuwa katika ziara ya kikazi mjini Bukavu.
    Swahili publié par MALIYABWANA Mwin'Anu il y a 3 ans
  • Kwako bibi : Penye kilio sio mahali pa vilabu vya pombe ya mikutano ya vimada
    Wakaaji wengi, wanaume na vile wanawake wamemwona sahau kabisa maana kamili ya kujielekeza nduu ao marafiki waliofiwa na kuwasaidi kadiri inavyowezekana.
    Swahili publié par MUNYOLOLO KIPENE il y a 3 ans
  • Luvungi : kijiji cha lazima kinachosahuliwa !
    Wengi kati yetu hasa kabisa wanachama wenye kuelewa hadisi za mkoa wa Bafulero, watakualiana nasi kwamba ujio, ngao na maendeleo ya mkoa huo yatokana na kijiji cha luvungi kinachoongozwa na suitani wa kweli wa asili, kijana Ndaya Kimbumbu.
    Swahili publié par MALIYABWANA Mwin'Anu il y a 3 ans
  • Kinshasa : Kina Mama Bobi Ladawa alizungumza na wanawake wa mabalozi
    Siku hizi, mke wa Rais Mobutu Sese Seko kina mama Bobi Ladawa aliwapokea katika masimilizi kwenye meli "M.S/Kamanyola" wanawake wapaka makuni tano (amsini) wa mabalozi na wasimamizi wa mashirikisho makuu ulimwenguni wanaowakilisha nchini zao mjini Kinshasa.
    Swahili publié par MALIYABWANA Mwin'Anu il y a 3 ans
  • Gbadolite : Rais Habyarimana alizungumza na mwenzie Mobutu kuhusu mahusiano bora
    Mwanzo wa juma hii, Rais wa Jamhuri jirani na ndugu ya Rwanda, Jemadari JUvénal Habyarimana alikutana mjini Gbadolite katika mazungumzo ya kikazi na mwangazie Jemadari Mobutu Sese Seko ambamo walichungwa kwa karibu mahusiano bora ya nayokuwa daima katika ya Rwanda na Zaïre.
    Swahili publié par MALIYABWANA Mwin'Anu il y a 3 ans
  • Barabara imetengenezwa kwa wasafari tokea Bukavu mpaka Walikale
    Kulingana na mafazirio tuliyotolewa na naibu wa mwenyekki wa mtaa wa Walikale, barabar ni wazi sasa toka mjini Bukavu mpaka Walikale na vivi hivi.
    Swahili publié par MALIYABWANA Mwin'Anu il y a 3 ans
  • Bukavu : Waandishi wawili wagazeti JUA waalikwa Ujerumani Magharibi
    Mwaka huu, Jamhuri rafiki ya Ujerumani ya Magharibi iliwaalika wa gazeti "JUA" wyeti vya kuweza kujielimisha zaidi katika kazi zao. Ni hivi kiongozi wa gazeti "JUA" mwananchi Mutiti-wa-Bashara atakaefanya Gafari yake ya uchunguzi katika sehemu ya Goethe.
    Swahili publié par MALIYABWANA Mwin'Anu il y a 3 ans
  • Bukavu : Fundi-mwizi "Talo" na wafuazi wake watatu wamenaswa
    Usiku wa siku ya pili tarehe 24 kuamkia ule wa siku ya tatu tarehe 25 februari 1981, askari walinzi wa usama mikoani waliwanasa fundi-mwizi Biringamine Toto ajulikanae zaidi kwa jina la kihuni "Talo" ...
    Swahili publié par Nyuki il y a 3 ans
  • Liwali Mwando atawapokea leo mjini Goma waziri mkuu mbelegi Martens na mwenzie Nguz
    Bahada ya kupata matunzo mjini Bruxelles, nchini Ubelegi na kurejea nyumbani kwake pa nyofu.
    Swahili publié par MALIYABWANA Mwin'Anu il y a 3 ans
  • Kwako bibi : "Mwanamimba" ni ugonjwa gani ?
    Kina mama wengi washambuliwa sana na ugonjwa wa tumbo hasa magonjwa yanayoshambulia njia za uzazi. Pahali pa kujielekeza hospitalini wanapougua ao kuumwa tumboni, wengi kati yao hupuuza hasa zaidi wakati wanapotambua kuwa maumivu hayo yawasonga hasa pande za sehemu ya chini ya tumbo.
    Swahili publié par MUNYOLOLO KIPENE il y a 3 ans
  • Kabindula-Uvira : Ndugu Muvira Siwavira gazeti Jua si baraza la utitia !
    Katika gazeti letu namba 99 la tarehe 31 Januari mpaka 6 Februari 1981, tulitangaza kibarua cha musomaji wetu Muvira Siwavira, kibarua ambamo akweleza mengi ...
    Swahili publié par MALIYABWANA Mwin'Anu il y a 3 ans
  • Kindu : Ujombo maalum toka Kinshasa ulihusika na maisha ya vijana wanaofunza kazi pa Lokandu
    Siku hizi, ujumbe maalum toka mjini Kinshasa ambao uhongowa na mmoja kati ya washauri wakuu kunako wizara ihusikayo na mahisha ya jamili nchini (Affaires sociales) ....
    Swahili publié par MALIYABWANA Mwin'Anu il y a 3 ans
  • Zimbabwe : Askari 55 wa ukombozi waliuawa kando kando ua mji wa Bulawayo
    Habari zenye kuaminika, ambazo zilitangazwa na Sauti ya Ujerumani Magharibi, zahaki kisha kuwa, siku hizi makundiya askari wa majeshi ya ukombozi nchini Zibambwe ...
    Swahili publié par MALIYABWANA Mwin'Anu il y a 3 ans
  • Watu 24 waifariki nchini Philippines
    Kulingana na habari zinazoangazwa siku hizi na radio mbali mbali popote ulimwenguni, yaaminika kuwa kundi moja la watu wasiojulikana bado liliweza kuleta fujo nchini Philippines na kuuwa wananchi wapata mawili na wanne.
    Swahili publié par MALIYABWANA Mwin'Anu il y a 3 ans
  • Kalembe-lembe/Fizi : Kina mama Lusembula Selemani ahusika na kuinua maisha ya vilema !
    Tangu, tarehe 16 julayi 1980, kina mama Lusembula Selemani alisimika pa Kalembe-lembe, mjii mkuu wa mtao wa Fizi, kutuo binafsi kihusikacho na kuwasaidia ...
    Swahili publié par MALIYABWANA Mwin'Anu il y a 3 ans
  • Beni : Timu "F.C. Mizimu" yazidi kusonga mbele
    Jua mpenzi, mimi ni mmoja ya wasomaji wako wa daima. Ikiwa ninakuandikia barua hii kwa mara ya kwanza, shabaha yangu ni kukupasha habari mbali mbali za mtaa wetu wa Beni.
    Swahili il y a 3 ans
  • Uvira : Eti "kuoga" katika mto kwaleta ugonjwa wa kipindupindu ?
    Jua mpenzi, uniruhusu kama vile wasomaji wako wengine kusimulia nawe ili nikutolee maoni yangu kuhusu mambo yanatendeka huku kwetu kufuatana na ugonjwa wa kipindupindu ama "cholera".
    Swahili il y a 3 ans
  • Fizi : Mwalimu Masiliya Kitoga Kipusa awafundisha wanafunzi wake wizi ?
    Jua mpenzi, ukomo wangu mkubwa ni kutoa kwenye mwanga wako mwenendo mbaya wa mwalimu Masiliya kitoga ...
    Swahili il y a 3 ans
  • Katana : Usipotisimiza kazi za kijamii (SALONGO), utafungwa na kulipa faini pa Luhihi
    Jua mpenzi, Pokea salamu zangu za mwaka mpya 1981. Nikiwa mmoja kati ya wasomaji wako wa dama, ninakuandikia barua hii kwa kukujulisha magumu yetu.
    Swahili il y a 3 ans
  • Walungu : Kiongozi wa masomo ya sekondari ya Kaya pa Kaziba anawaangamiza wanafunzi ?
    Jua mpenzi, kwa heshima na kitumaini kibubwa niacho katika maanashi yako, ninakuandikia barua hii ili uweze kumshauri kiongozi wa masomo ya sekondari ya Kaja hapa kaziba, katika mtaa wa Walungu.
    Swahili il y a 3 ans
  • Bukavu : Mwananchi Disase anawashauri watumishi wa "Titres Fonciers"
    Baada ya kutambua kuwa uomboji wa vituliro, uuzaji na kutoa siri pia ukosefu wa zamiri ngema ya kazi vyakaribia kuozesha ...
    Swahili publié par André Bisimwa L-B. Tserou il y a 3 ans
  • Uvira : Bado kidogo "Sucrerie de Kiliba" itapokea vyombo vipya
    Siku hizi, Liwali wa Kivu kwa muda, mwananchi Djoho Tayeta, alimpokea kwa masimulizi chumbani mwake mwa kazi kiongozi mkuu wa shirika lihusikalo na ulimaji wa miuwa na kutengeneza ...
    Swahili publié par André Bisimwa L-B. Tserou il y a 3 ans
  • PAKISTAN : Baba mtakatifu wa Roma yupo safarini
    Baba Mtakatifu wa Roma, Yoane Paulo wa pili, alivitembelea siku hizi Visiwa vya Philippines.
    Swahili publié par André Bisimwa L-B. Tserou il y a 3 ans
  • Mabadiliko mapya yamefanyika katika serikali
    Siku hizi, Mwanzilishi wa Chama cha mapinduzi, Rais Mobutu Sese Seko, alichukua atua ya kumboa kazini mwake waziri wa wazara ihusikayo na vyuo vikuu na uivasti nchini ...
    Swahili publié par André Bisimwa L-B. Tserou il y a 3 ans
  • Leo, Katibu mtendaji xa Chama cha Mapinduzi Bo-Boliko atasimulia na wanachama kunako "Ciné-Rwacico"
    Katibu mtendaji wa chama cha Mapinduzi, ambaye pia ni mwanamemba wa chumba kikuu cha siasa, mwanasiasa Bo-Boloiko Lokonga aliyefika ...
    Swahili publié par MALIYABWANA Mwin'Anu il y a 3 ans
  • Bukavu : Mwananchi Ngengo, Balezina Mwendambali waliiba kahawa za "Ozacaf" na "Pharmakina"
    Naiou wa kiongozi ahusikaye na uchungaji wa kahawa katika kiwanda wha shirika la "Ozacaf" mwananchi Ngengo akisaidiwa na wevi wenzie Balezi na Mwendambali ....
    Swahili publié par MALIYABWANA Mwin'Anu il y a 3 ans
  • Lusaka-Zambia : Uchokozi wa makaburu wa Afrika ya Kusini wapingwa
    Nchi za mstari wa kwanza (Etats de la Ligne de Force) unaoundwa na Nigeria, Angola, Tanzania, Msumbiji, Zambia, Zimbabwe na Botswana zilikutana mji mkuu wa Jamhuri ya Zambia ...
    Swahili publié par André Bisimwa L-B. Tserou il y a 3 ans
  • Bumbuazi : MALIMA AMEKWEPA
    Ebu wakaaji wa mji wa Bukavu, msipate mshangao. Akida Malima aliyemuua mwananchi Makombo amekwisha kujimwanga porini.
    Swahili il y a 3 ans
  • Tuzungumze : Unicef yahimiza wazazi wachungue afya ya watoto wao
    Shirika la Umoja wa mataifa linalohusika na ukingo wa watoto (UNICEF), limetangza ya kwamba zaidi ya watoto milioni 1,2 wanafariki kila mwaka kabla ya kufikia umri wa miaka mitano.
    Swahili publié par Lubunga K'Yoba il y a 3 ans
  • Bukavu : Ni kipindupindu ao kuhara tu ?
    Siku hizi, wakaaji wa mjii wa Bukavu na wale wa kando kando waendelea kunongoneza kuhusu magonjwa makali yanayowatetemesha.
    Swahili publié par Kaboyi Habimana il y a 3 ans
  • Kwako bibi : Ebu wajua dawa za kupunguza unene ?
    Kwanza ujifikiri mwenyewe kuchagua mitindo ya vyakula vya kutumia na ukipunguza pia kiasi cha vile uliviokuwa ukila kwa nusu.
    Swahili publié par Bujiriri Mwangaza il y a 3 ans
  • Mareshali Mobutu kafunga arusi na raia wake
    Nchi ya Zaïre yakusudia kusimika mambo kwa kuwatolea wakaaji maji safi kwa kunywa mahali mengi inchini mbele ya mwaka wa 1990.
    Swahili publié par André Bisimwa L-B. Tserou il y a 3 ans
  • Bumbuazi : Fungueni macho !
    Majambazi wanaotumia bunduki, gongo na mipanga watetemesha siku izi wakaaji wa mji wa Bukavu.
    Swahili il y a 3 ans
  • Je umesikia ... ?
    Kwamba shirika linalohusika na ugawaji sa nguvu za umeme kwa kifupi cha kifaransa SNEL latutia lisani pembeni ?
    Swahili il y a 3 ans
  • Mabadiliko muhimu katika uongozi wa vikundi vya askari jeshi
    Kufuatana na hatua n°254 na 255, mareshali Mobutu Sese Seko anatoka kuwataja viongozi wapya wa majimbo pamoja na makamu wao.
    Swahili publié par Kaboyi Habimana il y a 3 ans
  • Vita kali kwa kuping kipindupindu
    Katika toleo n° 642, tuliwafasaria wasomaji wetu machache kuhusu namma ya kupinga ugonjwa wakipindupindu unao julikana hasa hapa mjini Bukavu kwa jina la Choléra.
    Swahili publié par Kaboyi Habimana il y a 3 ans
  • Kwako bibi : Kumbe bwana maskini kufukuzwa na mkewe ?
    Tangu wakati wa mababu zetu na kufuatana na maadibisho ya makanisa, mme ndiye mwenyi kuhitajiwa kuwa mkubwa wa jamaa. Hata serkali nayo yaamini jambo hilo.
    Swahili publié par Barhayiga Shafari il y a 3 ans
  • Kinshasa Itapokea seminari ya WAHUBIRI WA KIPROTESTANTI
    Mkutano mkuwa wa makanisa ya kiprotestanti utafanyika tangu tarehe 7 hadi 14 mwezi wa nne ujao.
    Swahili publié par Lubunga Bya 'Ombe il y a 3 ans
  • Uhusiano kati ya China na Zaïre wadumishwa
    Ni tangu sasa siku nyi nchi za China na Zaïre zajitatanua kudumisha uhusiano wao katika mambo yenyikuelekea siasa, uchumi wa kiaskari.
    Swahili publié par André Bisimwa L-B. Tserou il y a 3 ans
  • Kwa kupiganisha "Kolera" yafaa kutumia maji safi
    Nilipigwa na bumbuazi (msangao, étonnement) niliposoma katika magazeti ya kwamba ugonjwa wa kipindupindu (kolera) waangamiza raia huko Bukavu.
    Swahili publié par Lubunga K'Yoba il y a 3 ans
  • Kwako bibi : Suruali imeruhusiwa tena ?
    Kutuatana na mila za mababu yetu, ina maana yake ya kutambulisha tafauti kati ya mame na mke.
    Swahili publié par Bujiriri Mwangaza il y a 3 ans
  • Liwali Mwando alisema : "Mwenye chake ni chake, mwenyi wake ne wake"
    Kunako na fazi ya tarehe 24 Novemba, Liwali Mwando Nsimba aliwahotubia raia kuhusu ziara yake huko Kinshasa. Mheshimiwa Mwando alimena kuwa kwa kuimarisha maendeleo ya nchi yetu, yafaa wakaaji waishi katika amani ...
    Swahili publié par Kaboyi Habimana il y a 3 ans
  • Mabadiliko muhimu katika kamati kuu ya Chama
    Mnamo tarehe 28 januari iliyopita, Rais wa jamuri ya Zaïre Mareshali Mobutu Sese Seko alipiga sahihi hatua ya kuleta mabadiliko muhimu (importants) katika kamati kuu ya chama na Chumba cha siasa (Bureau politique).
    Swahili publié par Kaboyi Habimana il y a 3 ans
  • Kwako bibi : Angalisho, nipo bibi ya ... !
    Jambo linalo shangaza na kutuvunja moyo, ni ikuona kuwa ni mama wa jamaa zenyi pato la kadiri ndio wenyi kuwa wafurahivu na kuwapokea wageni bila ubaguzi wowote.
    Swahili publié par Bujiriri Mwangaza il y a 3 ans
  • Kutafuta ndugu
    Mwananchi Mukambilwa Basilwango Uratho, anamtafuta mkubwa wake anayejulikana kwa jina la Mukambilwa Mutembo Kasonga.
    Swahili il y a 3 ans
  • Bagira : Amuli Sebuhoome amepigwa bakora ya mapinduzi
    Habari zinazoaminika kutoka ofisi ya mkuu wa jimbo zinaeleza kuwa mwanchi Amuli Sebuhome, makamu wa kiongozi wa mtaa wa Bagira (Commissaire de zone assistant) amejionea kweli cha mtema kuni.
    Swahili publié par Kaboyi Habimana il y a 3 ans
  • Muuaji Chifende Bengehya kasulubishwa !
    Mungua husema : siku za mwizi ni arubaini na damu ya binadamu haimwagike bure. Kulingana na masemi hayo, mnamo tarehe 4 februari 1985, fundimwizi Chifende Bengehya alitiwa kwenye ngoti ...
    Swahili publié par André Bisimwa L-B. Tserou il y a 3 ans
  • Bukavu : Kodi juu ya vyakula imepigwa marufuku
    Kutoza ushuru juu ya vyakula mbali mbali kunako soko kuu ya Kadutu kumepigwa marufuku na mnyampara wa Bukavu, mwananchi Ndala wa Ndala.
    Swahili publié par André Bisimwa L-B. Tserou publié par Kaboyi Habimana il y a 3 ans
  • Kwako BIBI: Kina mama wamoja wachuuzi wanaojielekeza kamembe wanakafilisha
    Kina mama wengi wa mji wa Bukavu hujielekeza kunako maduka na soko mbali mbali katika jimbo la (Cyangungu)....
    Swahili publié par MUNYOLOLO KIPENE il y a 3 ans
  • Kiongozi mpya wa posta jimboni yupo
    Kiongozi mpya wa shirika la poste jimboni, mwananchi ngwangwata lifindiki alifika mji Bukavu siku ya pili tahere kumi.....
    Swahili publié par JUA il y a 3 ans
  • Bukavu: Biro ya mipango na maendeleo jimboni imeziduliwa
    Siku ya kwanza tahere kumi februari 1981, mwenyekiti wa mipango mbali mbali ya maendeleo nchini...
    Swahili publié par MALIYABWANA Mwin'Anu il y a 3 ans
  • Rutshuru: Mwenyekiti mpya wa mtaa mwananchi Kombozi alionywa mbele ya wasaidizi wake
    Habari hamili toka Rutshuru, makao makuu ya mtaa mwenye kuwa na jina hilo zahakikisha kuwa, mwenyeki....
    Swahili publié par MALIYABWANA Mwin'Anu il y a 3 ans
  • Lubero: Seheru kubwa ya pori la Itondi yarudishwa kwa wakaaji
    Habari kamili toka chumba cha kazi liwali kwa muda.
    Swahili publié par MALIYABWANA Mwin'Anu il y a 3 ans
  • Goma : Yafaa usawa urudishwe sokoni!
    Jua mpezi, Ukiwa mwanga wetu humu jimboni, ,iliamua nikutolee malalamiko yetu sisi...
    Swahili publié par JUA il y a 3 ans
  • Fizi : Mwananchi Eliyah Lupande aliharibu uongozi wa masomo Bandari.
    Jua mpezi, Kwa jina la wanafunzi wenzangu wa derasa la sita la masomo ya sekonadri ambayo....
    Swahili il y a 3 ans
  • Uvira : Unawezakupata msaada ?
    Jua mpezi, Baada ya kusumbuka siku nyingi pasipo kupata msaada wowote, nakuandikia ...
    Swahili il y a 3 ans
  • Fizi : Malipo mengi ya magari yazidisha bei ya vyakula pa uvira
    Jua mpezi, Kama unavyojua mwenyewe, mitaa mingine jimboni mwa Kivu...
    Swahili il y a 3 ans
  • Kalehe : Tunalazimishwa kumuabudu sultani Citenge wa Mafugo !
    Jua mpezi, bila kuingila maaandisha yangu na mafumbo mengi, nitaku...
    Swahili il y a 3 ans
  • Bukavu : Mkutano wa kawaida wa kanisa la kiprotestani ; tawi la « CEPZa » Umekoma
    Siku hizi, Mkutano unaofandyika kila mwaka kwa kanisa la kiprotestant, tawi la .....
    Swahili il y a 3 ans
  • Goma : Chumba cha feza chapashwa kujilisha matumizi ya kiasi cha zaires 200.000
    Habari zenya kuaminike toka Goma, mji mkuu wa wilaya ya Kivu...
    Swahili publié par MALIYABWANA Mwin'Anu il y a 3 ans
  • Jamadari Likulia yupo kati yesu
    Jemadari Likulia anayepatika na katiza ziara ya kiserikali jimboni mwa Kivu tanga...
    Swahili publié par MALIYABWANA Mwin'Anu il y a 3 ans
  • Baraza la mawaziri : Askari walinzi wa usawa waache juwazulumu wakaaji
    Siku ya kwanza tahere tisa Februari 1981, mwanamemba wa chumba kikuu cha sisa...
    Swahili il y a 3 ans
  • Mwananchi Djoho alisema : Upuuzi wa viongozi waharibu maendeleo kivu ya kaskazini
    Tulipoanza maandishi yetu haya kuhusa hali na mambo yenke kupita kila mara katika wilaya...
    Swahili publié par MALIYABWANA Mwin'Anu il y a 3 ans
  • Kampala : Askari polisi Wameshambuliwa
    habari zilizotangazwa na radio ya Kampala mji mjuu wa jamhuri ya Uganda...
    Swahili publié par JUA il y a 3 ans
  • Tuzungumze : Ugonjwa wa moyo watoka wapi ?
    Mara kwa mara watu hupingwa na mshangao wakati wanapomuona mtu fulani kuanguka ao kukutwa kitandani amekwisha kufariki.
    Swahili publié par André Bisimwa L-B. Tserou il y a 3 ans
  • Shabuda : Wachuuzi wa reja reja wanateswa ovyo !
    JUA mpenzi, Huni mara ya pili nachukua kalamu yangu kusudi ya kutoa nje nje tabiya mbaya ya wale ndungu wanaopinga na kusonga maendeleo ya nchi yatu.
    Swahili il y a 3 ans
  • Mwezi ya nane ujao : Baba mtakatifu wa Roma, Yoane-Paulo wa pili atatembelea Jamhuri ya Zaïre
    Baba mtakatifu wa Roma, Yoane-Paulo wa Pili atawasili barani Afrika mwezi wa nae (Ogusti) ujao. Safari ya mheshimiwa huyo yalingana na mpango wa mafundisho ya Eklezia Katoliki ulimwenguni.
    Swahili publié par André Bisimwa L-B. Tserou il y a 3 ans
  • Uvira : Maji ya Regideso yachafuka na mvua
    Habari ya kitisho iliyotumwa ofisini mwetu na mjumbe wa gazeti JUA, mwananchi Musemi Kilondo zaeleza kuwa maji inayotiririka katika mabomba ya shirika Regideso ni machafu kabisa.
    Swahili publié par Kaboyi Habimana il y a 3 ans
  • Sifa na shukrani kwa Dactari RAU
    Kituo cha matibabu kaundwa na daktari RAU na kinachopatikana katika kijiji cha Chiriri kandokando ya mji wa Bukavu chajitatanua tangu mwaka wa 1985 kuyasaga na kuyalaza...
    Swahili publié par André Bisimwa L-B. Tserou il y a 3 ans
  • Kwa nini misiba hutukia mabarabarani?
    Kulingana na masimulizi tuliyoyafanya na Kamanda wa kikosi cha askari walinda usalama mabarabarani mjini Bukavu, mwananchi Fefe, katueleza kwamba misiba barabarani...
    Swahili publié par JUA il y a 3 ans
  • Kanisa la kikatoliki ya Bukavu kwa maendeleo ya umma
    "Centre Olame", Mfano bora Katika mpango wake wa maadibisho na pato la maelezo kamili kuhusu mashirika na vyamba vya kazi kazaa, wandishi wa gazeti "JUA" waliweza hapo majuri kutolewa maelezo juu ya kazi ziendeshwazo katika vyumba na viwanda...
    Swahili publié par JUA il y a 3 ans
  • Kwabo bibi: Ni vema kujua mshahara wa mme ao mke wako?
    Kusudi kwa koyumununula movazi ya lazima kadiri wasemavyo
    Swahili publié par MUNYOLOLO KIPENE il y a 3 ans
  • CODELU YAHUSIKA NA MAENDELEO YA LUHWINDJA
    Katika mkutano wao wakawaida kuhusu ripoti ya mwaka 1989 uliofanyika mjini Bukavu mnamo tarehe 11 Februari 1990 kunako jumba...
    Swahili publié par JUA il y a 3 ans
  • Tunatayarisha je majilio ya mwaka 2.000 ?
    Ndugu wapezi na wahashami, Bado kidogo itatimia miaka miwili tangu kimetanganzwa kitabu cha serkali yetu juu ya maoni na mipango mipya ya ndoa, familia na taifa.
    Swahili publié par Mzee Munzihirwa il y a 3 ans
  • Je, umesikia...
    KWAMBA shirika "ORGAMAN" ambalokateuliwa na benki kuu ya Zaïre kwa ununuzi wa zahabu lipo heatarini? Je? Eti kisha kufutuzwa kwa mgeni moja muzungu ambaye kashtakiwa upokonyaji wa feza, raïa wawili nao kashtakiwa kuwa kapeperusha kiasi cha zaïre 500.000.
    Swahili publié par JUA il y a 3 ans
  • Mama Bobi Ladawa kazindua kijiji cha mayatima S.O.S Kinderdoof
    Mnamo tarehe 25 febbruari 1990 Mama Bobi Ladawa, mke wa Raïs wa jamhuri, Mareshali Mobutu, kazindua kijiji cha watoto yatima S.O.S.
    Swahili publié par André Bisimwa L-B. Tserou il y a 3 ans
  • Kwako bibi: Eti punda wataweza kurahisisha kazi za wamama
    Bado kitambo kitogo kazi za wamama ziaweza kurahisishwa mjini Bukavu. Punda watatolewa na kamati "Anti-Buaki" kwakubeba mizigo ambayo kawasumbua siku nyingi.
    Swahili publié par JUA il y a 3 ans
  • Wagonjwa wa SIDA, mzigo kwa umma
    Ugonjwa wa SIDA waonekana kuwa ugnjwa mpya amabao hutisha watu. Wakati ugnjwa huo humshika mtu, huyu aenekana kama "lufukaribu".
    Swahili publié par André Bisimwa L-B. Tserou il y a 3 ans
  • Uhariri: Fundisho kubwa mwalimu Mobutu
    Baada ya hewa ya kidemokrasia kuanza kuvutwa urusi, leo hii hewa hiyo yaonywa kupeperushwa isiyo tukatika nchi za kisosialisti zenyi kutegemea siasa ya kikomunisti Barani Azia Afrika na mabadiliko mengi yatukia katika uongozi wa vyama na siasa nchini ulimwenguni.
    Swahili publié par André Bisimwa L-B. Tserou il y a 3 ans
  • Liwali Dilingi katika ziara ya kiserkali mitaani mjini Bukavu
    Mnamo tarehe 8 hadi 10 Marsi, liwali Dilingi Liwoke La Milengo katembelea wakaaji wa mitaa ya Bagira, Ibanda na Kadutu ambayo yaunda mji wa Bukavu katika ziara ya kiserkali ya uchunguzi na ya kutolewa maelezo kamili kuhusu uongozi wa mitaa hiyo.
    Swahili publié par André Bisimwa L-B. Tserou il y a 3 ans
  • Wakuu wa Kivu ya Kusini washurulika hasa na kilimo na ujenzi wa mabarabara
    sika hizi, mwenyekiti wa wilaya ya Kivu ya Kusini.
    Swahili publié par JUA il y a 3 ans
  • KUTAFUTA NDUGU
    Mwananchi Ilunga Kondo Mkaaji wa Uvira, anamtafuta mwipwa wake aliyekuwa akijulikana kwa jina la Kalonda "Jean".
    Swahili publié par JUA il y a 3 ans
  • Tangu siku ya pili tahere 3 Februari 1981: Vyumba nya kazi za Liwali vilihamishwa mahali palipokuwa "hotel de ville"
    Naibu wa liwali wa Kivu ahusikaye na mwenendo wa kazi za serikali, mwananchi Makolo jibikilayi, aliwajulisha wanachama na wakaaji wote jimboni hasa kabisa mjini Bukavu kuwa, tangu siku wa pili tahere 3 Februari 1981.
    Swahili publié par JUA il y a 3 ans
  • Maulizo na majibu
    Onzo 1) kuna mashurti gani kwa kutandikia gazeti JUA? 2) Malipo ni gani?
    Swahili publié par JUA il y a 3 ans
  • Bukavu: Mbegu za samaki zikingwe
    JUA mpezi, Kwa makiwa mengi ninayo moyoni mwangu, makiwa amibayo yanisukuma kukutolea maoni yangu yafuatako kuhusa kuhaaribika kwa mbegu za dagaa tuitazo "sambaza" katika mji wetu wa BUKAVU;
    Swahili publié par JUA il y a 3 ans
  • Kigongo-kivovo: Ninakanusha maandishi ya mwanchi mbashombo - wa - kangere yenene
    JUA mpezi, Nimesona kwa utaratibu wate gazeti lako namba 98 ulilopiga chapa mnamo tahere 24 mpaka 30 januari 1981 na umbano ulitangaza kibarua cha msomaji wako aliyejita mbashombo-wa-kangere yenene, kuhusu wapelelezi wa uwongo wanaosumbua wakaaji; wakiwa pia wanyanganyi katika mkoa mdogo wa kingongo - kivovo.
    Swahili publié par JUA il y a 3 ans
  • Beni: Vinyume vya uchimbaji wa zahabu kimagendo na kuvuta 'Bangi kwa raia'
    JUA mpezi, kwa huzuni kubwa moyoni mwangu, nakutolea katika mistari ifuatayo, maoni yangu kuhusa vinyume vikali vya uchimbaji wa zahabu kimangendo na uvutaji wa tumbako ya bangi madunfo ya kihuni yanayofanywa na wamoja kati ya vijana wa kijiji chetu cha makiki, mtaa wa Beni
    Swahili publié par JUA il y a 3 ans
  • Rais Reagan alikutana na wapasha Habari
    siku ya nne tahere 29 january 1982 wakati wa usika nchini Amerika, Rais mpya Ronald Wilson Reagan alikutana kwa manzungumzo kwa mara ya kwanza tangu kuwa rais wa america na watangazaji wa nyumba mbali mbali za habari mwake.
    Swahili publié par MALIYABWANA Mwin'Anu il y a 3 ans
  • Jambazi kisala na wafuasi wake 3 walipigwa risasi na kufariki dunia
    Moja kwa moja kutoka katika kisiwa cha Idjwi tumesikia kuwa kuwa mnamo usiku wa tarehe 22 kuamkia tarehe 23 Februari 1985, kikundi kimoja cha majambazi kinachoogozwa na fundi-mwizi Bifuko...
    Swahili publié par Kaboyi Habimana il y a 3 ans
  • Je, umesikia ... ?
    KWAMBA wale askari wala pupa waanza tena lwao katika mtaa wa Ibanda ? Kila mara askari watatu wakisharikiana na wafuasi wao raia watatu wajificha kando kando ya duka...
    Swahili il y a 3 ans
  • Tuzungumze : Iyolela binti malaya
    Hee ! Ni wengi kati yenu watakaoshuka na kupiga cheko wakijiuliza kama hiyo yawezekana.
    Swahili publié par Alamsiki il y a 3 ans
  • Kwako bibi : Namna gani twaweza kutunza ugonjwa wa kuhara ?
    Wakaaji wa mjini wa Bukavu na wale wa kandokando walalamika siku hizi kutokana na magonjwa ya kila aina hasa yale ya kuhara bila kiasi.
    Swahili publié par Bujiriri Mwangaza il y a 3 ans
  • Namba ya walimu itapunguzwa tena
    Habari zilizoletwa katika ofisi yetu na mkurugenzi wa chumba kinachohusika na mambo ya masomo ya msinji na sekondari...
    Swahili publié par Kaboyi Habimana il y a 3 ans
  • Kwako bibi : Je akina dada wengi hugeuka wizi ?
    "Kweli dunia imekwisha kubadilika, wasema wazee ! Tunapingwa na mshangao mkubwa wakati tunaposikia ao kujionea wenyewe mambo ya aibu yanayotendeka siki hizi na pa mjini Bukavu.
    Swahili publié par Alamsiki publié par Bujiriri Mwangaza il y a 3 ans
  • Tuzungumze : Adabu ya saa zote kwa madereva
    Hapa nita simulia juu ya yule ambae gari silake, yule ambae kutembeza ndiyo kazi yake.
    Swahili publié par Kimengele Kimode il y a 3 ans
  • Liwali Mwando : "Hatutaki fujo bali maendeleo ya mtaa wa Kabare"
    Siku ya nne, tarehe 27 marsi 1985, prezidenti wa chama aliye pia mwananchi Mwando Nsimba bako aliwakusanya viongozi mbali mbali wa mtaa wa Kabare (mikoa pamoja na vijijini).
    Swahili publié par André Bisimwa L-B. Tserou il y a 3 ans
  • Padre Mulindwa katimiza miaka 19 ya kiaskofu
    Siku ya Mungu tarehe 24 Marsi 1985, wauminiwa dini ya kikatoliki wanaobaki jimboni mwa Kivu walisherehekea miaka 19 ya kazi ya kiaskofu ya Padre Malindwa Mutabesha...
    Swahili publié par André Bisimwa L-B. Tserou il y a 3 ans
  • Rugamika na Masu, mali ya M.E.A imeenda wapi?
    Mjini Bukavu, muungano wa masaidiano na uamzi (MEA) katika mkutano wake wa kawaida wa mwaka huu ulioendeshwa mwezi wa oktoba,
    Swahili publié par JUA il y a 3 ans
  • KANISA LA ANGLIKANI: Shemasi Mbusa apewa upadirisho
    Mnamo siku ya Mungu, tarehe 10 Desemba 1989, diocezi ya kianglikani ya Bukavu kajipatia padri mpya. Shemasi Mbusa Bangau kapewa sakramenta ya upadrisho kwa mikono ya askofu Dirokpa Balufuga mbele ya umati wa wakristu na wakuu wa serkali kunako Kanisa Mtakatifu Petro Mjini Bukavu-Muhungu.
    Swahili publié par Malekera Bahati il y a 3 ans
  • Tuzungumze: Adabu kwa wazee
    Katika nchi za Ulaya na za Amerika huona watu kuzarau wazee. kwa siku hizi wana-Afrika wengi huanza kuiga kigeni. Ndiyo hivo huwasikia mara na mara kuwatusi wazee, kuwazomea na kuwazarau wakiwatendea kwa kanyoro na wakiwajaza aibu.
    Swahili publié par Kimengele Kimode il y a 3 ans
  • Je umesikia...?
    KUWA mjini Bukavu wakaaji na wapitanjia hasa wadereva watishwa bado na hali ya mabarabara? Je? Kwa kuwa tu mashimo yaendelea kuongeza siku kwa siku isiwe tu na maji ya mvua bali pia na hilo shirika la SOZAGEC lenyi kuhusika na kutawanya mirija kwa maji safi ya kunywa baada ya kuchimba mashino
    Swahili il y a 3 ans
  • KWAKO BIBI: Eti kwanza kitenge cha sikukuu
    Siku za leo madarajani kote wakati siku za siku kuu zakaribia, mabwana husikia na waona cha mwende mukaone wasi jue la kufanya. Na hiyo ni kutokana na tamaa kawashika akina bibi hata mama wa jamaa wasijue magumu yanayosonga jamaa na watupilia mbali kujua pato la mme wakisisitiza tu kupata kwanza kitenge cha siku kuu.
    Swahili publié par André Bisimwa L-B. Tserou il y a 3 ans
  • Uhariri: Heri na Fanaka
    Kweli, maka 1989 Katezamiwa kupita kama umeme angani. Wote walio bado duniani twafurahia na kuukaribisha mwaka mpya 1990 tukishangilia Mwany Ezi Baba Mungu Muumbaji, kwa vigelegele.
    Swahili publié par André Bisimwa L-B. Tserou il y a 3 ans
  • Arkidiosezi ya Bukavu na viongozi wa jimbo, wafia nini?
    Ikichunguliwa kwa karibu, baaba ya uchunguzi kafanywa na Gazeti JUA, kiasi cha udongo wa hektari 4 kwa hicho cha hektari 6 kapewa Arkidiosezi kilipaswa kukabizwa eti kwa kikundi kimoja cha viongozi na wakuu serkalini.
    Swahili publié par André Bisimwa L-B. Tserou il y a 3 ans
  • Mwana wa 1989 kwa ufupi
    Katika mwezi wa: Januari: Masilizano kuhusu urafiki kati ya ufalme wa Ubelgigi na Jamhuri ya Zaïre kajulishwa 1: Prezidenti -muundaji wa Chama cha Mapinduzi "MPR", Mareshali Mobutu kawasiri mjini Mbuji-Mayi ambako
    Swahili publié par André Bisimwa L-B. Tserou il y a 3 ans
  • Arkidiosezi ya Bukavu na viongozi wa jimbo, wafia nini?
    Akiwahubiria wahuzuriaji katika misa kasomwa kwa ajili ya roho ya marechemu Mama Mobutu, mke wa kwanza wa Raïs wa Jamhuri ya Zaïre na ambale kafariki dunia tangu miaka 12 sasa,
    Swahili publié par André Bisimwa L-B. Tserou il y a 3 ans
  • Arkidiosezi ya Bukavu na viongozi wa jimbo, wafia nini?
    Mjini Bukavu, wakaaji wapigwa bumbuazi kutokana na mzozo ulioko kati ya arkidiosezi katoloki na viongozi pia wakuu wa serkali jimboni. Kisa cha mzozo huo ni kiasi cha udongo chenyi hektari 6 na vipande amako nyumba 9 ngwa
    Swahili publié par André Bisimwa L-B. Tserou il y a 3 ans
  • Mwananchi Makolo alisema: Bei ya biashara ni ghali sababu ya upuuzi wa wachunguzi wa bei jimboni na mjini Bukavu
    suku ya tatu tahere 28 januari 1981, nafou wa Liwali wa Kivu ahusikaya na kazi za serikali, mwananchi Makolo jibikilayi, aliwakaribisha chumbeni mwake wa kazi mwenyekiti wa mji wa Bukavu , mwanamapinduzi lokomba Kumuadebani, nakiongozi wa vyumba vya serikali vihusikavyo na uchumi, akiba na uchunguzi wa bei ya biashara jimboni, mwananchi Mutombo
    Swahili publié par MALIYABWANA Mwin'Anu il y a 3 ans
  • Bukavu : Hakuna masikilizano bora yaliyopatikana kati ya watetezi wa wafanyakazi na walimu
    Siku ya pili tarehe tatu februari 1981 wakati wa saa kumi kisha mchana, naibu wa katibu mkuu katika shirika la kiserikalilihusikalo na kuleta haki za wafanyakazi
    Swahili publié par MALIYABWANA Mwin'Anu il y a 3 ans
  • Mkutana mkuu wa chumba
    Mjutano wa kwanza wa Chumba cha Siasa mnamo mwaka 1981 uliosimamjwa na Rais Mobutu mwenyewe, umefanyika mnamo tarehe 5 mpaka 6 februari katika mashua yake litwayo M/S kamanyola
    Swahili publié par Lusanga Ngiele il y a 3 ans
  • Jemadari Mobutu yupo kilioni
    Tangu siku ya tano tarehe 30 januari mwaka huu, jema dari Mobutu Sese Seko yupo kilioni
    Swahili publié par JUA il y a 3 ans
  • Mwananchi Edjonga awatetemesha walinda Feza
    Siku hizi, walinda Feza ambao wanayo tabiya mbaya ya kuchopoa feza za serikali watiliwa lisani pembeni.
    Swahili publié par Kaboyi Habimana il y a 3 ans
  • Tuzungumze : Adabu nyumbani mwa Sinema
    Katika Afrika ya kisasa watu karibu wote wajua sinema vizuri sana na hupenda kuiona mara nyingi. Kwa kweli sinema, zaidi yay kutufurahisha, inatuelimisha na kutupatia maarifa mangi...
    Swahili publié par Kimengele Kimode il y a 3 ans
  • Kinshasa mnamo tarehe 15 aprili 1985
    Habari zinazoaminika kutoka Kinshasa, mji kuu wa Jamhuri ya Zaïre zaeleza kuwa kamiti kuu ya Chama chetu cha Mapinduzi (Comité central du MPR) itafungua milango yake siku ya kwanza tarehe 15 aprili ijayo.
    Swahili publié par Kaboyi Habimana il y a 3 ans
  • Kwako bibi : Masomo ya juu siyo mlango wa ukahaba !
    Dada mpenzi, ulipomaliza masomo ya sekondari, ulifikiri kama umeumaliza mwendo, na jamaa lote lilifurahi sana.
    Swahili publié par Lubunga Bya 'Ombe il y a 3 ans
  • "Léopards" wangoja kusakanya "DIABLE ROUGE"
    Wapendelevuwa mchezo wa kandanda kutoka Kinshasa na Brazzaville, watajielekeza kesho kunako uwanja wa tarehe ishirini mai (stade du 20 mai) kwa kuhuzuria mchezo wa kanda kati ya majeshi ya Taifa ya Congo na Zaïre.
    Swahili publié par JUA il y a 3 ans
  • Maniema : 175.000 Z zimerudishwa katika sanduku la serikali
    Kisha ziara ya siku tatu huko. Kindu, mji kuu wa wilaya wa Maniema, makamu wa jimbo la Kivu, mwananchi Endjonga ambaye pia aongoza kamati ya uchunguzi wa malipa mishahara ya matumishi wa serikali...
    Swahili publié par JUA il y a 3 ans
  • Tuzungumze : Adabu kwa kula chakula
    Unapoitwa kwa jirani kwa kufurahi ao kusikitika naye mara nyingi utaelikwa pia kula. Kwa ginsi yako ya kula au ya kunywa hutambua malezi ambayo ulipita nyumba ni kwa wazazi...
    Swahili publié par Kimengele Kimode il y a 3 ans
  • Soudan : Nimeiri amepinduliwa
    Habari zinazoaminika kutoka Karthoum, mjii kuu wa Jamhuri ya Soudan zaeleza kuwa, Bwana Ghaffar El Nimeiri hayupo tena raïs wa nchi hiyo.
    Swahili publié par JUA il y a 3 ans
  • Kwako bibi : Chagua kati ya chakula na kitenge cha siku kuu !
    Nafasi tunakoishi ao kutembelea, kwaonekana mambo inayotushangaza na kutuvunja moyo. Kati ya mambo hayo twaweza kutaja huba wanayo akina dada na mama kwa kuvaa vitenge vipya...
    Swahili publié par Alamsiki il y a 3 ans
  • Liwali Mwando alitembelea Kivu ya Kaskazini
    Siku ya kwanza, liwali Mwando alijielekeza Rwindi, kunako shamba la wanyama mbele ya kwenda Gisenyi ambako aliaminika kukutana na mwenzie wa Rwanda.
    Swahili publié par JUA il y a 3 ans
  • Bwisha-Rutshuru : Watoto wa Mwami Ndeze wapigania mali na madaraka !
    Aliongeza kusema kwamba ngombe hizo ziliweza kupingwa bei wakati baba yao alipokuwa angali bado mzima na kuwa haoni kisa kinochowasukuma...
    Swahili publié par JUA il y a 3 ans
  • Shahiri : BUKAVU
    Ona Bukavu Mji mashuhuri Wa mabonde Milima, mito na Maziwa
    Swahili publié par Tangolek il y a 3 ans
  • Je, Umesikia ... ?
    KWAMBA mungwana husema : "Heri twaa kama inshallah utapata ?".
    Swahili publié par JUA il y a 3 ans
  • Koloneli Akeye anaendelea na uchunguzi wa majeshi
    Kiongozi wa kikosi cha saba kinachochungua jimbo la Kivu, mwananchi kiloneli Akeye Ahansoni alianza uchunguzi wa majeshi ya Kivu tangu tarehe 16 aprili iliyopita.
    Swahili publié par JUA il y a 3 ans
  • Tuzungumze : Adabu kwenyi kisima cha kuogelea
    Siku za leo huona huku na kule kufanyika visima vya kuongela. Kuongela, kweli, ni moja kati ya michezo kamili (sport complet) na inafaa kuucheza kwani una mafaa mengi kwa afya.
    Swahili publié par Kimengele Kimode il y a 3 ans
  • Michezo : Kombe la Afrika timu bingwa : Bilima Kaichakaza Cara
    Siku ya Mungu tarehe 19 may 1985, baada ya kuisakanya Cara boa moja kwa sifuri (1-0) kwenyi uwanja wa Mapinduzi (Stade de la Révolution)...
    Swahili publié par André Bisimwa L-B. Tserou il y a 3 ans
  • Je umesikia ...?
    KWAMBA kuna jamaa wanaopiga wengine juu ya kulipishwa madeni ? Jamaa mmoja ambaye aliomba "3 Z", alimvizia huyo mzungu na mpaka akamchonganisha.
    Swahili il y a 3 ans
  • Barua wazi kwa munyampara wa mji wa Bukavu
    Mwananchi Ndala wa Ndala, ulipofika hapa mjini Bukavu, tulikupingia kengele na kukupasha ya kuwa mafuta kutoka Walikale na tomato ya Mudaka.
    Swahili publié par Alamsiki il y a 3 ans
  • Mnamo tarehe 20 mai 1985 : Chama cha mapinduzi "MPR" kimetimiza miaka 18
    Ni kweli miaka 18 imetimu tangu hapo Mareshali Mobutu kaunda kiserikali Chama cha mapinduzi "MPR" kunako jiji la N'Sele mwaka wa 1967 tarehe 20 may baada ya kutangaza nia yake hiyo kwa wapasha...
    Swahili publié par André Bisimwa L-B. Tserou il y a 3 ans
  • Kivu ya Kusini : Diosezi ya Uvira yakosa askofu
    Habari zilizoletwa ofisini mwetu na kiongozi wa gazeti JUA huko Uvira, mwananchi Musemi Kilondo zaeleza kuwa tangu Julay 1984 diosezi ya Uvira haina askofu.
    Swahili publié par Kaboyi Habimana il y a 3 ans
  • Kivu ya Kashazini : Viongozi wa "PLZ" watesa watumishi
    Prezidenti wa Chama jimboni alie pia Liwali wa jimbo la Kivu, mwananchi Mwando Nsimba alitembelea katika siku zilizopita shirika "PLZ" linalopatikana katika mtaa wa Rutshuru...
    Swahili publié par Kaboyi Habimana il y a 3 ans
  • Kwako bibi : Siri ya mkoba
    Wakati twajitembeza njiani, twapingwa na bumbuazi kuona kila mama awe kazini ama hapana apenda sana kubeba mkoba (sac à mains).
    Swahili publié par Bujiriri Mwangaza il y a 3 ans
  • CHINA: Mwananchi Mutiri aimarisha uhusiano kati ya Zaïre na China
    Kulingana na masimulizi aliyoyafanya makamu wa waziri mkuu wa nchi rafiki ya China, Bwana Tian Yiyun na ujumbe wa kamati-kiongozi ya muungano wa upashaji wa habari nchini Zaïre...
    Swahili publié par André Bisimwa L-B. Tserou il y a 3 ans
  • Sikash ipo tayari kwa kutengeneza mabarabara
    Kisha kuzinduliwa kwa visima vya maji ya kunywa huko Mushekere na liwali wa jimbo, bila kusahau vituo vya kutunziamo wagonjwa...
    Swahili publié par André Bisimwa L-B. Tserou il y a 3 ans
  • Kaddafi aturegezee !
    Kufwatana na mambo yanayofanyika barani Afrika kwa kutia nchi na viongozi kazaa Barani katika hatari, hasa hatua kali ya kumuua Baba wa Taifa, Prezidenti-Muundaji wa chama...
    Swahili publié par André Bisimwa L-B. Tserou il y a 3 ans
  • Raïs Mobutu kawasili Israeli
    Ni mnamo tarehe 12 Mai 1985, ndipo Raïs Mobutu na mkewe Boni Ladawa kawasili nchini rafiki ya Israeli.
    Swahili publié par André Bisimwa L-B. Tserou il y a 3 ans
  • Je umesikia ... ?
    KAMA huyo makamu wa mwenyekiti wa mtaa wa Bagira, mwananhi A.S. ...ingawa alipigwa bakora ya kimapinduzi na kuachinshwa kazi kwa muda, ali jiruhusu kulipisha feza na kuomba vyakula kazaa kwenyi soko moja ya mtaa wake.
    Swahili il y a 3 ans
  • SHAIRI : Sala kwa hela
    ...Hela ama Franka Pesa, makuta nakusalimu
    Swahili publié par Tangolek il y a 3 ans
  • Sungura kalia machozi, Bisimwa kasaga meno
    Kunako chuo cha Ibanda mjini Bukavu, mnamo tarehe 1 juni 1985, wajumbe wa wanamemba wa Shirika la akiba na mkopo (COOCEC) walikutana katika mkusanyo wao mkuu.
    Swahili publié par André Bisimwa L-B. Tserou il y a 3 ans
  • Kwako bibi : Nyama ya kuku imeruhusiwa sasa ?
    Katika mahali mengi hila ya mabubu ili wakataza kabisa wanawake kula nyama ya kuku, nyama ama samaki fulani fulani.
    Swahili publié par André Bisimwa L-B. Tserou il y a 3 ans
  • Tuzungumze : Wazee wetu wachungwe !
    Kwa sasa hapa mjini Bukavu, ukatembea mikaoni na kandokando za mji, utapingwa na bumbuazi kiwakuta...
    Swahili publié par André Bisimwa L-B. Tserou il y a 3 ans
  • SUDANIA : Wakaaji milioni 11,5 waangamizwa na ukame
    Habari zilizolewa na Unicef zazulisha kuwa ukame waangamiza watu zaidi ya milioni 11,5 nchini Sudania ingawa serikali ya zamani ilikuwa ikificha hali hiyo
    Swahili publié par André Bisimwa L-B. Tserou il y a 3 ans
  • Kwako bibi : Ebu mama nchuuzi, feza hizo zote zatoka wapi ?
    Wakati Baba wa Taifa, Mareshali Mobutu atafuta majawabu kwa kuimarisha siasa ya kiuchumi na ya kijamii nchini.
    Swahili publié par André Bisimwa L-B. Tserou il y a 3 ans
  • Eti ni "Wabwana kuu" ndio wachuuzi wa Risasi
    Wakati Baba wa Taifa, Mareshali Mobutu ahusika na kuinua maisha ya raïs pia usalama wa wakaaji na mali zao bila kusahau ukingo wa wanyama wanaowavuta watalili toka nchi za kigeni na kuingiza feza nyingi za kigeni...
    Swahili publié par André Bisimwa L-B. Tserou il y a 3 ans
  • Je, umesikia...?
    KAMA mbwa halali na mafuta tumboni ? Huyo bibi anayejidia kuwa mchuuzi, akijiruhusu kuuzisha risasi kimagendo baada ya "kujimwanga porini" mjini Bukavu toka Goma alishikwa mateka ?
    Swahili publié par JUA il y a 3 ans
  • Mama Bobi Ladawa awasaidia wagonjwa
    Mjini Kishasa, mke wa Raïs wa Jamhuri, Mama Bobi Ladawa, aliwatumia viongozi na wagonjwa wa Hopitali kuu Mama Yemo dawa na vifaa vingi kwa matibu ili mwelezo wa kwimarisha mpango wa miaka saba ya kijamii utimizwe barabara.
    Swahili publié par André Bisimwa L-B. Tserou il y a 3 ans
  • Kamati kuu ya chama : Mareshali Mobutu kakusanya wanamemba wa chumba imara
    Habari toka Kinshasa zajulisha kuwa, Mareshali wa Zaïre, Mobutu Sese Seko, Prezidenti muundaji wa Chama cha Mapinduzi, aliwakusanya wanamemba wa Chumba imara cha kamati kuu ya Chama na wakuu mbalimbali nchini kunako makao yake y Kampi Koloneli Tshatshi.
    Swahili publié par André Bisimwa L-B. Tserou il y a 3 ans
  • Uakili wa uchunguzi wa mishahara wafezeeshwa
    Ebu ! Mambo yamegeuka kunako uakili (commission) wa uchunguzi wa mishahara. Ingawa hao wanaohusika na hesabu na malipo mishahara (comptables) walivunduliwa na kupelekwa mbele ya waamzi na kuachishwa kazi, wamerudishwa kazini kwa mshangao mkubwa.
    Swahili publié par André Bisimwa L-B. Tserou il y a 3 ans
  • Mkoa wa Kabare wakaa juu ya makaa ya moto
    Hapo majuzi, siku ya kwanza tarehe 27 may 1985, mwananchi Karhebwa Kanyabalirwa, makamu wa presidenti wa Baraza la washauri katika mkoa wa Kabare...
    Swahili publié par André Bisimwa L-B. Tserou il y a 3 ans
  • Waharamia 7 toka Lybia walionyeshwa kwa wapashaji wahabari
    Mareshali Mobutu na askari-jeshi wetu shujaa wawangoja wahusi wowote bila woga. Kisha kutangaza kwa habari juu ya vitendo vya uhuni na uharamia vilivyotaka kuendeshwa na wakafri 7 waliofunzwa nchini Lybia...
    Swahili publié par André Bisimwa L-B. Tserou il y a 3 ans
  • Je, umesikia... ?
    KUWA wafanyabyashara wa pale Uvira watetemeka siku hizi ? 16 kati yao washtakiwa na ofisi ya kuchungua magendo mipakani (Ofida).
    Swahili publié par JUA il y a 3 ans
  • Bashizi Kanena : "Mwaka huu hatutaki mzaa"
    Ni siku ya tatu tarehe 19, baada ya kulisakanya timu la Zaïre-bank boa moja kwa bila bila siku ya Mungu tarehe 16 juni, katika pambano la kwanza, katika mchezo...
    Swahili publié par André Bisimwa L-B. Tserou il y a 3 ans
  • Mikonga 76 ya Tembo imeshikwa kimagendo
    Habari zilizoletwa ofisini mwetu na kiongozi wa gazeti JUA pa Goma zaeleza kuwa wachuuzi kimagendo hawana tena haya na woga.
    Swahili publié par KH il y a 3 ans
  • Kwako bibi : Enyi ndumba si mutuache huru !
    Tega sikio nikueleze. Kwa leo, vijana wavulana (garçon) wanapopata habari ya kuwa bibi malaya amefariki waanza kujitembeza kwa hali ya kitisho.
    Swahili publié par KH il y a 3 ans
  • Uhusiano kati ya Ubeleji na Zaïre waimarisha
    Safari aliyoifanya Mfalme Baudouin, Malkia Fabiola na ujumbe muhimu toka nchi rafiki ya Ubeleji ili kusherehekea na Wana-Zaïre kumbukumbu yay miaka 25 ya uhuru wa nchi ya Zaïre iliimarisha uhusiano wao.
    Swahili publié par André Bisimwa L-B. Tserou il y a 3 ans
  • Jamhuri ya Zaïre yatimiza miaka 25 ya Uhuru
    Ni mnamo tarehe 30 Juni mwaka ya 1960 ndipo kazaliwa Jamhuri Zaïre. Tanguu tarehe hiyo ambako Taifa letu Zaïre lilijinyakulia ushindi katika mikono ya wahajiri (wakoloni) kutokana na juhudi zilizofanywa...
    Swahili publié par André Bisimwa L-B. Tserou il y a 3 ans
  • Machache juu ya masimulizi ya Raïs Mobutu na Raia kijijini Kinkole
    Katika mpango wa kusherehekea miaka 18 ya sikukuu ya wavuvi na kuundwa kwa feza Zaïre, kijijili Kinkole (mjini Kinshasa), Baba wa Taifa, Raïs Mobutu Sese Seko, alisimulia na Raïa bila vipenge wakati alipokuwa akiwahotubia.
    Swahili publié par André Bisimwa L-B. Tserou il y a 3 ans
  • Hatari mlangoni : Vikto, Ruku na Maheshe walitoroka Jela
    Habari zinazoaminika zajulisha kuwa wafungwa Bisimwa Chibalonza "Vikto", Bisimwa Kalenda "Ruku" na Maheshe walitoroka kunako jela kuu la jimbo mjini Bukavu usiku wa tarehe 30 juni na tarehe 1 julay 1985 punde za saa 9 za usubuyi.
    Swahili publié par JUA il y a 3 ans
  • Je, Umesikia ...?
    KUWA mungwana husema : aliyemnyima mwenzake nyama ya senji (rongeur), mbuluku akamnyama nyama ya mbogo.
    Swahili il y a 3 ans
  • Machache juu ya masimulizi ya Raïs Mobutu na Raia kijijini Kinkole
    Kama sidanganyike, nazani kuwa, na sisi wote twajua kama Waarabu walitesa mabatu utumwani na leo hii mbuni Kadhafi aliye pia Mwaarabu apoteza feza zake bure akituma watu wakukodeshwa kutia mizozo katika nchi ...
    Swahili publié par André Bisimwa L-B. Tserou il y a 3 ans
  • Baada ya kula nyama yenyi kugonjwa watu watatu wafariki dunia
    Habari toka mtaa wa Masisi, wilayani Kivu ya Kaskazini, zajulisha kuwa watu watatu walifariki dunia katika mkoa wa Gatoyi baada ya kula nyama isiyopingwa na mganga.
    Swahili publié par André Bisimwa L-B. Tserou il y a 3 ans
  • Tuzungumze : Eti wandumba wa Bukavu washambulia Kivu ya Kaskazini !
    Panda ovyo hula ovyo na mpenda yote akosa yote. Maneno hayo ya muungwana hayakosi maana kama habari toka Goma, mji mkuu wa Wilaya ya Kivu ya Kashazini ni ya wandumba ya Bukavu.
    Swahili publié par André Bisimwa L-B. Tserou il y a 3 ans
  • Shahiri : Mateso
    Wapi ! Maisha kanitupa Nyumbani njaa Kazini magumu Popote tabu...
    Swahili publié par Tangolek il y a 3 ans
  • Je, umesikia ...?
    KWAMBA yule aliyekuwa akitjitita kuwa mtumishi wa gazeti Elima ahusikae na matangazo ya biashara (agent publicitaire) amegeuka mwizi ? kisha kupewa kazi ya kuuza (vendre) na kugawa magazeti katika maofisi mbali mbali ya huko Goma...
    Swahili publié par JUA il y a 3 ans
  • Kivu ya Kusini : Padri Gapangwa atajwa Ascofu mpya wa Diosezi ya Uvira
    Mnamo tarehe 27 julay 1985, Baba mtaktifu wa Roma, Papa Yoane-Paulo wa pili alimtaja padri Gapangwa kama vile askofu mpya wa diosezi katoliki ya Uvira.
    Swahili publié par André Bisimwa L-B. Tserou il y a 3 ans
  • Kisha miaka 15 : Barabara Walikale-Masisi imefunguliwa upya
    Kisha miezi sita ya kazi ngumu, wakaaji wa mitaa ya Walikale na Masisi walifungua barabara inayounganisha mitaa yao miwili. Barabara hiyo ina kitambo cha kilometri 156.
    Swahili publié par Kaboyi Habimana il y a 3 ans
  • Tuzungumze : Akina dada na kaka wetu si mujiheshimu !
    Ngoma ikilia sana haikuwi kupasuka na ivumayo haidumu hunema mzee mungwana. Kulingana na maneno hayo nimejiruhusu kushika tena kalamu yangu kwa kuwajulisha jambo moja linalotusonga moyoni wakati ninajitembeza mikoani.
    Swahili publié par André Bisimwa L-B. Tserou il y a 3 ans
  • je, umesikia... ?
    KAMA : uwizi ya vyombo ya moto wa stimu wazidisha mjini Bukavu ?
    Swahili publié par JUA il y a 3 ans
  • Kinshasa : Watu 12 walifariki kutokana na msiba ya ndege
    Siku ya posho tarehe 14 ogusti iliyopita, ndege moja ndogo (petit porteur) iliyokuwa ikitoka kwenyi uwanja wa ndege wa Ndolo na kujilekeza Boma ilianguka katika mkoa wa Matonge na kusababisha vifo vya watu 9 kwa rafla.
    Swahili publié par Lubunga K'Yoba il y a 3 ans
  • Hatari mlangoni : Kumbe tembo wateketezwa !
    Mungana husema : Siku za mwizi ni arubaini. Kweli masemi hayo hayo si ya uwongo kwani habari zinazaominika na zilizotolewa na mwandishi wetu Wakilongo Nyembo ambaue ahusika na kituo chetu mjini Goma...
    Swahili publié par André Bisimwa L-B. Tserou il y a 3 ans
  • Kwa kubaki bumani mwa masomo : Kila mwanafunzi apashwa kulipa Zaïre 3.672
    Habari zinazaominika kutoka Nyofu, zaeleza kuwa prezidenti wa chama jimboni alie pia liwali wa jimbo la Kivu, mwananchi Mwando Nsimba amechukua mnamo tarehe 26 agusti.
    Swahili publié par Kaboyi Habimana il y a 3 ans
  • Michezo : "Léopard" yaondoshwa katika kombe la Afrika
    Wazaliwa wa Zaïre kwa jumla na wale wapendelevu wa mchezo wa kandanda wa Jamhuri nzima ya Zaïre kwa upekee walibaki wenyi kusaga meno kubabaika wakati jeshi lao lilipondooshwa katika mashindano ya kugombea kombe la Afrika la mataifa. Adui si mwengine bali Moroko.
    Swahili publié par KH il y a 3 ans
  • Ujapani : Dada Mulumba Katina mashindano ya urembo
    Katika toleo lake la tarehe 31 agusti mpaka 1 septemba iliyopita gazeti Salongo linalopingwa chapa kila siku nuko Kinshasa latupasha kuwa akina dada.
    Swahili publié par KH il y a 3 ans
  • Kumbe haifai kucheza na kindingi
    Jua Mpenzi, mimi ni msomaji wako wa daima. Napenda leo kukuandikia hii mistari michache kusudi ya kutoa nje tabia mbaya ya wale wanaozoeya kuita apa kwetu kindingi, kanyanga ao lutuku... Pombe ya hiyo ina vinyume vibaya kwa ginsi yatuletea magumu katika maisha yetu ya kila siku.
    Swahili il y a 3 ans
  • Kwako bibi : Mashauri machache kwa kupokea bwana nyumbani
    Katika maisha ya watu duniani yaonekana kuwa ni bibi ndiye anayemfuata bwana katika harakati za kuongoza nyumba. Ni yeye ndiye anayechukua ngazi ya pili kisha bwana.
    Swahili publié par Mubangwa N'tawiniga il y a 3 ans
  • Mashua Sendwe itakomboa Urundi
    Habari zilizoletwa kwetu na kiogozi wa gazeti JUA katika wilaya ya Kivu ya kusini, mwananchi Musemi Kilondo Nkula zaeleza kuwa jina la Sendwe ndiyo itakombowa "Urundi" iliyozama katika ziwa Tanganika mnoma siku zilizopita.
    Swahili publié par MUSEMI KILONDO NKULA il y a 3 ans
  • Tuzungumze : Adabu katika msalani
    Katika migi na vijijini vyoo ni vya aina moja na katika migi mikubwa...
    Swahili publié par Kimengele Kimode il y a 3 ans
  • Kwako bibi: Ni lazima tumpeleke bibi katika kilabu ?
    Mgini tunamoishi mwa tendeka mambo ya kila aina. Kuna wale jamaa ambao wana wazo la kuwa kumpeleka bibi wa nyumbani nafazi zote ndio alama kamili la kusilimuka.
    Swahili publié par André Bisimwa L-B. Tserou il y a 3 ans
  • Shabunda : Mkoa wa Bakisi katoka magumuni
    Baada ya masimulizi mihimu yaliyofanyike kati ya Mwami Mopipi Bitingo na wiiongozi wa shirika la utengenezaji wa mabarara "Office des routes", yajulisha kuwa ujumbe moja wa chumba kinachohusika na ustawi wa kazi za ujenzi wa mabarara za shirika hilo utajielekeza katika mkoa wa Bakisi mtaani Shabunda katika siku za usoni.
    Swahili publié par André Bisimwa L-B. Tserou il y a 3 ans
  • Butembo kwa zone ya Lubero
    Husema kama Butembo ni Posta ya Beni, lakini kwa kweli nilifika Butembo nikaona ni wilaya (sous-régions) kwa maendeleo yaliyo katika mji ule...
    Swahili publié par Tambi Eae Munaongo il y a 3 ans
  • Kamati kuu ya Chama : Kazi za mkusanyo wa kumi zimeanzishwa Weregemere na pepo ya mapinduzi
    Moja kwa moja kutoka Kinshasa, mji kuu wa Jamhuri ya Zaïre watupasha kuwa mnamo tarehe 30 septemba iliyopita, zimezanzishwa kazi za makutano wa 10 wa kamati kuu ya Chama...
    Swahili publié par Kaboyi Habimana il y a 3 ans
  • Tuzungumze: Adabu wakati wa kula
    Kwa siku za kisasa watu wengi uzoea kula muzani pahali pa mkeka. Kwa kula mezani lakini na kwa kulapo na adabu kanuni zipo za kufata...
    Swahili publié par Kimengele Kimode il y a 3 ans
  • Mwalimu Ali Mwinyi ndiye kiongozi mpya wa Tanzania
    Habari zinazoaminikwa kutoka Dar es-Salam zatupasha kwamba tangu tarehe 6 mwezi huu wa Novemba Tanzania ina kichwani mwake kiongozi mpya aitwaye Mwalimu Ali Mwinyi.
    Swahili publié par KAJANGU MUSUSU il y a 3 ans
  • Kivu: Vilalo vya Fizi vitatengenezwa
    Aliporejea Bukavu kiisha juma yapata tatu ya kazi pale Kinshasa, mjimkuu wa Taifa letu, liwali wa jimbo la Kivu, mwanachi Mwando Nsimba alitolea hapa majuzi wasaidizi wake ripoti kamil ya safari yake.
    Swahili publié par JUA il y a 3 ans
  • Kivu ya Kusini : Burhinyi : Mwami Muganga ajiuzulu
    Habari zinazoaminika toka kivu ya Kusini na zilizotolewa na mwaandishi wetu Musemi Kilondo Nkula anyehusika na kituo chetu cha habari wilayani humo zahakikisha...
    Swahili publié par André Bisimwa L-B. Tserou il y a 3 ans
  • Kwako bibi : Mundere hayupo tena kiongozi tena kiongozi wa APHILMA/Bukavu Amekombolewa na Chibi Cha Bene
    Habari kamili kutoka Nyofu kunako makao ya Prezidenti wa Chama jimboni aliye pia Liwali wa jimbo la kivu zaeleza kuwa mke wake akina mama Mwando Museng Rov, kiongozi wa kamati ya wamama...
    Swahili publié par Kaboyi Habimana il y a 3 ans
  • Uvira: Mwananchi Kombozi aliapa kuwa atabaki mwaminifu kwa Raïs Mobutu
    Habari kamili toka mjini Uvira, makao makuu ya wilaya ya kivu ya Kusini zahakikisha kuwa naibu mpya wa mwenyekili wa mtaa wa Kalehe, mwananchi Kombozi Mashua Bonjoko, aliapa kuwa atabaki daima mwaminifu kwa Raïs Mobutu Sese Seko na nakutumika serikalimu she ria za Jamhuri ya Zaïre.
    Swahili publié par MALIYABWANA Mwin'Anu il y a 3 ans
  • Kwako bibi: Vinyume vya biashara vya "domo"
    Siku hizi wakaaji wa miji mikuu kuvukwa na kazi ya kufanya bishera heta wakati hawana feza za kutisha kwa kuanza kazi hiyo. wengi wao wasukumwa kufanya hivyo wapate kutunza vema familia yao, kinua maisha yao banifsi na wengina kwa ou pe kali ya kuvimbisha mifuko yao.
    Swahili publié par MUNYOLOLO KIPENE il y a 3 ans
  • Butembo: Matayarisha ya ujenzi wa Kivu ya Kashaziki yamefanyila
    Kulingana na amri iliyotangazwa kiserikali na Liwali wa Kivu kuhusu mipango inapashwa kutayirishwa na wenyeviti wa mawilaya kwa ajili ya ujenzi na maendeleo ya jimbo la kivu.
    Swahili publié par MALIYABWANA Mwin'Anu il y a 3 ans
  • Bukavu: Wananchi Salumu na makolo washusika na mabodilishano ya biashara kati ya shaba na kivu
    Kisha kubaki muda wa siku nne kisangani, mji mkuu, jimbo ya Zaïre , ya juu, naibu wa liwali wa Kivu ahusikae na kazi za serikali, mwananchi Makolo Jibikilay, alimpokea mjini Bukavu mwenzie wa jimbo jirani la Shaba, mwanachi Salumu Amisi. Huyu alifika siku ya kwanza tarehe 21 januari 1981 akitokea Lubumbashi.
    Swahili publié par MALIYABWANA Mwin'Anu il y a 3 ans
  • Rwindi: Ulalo mpya umejegua juu ya mto Kanyasembe
    Siku hizi, shirika la kiserekali lihusikalo na ujelalo, kwa kifupi "office des routes", limejenga ulalo mpya juu ya mto Kanyasembe ambao wapatikana katika shamba la wanyama la Rwindi, Rutshuru.
    Swahili publié par MALIYABWANA Mwin'Anu il y a 3 ans
  • Utangazaji wa enjili utafanyika Kinshasa
    Mwisho wa mwezi wa Desemba Kanisa la Kristo katika Zaïre kwa mjia ya Chuo cha Kristo ulimwenguni (Ministère du campus pour Christ International) litasimamia mjini Kinshasa mkutano maalum wa utangazaji wa Enjili (évangélisation).
    Swahili publié par KAJANGU MUSUSU il y a 3 ans
  • Tarehe 17 novemba 1985: Majeshi ya askari yatimiza miaka 25
    Siku ya Mungu tarehe 17 novemba ndipo siku ya ukumbusho wa miaka 25 tangu hapo Jamhuri ya Zaïre kujipatia majeshi yake ya kiaskari...
    Swahili publié par André Bisimwa L-B. Tserou il y a 3 ans
  • Koperative ya akkiba na mkopo: Benki kuu ya Zaïere yatia usawa kati
    Tokea sasa kila koperative akiba na mkopo yapashwa kwanza kupata ruhusa ya Benki kuu ya Zaïre mbele ya kwanza akazi zake. Wakuu wanaohuika na kazi za feza wapo hivi na shuruli ya kutia usawa katika viungo...
    Swahili publié par André Bisimwa L-B. Tserou il y a 3 ans
  • Kwako bibi: Ewe bibi, kwa nini ongezi mchana kutwa ?
    Ingawa mbea (ongezi, commérage) kati ya wanawake laoneke njema ni kwa kuwa kwani ukipita mikoani utasubutisha kuwa wanawake...
    Swahili publié par André Bisimwa L-B. Tserou il y a 3 ans
  • Raïs Mobutu allawaambia watangazaji wa habari
    Mnamo siku zilizopia mwanzilishi wa Chamacha Mapinduzi, Rais Mobutu Sese Seko aliwapokea kwake wtatngazaji wa habari Wabeleji kumi Alizungunza nao mengi kuhusu vile vitendo haramu vilivyotendwa na wate wabunge wa zamani kumi na watatu.
    Swahili publié par JUA il y a 3 ans
  • Kampala: Afrika ya mashariki yakusudia kurudisha shirikisho lake la kiuchumi
    Habari zenye kuaminika toka Kampala, mji mkuu wa Jamhuri ya Uganda, Kahakikisha kuwa, Tanzania, Arap Moi wa kenya, Milton Obote wa Uganda (wa-liohuzuriwa na mwenzao Keneth Kaunda wa Zambia) kukutana kizazi mjini Kampala, waheshimiwa hao walkusudia kurudisha shikisho lao la kiuchumi kuletamo usawa kama ilivyokuwa hapo zamani. Shirikisho la kiuchumi la nchi za Afrika ya Mashariki ambalo lililoundwe tangu nchi hizo kujipatia uhuru lilivunjika mnamo mwaka 1977, wakati mizozo ya kisiasaili ilitukia kati ya nchi hizo jirani.
    Swahili publié par MALIYABWANA Mwin'Anu il y a 3 ans
  • Je Umesikia ?
    KUWA feza zitafika kuwaunguza viongozi wa masomo? Kutokana na pupa yake kali ya pale Bagira (Institut de Bagira) alijiruhusu kuwashurtisha wanafunzi watoe nyongeza kwa feza za mchango wa wazazi ingawa liwali wa jimbo la Kivu amekwisha hesabu tuzofanya...
    Swahili il y a 3 ans
  • MIAKA 20 YA MAPINDUZI YA ZAIRE
    Ni mnamo tarehe 24 Novemba 1965 ndipo mareshali Mobutu akisharikiana na maofisa wakuu alichukua madaraka ya uraïs wa Jamhuri.
    Swahili publié par André Bisimwa L-B. Tserou il y a 3 ans
  • Tuzungumze: Tufanye je tunapaolikwa ?
    Sheria ya kwanza ya kufwata unapoalikwa nayo ni ya lazima sanani kuheshimia wakati. Fika kwa wakati usicheleweshe wala kungojelesha wenzako somo ao wale ambao waliokualika...
    Swahili publié par Kimengele Kimode il y a 3 ans
  • Michezo: FAR yaiangusha Bilima
    Ni mnamo tarehe 22 Decemba 1985 ndipo FAR, timu bingwa la Moroko, lilivikwa taji la ubingwa baada ya kutoka sare (1-1) na Bilima klabu bingwa la Zaïre katika pambano la marudilio, njini Lubumbashi katika nzunguko wa 21 wa kuigombea kombe Barani Afrika.
    Swahili publié par André Bisimwa L-B. Tserou il y a 3 ans
  • Ramazani Mufumu ailalamikia JUA sawa mbweha
    Kutokana na jibu la wananchi Ramazani Mufumu, Kiongozi wa mtaa wa Ibanda kwa maandishi ya mwandishi Eyenga Sana, tuliyochapa katika gazeti JUA, kulingana na pupa yake kali ya feza iliyomsukuma, ilionekana wazi kama jamaa huyo hana busara na akosewa na uaminifu wa kuendesha vema kazi za serikali.
    Swahili publié par JUA il y a 3 ans
  • Bonane, mwaka mpya na mambo mpya
    Mwaka wapita bado umeme. Leo hii tunafurahia mwaka mpya 1986. Mambo yamefyatuka kwa mwendowa kurukaruka kama kunguru kwa ginsi ukitizama nyuma utajionea mwenywe namna gani mwaka 1985 wabeba mzigo wa magumu, raha, mipando na miporomoko ya maisha.
    Swahili publié par André Bisimwa L-B. Tserou il y a 3 ans
  • Kivu ya Kusini Sikash yaendelea kuhusika na afia ya wakaaji
    Kutokana na magumu mengi kapata wamama kwa kuzaa kama ifaavyo,,shirika Sikash ambalo lahusika na miradi mbalimbaki kwa maandeleo ya mkoa wa kasha itahidi kufungua kitua cha matibabu hapo Mushekere.
    Swahili il y a 3 ans
  • Kivu ya Kaskazini Mwanasiasa Nyemisi Kauwawa
    Bwana Henoki Nyamwisi Muvingi, waziri wa zamani wa michezo pla wa utamaduni nchini mwetu ameuwawa kwa risasi siku ya ijumaa nne terehe 5 januari 1993 pa Butembo katika mtaa wa Lubero.
    Swahili publié par Gabriel Lukeka Bin Miya il y a 3 ans
  • UHARIRI: uwe wa heri na fanaka
    ouf! Twafika mwaka mpya wa 1993, Mambo mengi yamepita na mwaka wa 1992 kwa namna wa mwendo wa kunguru.Tukitupa jicho nyuma tutajionea wenyewe namna gani mwaka 1992 wateremusha na usito wa magumu, raha, mipando na miporomoko ya maisha. sisi sote, hasa Wana-Zaïre, Kanshukuru Mungu Mweny'Ezikiwa shangwe na vigelegele kulotana na mambo kajionea.
    Swahili publié par André Bisimwa L-B. Tserou il y a 3 ans
  • Eti woga wawatetemesha viongozi nchini
    Nchini Zaïre woga watuma watu wengi kuota mabawa , tutwika miguu shingoni na kutyatuka kama ndege wasijue mahali wakwendako na mizigo wabeba. Jambo hilo laanekena na wana-Zaïre ambao yapitika nchini toka hali kisiasa yakumba nchi tangu miezi kazaa.
    Swahili il y a 3 ans
  • Kwako bibi: Wanyama wenye wazimu waambukiza wakaaji ugonjiwa huo?
    Ikiwa tunazungumza na wasomaji wetu juu ya ugonjwa wa mbwa, paka ao wanyama wanye wazimu (animaux enragés), ni hasa katika ukomo wa kuepuka ugonjwa huo unaweza kumuambukia binadamu wa kati unapoumwa na waniama wenye ugonjwa huo wa hatari.
    Swahili publié par MUNYOLOLO KIPENE il y a 3 ans
  • Je, umesikia...?
    Kuwa: Wanafunzi wa chuo cha maelimisho ya utundi hapo majuzi kamuendea arkiaskofu wa dini la kikatoliki mjini Bukavu na kumuomba amuondoe madarakani padri kiongozi wa chuo hicho "ITFM" ?...
    Swahili il y a 3 ans
  • Afya: Sherti wanaozalisha waelimishwe
    Wamama wanaozalisha kwa mjia kiasili wafanya kazi njema vijijini barani Afrika. Kitendo hicho chatokana na kitambo cha mahali wakaapo na hospitali, malipo ya matibabu na mara wamama wengi vijini hawajui...
    Swahili publié par Mutungwa Abandelwa Phély il y a 3 ans
  • Neno la wasomaji: Viongozi wa chama cha MPR hawahelewi si asa ya nchi
    Tangu mageuzi ya siasa yakubaliwe rasmi nchini Zaïre, bada ya upinzani mkali wa wanainchi, mambo na kelele hayakomi kwa wanasiasa wa MPR...
    Swahili il y a 3 ans
  • Uhariri: Shangwe na Shukrani
    Kutokana na hali ya Kisiasa, ya kijamii na ya kiuchumi iliyo nchini, uwasiwasi wawashika raïa na maisha huwa ngumu siku kwa siku...
    Swahili publié par André Bisimwa L-B. Tserou il y a 3 ans
  • Tuzungumze: Gani habari ya kweli ?
    Baada ya mamlaka tatu ya serkali: mamlaka ya kutenda (pouvoir exécutif), mamlaka ya sheria (pouvoir législatif) na mamlaka ya haki (pouvoir d'informer) iitwayo mamlaka ya ine. Makundi ya watu hayawezi kwishi bila kupasha...
    Swahili publié par Mutungwa Abandelwa Phély il y a 3 ans
  • Raïa wazulumiwa
    Tangu mizo ya kisiasa kuzuka nchii kati ya vikundi viwili: kundi lamuunga mkono ya Raïs wa jamhuri na lile lategemea upinzani na siasa kali tuseme kwa kifupi makundi ya mabwana...
    Swahili publié par André Bisimwa L-B. Tserou il y a 3 ans
  • Mwana siasa wa kwanza
    Muungano wa wapashaji habari nchini (UPAZA) ulimtaja Raïs Mobutu Sese Seko kua muanasiasa mkuu nchini mwetu kwa mwaka 1980 kufuatana na busara pia hekima yake kubwa katika kutuongoza.
    Swahili publié par Mutiri-wa-Bashara il y a 3 ans
  • Nigeria: Askari jeshi wamewaoka mateka 65_waliofungwa na waislam wa "Al Masifu"
    Habari zinazoaminika soka Lagos mjii mkuu wa Jamhuri ya Nigeria, zaeleza kuwa, mnamo tarehe 29 Decemba ilyopita, askari jeshi wamewaokoa watu 65 walioshikua mateka na waislam wa tawi la "Al Musifu" wakati wa fujo iliyoendeshwa na kundi hilo ...
    Swahili publié par Mutiri-wa-Bashara il y a 3 ans
  • Waziri mkuu Nguz a karl I Bond alisema: "Kuna kitumaini kikubwa cha kuina uchumi wa taifa letu"
    Siku ya tano tarehe 26 Decemba 1980, mwanamemba wa chumba kikuu cha siasa na wakamati ya chama cha Mapinduzi nchini , waziri mkuu Nguz a Karl I Bond alisimamia mkutano wa kawaida ya mawaziri ambao ulikuwa wa mwisho katika mwaka 1980
    Swahili publié par Mutiri-wa-Bashara il y a 3 ans
  • Wanachama wa Kivu wanapinga kabisa wa wale wabunge 13
    Siku ya nne tarehe 8 Decemba 1980, liwali wa Kivu, mwanasiasa Mwando Nsimba alisimamia mkutano moja maalum alimozungumza kimapinduzi kabisa na wanamemba wa kamati wa chama...
    Swahili publié par Mutiri-wa-Bashara il y a 3 ans
  • "OFIDA" yakusudia kukomesha wizi mipakani
    Siku ya pili tarehe sita Januari muaka huu, "OFIDA", chumba kihusikacho na kazi za uchunguzi, upekuzi na kulipisha kodi ya biashara na mizigo mipakani...
    Swahili publié par Mutiri-wa-Bashara il y a 3 ans
  • Je, umesikia...?
    Kwamba: Shirika SNEL kapingwa bumbwazi mataani bagira ambako vijana kapinga shirika hilo kuchukua chombo moja cha kugawa moto wa stimu mutaani mwao na ambacho katezamiwa kupelekwa jimboni mwa Zaare ya juu?
    Swahili il y a 3 ans
  • Tuzungumze: Udemokrasia upi katika makanisa za kikristu
    Siku izi nchini Zaïre watu wote wajuliza kama katika makanisa ya kikristu, hizo za kiprotestanti na lile la kimbangu, zinazo teteya na kutaja mara na mara jina la mwokonzi wetu Yesu Kristu, udemokrasia upi na utaingia siku gani?
    Swahili publié par Imata Raphael Déwen il y a 3 ans
  • Mnamo tarehe 8 marsi 1993, Wamama kasherehekea siku kuu yawo
    Kila mwaka wamama washerehekea siku kuu yao mnomo tarehe 8 marsi katika furaha kwa shangwe na vigelegele ulimwengunikote ingawa magumu yatezamiwa kuwaangamiza...
    Swahili publié par André Bisimwa L-B. Tserou il y a 3 ans
  • Dolari kwenyi mlingoti
    Hali ya kiuchumi iliyoko nchini ya tia raïa katika uwasiwasi kwani hawajui nani wategemea ao nani atawaokowa na kuwa ondoa katika shimo la magumu wagandamizua.
    Swahili publié par André Bisimwa L-B. Tserou il y a 3 ans
  • Birindwa wa UDPS ni yuda?
    Kuhusu bwana Faustin Birindwa, gazeti JUA kapendelea kujulisha kwa wasomaji wake yale yasemwayo na vijana wa BBC/Carrefour, mitaani kadutu pa Bukavu. Ndugu P.M. ambaye ni prezidenti wa "Buholo Businessman, Carrefour" (BBC) aloa maoni yake.
    Swahili publié par Mutungwa Abandelwa Phély il y a 3 ans
  • Kwenyi meza ya duwara kisiasa mjini Kinshasa, Bwana Birindwa kateulirwa waziri mkuu mpya
    Kutokana na misukosuko ya kisiasa yaangamiza bado chi ya Zaïre tangu hapo Raïs Mobutu kumuachisha bwana Tshisekedi madaraka ya uwaziri mkuu mwezi ya Ogusti 1992 ingawa kavikwa madaraka...
    Swahili publié par André Bisimwa L-B. Tserou il y a 3 ans
  • Vyama na demokrasia
    Iliruhusiwa kusimikwa nchini Zaïre siasa ya vyama vingi. Na kwa kweli kukaundwa vya kisiasa mamia na mamia. Kitendo hicho kikategemea zaidi ukabila...
    Swahili publié par André Bisimwa L-B. Tserou il y a 3 ans
  • Mzozo utaisha lini nchini Zaïre?
    Akitoa maoni yake kwa wapashahabari kuhusu hali ya Kisiasa yatezamiwa nchini kwa leo, askofu Laurenti Mosengwo Pasinya, prezidenti wa Baraza kuu la Washauri wa Jamhuri nchini Zaïre...
    Swahili publié par André Bisimwa L-B. Tserou il y a 3 ans
  • SOCOODEFI yapinga njaa mtaani Fizi
    Ikiwa kuna miradi ya maendeleo jimboni mwa Kivu ya Kusini iletayo mabadiliko vijijini, shirika la Socoodefi (Société coopérative pour le Développement de Fizi) ni moja wapo.
    Swahili publié par Mutungwa Abandelwa Phély il y a 3 ans
  • Udemokrasia, madaraka na mapaswa
    Mpango wa kufikilia siasa ya udemokrasia wa kweli ndiyo kusema mpango wa ushindi na wa raïa kuchukua madaraka mikononi mwao hauwezi kusimamisha kamwe na mtu yeyote.
    Swahili publié par André Bisimwa L-B. Tserou il y a 3 ans
  • Je, Umesikia...?
    Kuwa: Makamu wa zamani wa liwali wa jimbo la Kivu ya Kusini, bwana Ngoy Shambuyi, ambaye kaony wa kutumwa, kutumikia mahali mengine angali bado mjini Bukavu?
    Swahili publié par Imata Raphael Déwen il y a 3 ans
  • Kwako bibi : "Kayabunde" ni rafiki baya
    Watu wanaosema luga ya kiswahili waweza kujiuliza neno "kayabunde" ama pia "shindikana" latokeya wapi na lina maana gani mjini Bukavu na jimboni mwa Kivu ya Kusini kwa jumla...
    Swahili publié par Imata Raphael Déwen il y a 3 ans
  • Tuzungumze: Matunzo kwa dawa za asili bora?
    Mjini Bukavu kwa upekee na jimboni mwa Kivu ya kusini kwa jumla, vyumba vingi vya matibabu kawa dawa za asili zaote kama buyogaporini...
    Swahili publié par André Bisimwa L-B. Tserou il y a 3 ans
  • Neno la wasomaji: Wembe warahisisha uwizi katika soko la Kadutu
    Ndungu mpenzi JUA, ninakujilisha kwamba mimi ni moja kati ya basomaji wako mashuhuri. Kupendelea kwangu kosoma GAzeti "JUA" kwatokana na vipindi vyaelekea akina mama (kwako bibi) na "Je, umesikia...?
    Swahili il y a 3 ans
  • Wakaaji wapenzi wa zone ya Masisi, Walikale, Rutshuru, Nyiragongo na Goma
    Wakubwa wa jimbo la Kivu ya Kaskazini (Nord-Kivu) wakishirikiana na wale wa kabila zenyi kuishi katika jimboo hilo...
    Swahili publié par André Bisimwa L-B. Tserou il y a 3 ans
  • UDSP/Sud-Kivu yaleta uwasiwasi
    Tangu upo bwana Faustin Birindwa ateuliwa kunako "conclave" ya Kishasa kuwa waziri mkuu, mambo ayaemdeki barabara kunako UDPS/Sud-Kivu. Wengi wahakikisha kuwa kuna mchafuko mkubwa kunako UDPS, baazi ya viongozi wake jimboni huwa na hali ya kibaridi na ya kimya.
    Swahili publié par Mutungwa Abandelwa Phély il y a 3 ans
  • Je, Umesikia...
    Kuwa: mchuuzi moja wa mafuta ya taa hapa mjini Bukavu haregei na kitembo chake chua kujenga bomba la kushota "Essence" kunako "place Mulamba"? Nia yake iliyopingwa marufuko mwaka jana na wanafunzi wa chuo cha Alfajiri na Cirezi hapo walipoandamana barabarani.
    Swahili publié par JUA il y a 3 ans
  • Kwako bibi: Kugonda siyo kungonjwa ukimwi
    Wabinti kama vile wamama, twawaoomba mchagueni katikati ya kifo na mawazi kama vile Dubayi na Superwax! Sababu, siku izi watu wengi wafikiri pengine mtu yeyote anayegonda sherti atajike ugonjwa wa Ukimwi (kwa kifupi upungufu wa kingo mwilini) ama Sida.
    Swahili publié par Imata Raphael Déwen il y a 3 ans
  • Neno la wasomaji: Wachuuzi wa Salamabila watetemeshwa
    Jua mpenzi, ni mara ya kwanza nachukuwa kalamu yangu kwa kukuandikia kutokana na vitisho vyatushambulia toka na vyongozi ya hapa Salamabila. Na ninatumaini kama utaweza kunitolea mawazo kwa jambo hilo.
    Swahili publié par JUA il y a 3 ans
  • Tuzungumze, Wachungaji na siasa katika makanisa
    Siasa na injili ni mambo mawili yaliyo tofauti katika matumikio yake. Ila tuseme ya kuwa siasa ya kweli yatoka kwa Mungu sababu hiyo ni njia moja wapo ya kuweza kuongoza watu katika taratibu na hekima ya Mungu.
    Swahili publié par Mutungwa Abendehwa Phély il y a 3 ans
  • Kazi za wakimbizi
    Tumesherehekea hapo majuzi kumbukumbu ya Wakimbizi Barani Afrika. Lakini tukichungua kwa kini hali kwa sasa ya Wakimbizi ulimwenguni kutokana na vita viendeshwavyo nchini nyingi toka chuki na waguzi wa kikabila kama vile na rangi na wa kidini...
    Swahili publié par André Bisimwa L-B. Tserou il y a 3 ans
  • Jawabu kwa mzozo wa kisiasa nchini Zaïre ni: Masikilizano na heshima ya mapatano kati ya wanasiasa
    Eti Raïs Mobutu akubali kukutana tena na wapinzani... Kwakweli tukichungua kwa karibu nguvu zaendeshwa kwa kuulaza mzozo wa kisiasa ulioko mchini Zaïre, zote zafikilia tu jawabu moja: masikilizano kati ya wanasiasa.
    Swahili publié par André Bisimwa L-B. Tserou il y a 3 ans
  • Bukavu, Ni nani anayewasha moto kunako ISDR?
    Kiliweza kupita katika hali ya uwasiwasi na woga kufwatana na mzozo pia fujo kali ilyofanyika wa chuo, ndugu Lubilanji. Siku ile, mwalimu mkuu na kiongozi mkuu wa ISDR, ndungu Lubilanji Katekwa nyara na wanafunzi wake, kapingwa makonde na pia katembezwa kama mwizi na mjambazi wake...
    Swahili publié par Imata Raphael Déwen il y a 3 ans
  • Ufalme wa Kristu ni ufalme wa haki na mapendo
    Nchini Zaïre kutokana na kuzorota kwa siasa ya uongozi, ya kiuchumi na ya kijamii, yatezamiwa mapambano makali yapo kati ya viongozi wa makanisa ya hao wa serkali…
    Swahili publié par Mzee Munzihirwa il y a 3 ans
  • Rubenga wa Idjwi amefariki, lakini!
    Kufuatana na kifo cha mwami Rubenga kilichotokea kisiwani Idjwi mnamo sku zilizopita, wasimamizi wa makundi Fulani Fulani; wakuu serkalini na wa asili na wakaaji wengi wa mtaa ule kaomboleza na kutoa maoni kazaa kuhusu ayati Rubenga
    Swahili publié par Mutungwa Abendehwa Phély il y a 3 ans
  • Moto umewaka mjini Kananga
    Mabadiliko ya peza yaliyojulishwa na kuendeshwa ata sasa nchini Zaïre yaleta matukio ambayo kila nkaaji na raia azungumuzia kila mara akikutano na mwezi.
    Swahili publié par Mutungwa Abendehwa Phély il y a 3 ans
  • O.C. Muungano: Prezidenti Bongongo aendelea na kazi zake
    Siku ya Mungu tarehe 21 Decemba iliyopita, Jeshi La "Omnisport Muungano Club" Limeendesha mkutano wake mkuu wa mwisho wa mwaka kunako kilabo chake kipatikanacho katika mtaa wa kadutu.
    Swahili publié par Malekera Bahati il y a 4 ans
  • Kadutu: Uwanja wa mpira, "Mobutu" utajengwa
    Baada ya kutambua na kujionea binafsi jinsi ambayo uwanja wa mpira "Mobutu Sese seko"
    Swahili publié par Malekera Bahati il y a 4 ans
  • Mapambano ya kombe la dunia
    Kutokana na habari za michezo ya mpira katika mapambano ya kugombea kombe la Dunia.
    Swahili publié par André Bisimwa L-B. Tserou il y a 4 ans
  • Mkutano wa kwanza wa wanawake wafanyakazi umekoma
    Kulingana na aliko la chumba kihusikacho na mahusiano mema kati ya mashirika ya wafanyakazi katika bara la afrika na shirikisho la umoja wa Amerika.
    Swahili publié par MUNYOLOLO KIPENE il y a 4 ans
  • CEPGL: Bonaventure Kidwingira akombolewa na david kusaba
    Kufuatana na habari kutoka Bujumbura ambazo zilitangazwa na Radio-Kigali zimesema kwamba ndugu Bonaventure kidwingira, katibu mtendaji wa "CEPGL"
    Swahili publié par MUSEMI KILONDO NKULA il y a 4 ans
  • Maelezo mapya juu ya matumizi ya feza za serikali
    Kama ilivyo desturi, kisha mkutano wao waliotanya juu ya kuchungua namna vile feza za serikali zatezamiwa kutumikishwa mnamo mwaka 1981.
    Swahili publié par MUSEMI KILONDO NKULA il y a 4 ans
  • Katibu mkuu wa chumba cha kuinua maisha ya wanawake nchini yupo Ulaya
    Tangu tarehe 21 Desemba, mama Nguz Nlandu Kavidi, katibu mkuu wa chumba kihusikacho na kazi za kuina maisha ya wanawake nchini.
    Swahili publié par Mutiri-wa-Bashara il y a 4 ans
  • Kinshasa: Hakuna ubaguzi kati ya wanafunzi wakimbizi na wananchi
    Siku hizi, waziri ahusikae na masomo ya msingi na sekondari, mwananchi Mvuendy Mabeki alipokea Chumbani mwake mwa kazi katika masimulizi ujumbe wa tawi la Umoja
    Swahili il y a 4 ans
  • Mwananchi Djoho alisimamia sherehe ya miaka 47 ya Kituo cha "INERA-Mulungu"
    Siku ya kwanza tarehe 22 Desemba 1980, naibu wa liwali wa kivu ahusikae na mwenendo bora wa siasa jimboni mwananchi Djoho tayeta alisimamia sherehe ya kumbukumbu ya miaka 47.
    Swahili publié par MALIYABWANA Mwin'Anu il y a 4 ans
  • Bukavu-Dawa yakaa Juu ya makaa ya moto?
    Kufuatana na matatizo yanayoangamiza siku hizi timu la Bukavu-Dawa, wapendelevu wa mchezo wa kandanda mjini Bukavu
    Swahili publié par André Bisimwa L-B. Tserou il y a 4 ans
  • Mbio za miguu: Mchezaji Mulima anaalikwa Kigali
    Shirika lihusikalo na mchezo wa mbio kwa miguu mjini kigali, makao makuu ya Jamhuri
    Swahili publié par Malekera Bahati il y a 4 ans
  • A.S. Ruzizi itaa mka mwaka kesho?
    Tangu siku ya posho, tarehe 29 Desemba iliyopita, Mashindano ya kugombea ubingwa wa michezo ya kabumbu ya miguu mjini bukavu yamekwisha.
    Swahili publié par Malekera Bahati il y a 4 ans
  • Kombe la afrika: Bilima imeona nyota mbele ya canon: 3-0
    Kweli Canon Sportif ya Yaoundé ni jeshi bingwa wa michezo wa kandanda katika bara la Afrika.
    Swahili publié par Malekera Bahati il y a 4 ans
  • Leo na kesho: mayimoto na muungano yataendesha mikutano yao mikuu
    Kufuatana na kalendari iliyoundwa ba shirika lihusikalo na mwenendo bora wa mpira wa miguu mjini,
    Swahili publié par Malekera Bahati il y a 4 ans
  • kadutu: Mwananchi Musole anakusudia kupunguza bei ya vyakula? (suite)
    Tutaelewa hapa kuwa, katika ukomo huo bora wa kupunguza bei ya chakula katika mtaa wote wa kadutu
    Swahili publié par MALIYABWANA Mwin'Anu il y a 4 ans
  • kalehe: Eti kiongozi wa bitale ni "mla pupa"
    Jua mpenzi Sisi wakaaji wa mkoa mdogo wa Bitale tunashangaa sana na matendo yasiyokuwa halali ambayo yatendwa kila mara na kiongozi wetu wa mkoa,
    Swahili publié par Zimkas oka's Mukokobi il y a 4 ans
  • Noel ni karibu
    Mungu Akasema: "haya, naona kwamba wakati umekwisha timu kwangu ili nipate kushuka duniani ambako mambo mengi ya ovyo
    Swahili il y a 4 ans
  • senegal: Raïs Senghor atajiuzulu
    Habari zenye kuaminika toka Dakar, mji mkuu wa Jamhuri ya Senegal zahakikisha kuwa, Rais Léopol Sedar Senghor atajiuzulu kazini mwake.
    Swahili publié par MALIYABWANA Mwin'Anu il y a 4 ans
  • Wakaaji wamoja walibadilisha
    Tangu siku ya tatu tarehe kumi na saba mpaka siku ya tano tarehe kumi na tisa Desemba 1980, wakaaji, watumishi katika vyunga
    Swahili publié par MALIYABWANA Mwin'Anu il y a 4 ans
  • Raïs Mobutu alisema mjini Paris kuwa
    Mwanzilishi wa chama cha Mapinduzi, Raîs Mobutu Sese Seko anayepatikana Paris
    Swahili publié par MALIYABWANA Mwin'Anu il y a 4 ans
  • Bukavu yawaka moto kabisa
    Katika siku zilizopita tuliweza kutoa nje hali ya kitisho iliyokuwa imekwisha anza kuonekana katika mji wetu wa Bukavu.
    Swahili il y a 4 ans
  • Kadutu: Mwananchi Musole anakusudia kupunguza bei ya vyakula
    Siku hizi, naibu wa mwenye kiti wa mtaa wa kadutu, mwananchi Musole Maharaza Nyabangere ni mwenye kuendesha uchunguzi maalum kabisa
    Swahili publié par MALIYABWANA Mwin'Anu il y a 4 ans
  • Hali ya utumwa yaendelea nchini India
    Habari zilizotangazwa na shirika la upashaji habari popote ulimwenguni linalokuwa na makao yake mjini Ufaransa
    Swahili il y a 4 ans
  • Kinshasa: Liwali Mwando ahuzuria mkutano wa serikali
    Siku ya tatu tarehe kumi Desemba 1980, mwananchi na liwali wa kivu, mwananchi Mwando nsimba aliondoka mjini Bukavu na kujielekeza katika ziara
    Swahili publié par MALIYABWANA Mwin'Anu il y a 4 ans
  • Mwananchi Djoho awahimiza wageni kutumika vizuri
    Akiendelea na mpango wake maalum wa kukutana na makundi mbali mbali ya wakaaji ili wapate kujenga moyo wa mapendo
    Swahili publié par MALIYABWANA Mwin'Anu il y a 4 ans
  • Raïs Mobutu yupo katika matembezi mjini Paris
    Baada ya kushiriki katika mkutano wa nne wa kilele wa marais wanamemba wa shirikisho la kiuchumi wa nchi zipatikanazo kando kando ya maziwa makuu
    Swahili publié par MALIYABWANA Mwin'Anu il y a 4 ans
  • sokoto alimfeezesna kifunza
    Siku ya sita tarehe 29 novemba iliyopita, bralima na bukavu-dawa walikutana uwanjani ili kugombea nafasi ya tatu kwani Muungano na KFC wamekwisha jipatia nafasi mbili za kwanza mwaka huu.
    Swahili publié par Malekera Bahati il y a 4 ans
  • Muungano, bingwa wa mabingwa jimboni
    Jeshi Muungano laonekana siku hizi kuwa bingwa wa mabingwa wa kivu.
    Swahili publié par Malekera Bahati il y a 4 ans
  • T.P. Mazembe- Africa Sports: Moto utawaka?
    Siku ya mungu, tarehe 7 desemba ijao inaaminika kuwa moto utawaka kati ya Mazembe ya Lubumbashi na Africa sports ya Abidjan.
    Swahili publié par Malekera Bahati il y a 4 ans
  • Bilima na Canon wameanguka mabwa: 2-2
    Bilima ya kinshasa na canon sportif ya yaoundé wameanguka mabwa kwa magoli mawili pande zote kisha mapambano yao ya kwanza ya mashindano
    Swahili publié par Malekera Bahati il y a 4 ans
  • Mwananchi Makolo amesema: "Bukavu haisonge mbele!"
    Gazeti letu "JUA" lilikwisha andika mengi na hata kuwatolea mashauri bora wenyeviti wa mitaa popote mjini Bukavu
    Swahili publié par MALIYABWANA Mwin'Anu il y a 4 ans
  • MRND yaendesha mtaguso wake wa tatu
    Kufuatana na kanuni zake, MRND (Chama kinachohusika na kuimarisha mapinduzi nchini Rwanda kikiendesha kwa bibii ujenzi kisasa na vivi hivi)
    Swahili il y a 4 ans
  • Mobutu, Habyarimana na Bagaza watakutana Bujumbura
    Inaaminika sasa kuwa mkutano wa nne wa kilele wa Shirikisho la Kiuchumi ambalo lakusanya Zaïre, Burundi na Rwanda
    Swahili publié par Mutiri-wa-Bashara il y a 4 ans
  • Ujenzi wa kivu ni mapashwa ya kila mkaaji
    Siku ya kwanza tarehe moja desemba 1980 wakati wa jioninaibu wa liwali wa kivu ahusi.
    Swahili publié par MALIYABWANA Mwin'Anu il y a 4 ans
  • Uhariri: umoja uimarishwe milele
    Burundi, Rwanda na Zaïre ni nchi tatu kati ya nyingine nyingi zinazounda Bara letu la Afrika.
    Swahili il y a 4 ans
  • Bukavu: Mayimoto imetoka jasho mbele ya safari: 3-2
    Siku ya sita terehe 1 Novemba (mwezi huu), Mayimoto ilikutana na safari.
    Swahili publié par MUSEMI KILONDO NKULA il y a 5 ans
  • Mchezaji mmoja amefariki uwanjani
    kufuatana na habari kutoka Ufaransa, habari ambazo zilitangazwa na "MJUMBE", gazeti linalopigwa chapa kila siku mjini Lubumbashi
    Swahili il y a 5 ans
  • A.F.B. Imeihurumia
    Kisha kuchunga ombi la kuhurumiwa walilotumiwa na wanamemba wa kweli wa jeshi la "C.S. BRALIMA"
    Swahili il y a 5 ans
  • Bralima ina kamati yake mpya
    Kisha azabu ya kutocheza iliyopewa na uwakili unaohu sika na kuimarisha usawa katika uendeshaji wa michezo
    Swahili il y a 5 ans
  • Jeshi la zaïre litakutana na lile la kisiwa cha Bugi
    Kwa kusema kweli, mwaka huu ni wa ufufuko wa mchezo wa kabumbu ya miguu wa taifa letu katika bara la afrika.
    Swahili il y a 5 ans
  • Mkuu anayehusika na kazi za ugawanyaji udongo amewakaripia wasaidizi wake wasio na zamiri njema
    Tangu tarehe 29 octoba iliyopita, katibu wa serikali anayeshurulika na uongozi wa kazi za kugawa udongo kwa wakaaji wanaohitaji kujenga makao yao
    Swahili il y a 5 ans
  • Rusthuru: Kazi za ujenzi wa visixa vya maji ya kunywa zasonga mbele
    Baada ya safari yake ya uchunguzi katika wilaya ya kivu ya kaskazini, katibu wa wizara ya mlimo na maendeleo ya vijiji
    Swahili il y a 5 ans
  • Eti Igwabi atamuua kabwe Os'Atocho
    Kwa kusema kweli kuna wakubwa wengi wasiostahili kuitwa WAKUBWA.
    Swahili il y a 5 ans
  • Bukavu: Gari la wafu litatolewa kwa wakaaji
    Siku ya Kwanza tarehe 3 Oktoba 1980, naibu wa liwali wa kivu ahusikaye na mwenendo wa siasa, mwananchi Djoho Tayeta, alisimamia sherehe maalum ya kumkabizi
    Swahili publié par M.M il y a 5 ans
  • Uvira: Shirika "Sagrico" Lilinunua pamba nyingi kidogo mwaka huu
    Ndugu Masimango Ilundu Busanya mwalisikishi wa sauti ya ZaIre mjini Uvira, alituandikia siku hizi kuwa, shirika "Sagrico"
    Swahili il y a 5 ans
  • Kinshasa: Bilima itakutana tena na union sportive kesho
    Jeshi la "A.S. BILIMA" la kinshasa ambalo lasimamia taifa letu katika mapambano ya kugombea kombe la mabingwa (Coupe d'Afrique des club Champions)
    Swahili il y a 5 ans
  • Mganga mmoja wa uwongo amevumbuliwa katika majeshi ya aokarl halali
    Katika toleo lake moja, SALONGO(gazeti linalopigwa chapa kila siku mjini kinshasa), lilitangaza kwamba wakuu wa majeshi wamepata kumvumbua mganga mmoja wa uwongo aliyekuwa akiongoza kazi za matibabu kwa askari
    Swahili publié par MUSEMI KILONDO NKULA il y a 5 ans
  • Akitokea Beni na lUBERO/ lIWALI AMEKWISHA RUDI NYUMBANI
    Baada ya kubaki muda wasiku mbili katika mitaa ya lubero na beni ambako alisindikizwa na mwananchi Mbayahe Lusenge
    Swahili il y a 5 ans
  • Liwali Mwando kwa wakaaji wa Bukavu: Muzidi kuimarisha amani katika jimbo letu
    Liwali Mwando Nsimba alisimamia binafsi sherehe za kuwaonya kiserikali manaibu wake wawili, wananchi Djoho Tayeta na makolo Jibikilayi kwa wakaaji wa Bukavu.
    Swahili il y a 5 ans
  • walungu: Liwali wa kivu alihimiza wakaaji kuzidisha mlimo wa vyakula
    Katika mkutano wa kazi aliosimamia binafsi pa Walungu, Liwali Mwando Nsimba aliwaomba wasaidizi wake popote walipo katika mtaa huo wawahimize wakaaji kushurulika zaidi na mlimo wa mashamba ambamo watapata chakula kingi kwa kujenga vizuri mwili wao.
    Swahili il y a 5 ans
  • Balozi wa Burundi nchini yupo kivu
    Katika juma hii, Balozi wa Jamhuri ya Burundi nchini, ndugu Longin Kanuma, apatikana Jimboni kwa matembezi ya kiserikali.
    Swahili il y a 5 ans
  • Kamati Kuu ya chama itasimikwa tarehe 19 novemba ijayo
    Kama ilivyo kawaida, serikali imefanya mkutano wake wa kila juma ambayo waendeshwa siku ya tano.
    Swahili il y a 5 ans
  • Kindu: Waziri Elebe atazindua kituo cha Televisheni
    Kesho siku ya Mungu tarehe tisa Novemba 1980 Waziri ahusikaye na upashaji habari.
    Swahili il y a 5 ans
  • Bukavu-Dawa Yaanguka mabwa na KFC: 0-0 Mayimoto yainyuka Muungano/Ozacaf: 1-0
    Tangu siku ya Mungu iliyopita, ligi ya mchezo wa mpira jimboni mwa Kivu Iliendesha mashindano katika ukomo wa kupata teza alizomlipia mjumbe wake tikiti ya kujielekeza Mbuji-Mayi ambako aliwakilisha jimbo la kivu kunako fainali ya kombe taifa
    Swahili publié par Kaboyi Habimana il y a 5 ans
  • Vita Club ilikwa taji la ubingwa wa kandanda nchini
    >apendelevu wa kandanda nchini mwetu walikwisha kulifahamu sana jeshi lililovikwa taji la ubingwa wa mchezo wa kandanda katika jamhuri ya zaïre
    Swahili publié par Kaboyi Habimana il y a 5 ans
  • kesho mjini Ouagadougou: Mazembe ya Lubumbashi itapambana na Kadiogo Bilima yajitayarisha kukutana na Union of Douala
    Jeshi linalijulikana kwa jina la Mazembe mjini Lubumbashi lasonga mbele katika michezo ya kugombea kombe la mabingwa wa Afrika
    Swahili publié par Kaboyi Habimana il y a 5 ans
  • Bukavu: Wanawake masikini walipewa vitenge
    anazaire walishererehekea, siku ya tatu tarehe 22 oktoba mwaka huu ukumbusho wa miaka mitatu tangu kufariki kwa Mama Mobutu.
    Swahili publié par MUNYOLOLO KIPENE il y a 5 ans
  • Kamituga: Askari jeshi Bulikani na Bokelo walimuua bure ndugu Kwabene
    Gazeti letu limekwisha andika na kutangaza mara nyingi mambo yemye kubusu uhuni, wizi unyanganyi na uuaji wa kiyanguyangu wa askari jeshi
    Swahili il y a 5 ans
  • Liwali Mwando ataenda Walungu
    Mwananchi Mwando Nsimba, Liwali wa kivu, ataenda leo Walungu akiwa katika matembezi ya kiserikali.
    Swahili il y a 5 ans
  • Mwananchi Lokomba alisema: "Raïs Mobutu ni mwanye mapendo makuu kwa wananchi"
    Siku ya kwanza tarehe 27 oktoba 1980, mwenyekiti wa mji wa Bukavu mwananchi Lokomba kumuadeboni alisimamia mkutano wa pekee wa kiraia kunako soko kuu "Mama Mobutu"
    Swahili publié par MALIYABWANA Mwin'Anu il y a 5 ans
  • Lupopo yaalikwa kucheza Bujumbura
    Habari kutoka Bujumbura, mji mkuu wa jamhuri ya Burundi zikitangazwa hivi na radio "Sauti ya Zaïre"
    Swahili publié par Kaboyi Habimana il y a 5 ans
  • Kombe la Afrika: Mazembe imemlaza kadiogo, lakini...
    Katika mashindano ya nusu fainali (1/2 finale) ya kugombea kombe la Afrika la mabingwa
    Swahili publié par Kaboyi Habimana il y a 5 ans
  • Mpira wa vikapo: Bukavu-Dawa inaangusha Muungano
    Siku ya Mungu tarehe 18 Oktoba 1980, wabinti wachezaji wa mpira wa vikapo wa jeshi la Bukavu-dawa walipambana macho kwa macho na wapinzani
    Swahili publié par Kaboyi Habimana il y a 5 ans
  • Kesho ni kivumbi na jasho: Lubumbashi Sports itapambana macho kwa macho na Vita Club
    Wapenda kandanda wa nchi yetu wakiungana pamoja na wale wote wanaofuata kwa karibu maendeleo ya mchezo
    Swahili publié par Kaboyi Habimana il y a 5 ans
  • Muungano yaishinda KFC: 2-1
    Mashindano ya mchezo wa kandanda ya kugombea taji la ubingwa wa "AFBU" yazidi kusonga mbele.
    Swahili publié par Kaboyi Habimana il y a 5 ans
  • Ibanda: Masomo ya sekondari ya Ibanda imepata pia kamati mpya ya wazazi
    Mnamo tarehe 12 Oktoba ba mwaka huu, kamati ya wazazi wa masomo ya sekondari ya Ibanda imechaguliwa.
    Swahili il y a 5 ans
  • Bagira: Chuo "Bingwa" kimepata kamati mpya ya wazazi
    Siku ya Mungu tarehe 19 oktoba mwaka huu, wazazi wa wanafunzi kunako chuo cha msingi kii twacho "Bingwa",
    Swahili il y a 5 ans
  • Luvungi: "P.A.M." si kazi ya mzaha?
    Siku hizi, kiongozi wa mkoa mdogo wa luvungi, mwananchi Ndaye Kimbumbu yupo katika kazi ya kuwanimiza wakaaji wake
    Swahili publié par MALIYABWANA Mwin'Anu il y a 5 ans
  • Shirika "Pharmakina" liamemshinda mwananchi Mudibani
    Kesi inayotenga shirika "PHARMAKINA" na mwananchi Mudibani Nsumbu imekwisha malizika.
    Swahili il y a 5 ans
  • Bukavu: "SONAS" Iliwalipa wanafunzi watano kwa misiba iliowatukia
    Siku ya sita tarehe 18 oktoba 1980, kiongozi wa shirika la Bima, yaani "SONAS" humu jimboni
    Swahili publié par MALIYABWANA Mwin'Anu il y a 5 ans
  • Masikilizano
    Juzi tulikuwa marafiki wa kweli, Moto ukawaka nyoyoni mwetu
    Swahili publié par Mazingi Muvuma il y a 5 ans
  • Tangazo la kifo
    Mwananchi Kyamunyonghe Ibabu Buli alunga na mkewe Kandolo mukejina %ishiùba wa kasongo wana uchungu mwingi
    Swahili il y a 5 ans
  • Wakaaji wa fizi wanampigia mwananchi Sabim aksanti
    JUA mpenzi, Sisi wakaaji wa Fizi tunamshukuru sana mwananchi Sabim, mfanyabiashara katika mtaa wetu wa Fizi tangu mwaka 1918.
    Swahili il y a 5 ans
  • Televisheni Itazinduliwa Mjini kindu
    Habari moja yenye kuaminika toka Kindu, mji mkuu wa wilaya ya Maniema, yahakikisha kwamba kituo cha televisheni
    Swahili il y a 5 ans
  • Goma: Msenegali mmoja alinaswa na pembe 233 za tembo na gunia 4 za ngozi ya mamba
    Siku hizi, mwenyekiti mpya wa wilaya ya kivu ya kaskazini, mwananchi Likita, alisimamia mkutano wa kawaida wa Chama cha Mapinduzi katika wilaya yake.
    Swahili il y a 5 ans
  • kesho tarehe 26 Oktoba 1980: Rwanda washerehekea miaka saba tangu kuundwa kwa askari jeshi la taifa
    Kesho siku ya Mungu tarehe 26 oktoba 1980, ndugu Banyarwanda watasherehekea miaka saba
    Swahili il y a 5 ans
  • Beyrouth: Bikira Maria atokea wamama
    Mabikira wa boma ilitwalo "Saydeth el-Hosn", mjini Beyrouth katika jamhuri ya Liban,
    Swahili il y a 5 ans
  • mbele ya mwaka huu kumalizika: Matatizo yanayosonga bado mwendo wa chama yatatauliwa nchini
    Mwanamemba wa chumba cha siasia nchini, katibu mtendaji wa Chama cha Mapinduzi mwananchi Bo-Boliko Lokonga,
    Swahili il y a 5 ans
  • Bukavu: Mwananchi Makolo alichungua vyumba vya kazi za serikali
    Liwali wa Kivu ahusikae na mwenendo wa kazi za serikali, mwananchi Makolo Jibikilayi, aichungwa kwa karibu vyunmba mbali mbali
    Swahili il y a 5 ans
  • kesho siku ya Mungu: Tanzania itamchagua Raïs Nyerere kwa mara ya tano
    Habari kutoka Dar es-saalam, mji mkuu wa jamhuri ya Tanzania, zinaeleza kuwa uchaguzi utaendeshwa popote nchini kesho siku ya Mungu tarehe 26 oktoba 1980
    Swahili il y a 5 ans
  • walungu: Mwananchi Biringamine wa Kamisimbi anajibu
    Katika gazeti lako lenye namba 83 lililopigwa chapa mnamo tarehe 27 septemba mpaka tarehe 3 oktoba 1980,
    Swahili il y a 5 ans
  • "OMS" yashurulika na afya ya watoto wachanga Jimboni
    Baada ya kubaki muda wa siku tatu mjini Bukavu, ujumbe wa shirika lihusikalo na kuimarisha ulinzi bora wa afya ya watu ulimwenguni kwa kifupi
    Swahili il y a 5 ans
  • kwako bibi: tunaweza kuchanjwa kwa kuepuka ugonjwa wa maini
    Kuna aina mbali mbali zamagonjwa ya maini. Uchunguzi wetu wa leo utaelekea hasa magonjwa yanayo shambulia maini yaitwayo "hépatite A"
    Swahili publié par MUNYOLOLO KIPENE il y a 5 ans
  • Kivu ya kaskzini: Mwananchi Likita alikutana na wasaidizi wake
    Punde kidogo tu Baada ya kuonywa kwake kiserikali mbele ya wanamemba wa kamati ya chama cha Mapinduzi na mbele ya wasaidizi
    Swahili il y a 5 ans
  • Bwana Kronacker alisema: Nitafanya vyote niwezavyo ili Shirika ya Kiliba intengeneze toni 30.000 za Sukari kwa mwaka
    Siku hizi, bwana Kronacker, mtajiri na mkuu wa wabeleji wanaochanga mali yao kwa kutumikisha shirika lihusikalo na utengezaji sukari pa kiliba
    Swahili publié par MALIYABWANA Mwin'Anu il y a 5 ans
  • Aneza yahusika na hali mbovu ya uchumi jimboni
    Juma Iliyopita, mwananchi Mwando N'simba, Liwali wa jimbo, alisimamia mkutano maalum wa kazi katika biro yake.
    Swahili publié par MUSEMI KILONDO NKULA il y a 5 ans
  • Kupiganisha ukosefu wa uzazi kazi bora ya chama cha kutonga na uzazi
    Kukosa kuzaa ni kitu kinachotukia tangu zamani kwa watu wamoja.
    Swahili publié par Dr. Kapagama Mukobya il y a 5 ans
  • tchad: Vita vikali san vilitukia mjini N'Djemema
    Habari kamili ambazo zilitangazwa na radio mjini Yaoundé nchini cameroun, Zinahakikisha kuwa vita vikali sana vilitukia N'Djamena
    Swahili il y a 5 ans
  • Sababu aliiba mifuko 30 ya mchele: Shindano, kalani wa zamani wa Sominki amefungwa miezi sita
    Mnamo tarehe 10 mwezi huu, waamzi wa korti (tribunal) kuu katika udongo wa Maniema walitoa hukumu ya kumfunga mwananchi Shindano
    Swahili il y a 5 ans
  • Wapangaji wenyi deni kubwa kwa "Sonas" watafukuzwa bila huruma
    Naibu wa Liwali wa Kivu ahusikaye na kasi za serikali, mwananchi Makolo Jibikilay alisimamia siku hizi mkutano maalum ambano alikubaliana na mwananchi Massa na Ngoy.
    Swahili il y a 5 ans
  • Rwanda: Serikali yahusika na uchumi
    katika juma hii; Mheshimiwa Raïs wa jamhuri ya Rwanda, Jemadari Juvenal Habyarimana alisimamia binafsi mkutano wa mawaziri unaofanyika kila juma.
    Swahili publié par MUSEMI KILONDO NKULA il y a 5 ans
  • Watu xaliomjua hutoa ushahidi wao
    Kiongozi wa gazeti letu, mwananchi Mutiri-wa-Bashara alifanya juhudi kwa kukutana na wamoja kati ya watu waliojaliwa heri
    Swahili publié par MUSEMI KILONDO NKULA il y a 5 ans
  • Raïs Mobutu: Bingwa wa Michezo
    Leo, wanachama cha Mapinduzi hungoja kwa huba kuowa kusherehekea katika usaza na furaha isiyokuwa na mipaka
    Swahili il y a 5 ans
  • Kifupi cha maisha ya Raïs Mobutu
    Raïs Mobutu Sese Seko, alizaliwa mjini Lisala, Tarehe 14 oktoba 1930 katika kabila ya Ngbadi.
    Swahili publié par MALIYABWANA Mwin'Anu il y a 5 ans
  • Liwali Mwando alitoa maelezo kamili kuhusu maisha ya Raïs Mobutu
    Mwananchi Bayoka Mukoko, ambaye ni kipofu tangu kuzaliwa kwake amejipatia mwaka huu cheti chake cha majifunzo kunako univasti ya kialimu mjini tunis.
    Swahili il y a 5 ans
  • Institut Bangu-Bagira: Masomo mapya yatajengwa Lini?
    Wazazi wamoja wenye kuwa na watoto wao katika Institut Bangu katika mtaa wa Bagira walikuwa siku hizi na wasi wasi kuhusu feza walizotoa
    Swahili publié par CIKURU BATUMIKE il y a 5 ans
  • Bukavu: Liwali Mwando alizindua kiserikali ulalo wa Ruzizi ya Kwanza
    Siku ya tatu tarehe 8 oktoba 1980, mwanamemba wa chumba cha siasa, Liwali Mwando Nsimba alizindua kiserikali ulalo wa Ruzizi
    Swahili il y a 5 ans
  • Miaka 50 ya Rïs Mobutu: Furaha yetu ingekuwa kubwa mno Ikiwa Mama Mobutu aliishi mpaka leo
    Wakati tana yetu laungwa mkono na marafiki pia ndugu zetu kutoka kusini, kaskazini, Mashirika na Magharibi ya ulimwengu,
    Swahili il y a 5 ans
  • Kinshasa: Raïs Mobutu na Mama Bobi Ladawa walitia shada la maua juu ya Kaburi ya marehemu Mafema
    Tutakumbuka kuwa Baada ya kubaki zaidi ya mwezi moja Ulaya ya Magharibi alipotembelea Ubelgiji
    Swahili il y a 5 ans
  • Argentine: Mama mmoja mwenye watoto 44 amepata mimba ya 45
    Habari zinazoaminika kutoka Santiago, mji mkuu wa jamhuri ya Argentine zaeleza kwamba, mama mmoja aliyekwisha zaa watoto 44 alibeba mimba ingine ya 45.
    Swahili il y a 5 ans
  • Kombe taifa kisha kuangusha hearts of Oak: Bilima ya kinshasa itatoana jasho na Union ya Douala
    Siku ya Mungu, tarehe 28 septemba iliyopita, Bilima ya Kinshasa ilijipata ushindi wakati ilipoiangusha Hearts of Oak ya Accra kwa bao moja kwa bila.
    Swahili publié par Kaboyi Habimana il y a 5 ans
  • Wilaya ya kivu ya kaskazini itashiriki katika michezo itakayoendeshwa mjini bukavu
    Habri kutoka Goma, mji mkuu wa wilaya ya kivu ya kaskazini zinaereza kuwa tangu kesno, tahereh 4 oktoba 1980.
    Swahili publié par Kaboyi Habimana il y a 5 ans
  • Mpira wa vikapo: Zaïre yaomba muda mrefu matayarisho kwa wanawake kugombea kombe la Afrika
    Habari kutoka wizara ya michezo na maburudirikali imeomba ipewe muda murefu wa kutayarisha mashindano ya mpira wa vikapo
    Swahili il y a 5 ans
  • Leo ni kivumbi na jasho: Kfc itasagana na Muungano mbele ya mchezo kati ya Bukavu-Dawa na Bralima
    Kufuatana na sherehe za miaka 50 ya kuzaliwa kwa Raïs wa Jamhuri ya Zaïre,
    Swahili publié par Kaboyi Habimana il y a 5 ans
  • Michezo ya karate: Hoppy na Alamba walianguka mabwa
    Siku ya Mungu, Tarehe 28 septemba Iliyopita, wapenda mchezo wa "Karate" walijielekeza wengi kunako masomo.
    Swahili publié par Malekera Bahati il y a 5 ans
  • Mbio za kinga: Mananchi Bahiga Bashonga ajipatia ushiadi
    Siku ya Mungu, tarehe 28 Septemba iliyopita, Shirika linahusika na uendeshaji wa michezo ya kupiga mbio kwa kinga katika mji
    Swahili publié par Kaboyi Habimana il y a 5 ans
  • Afrika ya kati: Bwana Walter Maktulu akiaskofu mpya wa anglikani
    Habari zinazoaminika kutoka London, mji mkuu wa Ufalme wa Ungereza zinaeleza kuwa bwana walter maktulu
    Swahili il y a 5 ans
  • Maelezo kamili kuhusu malipo ya mishahara ya walimu
    Kama tunavyoelewa sisi sote, serikali imekwisha vumbua namna mpya ya kuwalipa mishahara yao walimu wa masomo ya msingi na wale wa vyuo vya sekondari
    Swahili il y a 5 ans
  • Zimbabwe: Wazalendo wa vyama vinavyopinga Mugabe Wanarudi nyumbani
    Habari zinazoaminika kutoka Zimbabwe zaeleza kuwa kundi la kwanza la wazalendo wa vyama vinavyompinga waziri
    Swahili publié par MUNYOLOLO KIPENE il y a 5 ans
  • Tanzania yajitayarisha kumchagua raïs wake
    Habari zinazoaminika kutoka Dar es-Salaam, mji mkuu wa Jamhuri ya Tanzania zinaeleza kwamba chama cha Mapinduzi,
    Swahili il y a 5 ans
  • Amerika na Angola watasikilizana Lini?
    Habari kutoka Washington, mji mkuu wa Shirikisho la Amerika Zinaeleza kuwa serikali ya nchi hiyo yakusudia sasa kuanzisha mahusiano na serikali
    Swahili publié par MUSEMI KILONDO NKULA il y a 5 ans
  • Liwali Mwando ashurulika na maendeleo ya Kivu wevi wa zahabu na pembe wametiwa mkono
    Mnamo siku ya nne tarehe 2 mwezi huu, mwananchi Mwando N'simba aliwapokea kwa mazungumzo wafuasi wa mabalozi wa Amerika na Ubelgiji
    Swahili il y a 5 ans
  • Kermesse itafanyika katika kiwanda cha "S.T.A"
    Kama tunavyolewa vizuri, tarehe 11 oktoba ijayo, wanachama cha Mapinduzi -vijana na wakuba,
    Swahili il y a 5 ans
  • rwanda: Raïs Habyarimana amerejea nyumbani
    Baada ya safari yake rasmi aliyofanya Amerika, Canada, Utaransa na Libya tangu tarehe 20 septemba mwaka huu,
    Swahili il y a 5 ans
  • kwako bibi: Usimpevushe mtoto wa mwenzako
    Kila mwanadamu ana iazima ya kuishi katika jamu ya watu.
    Swahili publié par MUNYOLOLO KIPENE il y a 5 ans
  • Jamhuri ya Puani ya pembe: Bokassa yupo tayari kurudi nyumbani
    Habari kutoka Paris, mji mkuu wa jamhuri ya Ufaransa na ambazo zilitangazwa na redio Tanzania kutoka Dar es -Salam,
    Swahili publié par Kaboyi Habimana il y a 5 ans
  • Shirika "MEA" lasonga mbele
    Tangu tarehe 8 april 1979 kumeungwa hapa mjini Bukavu shirika maalum lenye kuhusika na kusaidia pia kuchungua matatizo mbali ya wanamemba wake
    Swahili il y a 5 ans
  • Michezo: muungano imeangusha Bukavu-Dawa: 1-0; Ruzizi iliigonga Bralima Bande Rouge: 2-1
    Siku ya sita, tarehe 20 septemba iliyopita, uwanja wa mpira Mobutu Sese Seko ulijaa watu kama vile nyuki katika mzinga.
    Swahili publié par Kaboyi Habimana il y a 5 ans
  • Ujerumani Mashariki: Mwananchi Nzondomyo yupo matembezini Berlin
    Habari kutoka Kinshasa zinasema kwamba mkuu wa bunge (Conseil législatif), mwananchi Nzondomyo A'Dokpe Lingo,
    Swahili il y a 5 ans
  • Kinshasa: serikali yashurulika na kupiga hesabu ya feza itakazotumia mwaka 1981
    Siku ya tatu tarehe 24 septemba iliyopita, waziri mkuu, mwananchi Nguz a karl -i-Bond
    Swahili il y a 5 ans
  • Faradje ndio makao mapya ya wakimbizi Baganda
    Kisha majadiliano kati ya zaire, Uganda na kiungo kinachohusika na maisha ya wakimbizi Baganda wanaoishi katika jiji la Aru
    Swahili il y a 5 ans
  • kindu: Ndege moja ya kiaskari ya aina ya "C130" imeungua
    Siku ya mungu tarehe 14 septemba iliyopita pa saa 11 ya magharibi ndege moja ya kiaskari ya aina ya "C130" imeunga huko kirdu, mji mkuu wa wilaya ya Maniema.
    Swahili il y a 5 ans
  • Misri ilanunua helikopta kutoka italia
    Habari kutoka kairo mji mkuu wa jamhuri ya Misri zinaeleza kuwa Italia ipo tarza kivita za aina ya helikopta.
    Swahili il y a 5 ans
  • Zambia: Ugonjwan wa "Kolera" waangamiza tena wakaaji
    Habari zilizotangazwa na radio Lusaka katika siku zilizopita na kukamilishwa na wasafiri kutoka zambia zaeleza kwamba ugonjwa wa "kolera" wawashambulia siku
    Swahili il y a 5 ans
  • Liwali Mwando alitembelea kivu ya kaskazini
    Mwana memba wa chumba cha siasa akiwa pia liwali wa jimbo la Kivu, mwananchi Mwando Nsimba aliondoka jana siku ya tano hapa mjini Bukavu
    Swahili il y a 5 ans
  • Burundi Ilisherehekea miaka 19 ya ushindi wa "UPRONA"
    Siku ya nne tarehe 18 septembre 1980, barundi walisherehekea siku ya miaka 19 tangu chama cha maendeleo cha Burundi kwa kifupi UPRONA
    Swahili il y a 5 ans
  • Mwamio Kabare Rugemaninzi amefariki dunia
    Habari kutoka Cirunga makao makuu ya mtaa wa Kabare zinaeleza kuwa Mwami wa mtaa wa Kabare akiwa pia kio,gozi
    Swahili il y a 5 ans
  • Kisha Juma tatu: Raïs Mobutu ataeneza miaka 50
    wakaaji wa Lisala wajitayarisha siku hizi kuwapokea marais wa nchi mbali mbali za Afrika
    Swahili il y a 5 ans
  • kadutu: wakaaji 17 wa mkoa wa Funu watahamishwa
    kutuatana na hatua chukuliwa na mwana membuwa chumba cha siasa na liwali wa jimbo la kivu mwananchi Mwando Nsimba 17 wa mkoa wa Funu ambao nyumba zao zapatikana kando ya mfereji unaotoka
    Swahili il y a 5 ans
  • Muungano yaikunguta Mayimoto: 5-0
    Kufuatama na michezo ya marudilio ya kipindi cha pili (2ème journnée de la phase retour); Muungano/Ozacaf ilipambana na Mayimoto, siku ya Mungu tarehe 7 septemba iliyopita.
    Swahili publié par Kaboyi Habimana il y a 5 ans
  • Walungu: KFC imesaga Bukina ya Burhale: 4-1
    Mnamo tarehe 31 Agusti iliyopita, wachezaji wa KFC waliondoka mjini Bukavu na Kujielekeza Burhaje ambako
    Swahili il y a 5 ans
  • Mwananchi: Walumpumpu "Kivu haikubaki nyoma"
    Punde tu kidogo baada walishiriki katika mashiya kurudi kwao mjini Bu-ndano ya mbio za kinga kavu wakitokea Kinshasa
    Swahili il y a 5 ans
  • Kombe la Afrika: Mazembe yainyuka Shooting Star ya Nigeria: 2-1
    Mnamo juma iliyopita, kuliendeshwa Barani Afrika, michezo mbali mbali ya kugombea kombe la mabingwa wa Afrika (coupe d'afrique des vainqueurs des coupes)
    Swahili publié par Kaboyi Habimana il y a 5 ans
  • leo ni kivumbi na jasho
    Kufuatana na sikukuu ya ukumbusho wa kazi za kufundisha watu wazima kujua kusoma na kuandika; (alphabétisation) chumba kinachohusika
    Swahili publié par Kaboyi Habimana il y a 5 ans
  • Kwako bibi: "Herpes" ni hatari sana kwa watoto wachanga
    kama tulivyozungumza nawe siku zilizopita, magonjwa mengi yanayoweza kuwzzmbukia wanawake wenye mimba yaweza kuwaambukia vile vile watoto wachanga hata kuwararua.
    Swahili publié par MUNYOLOLO KIPENE il y a 5 ans
  • Ujerumani ya Magharibi yahusika na maendeleo ya Zaïre
    Tangu siku ya tatu tarehe 10 mwezi huu, waziri wa mambo ya kigeni, mwananchi inonga lokonda Lomé, alifanya safari ya kiserikali Bonn,
    Swahili il y a 5 ans
  • Kwako bibi: Vitunguu sumu ni dawa ya kweli
    Tangu zamani, Vitunguu sumu vilikuwa vikitumiwa kwa kutunza magonjwa mbali mbali.
    Swahili publié par MUNYOLOLO KIPENE il y a 5 ans
  • Ufaransa: Jemadari Mobutu amemjulisha Raïs Giscard D'Estaing
    Kama tunavyoejewa vizuri, Mheshimiwa Mwanzilishi wa Chama cha Mapinduzi, Rais wa Jamhuri,
    Swahili il y a 5 ans
  • Lybya na Syria zaungana
    Siku ya nne tarehe 11 septembre 1980, kuzaliwa kwa jamhuri mpya katika sehemu ya ulimwengu inayokusanya nchi za kiarabu kaskazini ya afrika na mashiriki ya katri (Proche orient)
    Swahili il y a 5 ans
  • karibu nyumbani Liwali Mwando N'simba
    Baada ya safari ndefu iliyomfikisha kwanza mjini kisangani na baadae Goma, liwaji Mwando N'simba amerejea nyumbani jana siku ya tano, tarehe 12.
    Swahili il y a 5 ans
  • Tangu tarehe 20 mpaka 22 Agosti 1980: Wachina waliwaburudisha wakaaji wa mji wa Bukavu
    Kama tuliyowatangazia wasomaji wetu katika toleo la juma ililopita, kundi la wachina kutoka jimbo la shaanxi ambalo lahusika na kuimarisha maonyesho ya utamaduni
    Swahili publié par Kaboyi Habimana il y a 5 ans
  • Mkuu wa zamani wa Air zaïre: Jemadari Molongya amefungwa nguvuni miaka 9
    Mnamo Tarehe 28 Agosti liliyopita, korti ya wito ya Kinshasa imetoa hukumu yake juu ya kesi (affaire) ya wizi wa feza nyingi zilizoibwa na mwananchi Molongya
    Swahili il y a 5 ans
  • Kamati kuu ya chama cha Mapinduzi imekwisha undwa
    Mnamo tahere 2 mwezi huu. Mheshimiwa mwanzilishi wa chama cha Mapinduzi, Rais wa Jamhuri, mwananchi Mobutu Sese Seko,
    Swahili il y a 5 ans
  • Mama Bobi Ladawa ana miaka 35 ya Kuzaliwa
    Kina Mama Bobi-Ladawa ametimiza miaka 35 ya kuzaliwa mnamo tarehe 2 septemba mwaka 1980.
    Swahili il y a 5 ans
  • Kwako Bibi: Unaweza Kupiganisha ukosefu wa masikilizano nyumbani
    Kama tulivyozungumza nanyi siku zilizopita, visa vinavyokuwa msingi wa kuvunjika kwa ndoa ni vingi.
    Swahili publié par MUNYOLOLO KIPENE il y a 5 ans
  • Misri: Panya washambulia mashamba vikali
    Habari kutoka Kairo (Le caire), mji mkuu wa jamhuri ya Misri (Egypte) ambazo Zilitangazwa na "Al Ahmra"
    Swahili il y a 5 ans
  • muungano wa askari wa zamani waamka
    Wakisukumwa na moyo wa kujitetea haki zao, haki ambazo zaonekana kuwa zenye kukanyagwa kila mara matopeni na watu wamoja wabaya, askari wa zamani
    Swahili il y a 5 ans
  • Chumba kinacho husika na ununuzi wa zahabu na alimasi, Miaka 1990 na 1991 imeleta tumaini na nguvu ya kusonga mbele
    Kama kunako vitendo vitakavyobaki mda mrefu ndani ya vichwa vya watu kunako kazi za Benki ya Zaïre, kuumbwa kwa chumba chenyi kuhusika na ununuzi wa zahabu na almasi, ni moja kati ya vitendo vile.
    Swahili il y a 5 ans
  • Je, Umesikia...?
    KUWA, viongozi wa chumba kihusikacho na mambo ya arzi na wale wa ujenzi bora wa jimbo ya kivu ya kusini wapaswa kujiuliza kwa nini kawauzishia wafanyabiashara wakuu wa hapa Bukavu...
    Swahili il y a 5 ans
  • Arkiaskofu Mulindwa ajiuzulu
    Kulingana habari zinazoaminika, Baba Mtakatifu wa Roma, Papa Yoane paulo wa pili, atoka kumtaja askofu Munzihirwa Mwene-Ngabo wa kasongo kama vile kiongozi kwa mda wa arkidiosezi ya Bukavu...
    Swahili publié par André Bisimwa L-B. Tserou il y a 5 ans
  • Yamefungulia mitaani Uvira na Fizi
    Mwaka huu wa masomo 1993-1994 umefunguliwa kwa masomo ya kipekee (privées).
    Swahili publié par André Bisimwa L-B. Tserou il y a 5 ans
  • Maisha mazuri
    Kitu Kizuri gani twaweza kutumainia toka mkutano wa masimulizi na mabishano kati ya wanasiasa?
    Swahili publié par André Bisimwa L-B. Tserou il y a 5 ans
  • Masikilizano ya kinshasa, Waziri mkuu ni tshisekedi ao nani
    Mjini mkuu kinshasa ambako mabingwa wa siasa nchini Zaïre wa pande mbili, hao wa upinzani (USOR) na wenzio wanaomuunga mkono Raïsi wa jamuhuri Mareshali Mobutu Sese Seko (FPC)...
    Swahili publié par Imata Raphael Déwen il y a 5 ans
  • Je, Umesikia...?
    Kuwa, yapata zehebu na madini za kikristo 15 viapigania kustawi huko Lugushwa ambako kwapatikana zahabu nyingi mtaani kote Mwenga na ambako wachimba magodi watwaa vifaa vyao kuenda mitoni?
    Swahili il y a 5 ans
  • Tujenge taifa letu
    Maazimio ya mkutano mkuu wa majadiliano na masikilizano muhimu kunako jumba la raia mjini mkuu Kinshasa yakawia.
    Swahili publié par Imata Raphael Déwen il y a 5 ans
  • Afya: dawa kwa ugonjwa wa malaria
    Ni jani moja toka huko uchina liitwalo "quighoa" ambalo laaminika na sasa kuwa dawa halisi kwa ugonjwa wa maleria.
    Swahili publié par Mutungwa Abandelwa Phély publié par MFI il y a 5 ans
  • Wamama wachuuzi ni wevi!
    Ni mda wa miaka 10 sasa wamama wachuuzi wa nguo (Cotebu, Dubay, Sotexki, Superwax...) na hasa pia wamama wa Zaïre kwenda Burundi na Ishasha wanaiba sana kwa nia yao...
    Swahili publié par Imata Raphael Déwen il y a 5 ans
  • Kuhusu majadiliano ya chumba cha raia huko kinshasa
    Twajua sote ya kama yapata miaka mitatu, nchi ya Zaïre yakabilwa na mizozo na shida za kila aina.
    Swahili publié par Mutungwa Abandelwa Phély il y a 5 ans
  • Je, Umesikia
    KUWA, kwa nia ya kuheshimisha amri ya kingozi wa jimbo la Maniema ambaye ashurtisha viongozi wa mitaa na mkoa wa kakutya kamutolea kiasi kingi cha pesa, bwana kansilebo katoa amri ambayo ni ya kipekee mtaani mwake?
    Swahili il y a 5 ans
  • Watutakia nini?
    Siku kwa siku uwasiwasi watezamiwa nchini Zaïre kutokana na hali ya siasa pia na ya uchumi iliyoko.
    Swahili publié par André Bisimwa L-B. Tserou il y a 5 ans
  • Neno la wasomaji, Itombwe yasonga mbele
    Jua mpenzi, Nikiwa mmoja kati ya wasomaji wako watukufu, nafurahiwa sana na Gazeti letu "JUA" kwa kuwa latujulisha mambo yapitayo katika jimbo letu, nchini Zaïre na duniani kwa jumla.
    Swahili publié par Wissoba Lusambya il y a 5 ans
  • Shirika la SNEL liaminiwe
    Kutokana na matatizo linalo shirika lihusikalo na utoaji na uchuuzi wa moto wa stimu ama Snel na wa "clients" wake, ujumbe toka uongozi mkuu wa shirika hilo mjini Kinshasa na ukiongoza na bibi tokwaulu Aisa,...
    Swahili publié par André Bisimwa L-B. Tserou il y a 5 ans
  • Kifo cha Ndadaye, Mapinduzi kwa damu
    Jaribio la kuipindua serkali lililofanyika na kundi la askari-jeshi nchini Burundi yalainiwa na mataifa ulumwenguni pia laonekana tu la ukabila.
    Swahili publié par Mutungwa Abandelwa Phély il y a 5 ans
  • Wajambazi wa "Essence" Wameshambulia gari la Bralima
    Siku ya inne tarehe 30 desemba 1993, vijana wamoja wa pale Essence, mtaani ibanda katika mji wa Bukavu wamejimiminavpombe ya primus bila kutoa pesa na kufikilia kuvunja gari la shirika Bralima lililokua likizunguuka kwa kuuzisha pombe Primus na kinywaji cha soda.
    Swahili il y a 5 ans
  • Ujanja wa Daktari Kakisingi waleta uwoga
    Sheria inapowekwa ni lazima iheshimiwe.
    Swahili il y a 5 ans
  • Kivu, Viongozi serkalini wayeyushwa ubongo
    Mara nyingi viongozi esrkalini jimboni mwa kivu ya kusini walikutana na wafanyabiashara pia viongozi wa mabenki kwa kutatua tatizo la kupandishwa kwa bei ya bizaa na hali ya kiuchumi yazorota jimboni siku nenda rudi tangu hapo kabadilishwa feza.
    Swahili publié par André Bisimwa L-B. Tserou il y a 5 ans
  • Je, Umesikia
    ziwa ndogo lachipuka huko Muhumba mbele ya makao ya misionari moja mgeni? Hata hivyo, majirani hushanga kuona namna gani ziwa hilo latukia wakati lingefutwa mahali pale.
    Swahili il y a 5 ans
  • Kivu ya Kaskazini Eti ndiyo mwisho wa vita vya ukabila
    Kumefanyika manmotarehe 25 hadi 29 novembre, mkutano mkuu uliowakusanyisha pa Mwesso (ZTM) wajumbe wa makabila zilizo kuwa ndani ya fujo na vita mkali katika mitaa ya walikale...
    Swahili publié par Gabriel Lukeka Bin Miya il y a 5 ans
  • Udemokrasia, amani na chaluka
    Mchoko ao kazaru? Hiyo ni ulizo lafika wengi wanaojifikiri juu ya hali ya kisiasa iliyoko kwa sasa nchini Zaïre.
    Swahili publié par André Bisimwa L-B. Tserou il y a 5 ans
  • "Yayote" ni pesa mbaya
    Siku hizi jimboni mwa kivu ya kusini kwa jumia na mjini bukavu kwa upekee njaa yawatesa wakaaji wanazaïre kama vile wageni.
    Swahili il y a 5 ans
  • Mwaka mpya na mambo mapya!
    Ouf! mwaka wa 1993 umekwisha. tutasherehekea huu wa 1994, katika shangwe na vigelegele tukimsifu Mweny'ezy mungu.
    Swahili publié par André Bisimwa L-B. Tserou il y a 5 ans
  • Taifa Mobutu ahitaji waziri mkuu mpya tarehe 12 januari '94
    katika hotuba yake ya tarehe 4 januari '94 kwa raïa ya inchi ya zaïre kwa jumia Raïs Mobutu alisema kama atafanya yote iwezekanayo ili waziri mkuu mpya atakayeongoza serkali ya mpito ajulikane mbele ya tarehe 12 januari '94.
    Swahili il y a 5 ans