-
A propos de: "les noms arabes sont-ils authentiques"?
Cher Jua,
j'ai lu avec beaucoup d'intérêt l'article de votre lecteur sur les noms musulmans et la brève réponse que vous lui avez réservée.
Boîte postale
publié par
kawaga sefu papa
il y a 4 ans
-
Tuzungumze: Matunzo kwa dawa za asili bora?
Mjini Bukavu kwa upekee na jimboni mwa Kivu ya kusini kwa jumla, vyumba vingi vya matibabu kawa dawa za asili zaote kama buyogaporini...
Swahili
publié par
André Bisimwa L-B. Tserou
il y a 3 ans
-
Kwako bibi : "Kayabunde" ni rafiki baya
Watu wanaosema luga ya kiswahili waweza kujiuliza neno "kayabunde" ama pia "shindikana" latokeya wapi na lina maana gani mjini Bukavu na jimboni mwa Kivu ya Kusini kwa jumla...
Swahili
publié par
Imata Raphael Déwen
il y a 3 ans
-
SOCOODEFI yapinga njaa mtaani Fizi
Ikiwa kuna miradi ya maendeleo jimboni mwa Kivu ya Kusini iletayo mabadiliko vijijini, shirika la Socoodefi (Société coopérative pour le Développement de Fizi) ni moja wapo.
Swahili
publié par
Mutungwa Abandelwa Phély
il y a 3 ans
-
Vyama na demokrasia
Iliruhusiwa kusimikwa nchini Zaïre siasa ya vyama vingi. Na kwa kweli kukaundwa vya kisiasa mamia na mamia. Kitendo hicho kikategemea zaidi ukabila...
Swahili
publié par
André Bisimwa L-B. Tserou
il y a 3 ans
-
Neno la wasomaji: Wachuuzi wa Salamabila watetemeshwa
Jua mpenzi, ni mara ya kwanza nachukuwa kalamu yangu kwa kukuandikia kutokana na vitisho vyatushambulia toka na vyongozi ya hapa Salamabila. Na ninatumaini kama utaweza kunitolea mawazo kwa jambo hilo.
Swahili
publié par
JUA
il y a 3 ans
-
Neno la wasomaji: Wembe warahisisha uwizi katika soko la Kadutu
Ndungu mpenzi JUA, ninakujilisha kwamba mimi ni moja kati ya basomaji wako mashuhuri. Kupendelea kwangu kosoma GAzeti "JUA" kwatokana na vipindi vyaelekea akina mama (kwako bibi) na "Je, umesikia...?
Swahili
il y a 3 ans
-
Kwenyi meza ya duwara kisiasa mjini Kinshasa, Bwana Birindwa kateulirwa waziri mkuu mpya
Kutokana na misukosuko ya kisiasa yaangamiza bado chi ya Zaïre tangu hapo Raïs Mobutu kumuachisha bwana Tshisekedi madaraka ya uwaziri mkuu mwezi ya Ogusti 1992 ingawa kavikwa madaraka...
Swahili
publié par
André Bisimwa L-B. Tserou
il y a 3 ans
-
Birindwa wa UDPS ni yuda?
Kuhusu bwana Faustin Birindwa, gazeti JUA kapendelea kujulisha kwa wasomaji wake yale yasemwayo na vijana wa BBC/Carrefour, mitaani kadutu pa Bukavu. Ndugu P.M. ambaye ni prezidenti wa "Buholo Businessman, Carrefour" (BBC) aloa maoni yake.
Swahili
publié par
Mutungwa Abandelwa Phély
il y a 3 ans
-
Dolari kwenyi mlingoti
Hali ya kiuchumi iliyoko nchini ya tia raïa katika uwasiwasi kwani hawajui nani wategemea ao nani atawaokowa na kuwa ondoa katika shimo la magumu wagandamizua.
Swahili
publié par
André Bisimwa L-B. Tserou
il y a 3 ans
-
Mnamo tarehe 8 marsi 1993, Wamama kasherehekea siku kuu yawo
Kila mwaka wamama washerehekea siku kuu yao mnomo tarehe 8 marsi katika furaha kwa shangwe na vigelegele ulimwengunikote ingawa magumu yatezamiwa kuwaangamiza...
Swahili
publié par
André Bisimwa L-B. Tserou
il y a 3 ans
-
Tuzungumze: Udemokrasia upi katika makanisa za kikristu
Siku izi nchini Zaïre watu wote wajuliza kama katika makanisa ya kikristu, hizo za kiprotestanti na lile la kimbangu, zinazo teteya na kutaja mara na mara jina la mwokonzi wetu Yesu Kristu, udemokrasia upi na utaingia siku gani?
Swahili
publié par
Imata Raphael Déwen
il y a 3 ans
-
Je, umesikia...?
Kwamba: Shirika SNEL kapingwa bumbwazi mataani bagira ambako vijana kapinga shirika hilo kuchukua chombo moja cha kugawa moto wa stimu mutaani mwao na ambacho katezamiwa kupelekwa jimboni mwa Zaare ya juu?
Swahili
il y a 3 ans
-
Mzozo utaisha lini nchini Zaïre?
Akitoa maoni yake kwa wapashahabari kuhusu hali ya Kisiasa yatezamiwa nchini kwa leo, askofu Laurenti Mosengwo Pasinya, prezidenti wa Baraza kuu la Washauri wa Jamhuri nchini Zaïre...
Swahili
publié par
André Bisimwa L-B. Tserou
il y a 3 ans
-
Udemokrasia, madaraka na mapaswa
Mpango wa kufikilia siasa ya udemokrasia wa kweli ndiyo kusema mpango wa ushindi na wa raïa kuchukua madaraka mikononi mwao hauwezi kusimamisha kamwe na mtu yeyote.
Swahili
publié par
André Bisimwa L-B. Tserou
il y a 3 ans
-
Je, Umesikia...?
Kuwa: Makamu wa zamani wa liwali wa jimbo la Kivu ya Kusini, bwana Ngoy Shambuyi, ambaye kaony wa kutumwa, kutumikia mahali mengine angali bado mjini Bukavu?
Swahili
publié par
Imata Raphael Déwen
il y a 3 ans
-
Wakaaji wapenzi wa zone ya Masisi, Walikale, Rutshuru, Nyiragongo na Goma
Wakubwa wa jimbo la Kivu ya Kaskazini (Nord-Kivu) wakishirikiana na wale wa kabila zenyi kuishi katika jimboo hilo...
Swahili
publié par
André Bisimwa L-B. Tserou
il y a 3 ans
-
UDSP/Sud-Kivu yaleta uwasiwasi
Tangu upo bwana Faustin Birindwa ateuliwa kunako "conclave" ya Kishasa kuwa waziri mkuu, mambo ayaemdeki barabara kunako UDPS/Sud-Kivu. Wengi wahakikisha kuwa kuna mchafuko mkubwa kunako UDPS, baazi ya viongozi wake jimboni huwa na hali ya kibaridi na ya kimya.
Swahili
publié par
Mutungwa Abandelwa Phély
il y a 3 ans
-
Kwako bibi: Kugonda siyo kungonjwa ukimwi
Wabinti kama vile wamama, twawaoomba mchagueni katikati ya kifo na mawazi kama vile Dubayi na Superwax! Sababu, siku izi watu wengi wafikiri pengine mtu yeyote anayegonda sherti atajike ugonjwa wa Ukimwi (kwa kifupi upungufu wa kingo mwilini) ama Sida.
Swahili
publié par
Imata Raphael Déwen
il y a 3 ans
-
Je, Umesikia...
Kuwa: mchuuzi moja wa mafuta ya taa hapa mjini Bukavu haregei na kitembo chake chua kujenga bomba la kushota "Essence" kunako "place Mulamba"? Nia yake iliyopingwa marufuko mwaka jana na wanafunzi wa chuo cha Alfajiri na Cirezi hapo walipoandamana barabarani.
Swahili
publié par
JUA
il y a 3 ans
-
Tuzungumze, Wachungaji na siasa katika makanisa
Siasa na injili ni mambo mawili yaliyo tofauti katika matumikio yake. Ila tuseme ya kuwa siasa ya kweli yatoka kwa Mungu sababu hiyo ni njia moja wapo ya kuweza kuongoza watu katika taratibu na hekima ya Mungu.
Swahili
publié par
Mutungwa Abendehwa Phély
il y a 3 ans
-
Mkutano wa kwanza wa wanawake wafanyakazi umekoma
Kulingana na aliko la chumba kihusikacho na mahusiano mema kati ya mashirika ya wafanyakazi katika bara la afrika na shirikisho la umoja wa Amerika.
Swahili
publié par
MUNYOLOLO KIPENE
il y a 4 ans
-
Mapambano ya kombe la dunia
Kutokana na habari za michezo ya mpira katika mapambano ya kugombea kombe la Dunia.
Swahili
publié par
André Bisimwa L-B. Tserou
il y a 4 ans
-
Kadutu: Uwanja wa mpira, "Mobutu" utajengwa
Baada ya kutambua na kujionea binafsi jinsi ambayo uwanja wa mpira "Mobutu Sese seko"
Swahili
publié par
Malekera Bahati
il y a 4 ans
-
O.C. Muungano: Prezidenti Bongongo aendelea na kazi zake
Siku ya Mungu tarehe 21 Decemba iliyopita, Jeshi La "Omnisport Muungano Club" Limeendesha mkutano wake mkuu wa mwisho wa mwaka kunako kilabo chake kipatikanacho katika mtaa wa kadutu.
Swahili
publié par
Malekera Bahati
il y a 4 ans
-
Moto umewaka mjini Kananga
Mabadiliko ya peza yaliyojulishwa na kuendeshwa ata sasa nchini Zaïre yaleta matukio ambayo kila nkaaji na raia azungumuzia kila mara akikutano na mwezi.
Swahili
publié par
Mutungwa Abendehwa Phély
il y a 3 ans
-
Rubenga wa Idjwi amefariki, lakini!
Kufuatana na kifo cha mwami Rubenga kilichotokea kisiwani Idjwi mnamo sku zilizopita, wasimamizi wa makundi Fulani Fulani; wakuu serkalini na wa asili na wakaaji wengi wa mtaa ule kaomboleza na kutoa maoni kazaa kuhusu ayati Rubenga
Swahili
publié par
Mutungwa Abendehwa Phély
il y a 3 ans
-
Ufalme wa Kristu ni ufalme wa haki na mapendo
Nchini Zaïre kutokana na kuzorota kwa siasa ya uongozi, ya kiuchumi na ya kijamii, yatezamiwa mapambano makali yapo kati ya viongozi wa makanisa ya hao wa serkali…
Swahili
publié par
Mzee Munzihirwa
il y a 3 ans
-
Kazi za wakimbizi
Tumesherehekea hapo majuzi kumbukumbu ya Wakimbizi Barani Afrika. Lakini tukichungua kwa kini hali kwa sasa ya Wakimbizi ulimwenguni kutokana na vita viendeshwavyo nchini nyingi toka chuki na waguzi wa kikabila kama vile na rangi na wa kidini...
Swahili
publié par
André Bisimwa L-B. Tserou
il y a 3 ans
-
Bukavu, Ni nani anayewasha moto kunako ISDR?
Kiliweza kupita katika hali ya uwasiwasi na woga kufwatana na mzozo pia fujo kali ilyofanyika wa chuo, ndugu Lubilanji. Siku ile, mwalimu mkuu na kiongozi mkuu wa ISDR, ndungu Lubilanji Katekwa nyara na wanafunzi wake, kapingwa makonde na pia katembezwa kama mwizi na mjambazi wake...
Swahili
publié par
Imata Raphael Déwen
il y a 3 ans
-
Jawabu kwa mzozo wa kisiasa nchini Zaïre ni: Masikilizano na heshima ya mapatano kati ya wanasiasa
Eti Raïs Mobutu akubali kukutana tena na wapinzani... Kwakweli tukichungua kwa karibu nguvu zaendeshwa kwa kuulaza mzozo wa kisiasa ulioko mchini Zaïre, zote zafikilia tu jawabu moja: masikilizano kati ya wanasiasa.
Swahili
publié par
André Bisimwa L-B. Tserou
il y a 3 ans
-
CEPGL: Bonaventure Kidwingira akombolewa na david kusaba
Kufuatana na habari kutoka Bujumbura ambazo zilitangazwa na Radio-Kigali zimesema kwamba ndugu Bonaventure kidwingira, katibu mtendaji wa "CEPGL"
Swahili
publié par
MUSEMI KILONDO NKULA
il y a 4 ans
-
Leo na kesho: mayimoto na muungano yataendesha mikutano yao mikuu
Kufuatana na kalendari iliyoundwa ba shirika lihusikalo na mwenendo bora wa mpira wa miguu mjini,
Swahili
publié par
Malekera Bahati
il y a 4 ans
-
Kombe la afrika: Bilima imeona nyota mbele ya canon: 3-0
Kweli Canon Sportif ya Yaoundé ni jeshi bingwa wa michezo wa kandanda katika bara la Afrika.
Swahili
publié par
Malekera Bahati
il y a 4 ans
-
A.S. Ruzizi itaa mka mwaka kesho?
Tangu siku ya posho, tarehe 29 Desemba iliyopita, Mashindano ya kugombea ubingwa wa michezo ya kabumbu ya miguu mjini bukavu yamekwisha.
Swahili
publié par
Malekera Bahati
il y a 4 ans
-
Mbio za miguu: Mchezaji Mulima anaalikwa Kigali
Shirika lihusikalo na mchezo wa mbio kwa miguu mjini kigali, makao makuu ya Jamhuri
Swahili
publié par
Malekera Bahati
il y a 4 ans
-
Bukavu-Dawa yakaa Juu ya makaa ya moto?
Kufuatana na matatizo yanayoangamiza siku hizi timu la Bukavu-Dawa, wapendelevu wa mchezo wa kandanda mjini Bukavu
Swahili
publié par
André Bisimwa L-B. Tserou
il y a 4 ans
-
Mwananchi Djoho alisimamia sherehe ya miaka 47 ya Kituo cha "INERA-Mulungu"
Siku ya kwanza tarehe 22 Desemba 1980, naibu wa liwali wa kivu ahusikae na mwenendo bora wa siasa jimboni mwananchi Djoho tayeta alisimamia sherehe ya kumbukumbu ya miaka 47.
Swahili
publié par
MALIYABWANA Mwin'Anu
il y a 4 ans
-
Kinshasa: Hakuna ubaguzi kati ya wanafunzi wakimbizi na wananchi
Siku hizi, waziri ahusikae na masomo ya msingi na sekondari, mwananchi Mvuendy Mabeki alipokea Chumbani mwake mwa kazi katika masimulizi ujumbe wa tawi la Umoja
Swahili
il y a 4 ans
-
Katibu mkuu wa chumba cha kuinua maisha ya wanawake nchini yupo Ulaya
Tangu tarehe 21 Desemba, mama Nguz Nlandu Kavidi, katibu mkuu wa chumba kihusikacho na kazi za kuina maisha ya wanawake nchini.
Swahili
publié par
Mutiri-wa-Bashara
il y a 4 ans
-
Maelezo mapya juu ya matumizi ya feza za serikali
Kama ilivyo desturi, kisha mkutano wao waliotanya juu ya kuchungua namna vile feza za serikali zatezamiwa kutumikishwa mnamo mwaka 1981.
Swahili
publié par
MUSEMI KILONDO NKULA
il y a 4 ans
-
Kinshasa: Liwali Mwando ahuzuria mkutano wa serikali
Siku ya tatu tarehe kumi Desemba 1980, mwananchi na liwali wa kivu, mwananchi Mwando nsimba aliondoka mjini Bukavu na kujielekeza katika ziara
Swahili
publié par
MALIYABWANA Mwin'Anu
il y a 4 ans
-
Hali ya utumwa yaendelea nchini India
Habari zilizotangazwa na shirika la upashaji habari popote ulimwenguni linalokuwa na makao yake mjini Ufaransa
Swahili
il y a 4 ans
-
Kadutu: Mwananchi Musole anakusudia kupunguza bei ya vyakula
Siku hizi, naibu wa mwenye kiti wa mtaa wa kadutu, mwananchi Musole Maharaza Nyabangere ni mwenye kuendesha uchunguzi maalum kabisa
Swahili
publié par
MALIYABWANA Mwin'Anu
il y a 4 ans
-
Bukavu yawaka moto kabisa
Katika siku zilizopita tuliweza kutoa nje hali ya kitisho iliyokuwa imekwisha anza kuonekana katika mji wetu wa Bukavu.
Swahili
il y a 4 ans
-
Wakaaji wamoja walibadilisha
Tangu siku ya tatu tarehe kumi na saba mpaka siku ya tano tarehe kumi na tisa Desemba 1980, wakaaji, watumishi katika vyunga
Swahili
publié par
MALIYABWANA Mwin'Anu
il y a 4 ans
-
senegal: Raïs Senghor atajiuzulu
Habari zenye kuaminika toka Dakar, mji mkuu wa Jamhuri ya Senegal zahakikisha kuwa, Rais Léopol Sedar Senghor atajiuzulu kazini mwake.
Swahili
publié par
MALIYABWANA Mwin'Anu
il y a 4 ans
-
Noel ni karibu
Mungu Akasema:
"haya, naona kwamba wakati umekwisha timu kwangu ili nipate kushuka duniani ambako mambo mengi ya ovyo
Swahili
il y a 4 ans
-
kalehe: Eti kiongozi wa bitale ni "mla pupa"
Jua mpenzi
Sisi wakaaji wa mkoa mdogo wa Bitale tunashangaa sana na matendo yasiyokuwa halali ambayo yatendwa kila mara na kiongozi wetu wa mkoa,
Swahili
publié par
Zimkas oka's Mukokobi
il y a 4 ans
-
kadutu: Mwananchi Musole anakusudia kupunguza bei ya vyakula? (suite)
Tutaelewa hapa kuwa, katika ukomo huo bora wa kupunguza bei ya chakula katika mtaa wote wa kadutu
Swahili
publié par
MALIYABWANA Mwin'Anu
il y a 4 ans
-
Ujenzi wa kivu ni mapashwa ya kila mkaaji
Siku ya kwanza tarehe moja desemba 1980 wakati wa jioninaibu wa liwali wa kivu ahusi.
Swahili
publié par
MALIYABWANA Mwin'Anu
il y a 4 ans
-
Mobutu, Habyarimana na Bagaza watakutana Bujumbura
Inaaminika sasa kuwa mkutano wa nne wa kilele wa Shirikisho la Kiuchumi ambalo lakusanya Zaïre, Burundi na Rwanda
Swahili
publié par
Mutiri-wa-Bashara
il y a 4 ans
-
MRND yaendesha mtaguso wake wa tatu
Kufuatana na kanuni zake, MRND (Chama kinachohusika na kuimarisha mapinduzi nchini Rwanda kikiendesha kwa bibii ujenzi kisasa na vivi hivi)
Swahili
il y a 4 ans
-
Mwananchi Makolo amesema: "Bukavu haisonge mbele!"
Gazeti letu "JUA" lilikwisha andika mengi na hata kuwatolea mashauri bora wenyeviti wa mitaa popote mjini Bukavu
Swahili
publié par
MALIYABWANA Mwin'Anu
il y a 4 ans
-
Bilima na Canon wameanguka mabwa: 2-2
Bilima ya kinshasa na canon sportif ya yaoundé wameanguka mabwa kwa magoli mawili pande zote kisha mapambano yao ya kwanza ya mashindano
Swahili
publié par
Malekera Bahati
il y a 4 ans
-
T.P. Mazembe- Africa Sports: Moto utawaka?
Siku ya mungu, tarehe 7 desemba ijao inaaminika kuwa moto utawaka kati ya Mazembe ya Lubumbashi na Africa sports ya Abidjan.
Swahili
publié par
Malekera Bahati
il y a 4 ans
-
Muungano, bingwa wa mabingwa jimboni
Jeshi Muungano laonekana siku hizi kuwa bingwa wa mabingwa wa kivu.
Swahili
publié par
Malekera Bahati
il y a 4 ans
-
sokoto alimfeezesna kifunza
Siku ya sita tarehe 29 novemba iliyopita, bralima na bukavu-dawa walikutana uwanjani ili kugombea nafasi ya tatu kwani Muungano na KFC wamekwisha jipatia nafasi mbili za kwanza mwaka huu.
Swahili
publié par
Malekera Bahati
il y a 4 ans
-
Raïs Mobutu yupo katika matembezi mjini Paris
Baada ya kushiriki katika mkutano wa nne wa kilele wa marais wanamemba wa shirikisho la kiuchumi wa nchi zipatikanazo kando kando ya maziwa makuu
Swahili
publié par
MALIYABWANA Mwin'Anu
il y a 4 ans
-
Mwananchi Djoho awahimiza wageni kutumika vizuri
Akiendelea na mpango wake maalum wa kukutana na makundi mbali mbali ya wakaaji ili wapate kujenga moyo wa mapendo
Swahili
publié par
MALIYABWANA Mwin'Anu
il y a 4 ans
-
"OFIDA" yakusudia kukomesha wizi mipakani
Siku ya pili tarehe sita Januari muaka huu, "OFIDA", chumba kihusikacho na kazi za uchunguzi, upekuzi na kulipisha kodi ya biashara na mizigo mipakani...
Swahili
publié par
Mutiri-wa-Bashara
il y a 3 ans
-
Wanachama wa Kivu wanapinga kabisa wa wale wabunge 13
Siku ya nne tarehe 8 Decemba 1980, liwali wa Kivu, mwanasiasa Mwando Nsimba alisimamia mkutano moja maalum alimozungumza kimapinduzi kabisa na wanamemba wa kamati wa chama...
Swahili
publié par
Mutiri-wa-Bashara
il y a 3 ans
-
Waziri mkuu Nguz a karl I Bond alisema: "Kuna kitumaini kikubwa cha kuina uchumi wa taifa letu"
Siku ya tano tarehe 26 Decemba 1980, mwanamemba wa chumba kikuu cha siasa na wakamati ya chama cha Mapinduzi nchini , waziri mkuu Nguz a Karl I Bond alisimamia mkutano wa kawaida ya mawaziri ambao ulikuwa wa mwisho katika mwaka 1980
Swahili
publié par
Mutiri-wa-Bashara
il y a 3 ans
-
Nigeria: Askari jeshi wamewaoka mateka 65_waliofungwa na waislam wa "Al Masifu"
Habari zinazoaminika soka Lagos mjii mkuu wa Jamhuri ya Nigeria, zaeleza kuwa, mnamo tarehe 29 Decemba ilyopita, askari jeshi wamewaokoa watu 65 walioshikua mateka na waislam wa tawi la "Al Musifu" wakati wa fujo iliyoendeshwa na kundi hilo ...
Swahili
publié par
Mutiri-wa-Bashara
il y a 3 ans
-
Mwana siasa wa kwanza
Muungano wa wapashaji habari nchini (UPAZA) ulimtaja Raïs Mobutu Sese Seko kua muanasiasa mkuu nchini mwetu kwa mwaka 1980 kufuatana na busara pia hekima yake kubwa katika kutuongoza.
Swahili
publié par
Mutiri-wa-Bashara
il y a 3 ans
-
Raïa wazulumiwa
Tangu mizo ya kisiasa kuzuka nchii kati ya vikundi viwili: kundi lamuunga mkono ya Raïs wa jamhuri na lile lategemea upinzani na siasa kali tuseme kwa kifupi makundi ya mabwana...
Swahili
publié par
André Bisimwa L-B. Tserou
il y a 3 ans
-
Tuzungumze: Gani habari ya kweli ?
Baada ya mamlaka tatu ya serkali: mamlaka ya kutenda (pouvoir exécutif), mamlaka ya sheria (pouvoir législatif) na mamlaka ya haki (pouvoir d'informer) iitwayo mamlaka ya ine. Makundi ya watu hayawezi kwishi bila kupasha...
Swahili
publié par
Mutungwa Abandelwa Phély
il y a 3 ans
-
Uhariri: Shangwe na Shukrani
Kutokana na hali ya Kisiasa, ya kijamii na ya kiuchumi iliyo nchini, uwasiwasi wawashika raïa na maisha huwa ngumu siku kwa siku...
Swahili
publié par
André Bisimwa L-B. Tserou
il y a 3 ans
-
Neno la wasomaji: Viongozi wa chama cha MPR hawahelewi si asa ya nchi
Tangu mageuzi ya siasa yakubaliwe rasmi nchini Zaïre, bada ya upinzani mkali wa wanainchi, mambo na kelele hayakomi kwa wanasiasa wa MPR...
Swahili
il y a 3 ans
-
Afya: Sherti wanaozalisha waelimishwe
Wamama wanaozalisha kwa mjia kiasili wafanya kazi njema vijijini barani Afrika. Kitendo hicho chatokana na kitambo cha mahali wakaapo na hospitali, malipo ya matibabu na mara wamama wengi vijini hawajui...
Swahili
publié par
Mutungwa Abandelwa Phély
il y a 3 ans
-
Je, umesikia...?
Kuwa: Wanafunzi wa chuo cha maelimisho ya utundi hapo majuzi kamuendea arkiaskofu wa dini la kikatoliki mjini Bukavu na kumuomba amuondoe madarakani padri kiongozi wa chuo hicho "ITFM" ?...
Swahili
il y a 3 ans
-
Mwenga: Viongozi wa masomo la kanisa "CELZA" waangamiza walimu wao
Jua mpenzi, sisi walimu kunako masomo na kanisa la kiprotestanti, tawi la " CELZA", katika mtaa wa Mwenga, tunaangamizua sana na viongozi watatu wa masomo hayo...
NENO LA WASOMAJI
il y a 3 ans
-
Kalima: Hakuna beyi nzuri katika soko
Jua mpezi, mimi ni mmoja kati ya wasomaji wako wa dalma. Ukiwa msnauri wetu mkuu, nitakuomba ukubali kuwashauri wasimamizi wa solo la hapa Kalima...
NENO LA WASOMAJI
il y a 3 ans
-
Uvira: Mwananchi Teganyi Musirwa anatumbeza na magoti
Jua mpezi, upendezwe kupokea na kutangaza barua yangu hii kwani umetuomba kukuunga mkono katika kazi yako ngumu ya kutangaza habari na kuwaadibilisha wasomji wako...
NENO LA WASOMAJI
il y a 3 ans
-
Bukavu: Shirika ya "S.N.C.Z ." laonya mfano bora !
Tangu wakati ambao viongozi wa shirika la kiserikali lihusikalo na uchukuzi pia usafirishaji wa biashara, mizigo na binadamu mwa jia ya treni na meli, yaani "société nationale des chemins de fer du Zaïre" walitambwa kwamba maisha yana...
HABARI ZA JIMBO NA POPOTE
il y a 3 ans
-
Kamati ya vijana watumishi imesiimikwa katika shirika B. ISRAEL
Siku ya sita tarehe 20 Decemba 1980, kamati ya vijana watumishi katika chama cha Mapinduzi katika shirika "B. Israël et Fils" imesimikwa na kuonywa kiserikali kunako hoteli Metropole mbele ya mwenyekiti wa mji ya Bukavu, muananchi Lokomba Kumuadeboni.
HABARI ZA JIMBO NA POPOTE
publié par
MUNYOLOLO KIPENE
il y a 3 ans
-
Kivu ya kushini: Waunguzi wa asili waendelea vema na kazi zao
Mnamo siku zilizapita kiongozi kwa muda wa kamati ya waunguzi wa asili (wafumu) katika wilaya ya Kivu ya kusini, muananchi Kakozi Kithesi alisimamia mkutano moja maalum wa mwisho wa mwaka ambano alijifunza pamoja na mwezie...
HABARI ZA JIMBO NA POPOTE
publié par
MALIYABWANA Mwin'Anu
il y a 3 ans
-
Kwako bibi: Wanyama wenye wazimu waambukiza wakaaji ugonjiwa huo?
Ikiwa tunazungumza na wasomaji wetu juu ya ugonjwa wa mbwa, paka ao wanyama wanye wazimu (animaux enragés), ni hasa katika ukomo wa kuepuka ugonjwa huo unaweza kumuambukia binadamu wa kati unapoumwa na waniama wenye ugonjwa huo wa hatari.
Swahili
publié par
MUNYOLOLO KIPENE
il y a 3 ans
-
Wakati gani kupewa posho?
Ikiwa tunazungumza katika maandishi yetu na kujiuiza wakati gani ambao kina mama aweza kupewa kwa kulisha familia yake, ni sababu ya malambiko mengi ya nayotufikia toka pepo nne za jimbo letu kuhusu fujo inayotukia wakati mabwana mapokea mishahara yao.
HABARI ZA JIMBO NA POPOTE
publié par
MUNYOLOLO KIPENE
il y a 3 ans
-
Eti woga wawatetemesha viongozi nchini
Nchini Zaïre woga watuma watu wengi kuota mabawa , tutwika miguu shingoni na kutyatuka kama ndege wasijue mahali wakwendako na mizigo wabeba. Jambo hilo laanekena na wana-Zaïre ambao yapitika nchini toka hali kisiasa yakumba nchi tangu miezi kazaa.
Swahili
il y a 3 ans
-
UHARIRI: uwe wa heri na fanaka
ouf! Twafika mwaka mpya wa 1993, Mambo mengi yamepita na mwaka wa 1992 kwa namna wa mwendo wa kunguru.Tukitupa jicho nyuma tutajionea wenyewe namna gani mwaka 1992 wateremusha na usito wa magumu, raha, mipando na miporomoko ya maisha. sisi sote, hasa Wana-Zaïre, Kanshukuru Mungu Mweny'Ezikiwa shangwe na vigelegele kulotana na mambo kajionea.
Swahili
publié par
André Bisimwa L-B. Tserou
il y a 3 ans
-
Kivu ya Kaskazini Mwanasiasa Nyemisi Kauwawa
Bwana Henoki Nyamwisi Muvingi, waziri wa zamani wa michezo pla wa utamaduni nchini mwetu ameuwawa kwa risasi siku ya ijumaa nne terehe 5 januari 1993 pa Butembo katika mtaa wa Lubero.
Swahili
publié par
Gabriel Lukeka Bin Miya
il y a 3 ans
-
Kivu ya Kusini Sikash yaendelea kuhusika na afia ya wakaaji
Kutokana na magumu mengi kapata wamama kwa kuzaa kama ifaavyo,,shirika Sikash ambalo lahusika na miradi mbalimbaki kwa maandeleo ya mkoa wa kasha itahidi kufungua kitua cha matibabu hapo Mushekere.
Swahili
il y a 3 ans
-
Bonane, mwaka mpya na mambo mpya
Mwaka wapita bado umeme. Leo hii tunafurahia mwaka mpya 1986. Mambo yamefyatuka kwa mwendowa kurukaruka kama kunguru kwa ginsi ukitizama nyuma utajionea mwenywe namna gani mwaka 1985 wabeba mzigo wa magumu, raha, mipando na miporomoko ya maisha.
Swahili
publié par
André Bisimwa L-B. Tserou
il y a 3 ans
-
Ramazani Mufumu ailalamikia JUA sawa mbweha
Kutokana na jibu la wananchi Ramazani Mufumu, Kiongozi wa mtaa wa Ibanda kwa maandishi ya mwandishi Eyenga Sana, tuliyochapa katika gazeti JUA, kulingana na pupa yake kali ya feza iliyomsukuma, ilionekana wazi kama jamaa huyo hana busara na akosewa na uaminifu wa kuendesha vema kazi za serikali.
Swahili
publié par
JUA
il y a 3 ans
-
Michezo: FAR yaiangusha Bilima
Ni mnamo tarehe 22 Decemba 1985 ndipo FAR, timu bingwa la Moroko, lilivikwa taji la ubingwa baada ya kutoka sare (1-1) na Bilima klabu bingwa la Zaïre katika pambano la marudilio, njini Lubumbashi katika nzunguko wa 21 wa kuigombea kombe Barani Afrika.
Swahili
publié par
André Bisimwa L-B. Tserou
il y a 3 ans
-
Tuzungumze: Tufanye je tunapaolikwa ?
Sheria ya kwanza ya kufwata unapoalikwa nayo ni ya lazima sanani kuheshimia wakati. Fika kwa wakati usicheleweshe wala kungojelesha wenzako somo ao wale ambao waliokualika...
Swahili
publié par
Kimengele Kimode
il y a 3 ans
-
MIAKA 20 YA MAPINDUZI YA ZAIRE
Ni mnamo tarehe 24 Novemba 1965 ndipo mareshali Mobutu akisharikiana na maofisa wakuu alichukua madaraka ya uraïs wa Jamhuri.
Swahili
publié par
André Bisimwa L-B. Tserou
il y a 3 ans
-
Je Umesikia ?
KUWA feza zitafika kuwaunguza viongozi wa masomo? Kutokana na pupa yake kali ya pale Bagira (Institut de Bagira) alijiruhusu kuwashurtisha wanafunzi watoe nyongeza kwa feza za mchango wa wazazi ingawa liwali wa jimbo la Kivu amekwisha hesabu tuzofanya...
Swahili
il y a 3 ans
-
Raïs Mobutu allawaambia watangazaji wa habari
Mnamo siku zilizopia mwanzilishi wa Chamacha Mapinduzi, Rais Mobutu Sese Seko aliwapokea kwake wtatngazaji wa habari Wabeleji kumi Alizungunza nao mengi kuhusu vile vitendo haramu vilivyotendwa na wate wabunge wa zamani kumi na watatu.
Swahili
publié par
JUA
il y a 3 ans
-
Kwako bibi: Ewe bibi, kwa nini ongezi mchana kutwa ?
Ingawa mbea (ongezi, commérage) kati ya wanawake laoneke njema ni kwa kuwa kwani ukipita mikoani utasubutisha kuwa wanawake...
Swahili
publié par
André Bisimwa L-B. Tserou
il y a 3 ans
-
Koperative ya akkiba na mkopo: Benki kuu ya Zaïere yatia usawa kati
Tokea sasa kila koperative akiba na mkopo yapashwa kwanza kupata ruhusa ya Benki kuu ya Zaïre mbele ya kwanza akazi zake. Wakuu wanaohuika na kazi za feza wapo hivi na shuruli ya kutia usawa katika viungo...
Swahili
publié par
André Bisimwa L-B. Tserou
il y a 3 ans
-
Tarehe 17 novemba 1985: Majeshi ya askari yatimiza miaka 25
Siku ya Mungu tarehe 17 novemba ndipo siku ya ukumbusho wa miaka 25 tangu hapo Jamhuri ya Zaïre kujipatia majeshi yake ya kiaskari...
Swahili
publié par
André Bisimwa L-B. Tserou
il y a 3 ans
-
Utangazaji wa enjili utafanyika Kinshasa
Mwisho wa mwezi wa Desemba Kanisa la Kristo katika Zaïre kwa mjia ya Chuo cha Kristo ulimwenguni (Ministère du campus pour Christ International) litasimamia mjini Kinshasa mkutano maalum wa utangazaji wa Enjili (évangélisation).
Swahili
publié par
KAJANGU MUSUSU
il y a 3 ans
-
Rwindi: Ulalo mpya umejegua juu ya mto Kanyasembe
Siku hizi, shirika la kiserekali lihusikalo na ujelalo, kwa kifupi "office des routes", limejenga ulalo mpya juu ya mto Kanyasembe ambao wapatikana katika shamba la wanyama la Rwindi, Rutshuru.
Swahili
publié par
MALIYABWANA Mwin'Anu
il y a 3 ans
-
Bukavu: Wananchi Salumu na makolo washusika na mabodilishano ya biashara kati ya shaba na kivu
Kisha kubaki muda wa siku nne kisangani, mji mkuu, jimbo ya Zaïre , ya juu, naibu wa liwali wa Kivu ahusikae na kazi za serikali, mwananchi Makolo Jibikilay, alimpokea mjini Bukavu mwenzie wa jimbo jirani la Shaba, mwanachi Salumu Amisi. Huyu alifika siku ya kwanza tarehe 21 januari 1981 akitokea Lubumbashi.
Swahili
publié par
MALIYABWANA Mwin'Anu
il y a 3 ans
-
Butembo: Matayarisha ya ujenzi wa Kivu ya Kashaziki yamefanyila
Kulingana na amri iliyotangazwa kiserikali na Liwali wa Kivu kuhusu mipango inapashwa kutayirishwa na wenyeviti wa mawilaya kwa ajili ya ujenzi na maendeleo ya jimbo la kivu.
Swahili
publié par
MALIYABWANA Mwin'Anu
il y a 3 ans
-
Tutatoa mali ya kuoa mara ngapi?
Jua mpenzi,
Nikiwa nmoja kati ya wasomaji wako wa daimanakutakia mwaka mpya mwema. Ukombo Kamili wa barua hii ni kukwalika uwashauri wazee wetu wa naojirushusu kuvunji anyumba wa wabinti wao sababu ya pupa kali ya feza na ukosefu wa mafikiri
NENO LA WASOMAJI
il y a 3 ans
-
Ihemba: Adui wa jirani yako ni wako pia!
Jua mpanzi,
Kila mara wakuu wa jimbo letu na nyinyi wakanganzaji wa habari huwa mnatuekeza kuwa : "Adui wa jirani yako ni wako pia na nji wa Bukavu peke yake si jimbo la Kivu". Kusema hivyo ni kutaka kutujenga moyo ili tuelewe kamba,, baoda ya adui kumshambulia jirani yako atakuingila pia nyumbani.
NENO LA WASOMAJI
il y a 3 ans
-
Kabare: Uchimbaji wa zahabu kimagendo waleta njaa kali katika mkoa wa kalonge
Jua mpanzi,
Mimi ni nmoja kati ya wapendelevu wako. Ikiwa nmekuandikia barua nii kwa mara ya kwanza, ukomo wangu kamili ni kukuomba uhikishe malalamiko yetu kwa wakuu wa pate kukomesha hali ya njaa kali inayozidi kuwa nibaya na kuangamiza wa maaji kali inayozidi kuwa mbaya na kuangamiza wanaaji napa kalonge.
NENO LA WASOMAJI
il y a 3 ans
-
Kadutu: Vyuma vilivyosimikwa katika mikoa ya Funu na Tshimpunda vina mafaa gani?
JUA mpenzi,
Nikiwa mmoja kati ya wasomaji wako, nitakuomba unipenami nafasi ndongo katika ukurasa wetu sisi wasomaji wako ili nipate kukutolea machache ninayo moyoni mwangu kwani nionavyo mimi ni jambo mmoja muhimu kabisa.
NENO LA WASOMAJI
il y a 3 ans
-
Wa "pensionnés" wanasema: "Tunamsshukuru Liwali wa kivu kwa usikivu wake!"
Jua mpenzi,
Mbele ya vyote, uniruhusu minakushuru liwali wa kivu kwa usikivu wake bora! Shukurani zetu ziwafikie pia viongozi wa chumba cha serikali kihusikacho na maisha ya watumishi walikwisha achishwa kazi zao kufuatana na umri wao wa uzee.
NENO LA WASOMAJI
il y a 3 ans
-
Kwako bibi: Vinyume vya biashara vya "domo"
Siku hizi wakaaji wa miji mikuu kuvukwa na kazi ya kufanya bishera heta wakati hawana feza za kutisha kwa kuanza kazi hiyo. wengi wao wasukumwa kufanya hivyo wapate kutunza vema familia yao, kinua maisha yao banifsi na wengina kwa ou pe kali ya kuvimbisha mifuko yao.
Swahili
publié par
MUNYOLOLO KIPENE
il y a 3 ans
-
Uvira: Mwananchi Kombozi aliapa kuwa atabaki mwaminifu kwa Raïs Mobutu
Habari kamili toka mjini Uvira, makao makuu ya wilaya ya kivu ya Kusini zahakikisha kuwa naibu mpya wa mwenyekili wa mtaa wa Kalehe, mwananchi Kombozi Mashua Bonjoko, aliapa kuwa atabaki daima mwaminifu kwa Raïs Mobutu Sese Seko na nakutumika serikalimu she ria za Jamhuri ya Zaïre.
Swahili
publié par
MALIYABWANA Mwin'Anu
il y a 3 ans
-
Kwako bibi : Mundere hayupo tena kiongozi tena kiongozi wa APHILMA/Bukavu Amekombolewa na Chibi Cha Bene
Habari kamili kutoka Nyofu kunako makao ya Prezidenti wa Chama jimboni aliye pia Liwali wa jimbo la kivu zaeleza kuwa mke wake akina mama Mwando Museng Rov, kiongozi wa kamati ya wamama...
Swahili
publié par
Kaboyi Habimana
il y a 3 ans
-
Kivu ya Kusini : Burhinyi : Mwami Muganga ajiuzulu
Habari zinazoaminika toka kivu ya Kusini na zilizotolewa na mwaandishi wetu Musemi Kilondo Nkula anyehusika na kituo chetu cha habari wilayani humo zahakikisha...
Swahili
publié par
André Bisimwa L-B. Tserou
il y a 3 ans
-
Kivu: Vilalo vya Fizi vitatengenezwa
Aliporejea Bukavu kiisha juma yapata tatu ya kazi pale Kinshasa, mjimkuu wa Taifa letu, liwali wa jimbo la Kivu, mwanachi Mwando Nsimba alitolea hapa majuzi wasaidizi wake ripoti kamil ya safari yake.
Swahili
publié par
JUA
il y a 3 ans
-
Mwalimu Ali Mwinyi ndiye kiongozi mpya wa Tanzania
Habari zinazoaminikwa kutoka Dar es-Salam zatupasha kwamba tangu tarehe 6 mwezi huu wa Novemba Tanzania ina kichwani mwake kiongozi mpya aitwaye Mwalimu Ali Mwinyi.
Swahili
publié par
KAJANGU MUSUSU
il y a 3 ans
-
Tuzungumze: Adabu wakati wa kula
Kwa siku za kisasa watu wengi uzoea kula muzani pahali pa mkeka. Kwa kula mezani lakini na kwa kulapo na adabu kanuni zipo za kufata...
Swahili
publié par
Kimengele Kimode
il y a 3 ans
-
Amitabh Bachchan "Deewar" ageuka mwana-siasa
Kufuatana na habari zilizotolewa na mwandishi wetu Lubunga Bya 'Ombe toka Kinshasa, yasemekana kuwa Amitabh Bachchan, bingwa katika michezo ya sinema ajulikananae kwa jina la "Deewar" alichaguliwa hapo majuzi kama mteule (député) wa jimbo la UTTAR-PRADESH nchini India baada...
HABARI ZA JIMBO NA POPOTE
publié par
André Bisimwa L-B. Tserou
il y a 3 ans
-
Kamati kuu ya Chama : Kazi za mkusanyo wa kumi zimeanzishwa Weregemere na pepo ya mapinduzi
Moja kwa moja kutoka Kinshasa, mji kuu wa Jamhuri ya Zaïre watupasha kuwa mnamo tarehe 30 septemba iliyopita, zimezanzishwa kazi za makutano wa 10 wa kamati kuu ya Chama...
Swahili
publié par
Kaboyi Habimana
il y a 3 ans
-
Butembo kwa zone ya Lubero
Husema kama Butembo ni Posta ya Beni, lakini kwa kweli nilifika Butembo nikaona ni wilaya (sous-régions) kwa maendeleo yaliyo katika mji ule...
Swahili
publié par
Tambi Eae Munaongo
il y a 3 ans
-
Shabunda : Mkoa wa Bakisi katoka magumuni
Baada ya masimulizi mihimu yaliyofanyike kati ya Mwami Mopipi Bitingo na wiiongozi wa shirika la utengenezaji wa mabarara "Office des routes", yajulisha kuwa ujumbe moja wa chumba kinachohusika na ustawi wa kazi za ujenzi wa mabarara za shirika hilo utajielekeza katika mkoa wa Bakisi mtaani Shabunda katika siku za usoni.
Swahili
publié par
André Bisimwa L-B. Tserou
il y a 3 ans
-
Kwako bibi: Ni lazima tumpeleke bibi katika kilabu ?
Mgini tunamoishi mwa tendeka mambo ya kila aina. Kuna wale jamaa ambao wana wazo la kuwa kumpeleka bibi wa nyumbani nafazi zote ndio alama kamili la kusilimuka.
Swahili
publié par
André Bisimwa L-B. Tserou
il y a 3 ans
-
Tuzungumze : Adabu katika msalani
Katika migi na vijijini vyoo ni vya aina moja na katika migi mikubwa...
Swahili
publié par
Kimengele Kimode
il y a 3 ans
-
Kamati kuu ya itafungua mkutano wake wa 10 mnamo tarehe 30 Septemba 1985
Kulingana na habari zlilizotolewa na katiba imara ya kamati kuu ya Chama, kamati hiyo itafungua mkuyano wake wa kumi wa kawaida mnamo siku ya kwanza tarejhe 30 septemba 1985.
HABARI ZA JIMBO NA POPOTE
publié par
André Bisimwa L-B. Tserou
il y a 3 ans
-
Mashua Sendwe itakomboa Urundi
Habari zilizoletwa kwetu na kiogozi wa gazeti JUA katika wilaya ya Kivu ya kusini, mwananchi Musemi Kilondo Nkula zaeleza kuwa jina la Sendwe ndiyo itakombowa "Urundi" iliyozama katika ziwa Tanganika mnoma siku zilizopita.
Swahili
publié par
MUSEMI KILONDO NKULA
il y a 3 ans
-
Ukimya na amasi vipo Fizi Baraka
Siku Fizi, kundi moja maalum la watanganzaji habari toka miji ya "Bruxelles" nchini Ubelgiji na "Paris" Kafika Jamhuri ya Ufaransa. Limefanya ziara ya kiserikali katika jimbo la Kivu hasa katika ya mtaa wa fizi, moja kati ya mitaa ya wifaya ya kivu ya Kusini.
NENO LA WASOMAJI
publié par
MALIYABWANA Mwin'Anu
il y a 3 ans
-
Baraza la Serikali: Walimu waombwa kurudia masomoni siku ya kwanza
Kiisha mkutano maalum wa mawaziri wa kawaida uliofanyika jana siku ya tano, terehe 30 januari 1981 chini ya uongozi wa mwananchi Nguz a Karl-I-Bond, waziri wa kwanza aliyerui Kinshasa siku ya pili kutoka Ulaya, hatua mabimbali zimechukuliwa kuhusu mambo ya masomo.
NENO LA WASOMAJI
publié par
JUA
il y a 3 ans
-
Mwananchi Djoho Teyeta yupo,katika uchunguzi wa kazi za Chama
Siku hizi, naibu wa Liwali wa Kivu ashusikaye na mwenendo wa siasa mwananchi Djiho Teyeta, apatikana Katika wilaya ya kivu ya Kaskazini ambako ashurulika kwa mara ya kwanza na uchunguzi katika vyumba vihusikavyo na kazi za Chama.
NENO LA WASOMAJI
publié par
MALIYABWANA Mwin'Anu
il y a 3 ans
-
Baada ya Kubaki mateka muda wa siku 444 nchini Iran
Walumishi 52 katika ubalozi wa Marekani mjini Théhéran wallachwa huru nakupokewa kwa shanwe kubwa na Raïs Ronald Reagan mjini Washington.
NENO LA WASOMAJI
publié par
MALIYABWANA Mwin'Anu
il y a 3 ans
-
Cyangugu-Rwanda: Bwana Majyambere amefungua kiwandacha uuzaji na utengenezaji wa magari ya aina ya "DATSUN" na "NISSAN"
Siku ya sika (Jamamosi) tarehe 24 Januari 1981, wanachama cha Mapinduzi kihusikacho na maendeleo nchini Rwanda tako pepo nne za jimbo la Cyangungu, walikutana malfu katika mtaa wa Cymbogo ili kusherehekea kuzinduliwa kwa kiwenda kinachohusika na uuzaji, pia utengenezaji wa magari ya aina ya "Datsun" na "Nissan".
NENO LA WASOMAJI
publié par
MALIYABWANA Mwin'Anu
il y a 3 ans
-
Bakisi-Shabunda: Wakaaji wa kijiji cha Bakiunga wanaomba Kufunguli wa kwa kiongozi wao Kenda-kenda
Gazeti "JUA" ni baraz a linalokusanya pa moja waandishi na wasonaji kwa kusimulia kindugu ili kila mmoja wao apate kutoa moani yake akitegemaa ukweli.
NENO LA WASOMAJI
publié par
JUA
il y a 3 ans
-
Basile-Mwenge: Yafaa kiongozi wa kijiji cha Muzingwa aheshimu wanawake wa wenzie!
JUA mpenzi,
Ninayo fureha kubwa ya kuzungunza nawe katika ukurasa wetu huu sisi wasomaji kwani matezamia kututolea maoni yangu kuhusu magumu mbalimbali tunayotendewe na kiongozi wa mkoa wa saile, mtaa wa Mwenga.
NENO LA WASOMAJI
publié par
JUA
il y a 3 ans
-
Kabare: Kwa nini asili ya ukoo wa Irhambi-Katana yazarauliwa?
JUA mpenzi,
Tumesoma kwa utaribu wetu habari zinazoelekea jimbo letu la Kivu ambazo ulizibangaza katika gazeti lako ulilopiga chapa mnamo terehe 8 mpaka 14 Novemba 1980, Katika habari hizo ultujulisha kwamba mwananchi CIZUNGU Bahirwe alitajwa na wakuu wa serikali jimboni kuwa kiongozi wa mkoa mdogo wa katana, katika mtaa wa Kabare
NENO LA WASOMAJI
publié par
JUA
il y a 3 ans
-
Beni: Watenda moavu waliungunza vyumba vya kazi vya serikali na makao 18 ya wakaaji
JUA mpenzi,
Siku hizi, sisi wakaaji wa mtaa wa Beni tunaïshi katika wasi wai kubwa. lingwa wakuu wa mtaa wetu hufunya katzi za vizuri katika ukomo wa kuleta maendeleo katika mtaa wetu wa Beni, watenda maovu hao wasiojulikama vema wajiruhusu kuharibu kazi hizo wakileta hivi hofu katika nyoyo za wakaaji.
NENO LA WASOMAJI
publié par
JUA
il y a 3 ans
-
Kwako bibi : Mashauri machache kwa kupokea bwana nyumbani
Katika maisha ya watu duniani yaonekana kuwa ni bibi ndiye anayemfuata bwana katika harakati za kuongoza nyumba. Ni yeye ndiye anayechukua ngazi ya pili kisha bwana.
Swahili
publié par
Mubangwa N'tawiniga
il y a 3 ans
-
Kumbe haifai kucheza na kindingi
Jua Mpenzi, mimi ni msomaji wako wa daima. Napenda leo kukuandikia hii mistari michache kusudi ya kutoa nje tabia mbaya ya wale wanaozoeya kuita apa kwetu kindingi, kanyanga ao lutuku... Pombe ya hiyo ina vinyume vibaya kwa ginsi yatuletea magumu katika maisha yetu ya kila siku.
Swahili
il y a 3 ans
-
Ujapani : Dada Mulumba Katina mashindano ya urembo
Katika toleo lake la tarehe 31 agusti mpaka 1 septemba iliyopita gazeti Salongo linalopingwa chapa kila siku nuko Kinshasa latupasha kuwa akina dada.
Swahili
publié par
KH
il y a 3 ans
-
Michezo : "Léopard" yaondoshwa katika kombe la Afrika
Wazaliwa wa Zaïre kwa jumla na wale wapendelevu wa mchezo wa kandanda wa Jamhuri nzima ya Zaïre kwa upekee walibaki wenyi kusaga meno kubabaika wakati jeshi lao lilipondooshwa katika mashindano ya kugombea kombe la Afrika la mataifa. Adui si mwengine bali Moroko.
Swahili
publié par
KH
il y a 3 ans
-
Kwa kubaki bumani mwa masomo : Kila mwanafunzi apashwa kulipa Zaïre 3.672
Habari zinazaominika kutoka Nyofu, zaeleza kuwa prezidenti wa chama jimboni alie pia liwali wa jimbo la Kivu, mwananchi Mwando Nsimba amechukua mnamo tarehe 26 agusti.
Swahili
publié par
Kaboyi Habimana
il y a 3 ans
-
Hatari mlangoni : Kumbe tembo wateketezwa !
Mungana husema : Siku za mwizi ni arubaini. Kweli masemi hayo hayo si ya uwongo kwani habari zinazaominika na zilizotolewa na mwandishi wetu Wakilongo Nyembo ambaue ahusika na kituo chetu mjini Goma...
Swahili
publié par
André Bisimwa L-B. Tserou
il y a 3 ans
-
Kinshasa : Watu 12 walifariki kutokana na msiba ya ndege
Siku ya posho tarehe 14 ogusti iliyopita, ndege moja ndogo (petit porteur) iliyokuwa ikitoka kwenyi uwanja wa ndege wa Ndolo na kujilekeza Boma ilianguka katika mkoa wa Matonge na kusababisha vifo vya watu 9 kwa rafla.
Swahili
publié par
Lubunga K'Yoba
il y a 3 ans
-
je, umesikia... ?
KAMA : uwizi ya vyombo ya moto wa stimu wazidisha mjini Bukavu ?
Swahili
publié par
JUA
il y a 3 ans
-
Tuzungumze : Akina dada na kaka wetu si mujiheshimu !
Ngoma ikilia sana haikuwi kupasuka na ivumayo haidumu hunema mzee mungwana. Kulingana na maneno hayo nimejiruhusu kushika tena kalamu yangu kwa kuwajulisha jambo moja linalotusonga moyoni wakati ninajitembeza mikoani.
Swahili
publié par
André Bisimwa L-B. Tserou
il y a 3 ans
-
Kisha miaka 15 : Barabara Walikale-Masisi imefunguliwa upya
Kisha miezi sita ya kazi ngumu, wakaaji wa mitaa ya Walikale na Masisi walifungua barabara inayounganisha mitaa yao miwili. Barabara hiyo ina kitambo cha kilometri 156.
Swahili
publié par
Kaboyi Habimana
il y a 3 ans
-
Kivu ya Kusini : Padri Gapangwa atajwa Ascofu mpya wa Diosezi ya Uvira
Mnamo tarehe 27 julay 1985, Baba mtaktifu wa Roma, Papa Yoane-Paulo wa pili alimtaja padri Gapangwa kama vile askofu mpya wa diosezi katoliki ya Uvira.
Swahili
publié par
André Bisimwa L-B. Tserou
il y a 3 ans
-
Je, umesikia ...?
KWAMBA yule aliyekuwa akitjitita kuwa mtumishi wa gazeti Elima ahusikae na matangazo ya biashara (agent publicitaire) amegeuka mwizi ? kisha kupewa kazi ya kuuza (vendre) na kugawa magazeti katika maofisi mbali mbali ya huko Goma...
Swahili
publié par
JUA
il y a 3 ans
-
Shahiri : Mateso
Wapi !
Maisha kanitupa
Nyumbani njaa
Kazini magumu
Popote tabu...
Swahili
publié par
Tangolek
il y a 3 ans
-
Tuzungumze : Eti wandumba wa Bukavu washambulia Kivu ya Kaskazini !
Panda ovyo hula ovyo na mpenda yote akosa yote. Maneno hayo ya muungwana hayakosi maana kama habari toka Goma, mji mkuu wa Wilaya ya Kivu ya Kashazini ni ya wandumba ya Bukavu.
Swahili
publié par
André Bisimwa L-B. Tserou
il y a 3 ans
-
Baada ya kula nyama yenyi kugonjwa watu watatu wafariki dunia
Habari toka mtaa wa Masisi, wilayani Kivu ya Kaskazini, zajulisha kuwa watu watatu walifariki dunia katika mkoa wa Gatoyi baada ya kula nyama isiyopingwa na mganga.
Swahili
publié par
André Bisimwa L-B. Tserou
il y a 3 ans
-
Machache juu ya masimulizi ya Raïs Mobutu na Raia kijijini Kinkole
Kama sidanganyike, nazani kuwa, na sisi wote twajua kama Waarabu walitesa mabatu utumwani na leo hii mbuni Kadhafi aliye pia Mwaarabu apoteza feza zake bure akituma watu wakukodeshwa kutia mizozo katika nchi ...
Swahili
publié par
André Bisimwa L-B. Tserou
il y a 3 ans
-
Je, Umesikia ...?
KUWA mungwana husema : aliyemnyima mwenzake nyama ya senji (rongeur), mbuluku akamnyama nyama ya mbogo.
Swahili
il y a 3 ans
-
Hatari mlangoni : Vikto, Ruku na Maheshe walitoroka Jela
Habari zinazoaminika zajulisha kuwa wafungwa Bisimwa Chibalonza "Vikto", Bisimwa Kalenda "Ruku" na Maheshe walitoroka kunako jela kuu la jimbo mjini Bukavu usiku wa tarehe 30 juni na tarehe 1 julay 1985 punde za saa 9 za usubuyi.
Swahili
publié par
JUA
il y a 3 ans
-
Machache juu ya masimulizi ya Raïs Mobutu na Raia kijijini Kinkole
Katika mpango wa kusherehekea miaka 18 ya sikukuu ya wavuvi na kuundwa kwa feza Zaïre, kijijili Kinkole (mjini Kinshasa), Baba wa Taifa, Raïs Mobutu Sese Seko, alisimulia na Raïa bila vipenge wakati alipokuwa akiwahotubia.
Swahili
publié par
André Bisimwa L-B. Tserou
il y a 3 ans
-
Jamhuri ya Zaïre yatimiza miaka 25 ya Uhuru
Ni mnamo tarehe 30 Juni mwaka ya 1960 ndipo kazaliwa Jamhuri Zaïre. Tanguu tarehe hiyo ambako Taifa letu Zaïre lilijinyakulia ushindi katika mikono ya wahajiri (wakoloni) kutokana na juhudi zilizofanywa...
Swahili
publié par
André Bisimwa L-B. Tserou
il y a 3 ans
-
Uhusiano kati ya Ubeleji na Zaïre waimarisha
Safari aliyoifanya Mfalme Baudouin, Malkia Fabiola na ujumbe muhimu toka nchi rafiki ya Ubeleji ili kusherehekea na Wana-Zaïre kumbukumbu yay miaka 25 ya uhuru wa nchi ya Zaïre iliimarisha uhusiano wao.
Swahili
publié par
André Bisimwa L-B. Tserou
il y a 3 ans
-
Kwako bibi : Enyi ndumba si mutuache huru !
Tega sikio nikueleze. Kwa leo, vijana wavulana (garçon) wanapopata habari ya kuwa bibi malaya amefariki waanza kujitembeza kwa hali ya kitisho.
Swahili
publié par
KH
il y a 3 ans
-
Mikonga 76 ya Tembo imeshikwa kimagendo
Habari zilizoletwa ofisini mwetu na kiongozi wa gazeti JUA pa Goma zaeleza kuwa wachuuzi kimagendo hawana tena haya na woga.
Swahili
publié par
KH
il y a 3 ans
-
Bashizi Kanena : "Mwaka huu hatutaki mzaa"
Ni siku ya tatu tarehe 19, baada ya kulisakanya timu la Zaïre-bank boa moja kwa bila bila siku ya Mungu tarehe 16 juni, katika pambano la kwanza, katika mchezo...
Swahili
publié par
André Bisimwa L-B. Tserou
il y a 3 ans
-
Je, umesikia... ?
KUWA wafanyabyashara wa pale Uvira watetemeka siku hizi ? 16 kati yao washtakiwa na ofisi ya kuchungua magendo mipakani (Ofida).
Swahili
publié par
JUA
il y a 3 ans
-
Waharamia 7 toka Lybia walionyeshwa kwa wapashaji wahabari
Mareshali Mobutu na askari-jeshi wetu shujaa wawangoja wahusi wowote bila woga. Kisha kutangaza kwa habari juu ya vitendo vya uhuni na uharamia vilivyotaka kuendeshwa na wakafri 7 waliofunzwa nchini Lybia...
Swahili
publié par
André Bisimwa L-B. Tserou
il y a 3 ans
-
Mkoa wa Kabare wakaa juu ya makaa ya moto
Hapo majuzi, siku ya kwanza tarehe 27 may 1985, mwananchi Karhebwa Kanyabalirwa, makamu wa presidenti wa Baraza la washauri katika mkoa wa Kabare...
Swahili
publié par
André Bisimwa L-B. Tserou
il y a 3 ans
-
Uakili wa uchunguzi wa mishahara wafezeeshwa
Ebu ! Mambo yamegeuka kunako uakili (commission) wa uchunguzi wa mishahara. Ingawa hao wanaohusika na hesabu na malipo mishahara (comptables) walivunduliwa na kupelekwa mbele ya waamzi na kuachishwa kazi, wamerudishwa kazini kwa mshangao mkubwa.
Swahili
publié par
André Bisimwa L-B. Tserou
il y a 3 ans
-
Kamati kuu ya chama : Mareshali Mobutu kakusanya wanamemba wa chumba imara
Habari toka Kinshasa zajulisha kuwa, Mareshali wa Zaïre, Mobutu Sese Seko, Prezidenti muundaji wa Chama cha Mapinduzi, aliwakusanya wanamemba wa Chumba imara cha kamati kuu ya Chama na wakuu mbalimbali nchini kunako makao yake y Kampi Koloneli Tshatshi.
Swahili
publié par
André Bisimwa L-B. Tserou
il y a 3 ans
-
Mama Bobi Ladawa awasaidia wagonjwa
Mjini Kishasa, mke wa Raïs wa Jamhuri, Mama Bobi Ladawa, aliwatumia viongozi na wagonjwa wa Hopitali kuu Mama Yemo dawa na vifaa vingi kwa matibu ili mwelezo wa kwimarisha mpango wa miaka saba ya kijamii utimizwe barabara.
Swahili
publié par
André Bisimwa L-B. Tserou
il y a 3 ans
-
ITALIA
Bwana Ali Agça aliyetaka kumuua Baba Mtakatifu wa Roma, Papa Yoane-Paolo wa pili alieleza mbele ya waamzi ya kuwa silaha aliyotumia kwa kumpiga Baba Mtakatifu risasi na hivi kumuondowa dunia...
HABARI ZA JIMBO NA POPOTE
publié par
André Bisimwa L-B. Tserou
il y a 3 ans
-
Je, umesikia...?
KAMA mbwa halali na mafuta tumboni ? Huyo bibi anayejidia kuwa mchuuzi, akijiruhusu kuuzisha risasi kimagendo baada ya "kujimwanga porini" mjini Bukavu toka Goma alishikwa mateka ?
Swahili
publié par
JUA
il y a 3 ans
-
Eti ni "Wabwana kuu" ndio wachuuzi wa Risasi
Wakati Baba wa Taifa, Mareshali Mobutu ahusika na kuinua maisha ya raïs pia usalama wa wakaaji na mali zao bila kusahau ukingo wa wanyama wanaowavuta watalili toka nchi za kigeni na kuingiza feza nyingi za kigeni...
Swahili
publié par
André Bisimwa L-B. Tserou
il y a 3 ans
-
Kwako bibi : Ebu mama nchuuzi, feza hizo zote zatoka wapi ?
Wakati Baba wa Taifa, Mareshali Mobutu atafuta majawabu kwa kuimarisha siasa ya kiuchumi na ya kijamii nchini.
Swahili
publié par
André Bisimwa L-B. Tserou
il y a 3 ans
-
SUDANIA : Wakaaji milioni 11,5 waangamizwa na ukame
Habari zilizolewa na Unicef zazulisha kuwa ukame waangamiza watu zaidi ya milioni 11,5 nchini Sudania ingawa serikali ya zamani ilikuwa ikificha hali hiyo
Swahili
publié par
André Bisimwa L-B. Tserou
il y a 3 ans
-
Tuzungumze : Wazee wetu wachungwe !
Kwa sasa hapa mjini Bukavu, ukatembea mikaoni na kandokando za mji, utapingwa na bumbuazi kiwakuta...
Swahili
publié par
André Bisimwa L-B. Tserou
il y a 3 ans
-
Kwako bibi : Nyama ya kuku imeruhusiwa sasa ?
Katika mahali mengi hila ya mabubu ili wakataza kabisa wanawake kula nyama ya kuku, nyama ama samaki fulani fulani.
Swahili
publié par
André Bisimwa L-B. Tserou
il y a 3 ans
-
Sungura kalia machozi, Bisimwa kasaga meno
Kunako chuo cha Ibanda mjini Bukavu, mnamo tarehe 1 juni 1985, wajumbe wa wanamemba wa Shirika la akiba na mkopo (COOCEC) walikutana katika mkusanyo wao mkuu.
Swahili
publié par
André Bisimwa L-B. Tserou
il y a 3 ans
-
SHAIRI : Sala kwa hela
...Hela
ama Franka
Pesa, makuta
nakusalimu
Swahili
publié par
Tangolek
il y a 3 ans
-
Je umesikia ... ?
KAMA huyo makamu wa mwenyekiti wa mtaa wa Bagira, mwananhi A.S. ...ingawa alipigwa bakora ya kimapinduzi na kuachinshwa kazi kwa muda, ali jiruhusu kulipisha feza na kuomba vyakula kazaa kwenyi soko moja ya mtaa wake.
Swahili
il y a 3 ans
-
Raïs Mobutu kawasili Israeli
Ni mnamo tarehe 12 Mai 1985, ndipo Raïs Mobutu na mkewe Boni Ladawa kawasili nchini rafiki ya Israeli.
Swahili
publié par
André Bisimwa L-B. Tserou
il y a 3 ans
-
Kaddafi aturegezee !
Kufwatana na mambo yanayofanyika barani Afrika kwa kutia nchi na viongozi kazaa Barani katika hatari, hasa hatua kali ya kumuua Baba wa Taifa, Prezidenti-Muundaji wa chama...
Swahili
publié par
André Bisimwa L-B. Tserou
il y a 3 ans
-
Sikash ipo tayari kwa kutengeneza mabarabara
Kisha kuzinduliwa kwa visima vya maji ya kunywa huko Mushekere na liwali wa jimbo, bila kusahau vituo vya kutunziamo wagonjwa...
Swahili
publié par
André Bisimwa L-B. Tserou
il y a 3 ans
-
CHINA: Mwananchi Mutiri aimarisha uhusiano kati ya Zaïre na China
Kulingana na masimulizi aliyoyafanya makamu wa waziri mkuu wa nchi rafiki ya China, Bwana Tian Yiyun na ujumbe wa kamati-kiongozi ya muungano wa upashaji wa habari nchini Zaïre...
Swahili
publié par
André Bisimwa L-B. Tserou
il y a 3 ans
-
Kwako bibi : Siri ya mkoba
Wakati twajitembeza njiani, twapingwa na bumbuazi kuona kila mama awe kazini ama hapana apenda sana kubeba mkoba (sac à mains).
Swahili
publié par
Bujiriri Mwangaza
il y a 3 ans
-
Kivu ya Kashazini : Viongozi wa "PLZ" watesa watumishi
Prezidenti wa Chama jimboni alie pia Liwali wa jimbo la Kivu, mwananchi Mwando Nsimba alitembelea katika siku zilizopita shirika "PLZ" linalopatikana katika mtaa wa Rutshuru...
Swahili
publié par
Kaboyi Habimana
il y a 3 ans
-
Kivu ya Kusini : Diosezi ya Uvira yakosa askofu
Habari zilizoletwa ofisini mwetu na kiongozi wa gazeti JUA huko Uvira, mwananchi Musemi Kilondo zaeleza kuwa tangu Julay 1984 diosezi ya Uvira haina askofu.
Swahili
publié par
Kaboyi Habimana
il y a 3 ans
-
Kinshasa : Mipango mipya kwa kutangaza enjili
Tangu tarehe 7 hadi 14 aprili iliyopita, wachungaji (pasteurs) wa makanisa mbali mbali ya kiprotestanti walikusanyika kwenyi "Lycée Dr. Shaumba"...
HABARI ZA JIMBO NA POPOTE
publié par
Lubunga K'Yoba
il y a 3 ans
-
Mnamo tarehe 20 mai 1985 : Chama cha mapinduzi "MPR" kimetimiza miaka 18
Ni kweli miaka 18 imetimu tangu hapo Mareshali Mobutu kaunda kiserikali Chama cha mapinduzi "MPR" kunako jiji la N'Sele mwaka wa 1967 tarehe 20 may baada ya kutangaza nia yake hiyo kwa wapasha...
Swahili
publié par
André Bisimwa L-B. Tserou
il y a 3 ans
-
Barua wazi kwa munyampara wa mji wa Bukavu
Mwananchi Ndala wa Ndala, ulipofika hapa mjini Bukavu, tulikupingia kengele na kukupasha ya kuwa mafuta kutoka Walikale na tomato ya Mudaka.
Swahili
publié par
Alamsiki
il y a 3 ans
-
Je umesikia ...?
KWAMBA kuna jamaa wanaopiga wengine juu ya kulipishwa madeni ? Jamaa mmoja ambaye aliomba "3 Z", alimvizia huyo mzungu na mpaka akamchonganisha.
Swahili
il y a 3 ans
-
Michezo : Kombe la Afrika timu bingwa : Bilima Kaichakaza Cara
Siku ya Mungu tarehe 19 may 1985, baada ya kuisakanya Cara boa moja kwa sifuri (1-0) kwenyi uwanja wa Mapinduzi (Stade de la Révolution)...
Swahili
publié par
André Bisimwa L-B. Tserou
il y a 3 ans
-
Tuzungumze : Adabu kwenyi kisima cha kuogelea
Siku za leo huona huku na kule kufanyika visima vya kuongela. Kuongela, kweli, ni moja kati ya michezo kamili (sport complet) na inafaa kuucheza kwani una mafaa mengi kwa afya.
Swahili
publié par
Kimengele Kimode
il y a 3 ans
-
Habari za popote : Bukavu
Kiongozi wa ofisi yenyi kuhusika na uchunguzi wa usafirishaji wa bizaa mipakani (Ofida), aliwasili mjini Bukavu ambako aliongoza kazi za seminari juu ya elimu na maelezo kazaa kwa wafanyakazi wa ofisi hiyo.
HABARI ZA JIMBO NA POPOTE
publié par
André Bisimwa L-B. Tserou
il y a 3 ans
-
Koloneli Akeye anaendelea na uchunguzi wa majeshi
Kiongozi wa kikosi cha saba kinachochungua jimbo la Kivu, mwananchi kiloneli Akeye Ahansoni alianza uchunguzi wa majeshi ya Kivu tangu tarehe 16 aprili iliyopita.
Swahili
publié par
JUA
il y a 3 ans
-
Je, Umesikia ... ?
KWAMBA mungwana husema : "Heri twaa kama inshallah utapata ?".
Swahili
publié par
JUA
il y a 3 ans
-
Shahiri : BUKAVU
Ona Bukavu
Mji mashuhuri
Wa mabonde
Milima, mito na
Maziwa
Swahili
publié par
Tangolek
il y a 3 ans
-
Bwisha-Rutshuru : Watoto wa Mwami Ndeze wapigania mali na madaraka !
Aliongeza kusema kwamba ngombe hizo ziliweza kupingwa bei wakati baba yao alipokuwa angali bado mzima na kuwa haoni kisa kinochowasukuma...
Swahili
publié par
JUA
il y a 3 ans
-
Liwali Mwando alitembelea Kivu ya Kaskazini
Siku ya kwanza, liwali Mwando alijielekeza Rwindi, kunako shamba la wanyama mbele ya kwenda Gisenyi ambako aliaminika kukutana na mwenzie wa Rwanda.
Swahili
publié par
JUA
il y a 3 ans
-
Kwako bibi : Chagua kati ya chakula na kitenge cha siku kuu !
Nafasi tunakoishi ao kutembelea, kwaonekana mambo inayotushangaza na kutuvunja moyo. Kati ya mambo hayo twaweza kutaja huba wanayo akina dada na mama kwa kuvaa vitenge vipya...
Swahili
publié par
Alamsiki
il y a 3 ans
-
Soudan : Nimeiri amepinduliwa
Habari zinazoaminika kutoka Karthoum, mjii kuu wa Jamhuri ya Soudan zaeleza kuwa, Bwana Ghaffar El Nimeiri hayupo tena raïs wa nchi hiyo.
Swahili
publié par
JUA
il y a 3 ans
-
Tuzungumze : Adabu kwa kula chakula
Unapoitwa kwa jirani kwa kufurahi ao kusikitika naye mara nyingi utaelikwa pia kula. Kwa ginsi yako ya kula au ya kunywa hutambua malezi ambayo ulipita nyumba ni kwa wazazi...
Swahili
publié par
Kimengele Kimode
il y a 3 ans
-
Maniema : 175.000 Z zimerudishwa katika sanduku la serikali
Kisha ziara ya siku tatu huko. Kindu, mji kuu wa wilaya wa Maniema, makamu wa jimbo la Kivu, mwananchi Endjonga ambaye pia aongoza kamati ya uchunguzi wa malipa mishahara ya matumishi wa serikali...
Swahili
publié par
JUA
il y a 3 ans
-
"Léopards" wangoja kusakanya "DIABLE ROUGE"
Wapendelevuwa mchezo wa kandanda kutoka Kinshasa na Brazzaville, watajielekeza kesho kunako uwanja wa tarehe ishirini mai (stade du 20 mai) kwa kuhuzuria mchezo wa kanda kati ya majeshi ya Taifa ya Congo na Zaïre.
Swahili
publié par
JUA
il y a 3 ans
-
Kwako bibi : Masomo ya juu siyo mlango wa ukahaba !
Dada mpenzi, ulipomaliza masomo ya sekondari, ulifikiri kama umeumaliza mwendo, na jamaa lote lilifurahi sana.
Swahili
publié par
Lubunga Bya 'Ombe
il y a 3 ans
-
Kinshasa mnamo tarehe 15 aprili 1985
Habari zinazoaminika kutoka Kinshasa, mji kuu wa Jamhuri ya Zaïre zaeleza kuwa kamiti kuu ya Chama chetu cha Mapinduzi (Comité central du MPR) itafungua milango yake siku ya kwanza tarehe 15 aprili ijayo.
Swahili
publié par
Kaboyi Habimana
il y a 3 ans
-
Tuzungumze : Adabu nyumbani mwa Sinema
Katika Afrika ya kisasa watu karibu wote wajua sinema vizuri sana na hupenda kuiona mara nyingi. Kwa kweli sinema, zaidi yay kutufurahisha, inatuelimisha na kutupatia maarifa mangi...
Swahili
publié par
Kimengele Kimode
il y a 3 ans
-
Mwananchi Edjonga awatetemesha walinda Feza
Siku hizi, walinda Feza ambao wanayo tabiya mbaya ya kuchopoa feza za serikali watiliwa lisani pembeni.
Swahili
publié par
Kaboyi Habimana
il y a 3 ans
-
Jemadari Mobutu yupo kilioni
Tangu siku ya tano tarehe 30 januari mwaka huu, jema dari Mobutu Sese Seko yupo kilioni
Swahili
publié par
JUA
il y a 3 ans
-
Mkutana mkuu wa chumba
Mjutano wa kwanza wa Chumba cha Siasa mnamo mwaka 1981 uliosimamjwa na Rais Mobutu mwenyewe, umefanyika mnamo tarehe 5 mpaka 6 februari katika mashua yake litwayo M/S kamanyola
Swahili
publié par
Lusanga Ngiele
il y a 3 ans
-
Mwananchi Makolo alisema: Bei ya biashara ni ghali sababu ya upuuzi wa wachunguzi wa bei jimboni na mjini Bukavu
suku ya tatu tahere 28 januari 1981, nafou wa Liwali wa Kivu ahusikaya na kazi za serikali, mwananchi Makolo jibikilayi, aliwakaribisha chumbeni mwake wa kazi mwenyekiti wa mji wa Bukavu , mwanamapinduzi lokomba Kumuadebani, nakiongozi wa vyumba vya serikali vihusikavyo na uchumi, akiba na uchunguzi wa bei ya biashara jimboni, mwananchi Mutombo
Swahili
publié par
MALIYABWANA Mwin'Anu
il y a 3 ans
-
Arkidiosezi ya Bukavu na viongozi wa jimbo, wafia nini?
Mjini Bukavu, wakaaji wapigwa bumbuazi kutokana na mzozo ulioko kati ya arkidiosezi katoloki na viongozi pia wakuu wa serkali jimboni. Kisa cha mzozo huo ni kiasi cha udongo chenyi hektari 6 na vipande amako nyumba 9 ngwa
Swahili
publié par
André Bisimwa L-B. Tserou
il y a 3 ans
-
Arkidiosezi ya Bukavu na viongozi wa jimbo, wafia nini?
Akiwahubiria wahuzuriaji katika misa kasomwa kwa ajili ya roho ya marechemu Mama Mobutu, mke wa kwanza wa Raïs wa Jamhuri ya Zaïre na ambale kafariki dunia tangu miaka 12 sasa,
Swahili
publié par
André Bisimwa L-B. Tserou
il y a 3 ans
-
Mwana wa 1989 kwa ufupi
Katika mwezi wa: Januari: Masilizano kuhusu urafiki kati ya ufalme wa Ubelgigi na Jamhuri ya Zaïre kajulishwa 1: Prezidenti -muundaji wa Chama cha Mapinduzi "MPR", Mareshali Mobutu kawasiri mjini Mbuji-Mayi ambako
Swahili
publié par
André Bisimwa L-B. Tserou
il y a 3 ans
-
Arkidiosezi ya Bukavu na viongozi wa jimbo, wafia nini?
Ikichunguliwa kwa karibu, baaba ya uchunguzi kafanywa na Gazeti JUA, kiasi cha udongo wa hektari 4 kwa hicho cha hektari 6 kapewa Arkidiosezi kilipaswa kukabizwa eti kwa kikundi kimoja cha viongozi na wakuu serkalini.
Swahili
publié par
André Bisimwa L-B. Tserou
il y a 3 ans
-
Uhariri: Heri na Fanaka
Kweli, maka 1989 Katezamiwa kupita kama umeme angani. Wote walio bado duniani twafurahia na kuukaribisha mwaka mpya 1990 tukishangilia Mwany Ezi Baba Mungu Muumbaji, kwa vigelegele.
Swahili
publié par
André Bisimwa L-B. Tserou
il y a 3 ans
-
KWAKO BIBI: Eti kwanza kitenge cha sikukuu
Siku za leo madarajani kote wakati siku za siku kuu zakaribia, mabwana husikia na waona cha mwende mukaone wasi jue la kufanya. Na hiyo ni kutokana na tamaa kawashika akina bibi hata mama wa jamaa wasijue magumu yanayosonga jamaa na watupilia mbali kujua pato la mme wakisisitiza tu kupata kwanza kitenge cha siku kuu.
Swahili
publié par
André Bisimwa L-B. Tserou
il y a 3 ans
-
Je umesikia...?
KUWA mjini Bukavu wakaaji na wapitanjia hasa wadereva watishwa bado na hali ya mabarabara? Je? Kwa kuwa tu mashimo yaendelea kuongeza siku kwa siku isiwe tu na maji ya mvua bali pia na hilo shirika la SOZAGEC lenyi kuhusika na kutawanya mirija kwa maji safi ya kunywa baada ya kuchimba mashino
Swahili
il y a 3 ans
-
Tuzungumze: Adabu kwa wazee
Katika nchi za Ulaya na za Amerika huona watu kuzarau wazee. kwa siku hizi wana-Afrika wengi huanza kuiga kigeni. Ndiyo hivo huwasikia mara na mara kuwatusi wazee, kuwazomea na kuwazarau wakiwatendea kwa kanyoro na wakiwajaza aibu.
Swahili
publié par
Kimengele Kimode
il y a 3 ans
-
KANISA LA ANGLIKANI: Shemasi Mbusa apewa upadirisho
Mnamo siku ya Mungu, tarehe 10 Desemba 1989, diocezi ya kianglikani ya Bukavu kajipatia padri mpya. Shemasi Mbusa Bangau kapewa sakramenta ya upadrisho kwa mikono ya askofu Dirokpa Balufuga mbele ya umati wa wakristu na wakuu wa serkali kunako Kanisa Mtakatifu Petro Mjini Bukavu-Muhungu.
Swahili
publié par
Malekera Bahati
il y a 3 ans
-
Bukavu : Hakuna masikilizano bora yaliyopatikana kati ya watetezi wa wafanyakazi na walimu
Siku ya pili tarehe tatu februari 1981 wakati wa saa kumi kisha mchana, naibu wa katibu mkuu katika shirika la kiserikalilihusikalo na kuleta haki za wafanyakazi
Swahili
publié par
MALIYABWANA Mwin'Anu
il y a 3 ans
-
Rugamika na Masu, mali ya M.E.A imeenda wapi?
Mjini Bukavu, muungano wa masaidiano na uamzi (MEA) katika mkutano wake wa kawaida wa mwaka huu ulioendeshwa mwezi wa oktoba,
Swahili
publié par
JUA
il y a 3 ans
-
Padre Mulindwa katimiza miaka 19 ya kiaskofu
Siku ya Mungu tarehe 24 Marsi 1985, wauminiwa dini ya kikatoliki wanaobaki jimboni mwa Kivu walisherehekea miaka 19 ya kazi ya kiaskofu ya Padre Malindwa Mutabesha...
Swahili
publié par
André Bisimwa L-B. Tserou
il y a 3 ans
-
Liwali Mwando : "Hatutaki fujo bali maendeleo ya mtaa wa Kabare"
Siku ya nne, tarehe 27 marsi 1985, prezidenti wa chama aliye pia mwananchi Mwando Nsimba bako aliwakusanya viongozi mbali mbali wa mtaa wa Kabare (mikoa pamoja na vijijini).
Swahili
publié par
André Bisimwa L-B. Tserou
il y a 3 ans
-
Tuzungumze : Adabu ya saa zote kwa madereva
Hapa nita simulia juu ya yule ambae gari silake, yule ambae kutembeza ndiyo kazi yake.
Swahili
publié par
Kimengele Kimode
il y a 3 ans
-
Kwako bibi : Je akina dada wengi hugeuka wizi ?
"Kweli dunia imekwisha kubadilika, wasema wazee ! Tunapingwa na mshangao mkubwa wakati tunaposikia ao kujionea wenyewe mambo ya aibu yanayotendeka siki hizi na pa mjini Bukavu.
Swahili
publié par
Alamsiki
publié par
Bujiriri Mwangaza
il y a 3 ans
-
Namba ya walimu itapunguzwa tena
Habari zilizoletwa katika ofisi yetu na mkurugenzi wa chumba kinachohusika na mambo ya masomo ya msinji na sekondari...
Swahili
publié par
Kaboyi Habimana
il y a 3 ans
-
Kwako bibi : Namna gani twaweza kutunza ugonjwa wa kuhara ?
Wakaaji wa mjini wa Bukavu na wale wa kandokando walalamika siku hizi kutokana na magonjwa ya kila aina hasa yale ya kuhara bila kiasi.
Swahili
publié par
Bujiriri Mwangaza
il y a 3 ans
-
Tuzungumze : Iyolela binti malaya
Hee ! Ni wengi kati yenu watakaoshuka na kupiga cheko wakijiuliza kama hiyo yawezekana.
Swahili
publié par
Alamsiki
il y a 3 ans
-
Je, umesikia ... ?
KWAMBA wale askari wala pupa waanza tena lwao katika mtaa wa Ibanda ? Kila mara askari watatu wakisharikiana na wafuasi wao raia watatu wajificha kando kando ya duka...
Swahili
il y a 3 ans
-
Jambazi kisala na wafuasi wake 3 walipigwa risasi na kufariki dunia
Moja kwa moja kutoka katika kisiwa cha Idjwi tumesikia kuwa kuwa mnamo usiku wa tarehe 22 kuamkia tarehe 23 Februari 1985, kikundi kimoja cha majambazi kinachoogozwa na fundi-mwizi Bifuko...
Swahili
publié par
Kaboyi Habimana
il y a 3 ans
-
Rais Reagan alikutana na wapasha Habari
siku ya nne tahere 29 january 1982 wakati wa usika nchini Amerika, Rais mpya Ronald Wilson Reagan alikutana kwa manzungumzo kwa mara ya kwanza tangu kuwa rais wa america na watangazaji wa nyumba mbali mbali za habari mwake.
Swahili
publié par
MALIYABWANA Mwin'Anu
il y a 3 ans
-
Beni: Vinyume vya uchimbaji wa zahabu kimagendo na kuvuta 'Bangi kwa raia'
JUA mpezi, kwa huzuni kubwa moyoni mwangu, nakutolea katika mistari ifuatayo, maoni yangu kuhusa vinyume vikali vya uchimbaji wa zahabu kimangendo na uvutaji wa tumbako ya bangi madunfo ya kihuni yanayofanywa na wamoja kati ya vijana wa kijiji chetu cha makiki, mtaa wa Beni
Swahili
publié par
JUA
il y a 3 ans
-
Bitale: Angalisho ya wakaaji kwa mwananchi kabulele na jamaa yake
JUA mpezi, Pokea malalamiko yetu sisi wakaaji wa mkoa mdogo wa bitale, mtaa wa katehe.
publié par
JUA
il y a 3 ans
-
Kigongo-kivovo: Ninakanusha maandishi ya mwanchi mbashombo - wa - kangere yenene
JUA mpezi, Nimesona kwa utaratibu wate gazeti lako namba 98 ulilopiga chapa mnamo tahere 24 mpaka 30 januari 1981 na umbano ulitangaza kibarua cha msomaji wako aliyejita mbashombo-wa-kangere yenene, kuhusu wapelelezi wa uwongo wanaosumbua wakaaji; wakiwa pia wanyanganyi katika mkoa mdogo wa kingongo - kivovo.
Swahili
publié par
JUA
il y a 3 ans
-
Bukavu: Mbegu za samaki zikingwe
JUA mpezi, Kwa makiwa mengi ninayo moyoni mwangu, makiwa amibayo yanisukuma kukutolea maoni yangu yafuatako kuhusa kuhaaribika kwa mbegu za dagaa tuitazo "sambaza" katika mji wetu wa BUKAVU;
Swahili
publié par
JUA
il y a 3 ans
-
Maulizo na majibu
Onzo
1) kuna mashurti gani kwa kutandikia gazeti JUA?
2) Malipo ni gani?
Swahili
publié par
JUA
il y a 3 ans
-
Tangu siku ya pili tahere 3 Februari 1981: Vyumba nya kazi za Liwali vilihamishwa mahali palipokuwa "hotel de ville"
Naibu wa liwali wa Kivu ahusikaye na mwenendo wa kazi za serikali, mwananchi Makolo jibikilayi, aliwajulisha wanachama na wakaaji wote jimboni hasa kabisa mjini Bukavu kuwa, tangu siku wa pili tahere 3 Februari 1981.
Swahili
publié par
JUA
il y a 3 ans
-
KUTAFUTA NDUGU
Mwananchi Ilunga Kondo Mkaaji wa Uvira, anamtafuta mwipwa wake aliyekuwa akijulikana kwa jina la Kalonda "Jean".
Swahili
publié par
JUA
il y a 3 ans
-
Wakuu wa Kivu ya Kusini washurulika hasa na kilimo na ujenzi wa mabarabara
sika hizi, mwenyekiti wa wilaya ya Kivu ya Kusini.
Swahili
publié par
JUA
il y a 3 ans
-
Liwali Dilingi katika ziara ya kiserkali mitaani mjini Bukavu
Mnamo tarehe 8 hadi 10 Marsi, liwali Dilingi Liwoke La Milengo katembelea wakaaji wa mitaa ya Bagira, Ibanda na Kadutu ambayo yaunda mji wa Bukavu katika ziara ya kiserkali ya uchunguzi na ya kutolewa maelezo kamili kuhusu uongozi wa mitaa hiyo.
Swahili
publié par
André Bisimwa L-B. Tserou
il y a 3 ans
-
Uhariri: Fundisho kubwa mwalimu Mobutu
Baada ya hewa ya kidemokrasia kuanza kuvutwa urusi, leo hii hewa hiyo yaonywa kupeperushwa isiyo tukatika nchi za kisosialisti zenyi kutegemea siasa ya kikomunisti Barani Azia Afrika na mabadiliko mengi yatukia katika uongozi wa vyama na siasa nchini ulimwenguni.
Swahili
publié par
André Bisimwa L-B. Tserou
il y a 3 ans
-
Wagonjwa wa SIDA, mzigo kwa umma
Ugonjwa wa SIDA waonekana kuwa ugnjwa mpya amabao hutisha watu. Wakati ugnjwa huo humshika mtu, huyu aenekana kama "lufukaribu".
Swahili
publié par
André Bisimwa L-B. Tserou
il y a 3 ans
-
Kwako bibi: Eti punda wataweza kurahisisha kazi za wamama
Bado kitambo kitogo kazi za wamama ziaweza kurahisishwa mjini Bukavu. Punda watatolewa na kamati "Anti-Buaki" kwakubeba mizigo ambayo kawasumbua siku nyingi.
Swahili
publié par
JUA
il y a 3 ans
-
Mama Bobi Ladawa kazindua kijiji cha mayatima S.O.S Kinderdoof
Mnamo tarehe 25 febbruari 1990 Mama Bobi Ladawa, mke wa Raïs wa jamhuri, Mareshali Mobutu, kazindua kijiji cha watoto yatima S.O.S.
Swahili
publié par
André Bisimwa L-B. Tserou
il y a 3 ans
-
Je, umesikia...
KWAMBA shirika "ORGAMAN" ambalokateuliwa na benki kuu ya Zaïre kwa ununuzi wa zahabu lipo heatarini? Je? Eti kisha kufutuzwa kwa mgeni moja muzungu ambaye kashtakiwa upokonyaji wa feza, raïa wawili nao kashtakiwa kuwa kapeperusha kiasi cha zaïre 500.000.
Swahili
publié par
JUA
il y a 3 ans
-
Tunatayarisha je majilio ya mwaka 2.000 ?
Ndugu wapezi na wahashami,
Bado kidogo itatimia miaka miwili tangu kimetanganzwa kitabu cha serkali yetu juu ya maoni na mipango mipya ya ndoa, familia na taifa.
Swahili
publié par
Mzee Munzihirwa
il y a 3 ans
-
CODELU YAHUSIKA NA MAENDELEO YA LUHWINDJA
Katika mkutano wao wakawaida kuhusu ripoti ya mwaka 1989 uliofanyika mjini Bukavu mnamo tarehe 11 Februari 1990 kunako jumba...
Swahili
publié par
JUA
il y a 3 ans
-
Masomo ya msingi: "Chipuku II" mjini Goma yaliunguzwa na warugaruga wasiojulikana bado
Goma, mji mkuu wa wilayi ya kaskazini, ni moja kati ya mija mikuu yenye mafaa makubwa kwa caifa letu kwa.....
publié par
JUA
il y a 3 ans
-
Kwabo bibi: Ni vema kujua mshahara wa mme ao mke wako?
Kusudi kwa koyumununula movazi ya lazima kadiri wasemavyo
Swahili
publié par
MUNYOLOLO KIPENE
il y a 3 ans
-
Kanisa la kikatoliki ya Bukavu kwa maendeleo ya umma
"Centre Olame", Mfano bora
Katika mpango wake wa maadibisho na pato la maelezo kamili kuhusu mashirika na vyamba vya kazi kazaa, wandishi wa gazeti "JUA" waliweza hapo majuri kutolewa maelezo juu ya kazi ziendeshwazo katika vyumba na viwanda...
Swahili
publié par
JUA
il y a 3 ans
-
Kwa nini misiba hutukia mabarabarani?
Kulingana na masimulizi tuliyoyafanya na Kamanda wa kikosi cha askari walinda usalama mabarabarani mjini Bukavu, mwananchi Fefe, katueleza kwamba misiba barabarani...
Swahili
publié par
JUA
il y a 3 ans
-
Sifa na shukrani kwa Dactari RAU
Kituo cha matibabu kaundwa na daktari RAU na kinachopatikana katika kijiji cha Chiriri kandokando ya mji wa Bukavu chajitatanua tangu mwaka wa 1985 kuyasaga na kuyalaza...
Swahili
publié par
André Bisimwa L-B. Tserou
il y a 3 ans
-
Uvira : Maji ya Regideso yachafuka na mvua
Habari ya kitisho iliyotumwa ofisini mwetu na mjumbe wa gazeti JUA, mwananchi Musemi Kilondo zaeleza kuwa maji inayotiririka katika mabomba ya shirika Regideso ni machafu kabisa.
Swahili
publié par
Kaboyi Habimana
il y a 3 ans
-
Mwezi ya nane ujao : Baba mtakatifu wa Roma, Yoane-Paulo wa pili atatembelea Jamhuri ya Zaïre
Baba mtakatifu wa Roma, Yoane-Paulo wa Pili atawasili barani Afrika mwezi wa nae (Ogusti) ujao. Safari ya mheshimiwa huyo yalingana na mpango wa mafundisho ya Eklezia Katoliki ulimwenguni.
Swahili
publié par
André Bisimwa L-B. Tserou
il y a 3 ans
-
Shabuda : Wachuuzi wa reja reja wanateswa ovyo !
JUA mpenzi, Huni mara ya pili nachukua kalamu yangu kusudi ya kutoa nje nje tabiya mbaya ya wale ndungu wanaopinga na kusonga maendeleo ya nchi yatu.
Swahili
il y a 3 ans
-
Tuzungumze : Ugonjwa wa moyo watoka wapi ?
Mara kwa mara watu hupingwa na mshangao wakati wanapomuona mtu fulani kuanguka ao kukutwa kitandani amekwisha kufariki.
Swahili
publié par
André Bisimwa L-B. Tserou
il y a 3 ans
-
Bukavu: Biro ya mipango na maendeleo jimboni imeziduliwa
Siku ya kwanza tahere kumi februari 1981, mwenyekiti wa mipango mbali mbali ya maendeleo nchini...
Swahili
publié par
MALIYABWANA Mwin'Anu
il y a 3 ans
-
Kiongozi mpya wa posta jimboni yupo
Kiongozi mpya wa shirika la poste jimboni, mwananchi ngwangwata lifindiki alifika mji Bukavu siku ya pili tahere kumi.....
Swahili
publié par
JUA
il y a 3 ans
-
Rutshuru: Mwenyekiti mpya wa mtaa mwananchi Kombozi alionywa mbele ya wasaidizi wake
Habari hamili toka Rutshuru, makao makuu ya mtaa mwenye kuwa na jina hilo zahakikisha kuwa, mwenyeki....
Swahili
publié par
MALIYABWANA Mwin'Anu
il y a 3 ans
-
Lubero: Seheru kubwa ya pori la Itondi yarudishwa kwa wakaaji
Habari kamili toka chumba cha kazi liwali kwa muda.
Swahili
publié par
MALIYABWANA Mwin'Anu
il y a 3 ans
-
Kwako BIBI: Kina mama wamoja wachuuzi wanaojielekeza kamembe wanakafilisha
Kina mama wengi wa mji wa Bukavu hujielekeza kunako maduka na soko mbali mbali katika jimbo la (Cyangungu)....
Swahili
publié par
MUNYOLOLO KIPENE
il y a 3 ans
-
Goma : Chumba cha feza chapashwa kujilisha matumizi ya kiasi cha zaires 200.000
Habari zenya kuaminike toka Goma, mji mkuu wa wilaya ya Kivu...
Swahili
publié par
MALIYABWANA Mwin'Anu
il y a 3 ans
-
Jamadari Likulia yupo kati yesu
Jemadari Likulia anayepatika na katiza ziara ya kiserikali jimboni mwa Kivu tanga...
Swahili
publié par
MALIYABWANA Mwin'Anu
il y a 3 ans
-
Baraza la mawaziri : Askari walinzi wa usawa waache juwazulumu wakaaji
Siku ya kwanza tahere tisa Februari 1981, mwanamemba wa chumba kikuu cha sisa...
Swahili
il y a 3 ans
-
Mwananchi Djoho alisema : Upuuzi wa viongozi waharibu maendeleo kivu ya kaskazini
Tulipoanza maandishi yetu haya kuhusa hali na mambo yenke kupita kila mara katika wilaya...
Swahili
publié par
MALIYABWANA Mwin'Anu
il y a 3 ans
-
Kampala : Askari polisi Wameshambuliwa
habari zilizotangazwa na radio ya Kampala mji mjuu wa jamhuri ya Uganda...
Swahili
publié par
JUA
il y a 3 ans
-
Kalehe : Tunalazimishwa kumuabudu sultani Citenge wa Mafugo !
Jua mpezi, bila kuingila maaandisha yangu na mafumbo mengi, nitaku...
Swahili
il y a 3 ans
-
U.P.ZA: le comité directeur s'est réuni à Lubumbashi
Les membres du comité directeur de l'Union de la presse du Zaire (U.P.Za.), réunis en session mensuelle ordinaire...
Informations générales
publié par
JUA
il y a 3 ans
-
Bukavu : Kodi juu ya vyakula imepigwa marufuku
Kutoza ushuru juu ya vyakula mbali mbali kunako soko kuu ya Kadutu kumepigwa marufuku na mnyampara wa Bukavu, mwananchi Ndala wa Ndala.
Swahili
publié par
André Bisimwa L-B. Tserou
publié par
Kaboyi Habimana
il y a 3 ans
-
Muuaji Chifende Bengehya kasulubishwa !
Mungua husema : siku za mwizi ni arubaini na damu ya binadamu haimwagike bure. Kulingana na masemi hayo, mnamo tarehe 4 februari 1985, fundimwizi Chifende Bengehya alitiwa kwenye ngoti ...
Swahili
publié par
André Bisimwa L-B. Tserou
il y a 3 ans
-
Bagira : Amuli Sebuhoome amepigwa bakora ya mapinduzi
Habari zinazoaminika kutoka ofisi ya mkuu wa jimbo zinaeleza kuwa mwanchi Amuli Sebuhome, makamu wa kiongozi wa mtaa wa Bagira (Commissaire de zone assistant) amejionea kweli cha mtema kuni.
Swahili
publié par
Kaboyi Habimana
il y a 3 ans
-
Kutafuta ndugu
Mwananchi Mukambilwa Basilwango Uratho, anamtafuta mkubwa wake anayejulikana kwa jina la Mukambilwa Mutembo Kasonga.
Swahili
il y a 3 ans
-
Kwako bibi : Angalisho, nipo bibi ya ... !
Jambo linalo shangaza na kutuvunja moyo, ni ikuona kuwa ni mama wa jamaa zenyi pato la kadiri ndio wenyi kuwa wafurahivu na kuwapokea wageni bila ubaguzi wowote.
Swahili
publié par
Bujiriri Mwangaza
il y a 3 ans
-
Mabadiliko muhimu katika kamati kuu ya Chama
Mnamo tarehe 28 januari iliyopita, Rais wa jamuri ya Zaïre Mareshali Mobutu Sese Seko alipiga sahihi hatua ya kuleta mabadiliko muhimu (importants) katika kamati kuu ya chama na Chumba cha siasa (Bureau politique).
Swahili
publié par
Kaboyi Habimana
il y a 3 ans
-
Liwali Mwando alisema : "Mwenye chake ni chake, mwenyi wake ne wake"
Kunako na fazi ya tarehe 24 Novemba, Liwali Mwando Nsimba aliwahotubia raia kuhusu ziara yake huko Kinshasa. Mheshimiwa Mwando alimena kuwa kwa kuimarisha maendeleo ya nchi yetu, yafaa wakaaji waishi katika amani ...
Swahili
publié par
Kaboyi Habimana
il y a 3 ans
-
Hatari ya kufa
Inajulisha kwa wakaaji wote, hasa wale wenye kuishi katika njia Katana-Goma, pa Katana, Kalehe, Dutu, Butale, Minova na Goma; kama kutoka tarehe moja mwezi wa pili mwaka huu wa 1985 ...
Message
il y a 3 ans
-
Kwako bibi : Suruali imeruhusiwa tena ?
Kutuatana na mila za mababu yetu, ina maana yake ya kutambulisha tafauti kati ya mame na mke.
Swahili
publié par
Bujiriri Mwangaza
il y a 3 ans
-
Kwa kupiganisha "Kolera" yafaa kutumia maji safi
Nilipigwa na bumbuazi (msangao, étonnement) niliposoma katika magazeti ya kwamba ugonjwa wa kipindupindu (kolera) waangamiza raia huko Bukavu.
Swahili
publié par
Lubunga K'Yoba
il y a 3 ans
-
Uhusiano kati ya China na Zaïre wadumishwa
Ni tangu sasa siku nyi nchi za China na Zaïre zajitatanua kudumisha uhusiano wao katika mambo yenyikuelekea siasa, uchumi wa kiaskari.
Swahili
publié par
André Bisimwa L-B. Tserou
il y a 3 ans
-
Kinshasa Itapokea seminari ya WAHUBIRI WA KIPROTESTANTI
Mkutano mkuwa wa makanisa ya kiprotestanti utafanyika tangu tarehe 7 hadi 14 mwezi wa nne ujao.
Swahili
publié par
Lubunga Bya 'Ombe
il y a 3 ans
-
Kwako bibi : Kumbe bwana maskini kufukuzwa na mkewe ?
Tangu wakati wa mababu zetu na kufuatana na maadibisho ya makanisa, mme ndiye mwenyi kuhitajiwa kuwa mkubwa wa jamaa. Hata serkali nayo yaamini jambo hilo.
Swahili
publié par
Barhayiga Shafari
il y a 3 ans
-
Vita kali kwa kuping kipindupindu
Katika toleo n° 642, tuliwafasaria wasomaji wetu machache kuhusu namma ya kupinga ugonjwa wakipindupindu unao julikana hasa hapa mjini Bukavu kwa jina la Choléra.
Swahili
publié par
Kaboyi Habimana
il y a 3 ans
-
Mabadiliko muhimu katika uongozi wa vikundi vya askari jeshi
Kufuatana na hatua n°254 na 255, mareshali Mobutu Sese Seko anatoka kuwataja viongozi wapya wa majimbo pamoja na makamu wao.
Swahili
publié par
Kaboyi Habimana
il y a 3 ans
-
Je umesikia ... ?
Kwamba shirika linalohusika na ugawaji sa nguvu za umeme kwa kifupi cha kifaransa SNEL latutia lisani pembeni ?
Swahili
il y a 3 ans
-
Bumbuazi : Fungueni macho !
Majambazi wanaotumia bunduki, gongo na mipanga watetemesha siku izi wakaaji wa mji wa Bukavu.
Swahili
il y a 3 ans
-
Mareshali Mobutu kafunga arusi na raia wake
Nchi ya Zaïre yakusudia kusimika mambo kwa kuwatolea wakaaji maji safi kwa kunywa mahali mengi inchini mbele ya mwaka wa 1990.
Swahili
publié par
André Bisimwa L-B. Tserou
il y a 3 ans
-
Kwako bibi : Ebu wajua dawa za kupunguza unene ?
Kwanza ujifikiri mwenyewe kuchagua mitindo ya vyakula vya kutumia na ukipunguza pia kiasi cha vile uliviokuwa ukila kwa nusu.
Swahili
publié par
Bujiriri Mwangaza
il y a 3 ans
-
Bukavu : Ni kipindupindu ao kuhara tu ?
Siku hizi, wakaaji wa mjii wa Bukavu na wale wa kando kando waendelea kunongoneza kuhusu magonjwa makali yanayowatetemesha.
Swahili
publié par
Kaboyi Habimana
il y a 3 ans
-
Tuzungumze : Unicef yahimiza wazazi wachungue afya ya watoto wao
Shirika la Umoja wa mataifa linalohusika na ukingo wa watoto (UNICEF), limetangza ya kwamba zaidi ya watoto milioni 1,2 wanafariki kila mwaka kabla ya kufikia umri wa miaka mitano.
Swahili
publié par
Lubunga K'Yoba
il y a 3 ans
-
Bumbuazi : MALIMA AMEKWEPA
Ebu wakaaji wa mji wa Bukavu, msipate mshangao. Akida Malima aliyemuua mwananchi Makombo amekwisha kujimwanga porini.
Swahili
il y a 3 ans
-
Lusaka-Zambia : Uchokozi wa makaburu wa Afrika ya Kusini wapingwa
Nchi za mstari wa kwanza (Etats de la Ligne de Force) unaoundwa na Nigeria, Angola, Tanzania, Msumbiji, Zambia, Zimbabwe na Botswana zilikutana mji mkuu wa Jamhuri ya Zambia ...
Swahili
publié par
André Bisimwa L-B. Tserou
il y a 3 ans
-
Bukavu : Mwananchi Ngengo, Balezina Mwendambali waliiba kahawa za "Ozacaf" na "Pharmakina"
Naiou wa kiongozi ahusikaye na uchungaji wa kahawa katika kiwanda wha shirika la "Ozacaf" mwananchi Ngengo akisaidiwa na wevi wenzie Balezi na Mwendambali ....
Swahili
publié par
MALIYABWANA Mwin'Anu
il y a 3 ans
-
Katibu mkuu wa Chumba cha kugombea haki ya wafanyakazi nchini ameachishwa kwa muda madaraka yake
Mnamo tarehe 19 Februari 1981, katibu mkuu wa chumba cha kugombea haki ya wafanyiakazi nchini (UNTZa), mwananchi Mukwakani Gahungu, aliachishwa madaraka yake yote kwa muda.
La chronique Politique
publié par
MALIYABWANA Mwin'Anu
il y a 3 ans
-
Leo, Katibu mtendaji xa Chama cha Mapinduzi Bo-Boliko atasimulia na wanachama kunako "Ciné-Rwacico"
Katibu mtendaji wa chama cha Mapinduzi, ambaye pia ni mwanamemba wa chumba kikuu cha siasa, mwanasiasa Bo-Boloiko Lokonga aliyefika ...
Swahili
publié par
MALIYABWANA Mwin'Anu
il y a 3 ans
-
Mabadiliko mapya yamefanyika katika serikali
Siku hizi, Mwanzilishi wa Chama cha mapinduzi, Rais Mobutu Sese Seko, alichukua atua ya kumboa kazini mwake waziri wa wazara ihusikayo na vyuo vikuu na uivasti nchini ...
Swahili
publié par
André Bisimwa L-B. Tserou
il y a 3 ans
-
PAKISTAN : Baba mtakatifu wa Roma yupo safarini
Baba Mtakatifu wa Roma, Yoane Paulo wa pili, alivitembelea siku hizi Visiwa vya Philippines.
Swahili
publié par
André Bisimwa L-B. Tserou
il y a 3 ans
-
Uvira : Bado kidogo "Sucrerie de Kiliba" itapokea vyombo vipya
Siku hizi, Liwali wa Kivu kwa muda, mwananchi Djoho Tayeta, alimpokea kwa masimulizi chumbani mwake mwa kazi kiongozi mkuu wa shirika lihusikalo na ulimaji wa miuwa na kutengeneza ...
Swahili
publié par
André Bisimwa L-B. Tserou
il y a 3 ans
-
Bukavu : Mwananchi Disase anawashauri watumishi wa "Titres Fonciers"
Baada ya kutambua kuwa uomboji wa vituliro, uuzaji na kutoa siri pia ukosefu wa zamiri ngema ya kazi vyakaribia kuozesha ...
Swahili
publié par
André Bisimwa L-B. Tserou
il y a 3 ans
-
Walungu : Kiongozi wa masomo ya sekondari ya Kaya pa Kaziba anawaangamiza wanafunzi ?
Jua mpenzi, kwa heshima na kitumaini kibubwa niacho katika maanashi yako, ninakuandikia barua hii ili uweze kumshauri kiongozi wa masomo ya sekondari ya Kaja hapa kaziba, katika mtaa wa Walungu.
Swahili
il y a 3 ans
-
Katana : Usipotisimiza kazi za kijamii (SALONGO), utafungwa na kulipa faini pa Luhihi
Jua mpenzi, Pokea salamu zangu za mwaka mpya 1981. Nikiwa mmoja kati ya wasomaji wako wa dama, ninakuandikia barua hii kwa kukujulisha magumu yetu.
Swahili
il y a 3 ans
-
Fizi : Mwalimu Masiliya Kitoga Kipusa awafundisha wanafunzi wake wizi ?
Jua mpenzi, ukomo wangu mkubwa ni kutoa kwenye mwanga wako mwenendo mbaya wa mwalimu Masiliya kitoga ...
Swahili
il y a 3 ans
-
Uvira : Eti "kuoga" katika mto kwaleta ugonjwa wa kipindupindu ?
Jua mpenzi, uniruhusu kama vile wasomaji wako wengine kusimulia nawe ili nikutolee maoni yangu kuhusu mambo yanatendeka huku kwetu kufuatana na ugonjwa wa kipindupindu ama "cholera".
Swahili
il y a 3 ans
-
Beni : Timu "F.C. Mizimu" yazidi kusonga mbele
Jua mpenzi, mimi ni mmoja ya wasomaji wako wa daima. Ikiwa ninakuandikia barua hii kwa mara ya kwanza, shabaha yangu ni kukupasha habari mbali mbali za mtaa wetu wa Beni.
Swahili
il y a 3 ans
-
Kalembe-lembe/Fizi : Kina mama Lusembula Selemani ahusika na kuinua maisha ya vilema !
Tangu, tarehe 16 julayi 1980, kina mama Lusembula Selemani alisimika pa Kalembe-lembe, mjii mkuu wa mtao wa Fizi, kutuo binafsi kihusikacho na kuwasaidia ...
Swahili
publié par
MALIYABWANA Mwin'Anu
il y a 3 ans
-
Watu 24 waifariki nchini Philippines
Kulingana na habari zinazoangazwa siku hizi na radio mbali mbali popote ulimwenguni, yaaminika kuwa kundi moja la watu wasiojulikana bado liliweza kuleta fujo nchini Philippines na kuuwa wananchi wapata mawili na wanne.
Swahili
publié par
MALIYABWANA Mwin'Anu
il y a 3 ans
-
Zimbabwe : Askari 55 wa ukombozi waliuawa kando kando ua mji wa Bulawayo
Habari zenye kuaminika, ambazo zilitangazwa na Sauti ya Ujerumani Magharibi, zahaki kisha kuwa, siku hizi makundiya askari wa majeshi ya ukombozi nchini Zibambwe ...
Swahili
publié par
MALIYABWANA Mwin'Anu
il y a 3 ans
-
Kindu : Ujombo maalum toka Kinshasa ulihusika na maisha ya vijana wanaofunza kazi pa Lokandu
Siku hizi, ujumbe maalum toka mjini Kinshasa ambao uhongowa na mmoja kati ya washauri wakuu kunako wizara ihusikayo na mahisha ya jamili nchini (Affaires sociales) ....
Swahili
publié par
MALIYABWANA Mwin'Anu
il y a 3 ans
-
Kabindula-Uvira : Ndugu Muvira Siwavira gazeti Jua si baraza la utitia !
Katika gazeti letu namba 99 la tarehe 31 Januari mpaka 6 Februari 1981, tulitangaza kibarua cha musomaji wetu Muvira Siwavira, kibarua ambamo akweleza mengi ...
Swahili
publié par
MALIYABWANA Mwin'Anu
il y a 3 ans
-
Kwako bibi : "Mwanamimba" ni ugonjwa gani ?
Kina mama wengi washambuliwa sana na ugonjwa wa tumbo hasa magonjwa yanayoshambulia njia za uzazi. Pahali pa kujielekeza hospitalini wanapougua ao kuumwa tumboni, wengi kati yao hupuuza hasa zaidi wakati wanapotambua kuwa maumivu hayo yawasonga hasa pande za sehemu ya chini ya tumbo.
Swahili
publié par
MUNYOLOLO KIPENE
il y a 3 ans
-
Liwali Mwando atawapokea leo mjini Goma waziri mkuu mbelegi Martens na mwenzie Nguz
Bahada ya kupata matunzo mjini Bruxelles, nchini Ubelegi na kurejea nyumbani kwake pa nyofu.
Swahili
publié par
MALIYABWANA Mwin'Anu
il y a 3 ans
-
Bukavu : Fundi-mwizi "Talo" na wafuazi wake watatu wamenaswa
Usiku wa siku ya pili tarehe 24 kuamkia ule wa siku ya tatu tarehe 25 februari 1981, askari walinzi wa usama mikoani waliwanasa fundi-mwizi Biringamine Toto ajulikanae zaidi kwa jina la kihuni "Talo" ...
Swahili
publié par
Nyuki
il y a 3 ans
-
Bukavu : Waandishi wawili wagazeti JUA waalikwa Ujerumani Magharibi
Mwaka huu, Jamhuri rafiki ya Ujerumani ya Magharibi iliwaalika wa gazeti "JUA" wyeti vya kuweza kujielimisha zaidi katika kazi zao. Ni hivi kiongozi wa gazeti "JUA" mwananchi Mutiti-wa-Bashara atakaefanya Gafari yake ya uchunguzi katika sehemu ya Goethe.
Swahili
publié par
MALIYABWANA Mwin'Anu
il y a 3 ans
-
Barabara imetengenezwa kwa wasafari tokea Bukavu mpaka Walikale
Kulingana na mafazirio tuliyotolewa na naibu wa mwenyekki wa mtaa wa Walikale, barabar ni wazi sasa toka mjini Bukavu mpaka Walikale na vivi hivi.
Swahili
publié par
MALIYABWANA Mwin'Anu
il y a 3 ans
-
Gbadolite : Rais Habyarimana alizungumza na mwenzie Mobutu kuhusu mahusiano bora
Mwanzo wa juma hii, Rais wa Jamhuri jirani na ndugu ya Rwanda, Jemadari JUvénal Habyarimana alikutana mjini Gbadolite katika mazungumzo ya kikazi na mwangazie Jemadari Mobutu Sese Seko ambamo walichungwa kwa karibu mahusiano bora ya nayokuwa daima katika ya Rwanda na Zaïre.
Swahili
publié par
MALIYABWANA Mwin'Anu
il y a 3 ans
-
Kinshasa : Kina Mama Bobi Ladawa alizungumza na wanawake wa mabalozi
Siku hizi, mke wa Rais Mobutu Sese Seko kina mama Bobi Ladawa aliwapokea katika masimilizi kwenye meli "M.S/Kamanyola" wanawake wapaka makuni tano (amsini) wa mabalozi na wasimamizi wa mashirikisho makuu ulimwenguni wanaowakilisha nchini zao mjini Kinshasa.
Swahili
publié par
MALIYABWANA Mwin'Anu
il y a 3 ans
-
Luvungi : kijiji cha lazima kinachosahuliwa !
Wengi kati yetu hasa kabisa wanachama wenye kuelewa hadisi za mkoa wa Bafulero, watakualiana nasi kwamba ujio, ngao na maendeleo ya mkoa huo yatokana na kijiji cha luvungi kinachoongozwa na suitani wa kweli wa asili, kijana Ndaya Kimbumbu.
Swahili
publié par
MALIYABWANA Mwin'Anu
il y a 3 ans
-
Kwako bibi : Penye kilio sio mahali pa vilabu vya pombe ya mikutano ya vimada
Wakaaji wengi, wanaume na vile wanawake wamemwona sahau kabisa maana kamili ya kujielekeza nduu ao marafiki waliofiwa na kuwasaidi kadiri inavyowezekana.
Swahili
publié par
MUNYOLOLO KIPENE
il y a 3 ans
-
Katibu mkuu wa chama alikuwa jimboni mwa Kivu
Tangu siku ya tano tarehe 20 mpaka siku ya Muangu tarehe 22 februari mwaka huu, katibu mkuu wa Chama, mwananchi Bo-Boliko Lokonga alikuwa katika ziara ya kikazi mjini Bukavu.
Swahili
publié par
MALIYABWANA Mwin'Anu
il y a 3 ans
-
Uchunguzi mkali wa vilabu wafanyika mjini Bukavu
Tngu siku ya nne tarehe 26 februari mwaka huu, makamu wa mwenyekiti mjini Bukavu, mwananchi Mawanga Tsongo - Tsongo ni mwenyikusimamia kundi lihusikalo na uchunguziwa viabu vya pombe katika mkaa yote ya mji wa Bukavu.
Swahili
publié par
MUNYOLOLO KIPENE
il y a 3 ans
-
Viongozi wa chama wa mawilaye na mitaa watatajwa
Kamati ya Chama cha Mapinduzi jimboni mwa Kivu ilikusanyila siku zilizopita katika mkutano moja maalum, chini ya uchunguzi wa naibu wa Liwali wa jimbo ya Chama mwananchi Djoho Tayeta.
Swahili
publié par
André Bisimwa L-B. Tserou
il y a 3 ans
-
Rais Mobutu alizungumza kikazi na waziri mkuu Mbeleji Martens
Aliporejea mjini Kinshasa akitokea Lusaka, mji kuu wa Jamhuri ya Zambia ambako alizungumza kikazi na mwenzie Kenneth Kaunda wa Zambia kuhusu mahusiano bora yanayodumu daima kati ya Zaïre ...
Swahili
publié par
MALIYABWANA Mwin'Anu
il y a 3 ans
-
Mitetemeko ya dunia ilisikia mjini Bukavu
Mnamo siku ya kwanza tarehe 2 marsi pa saa saba na dakika 50, siku ya pili tarehe 3 marsi pa saa nane za usiku na siku ya nne tarehe 5 marsi mwaka huu pa saa 12 za asubuhi, mitetemeko ya dunia yamesikia mjini Bukavu pasipo kuleta hasara yoyote.
Swahili
publié par
MUNYOLOLO KIPENE
il y a 3 ans
-
Bukavu : Bado kidogo wapangaji wa "Bonas" wenye madeni watafukuzwa
Siku ya tatu tarehe nne marsi 1981, haibu wa Liwali wa Kivu ahusikae na mwenendo bora wa kazi za serikali, mwananchi Makolo Jibikilay alimpokea katika masimulizi chumbani mwake mwa kazi kiongozi wa tawi ...
Swahili
publié par
MUNYOLOLO KIPENE
il y a 3 ans
-
Mwananchi Kahegeshe achaguliwa tena kubaki mkuu wa "Aneza" jimboni
Siku ya sita tarehe 21 februari 1981, wafanyabia shara katika mawilaya mbali mbali jimbo mwa Kivu walikutana kunako chumba cha maonyesho ya kiutamaduni cha Ufaransa mjiniBukavu iti kuchagua kamati yao mpya, yaani, "Aneza".
Swahili
publié par
André Bisimwa L-B. Tserou
il y a 3 ans
-
Kiliba-Uvira : Mwananchi Amisi na Kamanda wa askari jeshi wajuta ujanja wao katika joja
Habari kamili toka Uvira, makao makuu ya ywilaya ya Kivu ya Kusini zahakisha kwamba, kiongozi-mshauri wa mwandachi AMISI na mwenzie kamanda wa askari jeshi wapatikanao ...
Swahili
publié par
MALIYABWANA Mwin'Anu
il y a 3 ans
-
Mwananchi Muvira si Wavira ni mwongo ?
Jua mpenzi, kutuatana na barua iliyoandikwa na mwananchi Muvira si Wavira iliyotangazwa katika toleo letu lenye namba 99 lililopingwa chapa tangu tarehe 31 januari mpaka 6 februari mwaka 1981 ...
NENO LA WASOMAJI
il y a 3 ans
-
Bukavu : Wapishi wa masomo makuu ya kialimu "I.S.P." wamaliza chakula cha wanatunzi ?
Pokea saiamu zangu za mwaka pia 1981. Mwaka huu ukuletee heri na maendeleo ya kazi zako.
NENO LA WASOMAJI
il y a 3 ans
-
Sake : Mchana ni magari yenye kuharibika, usiku ni magari mapya !
Jua mpenzi, Nilipokuwa matembezi huko Sake katika mtaa wa Masisi, nilijionea binafsi mambo ya kushangaza yanayotendwa na wakaaji wa mkoa huyo mdogo.
NENO LA WASOMAJI
il y a 3 ans
-
Bukavu : Akina mama wachuuzi wa soko kuu wajiheshimu
Jua mpezi, sisi tunaochuuza katika soko kuu la Bukavu tumekwisha inq mambo mengi ya kushangaza.
NENO LA WASOMAJI
il y a 3 ans
-
Maulizo na majibu
1) Tufanyeje kwa kupiganisha matendo mabaya ya warugaruga wanaotuangamiza siku hizi ?
Swahili
il y a 3 ans
-
Mwananchi Mbalaga alisema : Wilaya ya Maniema yakusudia kukamilisha mpongo wa kuongeza mazao ya mashamba (PAM)
Mnamo siku zilizopita, wenyeviti wa mawilaya yote jimboni walikutana mjini Bukavu ambako walizungumza kikazi na katibu mkuu wa Chama chetu cha Mapinduzi Bo-Boliko Lokonga Monse Mihombo.
Swahili
publié par
MUNYOLOLO KIPENE
il y a 3 ans
-
Kwako bibi : Ni nani msingi wa uzazi wa aina moja tu ya watoto ?
Wengi kati ya wazazi wapatwa na huzuni kubwa moyoni mwao wababu wamepata bahati mbaya ya kuzaa aina moja tu ya kuzaa aina moja yu ya watoto. Ni kusema kwamba kuna jamaa zinazopata tu watoto wakiume ao watoto wakike.
Swahili
publié par
MUNYOLOLO KIPENE
il y a 3 ans
-
Ujapani : Papa Yoane Paulo wa pili aliwataja mawhahidi 16 kuwa wenyiheri
Kwa mara ya kwanza katika istoria ya kanisa katolika, Baba Mtakatifu wa Roma, Papa Yoane Paulo wa pili aliwataja mashahidi 16 kuwa wenyiheri (bien heureux) nja wa mji wa Roma.
HABARI ZA JIMBO NA POPOTE
publié par
André Bisimwa L-B. Tserou
il y a 3 ans
-
Amerika : Utawala wa Rais Reagan wa punguza misaada ya kiserikali
Wamerekani wakusudia kuipunguza misaada ya kiserikali duniani. Ila yaminika kuwa misaada itatolewa kwa nchi za Kenya.
HABARI ZA JIMBO NA POPOTE
publié par
André Bisimwa L-B. Tserou
il y a 3 ans
-
Kenya : Rais Arap Moï aendelea na ziara za kiserikali katika nchi mbalimbali
Kisha kuzitembelea nchi mbalimbali za Bora la Asia, Rais Arap Moï wa Kenya aenza kuzitembelea sasa nchi za Bora la Afrikaakianza na Nigeria atakamobaki muda wa siku nne.
HABARI ZA JIMBO NA POPOTE
publié par
André Bisimwa L-B. Tserou
il y a 3 ans
-
Pakistani : Gari la mabawa lilitekwa nyara
Siku zilizopita, gari labawa lashirika la Pakistani lilitekwa nyara na waharamia watatu wa jamaa moja na kujielekeza Damad mji kuu wa chi ya syria.
HABARI ZA JIMBO NA POPOTE
publié par
André Bisimwa L-B. Tserou
il y a 3 ans
-
Tunisia : Uhusiano kati ya Tunizia na Zaïre wadumushwa
Habari kutoka redio Rwanda zajulisha kuwa uhusiano kati ya Jamhuri za Tunisia na Zaïre wadumishwa. Ni hivi nchi ya Tunisia yashidia kujenga chuo cha majifunzo yay uongozi wa kazi za serikali mjini Kinshasa (administration et fonction publique).
HABARI ZA JIMBO NA POPOTE
publié par
André Bisimwa L-B. Tserou
il y a 3 ans
-
Rwanda : Raia na wanajeshi walipewa Nishani
Habari kutoka Rwanda zatujulisha kuwa siku ya pili tarehe 10 februari 1981, Jemadari Habyarimana, rais wa Rwanda, alipana medali kwa wanajeshi mia salasini na sita (136) na waraia sitini na saba (67).
HABARI ZA JIMBO NA POPOTE
publié par
André Bisimwa L-B. Tserou
il y a 3 ans
-
Bukavu : Vyumbu vya uzazi kwa kina mama vitazinduliwa
Siku ya tatu tarehe kumina moja Marsi 1981, naibu wa Liwali wa Kivu ahusikae na kazi za serikali, mwananchi Makolo Jibikilay alichungwa kazi za ujenzi wa vyumba vya uzazi kwa kina mama vinanyojengwa kunako hospitali kuu mjini Bukavu.
Swahili
publié par
MALIYABWANA Mwin'Anu
il y a 3 ans
-
Leo tarehe 14 Marsi 1981 pa Kinshasa : Rais Mobutu atazungumza na maliwali
Mwanamemba wa chumba kikuu cha siasa na waziri wa mambo ya ndani, mwananchi Duga Kugbe Toro, pamoja na mwanasiasa Liwali wa Kivu Mwando Nsimba Shaba waliondoka mjini Bukavu jana siku ya tano tarehe kumi na tatu Marsi 1981 ...
Swahili
publié par
MALIYABWANA Mwin'Anu
il y a 3 ans
-
Mwananchi Djoho alikubali kuwa : "Amani, sharia na kazi" vyadumu popote jimboni
Baada ya kuchungua wilaya ya Kivu ya kaskazini kwa jumla na mtaa wa Walikale kwa upekee, naibu wa Liwali wa Kivu ausikae na mwenendo bora wa Chama cha Mapinduzi, mwananchi Djoho Tayeta alikubali kuwa ...
Swahili
publié par
MALIYABWANA Mwin'Anu
il y a 3 ans
-
Bukavu : Mwananchi Lokomba ashurulika na maendeleo mjini
Siku hizi, mwenyekiti wa mji wa Bukavu, mwananchi Lokomba Kumuadeboni alisimamia mkutano moja maalum ambamo alizungumza kikazi na mwanamemba wa kamati ya washauri wake waliojifunza pamoja jinsi bora itakayowaruhusu kuzidisha maendeleo mjini.
Swahili
publié par
MALIYABWANA Mwin'Anu
il y a 3 ans
-
Maboyo-Beni : Wachimba zahabu kimagedo wanatomboka
Habari zenye kuaminika toka kijini cha Maboya, katika mkoa wa Beni; kijiji kipatikanacho kwenye kitambo cha kilometri makumi mawili na mkoa wa Butembo zahakikisha kuwa, kundi moja la wachimba zaabu kimagendo limewashambulia askare jeshi wawili ...
Swahili
publié par
Nyuki
il y a 3 ans
-
Hali ya mlimo nchini
Mavuno ya mahindi hayatoshi kwa kuweza kulisha wanazaïre jinsi inavyostahili. Kwa hajili hiyo, wakuu na wataalam nchini walitanya vyote wawezavyo ili waweza kujifunza na kupata majawabu hayo yatimizwa moja moja kutokana kuongezwa kwa mavuno ya mahindi mchini ili wakaaji wapate kula kwa shibe.
Swahili
publié par
Nyuki
il y a 3 ans
-
Lubarika-Uvira : Kwa nini mwananchi Maboko anawatesa wakaaji ?
Siku hizi, msomaji wetu Nakatele Gombarino alituandikia kibarua chake jii kutujulisha magumu ya kila aina ambayo wakaaji wa mkoa mdogo wa Luvungi wanatendewa kila mara na mshauri wa kazi za serikali katika mkoa huo mdongo upatikanao katika mkoa wa BAfulero.
Swahili
publié par
Nyuki
il y a 3 ans
-
Mnamo miaka kumi ijoya Kivu ya Kaskazini itakuwa na wanyama wa ufugo milioni moja
Jamhuri yetu ya Zaïre, ni yenye kuwa na utajiri mwingi na wa umbalimbali unaopashwa kuepusha Taifa letu magumu yote yanayoiangamiza nyakati hizi.
HABARI ZA JIMBO NA POPOTE
publié par
Mutiri-wa-Bashara
il y a 3 ans
-
Mwami Lenge wa tatu :"Tuungane kwa ujio bora wa watoto wetu !"
Siku ya kwanza tarehe mbili Marsi 1981, Mwami Lenge wa tatu Rugaza Kabale wa mkoa wa Bavira alisimamia mkutano moja maalum pa Kabindula, makoa makuu ya usultani na wa mkoa wake na kuwashauri wasaidizi wake waungane pamoja kwa maendeleo na ujio bora wa watoto wao.
HABARI ZA JIMBO NA POPOTE
publié par
MALIYABWANA Mwin'Anu
il y a 3 ans
-
RAis Obote awaalika wafuasi wa Idi Amin kurejea nyumbani
Lakini, tarehe kamili na ya mwisho ya kurudi kwa wafuasi hao wa zamani wa Idi Amin Dada hazijakamilishwa bado. Ila, ilijulishwa kama wale wananchi ambao hawawezi kurejea mbele tarehe kakayokamilishwa, hawaweza tena kukubadiliwa na kupokewa nchini Uganda.
HABARI ZA JIMBO NA POPOTE
publié par
MALIYABWANA Mwin'Anu
il y a 3 ans
-
Nouakchott : Moritania yavunja mahusiano ya kibalozi na Moro o.
Habari zenye kuaminika toka chumba cha weziri ahusikae na mambo ya nje pia mahsiano bora mjini Nouakchott (Moritania) zahakikisha kuwa, baada ya kugundua mazumuni ya kutaka Rais Aidallah nchini Moritania ...
HABARI ZA JIMBO NA POPOTE
publié par
MALIYABWANA Mwin'Anu
il y a 3 ans
-
Bukavu : Mwananchi Muliri awaalika wakaaji wazidi kuwagundua maadui
Siku ya sita tarehe 14 Marsi 1981, katibu ahusikae na maadibisho pia uongozi bora wa kazi za Chama mjini Bukavu. Mwananchi Muliri Muhumusi alisimamia mkutano moja maalum wa kiraia akihuziwa na Liwali kwa muda mwaanchi Djoho Tayeta ambamo alizungumza kimapinduzi na wakaaji wa mkoa wa ndendere.
Swahili
publié par
MALIYABWANA Mwin'Anu
il y a 3 ans
-
Mkutano wa kawaida wa Chumba kikuu cha siasa watezamiwa kutunguliwa mnamo tarehe 27 marsi
Siku hizi, mwanzilishi wa Chama cha Mapinduzi, Jemadari Mobutu Sese Seko alikutana katika masimulizi ya kikazi na maliwali wa majimbo pamoja na yule wa mji wa Kinshasa katika mali yake bihatsi "M.S./Kamanyola".
Swahili
publié par
MALIYABWANA Mwin'Anu
il y a 3 ans
-
Paris : Mwananchi Boùboko alitetea juu ya manusiano bora na uchumi kati ya Ufaransa na Zaïre
Katika muda wa siku zote alizobaki mjini Paris, nchini Ufaransa, mwanamemba wa chuma kikuu cha siasa ambaye ni naibu wa waziri mkuu na waziri wa mambo ya nje pia ahusiano bora kati ya chi mbali ulimwenguni na Jamhuri yetu ya Zaïre ...
Swahili
publié par
MALIYABWANA Mwin'Anu
il y a 3 ans
-
Bukavu : Namna gani kufika mbingini ?
Jua mpenzi, pokea salamu zangu za amani na maendleo mema katika kazi zako. Ninapokuandikia barua hii shabaha yangu kubwa ni kupata mwanga wako kwa maulizo mengi yanayonisonga ili kuelewa mashurti ao jinsi bora ya kuishi maishani mwangu na kupokewa baada katika ufalme wa Mweny'Ezi Mungu, yuani Mbinguni.
NENO LA WASOMAJI
il y a 3 ans
-
Chimpunda-Bukavu : Mawnanchi Kabutula, mchuuzi wa kisikisi aache uaguzi
Jua mpenzi, ninapokuandikia barua hii, sina hata kidogo wazo la kumchafua mkaaji fulani ao kutaka kujilipisha kisasi.
Swahili
il y a 3 ans
-
Kazimia-Fizi : Kiongozi wa chuo cha sekondari atuangamiza !
Jua mpenzi, nkujulisha kama mimi ni mkaaji wa hapa kazimia, mtaa wa Fizi, nipo mwalimu tangu miaka mitatu katika masomo ya msingi, katika nasangaa, nakiongozi ...
NENO LA WASOMAJI
il y a 3 ans
-
Pangi : Mwananchi Sadiki na Bwana Vintton warudisha ukoloni kama ?
Jua mpenzi, upendezwe kupokea na kutangaza machache nihayo kuhusu magumu ya wanakazi wa masomo ya sekondari ya Kama.
NENO LA WASOMAJI
il y a 3 ans
-
Eti yule Sadiki hajui kazi zake ?
Jua mpenzi, utupe nafasi katika ukurasa wetu wa Neno la wasomaji lil tupate kukufasiria mateso yetu sisi wanafunzi wa masomo ya sekondari ya Kama.
NENO LA WASOMAJI
il y a 3 ans
-
Kuna masikilizo ya wizi katika ya mwananchi Balolebwami na watoto wake ?
Jua mpenzi, sisi wakaaji wa mkoa wa Chimpunda tunasangaa sana. Msangao wetu huu watokana na matendo haramu ya mwananchi Balolebwami anayejiruhusu kuwatetea watoto wake mbele ya serikali kila mara wanaponaswa wakitendavitendo vyao vya wizi na vya urugaruga ...
NENO LA WASOMAJI
il y a 3 ans
-
Matangazo ya vifo
Mwananchi Luyungula-wa-Sembeya, mtengenezaji wa magari na "Mashini" mbali mbali kwenye shirika lihusikalo na ulimishaji na utengenezaji wa mitumba ya upamba "ESTAGRICO" ...
Swahili
il y a 3 ans
-
Mwanasiasa na katibu mkuu katika bunge Birere : "Yafaa wanachama wote wamsaidie Rais Mobutu Kumaliza magumu nchini"
Siku hizi, mwanamemba wa chumba kikuu cha siasa nchini aliye pia katibu mkuu katika baraza ja wabunge, mwananchi Birere Mabano aliyekuwa katika mapumziko mjini Bikavu ...
HABARI ZA JIMBO NA POPOTE
publié par
MALIYABWANA Mwin'Anu
il y a 3 ans
-
Bukavu : Siku arbaini za mwizi mkuu "Ours" zimetimia !
Wangwana wamesema kuwa : "siku za mwizi ni arbaini t !" Siku hizo arbaini (kamumi nne) zinapaona, sherti kabisa ujanja na upuuzi wa mwuizi huo ukomeswa.
HABARI ZA JIMBO NA POPOTE
publié par
MALIYABWANA Mwin'Anu
il y a 3 ans
-
Kwako bibi : Jinsi bora ya kuepuka mizozo katika unyumba !
Wengi kati ya dada zetu wenye ndoa huwa wanajiuliza kutaka kujua jinsi bora inayoweza kuwaruhusu kuepuka mizazo kati yo na waume wao katika unyumba kutoka na tabia ngumu ao mbaya ya bwana.
Swahili
publié par
MALIYABWANA Mwin'Anu
il y a 3 ans
-
Mwenga : Mwananchi Bitinapaga anakusudia kutengeneza upya mabarabara ya mikoa
Siku hizi, mwenyekiti wa mtaa wa Mwenga mwananchi Bitiapaga ni mwenye kukusudia kabisa kutengeza upya mabarabra ya mikao mtaani mwake hasa kabisa yale ya Burhinyi, Wamuzimu na Itombwe.
HABARI ZA JIMBO NA POPOTE
publié par
MALIYABWANA Mwin'Anu
il y a 3 ans
-
Kigali : Nchi za Rwanda, Burundi na Tanzania zilikutana
Habari kutoka Rwanda zajulisha kuwa mkutano moja maalum uifanyika jumaa hii kati kati ya nchi za Rwanda, Burundi na Tanzania kuhusu uchumi wa mali kati ya nchi zipatikanazo kandokado ya bonde la mto wa Kagera ...
HABARI ZA JIMBO NA POPOTE
publié par
André Bisimwa L-B. Tserou
il y a 3 ans
-
Kampala-Uganda : Waganda wafukuzwa nchini Kenya
Gazeti "Uganda Times" lashtaki nchi ya Kenya kwa hatua kati iliyochukuliwa na serikali na kuwafukuza raia wa Uganda nchini humo bila sababu yoyote.
HABARI ZA JIMBO NA POPOTE
publié par
André Bisimwa L-B. Tserou
il y a 3 ans
-
Tunizia : Mawaziri wa nchi za kiislamu walikutana
Mkutano wa mawaziri wa nchi za kiislamu wahusikao na mambo ya kigani ulifanyika nchini Tunizia. Katika mkutano huo, Moritania ilishtaki Moroko kuwa iliwasaidia maharamia kutaka kuipindua serikali mpya.
HABARI ZA JIMBO NA POPOTE
publié par
André Bisimwa L-B. Tserou
il y a 3 ans
-
Kadutu : "Centre social" yawaomba wabinti na kina mama kujiandikisha wengi
Siku ya kwanza tarehe 23 Marsi 1981, mwenyekiti wa mtaa wa Kadutu, mwananchi Mulyanga Mugobe, amepokea mchumbani mwake mwa kazi kiongozi wa kitua cha maelimisho ya kazi za mikono na ufundi wa ujuzi wa mambo ya kijamii kwa kina dada na mama Kalmeri.
Swahili
publié par
MUNYOLOLO KIPENE
il y a 3 ans
-
Askari jeshi watafanya mazoezi ya vita
Habari zanye kuaminika ambao zilitangazwa na "Sauti ya Zaïre" mjini Kinshasa zahakikisha kwamba, tangazo moja maalum toka chumba cha kazi za kamanda mkuu wa askari jeshi wote nchini, Jemadari Mobutu Sese Seko laeeleza kuwa siku hizi vikosi mbali mbali wya askari jeshi ...
Swahili
publié par
MUNYOLOLO KIPENE
il y a 3 ans
-
Kinshasa : Rais Mobutu alifungua mkutano wa pili wa kawaida wa chumba kikuu cha siasa
Siku ya nne tarehe 26 Marsi 1981 wakati wa mchana, Mwanzilisha wa Chama cha Mapinduzi, Rais wa Jamhuri Mobutu Sese Seko alisimamia shereka maalum kunako jumba kubwa la taifa lili kufungua kiserikali kazi za mkutano wa pili wa kawaida wa chumba kikuu cha siasa nchini.
Swahili
publié par
MALIYABWANA Mwin'Anu
il y a 3 ans
-
"Kampanye imeanza Kadutu" ?
Mnamo siku zilizopita naibu wa mwenyekiti wa mataa wa Kadutu, mwananchi Musole Maharaza alipita pita popote mikoani katika ukomo wa kuwagu ndua wale wafanyabiashara wote wabaya wanaoangmiza wakaaji, hasa kabisa kuvunja zile bei zao za wizi.
Swahili
il y a 3 ans
-
Mwanafunzi, nunua alama zako
Furaha ya wazazi ni pia kuona watoto wao wanaendelea vizuri shuleni kwa namna siku zitakazokuja wapate kuwasaidia na kujisaidia wenyewe.
Swahili
il y a 3 ans
-
Mkimbie mme wako woleo na tajiri !
Wewe mama wa Buholo ya nne (4) usimshauri mtoto mke wako vile ! Mama huyu alipoona mtoto wake mke amebeba mimba, alimpeleka upesi kwa uficho kwa bwana.
Swahili
il y a 3 ans
-
Viwanja vyagawiwa ovyo katika mtaa wa Kadutu
Tembea ukajionee, kuambiliwa kuna wongo ! Unapotembea mikoani katika mtaa wa Kadutu, utaona nyumba nyingi hujengwa ovyo ovyo.
Swahili
il y a 3 ans
-
Karama-Idjwi : Uuzaji wa kasikisi wahatarisha dini la kiprotestanti ?
Jua mpenzi, ikiwa ninakuandikia barua hii kwa mara kwanza, ukoma wangu mkubwa ni kukutolea mambo yasiyo halali yanayotendeka katika kanisa la kiprotestanti la Karama, tawi la "CEPAZa" pa Idjwi.
NENO LA WASOMAJI
il y a 3 ans
-
Uvira : Ni hatari sana kuvua samaki pasipo kuelewa vema kazi hiyo ?
Jua mpenzi, sisi wakaaji wa vijiji vya Kigoma, Makobola na Kahingwa tuna hofu sana. Hofu hiyo yatokana na upuuzi wa ndugu zetu toke nchini Burundi na katina vijiji vingine vya mitaa ya Fizi na Uvira ambao wafika wengi sana na kujitia katika kazi za uvuvi ingawa hawalewi vema.
NENO LA WASOMAJI
il y a 3 ans
-
Kabare : Wakaaji wataendelea kulima mashamba ao hapana !
Jua mpenzi, sisi wakaaji wa mtaa wa Kabare, hasa kabisa wa ngambo za Mudaka, twa jiuliza kama tuendelee au tuache kabisa kulima mashamba.
NENO LA WASOMAJI
il y a 3 ans
-
Mafasirio kamili kwa ndugu Amuri Juma wa Mulongwe pa Uvira na Mazambi-Mbiliizi-Mateso wa Mwenga
Ndugu Amuri, mkaaji pa Mulongwe mjini Uvira, tunakujulisha kwamba tumepokea kibarua chako ambambo umetuandikia mambo yaliyotusisimua sana.
Swahili
il y a 3 ans
-
Bukavu : Angalisho kwa wakaaji
Ugonjwa mkali wa huhara unaombukia na kuwaangamiza vikali siku hizi wakaaji wa Kivu ya Kaskazini; ungonjwa ambao ulitokea katika kijiji ona Kisenyi ...
HABARI ZA JIMBO NA POPOTE
publié par
MALIYABWANA Mwin'Anu
il y a 3 ans
-
Wamza-Kabambare : Kalanga yakosa wanunuzi
Wamaza ni moja kati ya mikoa mnamo limwa ama mbali ya chakula katina mtaa wa Kabambare, wilaya ya Maniema.
HABARI ZA JIMBO NA POPOTE
publié par
MALIYABWANA Mwin'Anu
il y a 3 ans
-
Kwako bib : Hakuna ugonjwa wa haya !
Ikiwa wataala! wamekwisha vumbua dawa nyingi za kupinga na kukomesha kabisa magonjwa mbali mbali, magonjwa mengine ya hatari yazidi kutesa na kuharibu mwili wa binadamu wengi ingawa wanafahamuvema kuwa kuna dawa inayoweza kuponya mapema ...
Swahili
publié par
MUNYOLOLO KIPENE
il y a 3 ans
-
Habari za kiaskari : Jemadari Singa alichukuwa hatua muhimu
Baada ya kutambua kama wamoja kati ya askari jeshi wetu walianza kuzaramu na kusahau kabisa mapashwa, mwendendo na kanuni z kazi yao, mwanamemba wa chumba kikuu cha siasa ambaye ni mmoja ...
HABARI ZA JIMBO NA POPOTE
publié par
MALIYABWANA Mwin'Anu
il y a 3 ans
-
Harare : Mahusiano yadumisha kati ya Amerika na Zimbabwe
Habari zinazominika zajulisha kuwa, ujumbe moja maalum toka Marekani ulioongozwa na bwana Peter uliwasili kiserikali pa Harare, mji mkuu wa Zimbabwe.
HABARI ZA JIMBO NA POPOTE
publié par
André Bisimwa L-B. Tserou
il y a 3 ans
-
Afrika ya kusini : Askari wa kukodiwa toka Ulaya Magharibi ni wengi
Siku hizi, radio mbali mbali ulimwenguni kote zahakikisha kwamba askari wengi wa kukodiwa toka Ulaya ya Magharibi na shirikisho la Amerika ni wengi katika Jamhuri isiyokuwa halali ya Afrika ya Kusini.
HABARI ZA JIMBO NA POPOTE
publié par
MALIYABWANA Mwin'Anu
il y a 3 ans
-
Uganda : Mauti kumi na nne zimeokotwa porini
Juma hii, mauti ya watu kumi na wanne, wakitambulikana kati yao watoto wawili wenye umri wa kufwata masomo zimeokotwa katika pori moja nchini Uganda.
HABARI ZA JIMBO NA POPOTE
publié par
MALIYABWANA Mwin'Anu
il y a 3 ans
-
Kinshasa : Liwali Mwando N'Simba alipokea na waziri Mvuendi
Habari zenye kuaminika toka mjini Kinshasa zahakikisha kwamba, mwanasiasa na Liwali wa Kivu Mwando Nsimba Shaba alipokewa katika mazungu mzo ya kikazi na waziri ahusikae na masomo ya msingi na yale ya sekondari nchini ...
Swahili
publié par
MALIYABWANA Mwin'Anu
il y a 3 ans
-
Bado kidogo vilato toka Uvira mpaka Fizi vitajengwa upya
Bado kidogo vilalo vipatikanavyo katika barabara inayounisha mji wa Uvira na mikoa midogo ya Kamanyola upande wa Kaskazini na - Lubumba - Ngandja - Mutambala - mpaka makao makuu ya mtaa mwenyewe wa Fizi, upande wa Kusini vitajengwa upya.
Swahili
publié par
MALIYABWANA Mwin'Anu
il y a 3 ans
-
Kina mama wa nchi za Burundi, Zaïre na Rwanda wakutana katika seminari pa Gisenyi
Tangu siku ya tatu tarehe moja Aprili 1981, waziri Mnyarwanda ahusikae na maisha bora pia maendeleo ya kijamii, bwana Ntagerura André alisimamia kazi za kufungua seminari moja maalum inayokusanya pamoja ujumbe mbali mbali za shirikisho ...
Swahili
publié par
MALIYABWANA Mwin'Anu
il y a 3 ans
-
Amerika : Rais Ronald Reagan ameponyoka kifo
Habari zenye kuaminika toka Washington, makao makuu ya shirikisho la Amerika zaeleza kwamba, Rais Ronald Reagan nchini humo ameponyoka kifo cha risasi siku ya kwanza tarehe 30 Marsi 1981.
Swahili
publié par
MALIYABWANA Mwin'Anu
il y a 3 ans
-
"Adjudant" anayesikia utamu wa feza sawa vile asale !
Wakaaji wa kijiji cha Kigulube, katika mtaa wa Shabunda wanaona "cha mtema kuni" na hawajui watakimbilia wapi Kali anayetajiwa jina la "adjudant" wa kijiji hicho, lazima atetemeke sawa vile mtu anayekutana na simba mwenye njaa.
Swahili
il y a 3 ans
-
Kodi ya "mwende mukaone" pa kilombwe
Mwandishi wetu N'Dekelelo Amundala, mkaaji katika kijiji cha Amisi mkoa wa Kilembe, mtaa wa wa Fizi alitujulisha siku hizi kuwa, kiongozi wa mkoa wa huo ...
Swahili
il y a 3 ans
-
Watumishi wa O.T.C.Z. hawataacha upuuzi ?
Si mara kwanza wakaaji kulalamika kuhusu vitendo vya wizi vinavyotendwa karibu kila siku na wamoja kati ya watumishi wa "OTCZ" mjini Bukavu.
Swahili
il y a 3 ans
-
Askari wa "B.R" hajacha "lulombo"
Ingawa barazala mawaziri lilikwisha sema mengi kuhusu mwenendo mbaya wa askari walinzi wa usawa mabarabarani, jamaa hao hawajaacha "lulombo" Iwao iwa feza kwa madereva.
Swahili
il y a 3 ans
-
Bukavu : Ukosefu ni ulema ?
Jua mpenzi, "tembea ukaone, duniani kuna mambo !" Ikiwa naenza barua na kingilio hicho, ni sababu ya msangao ninaosiku hizi kufuatana na matendo ya ndugu na marafiki wangu.
NENO LA WASOMAJI
il y a 3 ans
-
Bukavu : Television yaharibu maadibisho ya watoto wetu
Jua mpenzi, nilijaribu kukuandikia mara ya kwanza katika siku zilizopita, lakini haukutangaza brua yangu.
NENO LA WASOMAJI
il y a 3 ans
-
Uvira : Viongozi wa "Institut Hekima" wanaleta haya !
Jua mpenzi, Pokea malalamiko yetu sisi wanafunzi wa "Institut Hekima" hapa Uvira, masomo yanayosimamiwa na "Coordination Kimbanguiste".
NENO LA WASOMAJI
il y a 3 ans
-
Kutafuta ndungu
Mwananchi Miruho Kanda, mtumishi kunako shirika "La presse zaïroise" mjini Bukavu, anamtafuta dadae anayejulikana kwa jina la Nyabienda Kashagaza.
Swahili
il y a 3 ans
-
Kivu ya Kaskazini : Mwananchi Likita afasiria hali kamili ya wilaya yake
Mnamo siku zilizopita, kiongozi wa wilaya ya Kivu ya Kaskazini, mwananchi Likita alimpokea katika masimulizi waandishi wa habari wa Bukavu. Masimulizi hayo yalielekea hasa hali kamili ya kazi katika wilaya anayoongoza.
HABARI ZA JIMBO NA POPOTE
il y a 3 ans
-
"Cimenterie de Katana" itaanza tena kazi zake
Habari zenye kuaminika zaeleza kuwa, mnamo siku zijazo, shirika lihusikalo na utengenezaji wa simenti (seruji) katika mkoa mdogo wa Katana (Cimenterie de Katana) litaanza tena kazi zake za kutengeneza kifaa hicho.
HABARI ZA JIMBO NA POPOTE
publié par
MALIYABWANA Mwin'Anu
il y a 3 ans
-
Bukavu : Vyombo vipya vya Sauti ya Zaïre vimefika
Baada ya kubaki mjini Kinshasa na kurejea nyumbani pa Bukavu, kiongozi kwa muda wa chumba cha kazi za serikali kihusikacho na upeperushaji wa habari kwa njia ya redio, mwananchi Katshunga Shabani alijulisha kuwa, vyombo vipya vya Sauti ya Zaïre mjini Bukavu vimefika.
HABARI ZA JIMBO NA POPOTE
publié par
MALIYABWANA Mwin'Anu
il y a 3 ans
-
Banda : Mwananchi Otshudi katika mikoa mbalimbali ua mji wa Bukavu
Mwananchi Otshudi Yolama, katibu wa Chama ahusikae na uhimizaji pia maadibisho ya siasa jimboni alitembelea siku hizi mikoa mbalimbali ya mji wa Bukavu.
HABARI ZA JIMBO NA POPOTE
publié par
André Bisimwa L-B. Tserou
il y a 3 ans
-
Kadutu : Wevi kumi na moja walikwisha naswa
Tangu mwenyekiti wa mtaa wa Kadutu, mwananchi Mulyanga Mugobe kuchukua hatua muhimu ya kukomesha uhuni, wevi kumi na moja walikwisha anguka katika nyavu za askari walinzi wa usawa mikoani mtaani humo.
HABARI ZA JIMBO NA POPOTE
il y a 3 ans
-
Bamuguba-Kigulube : Ubaguzi wa dini waharibu pia maendeleo na masikilizano kati ya makaaji !
Zaidi ya matatizo na magumu mbali mbali, kuna ubaguzi wa dini unaoharibu maendeleo ujenzi na masikilizano kati ya wakaaji wa mkoa mdogow a Bamuguba, mkoa wa Kigulube, mtaa wa Shabunda.
HABARI ZA JIMBO NA POPOTE
publié par
MALIYABWANA Mwin'Anu
il y a 3 ans
-
Kampala-Uganda : Angalisho imepewa kwa maharamia
Waziri ahusikae na usalama na amani nchini Uganda, alipana angalisho kwa mkaaji yeyote anayepinga serikali pya inayoongoza na Rais Milton Obote.
HABARI ZA JIMBO NA POPOTE
publié par
André Bisimwa L-B. Tserou
il y a 3 ans
-
Washington-Amerika : Yafaa Namibia iwe huru kabisa
Ujumbe moja maalum toka Marekani unaongozwa na bwana Peter utawasili katika nchi mbalimbali za Afrika. Habari zinazoaminika zahakitisha kuwa rais mpya wa shirikisho la Amerika bwana Reagan ...
HABARI ZA JIMBO NA POPOTE
publié par
André Bisimwa L-B. Tserou
il y a 3 ans
-
Freetown/ Sierra-Leone : Mkutano wa Umoja wa Mataifa
Huko Freetown, mkutano wa Umoja wa mataifa ulikutana kuhusu uchumi kati ya mataifa huru ya Afrika. Katika mpango huo, katika mkuu wa muungano wa kiuchumi wa nchi huru za Afrika zijiunge pamoja ....
HABARI ZA JIMBO NA POPOTE
publié par
André Bisimwa L-B. Tserou
il y a 3 ans
-
Ryad-Arabia : Uhusiano kati ya Arabia na Afghanistan umevunjwa
Habari kutoka redio Rwanda zajulisha kuwe uhusiano kati ya Arabia na Afghanistan umevunjwa kutokana na serikali ya nchi hiyo kuhusiana na Urusi wakitengemea hivi vikosi, silaha za vita vipatikanavyo nchini ...
HABARI ZA JIMBO NA POPOTE
publié par
André Bisimwa L-B. Tserou
il y a 3 ans
-
Kinshasa : Kina mama Bobi Ladawa alizindua kazi za ujenzi kituo cha vilema "Bondeko"
Mwaka tunao, yaani mwaka 1981, ulitangazwa na jemadari Mobutu Sese Seko kuwa mwaka utakaoshurulika kwa kuinua maisha bora ya kijamii nchini. Ni hivi, kila mkuu katika Chama na serikalini ni mwenye kuhusika kwa karibu na jambo hilo muhimu.
Swahili
publié par
MALIYABWANA Mwin'Anu
il y a 3 ans
-
Kinshasa : Rais Mobutu alizungumuza na makaaji ya chumba kikuu cha siasa katika meli MS/Kamanyola
Siku ya nne tarehe sita Aprili 1981wakati wa mchana cha Mapinduzi, Rais wa Jamhuri, Jemadari Mobutu Sese Seko aliwapokea katika mazungumzo wanamemba wa makamati mbali mbali ya chumba kikuu cha siasa waliomtolea ripoti kuhusu kazi katika meli ya binafsi "MS/Kamanyola"
Swahili
publié par
MALIYABWANA Mwin'Anu
il y a 3 ans
-
Katibu wa chumba cha kugombea haki za wafanyakazi jimboni amerundi
Siku ya Mungu tarehe 5 aprili mwaka huu, katibu wa chumba serikali kihusikacho na kugombea haki za wafanyakazi jimboni mwa Kivu, mwananchi Biruru Shabanyitu alirudia mjini Bukavu akitokea Kinshasa ...
Swahili
il y a 3 ans
-
Wakimbizi milioni tano watawanyika popote katika nchi za Afrika
Tangu Bara la Afrika kutikiswa na uhuru pia siasa, chumba kikuu cha Umoja wa mataifa kihusikacho na maisha ya wakimbizi popote ulimwenguni kulitangaza kwamba, wakimbizi milioni tano watawanyika popote katika nchi za Afrika.
Swahili
publié par
MALIYABWANA Mwin'Anu
il y a 3 ans
-
Pembe za tembo makumi nane zilinaswa katika gari la bwana Jaffary mjini Goma
Ndugu zetu hao toka nchi mbali mbali za Afrika na Azia wanaanza sasa kufaula na moyo wetu huyo wetu huyo wa ukarimu wa kuharibu ukimya, usalama na uchumi ...
Swahili
il y a 3 ans
-
Leo siku ya sita, Rais Reagan atezamiwa kutoka hospitalini
Habari zenye kuaminika ambao zilitangazwa na radio "Washington" siku ya nne tarehe tisa Aprili 1981 wakati wa asubuhi, saa za Mashiriki nchini Zaïre zahakikisha kwamba ...
Swahili
publié par
MALIYABWANA Mwin'Anu
il y a 3 ans
-
Ukitaka siri za serikali, tafuta kwa wachuuzi wa kalanga na ...
Kwa kweli, viongozi na watumishi wamoja katika vyumba vya serikali na Chama chetu cha Mapinduzi walikwisha haribika kabisana kupotelewa na zamiri ngema ya kazi sababu tu ya "loho"na puga kali ya feza.
Swahili
il y a 3 ans
-
Namna gani chaki za walimu zamalizika mwaka huu ?
Wazazi wa wanafunzi wanazidi tu kupata ao kuangamizwa na magumu mbali mbali kuhusu majifunzo ya watoto wao, Zaidi ya malipo wanayoomba wa wazazi kwa kujenga kuta ao kuzidisha vyumba vingine vya masomo.
Swahili
il y a 3 ans
-
Askari hawaweze kuacha kutangatanga na vivazi vyao mikoani kisha kazi ?
Katika mwezi Marsi uliopita, mwanamemba wa chumba kikuu cha siasa nchini aliye pia mkuu wa chumba kikuu cha askari jeshi, Jemadari Singa Boyenge Mosambay alichukua na kutangaza kiserikali hatua mbali mbali zinazohusu kanuni za kuleta usawa katika vikozi vyote vya majeshi nchini.
Swahili
il y a 3 ans
-
Kuna sasa masomo ya wizi gerezazi ?
Kila wakati ambao mkaaji wa Kivu kwa jumla anazungumza kuhusu uhuni, urugaruga, uyanguyangu na wizi, uso na jina la kwanza linalomtelemesha ni lile la fundi-mwizi Kisala kufuatana na matendo yake wa wizi na mauaji aliyokwisha fanya mnamo siku zilizopita.
Swahili
il y a 3 ans
-
Bukavu : Zamu wa "Pharmakina" huiba kweli kuni za shirika lao ?
Jua mpenzi, Mimi ni msomaji kati ya wasomaji wako wa daima. Ikiwa ninakuandikia barua hii, sina ukomo wa kuwa shaki bure zamu wa shirika "Pharmakina", bali kukuomba uwashauri ili wapate kujisahilisha katika makosa na vitendo vyao.
NENO LA WASOMAJI
il y a 3 ans
-
Kayna-Lubero : Viongozi wa masomo waweze kupunguza mishahara ya walimu ?
Jua mpenzi, hii ni sauti ya mmoja kati ya wasomaji wako inayokufikia toka Kayna katika mtaa wa Lubero ili kukujulisha magumu yake ya kazi kwa kuweza kujaliwa na mwanga wako.
NENO LA WASOMAJI
il y a 3 ans
-
Jibu kwa barua : Mwananchi Kabutura, mchuuzi wa kasikisi aache ubaguzi !
Jua mpenzi, uniruhusu kujibu kwa barua ya mwananchi Bahaya Karhinga aliyejificha kwa jina la Buhendwa Lufulwabo ambayo ulitangaza katika gazeti lako lenye namba 106 lilipingwa chapa tangu tarehe 21 mpaka 27 Marsi mwaka huu.
NENO LA WASOMAJI
il y a 3 ans
-
Yafaa maderewa waheshimu wasafiri wao !
Mapendo, adabu na heshima, ni mambo ya lazima kabisa katika maisha ya binadamu. Ni hivi, kila dini, wazazi wetu na masomoni twafundishwa na kuombwa kila mara tuwe na mapendo ya kweli kati yetu, yulindiane adabu na kuheshimiana.
HABARI ZA JIMBO NA POPOTE
publié par
MALIYABWANA Mwin'Anu
il y a 3 ans
-
Mwananchi Sowa asimika mabomba za maji katika Bonde la Ruzizi
Tangu mwaka 1978, mtaalam ao enjinia katika kazi za kuchimba mifereji, visiwa na kusilika bomba za maji safi ya kunyiwa katika sehemu ya Kaskazini - Mashariki nchini Zaïre,mwananchi Sowa ameshurulika na kazi hizo muhimu katika vijini vya Rubare ...
HABARI ZA JIMBO NA POPOTE
publié par
MALIYABWANA Mwin'Anu
il y a 3 ans
-
Mwananchi Bashige alisimamia seminari ya "Aneza-Kabare"
Mnamo siku zilizopita, shirika la muungano wa wachuuzi na wafanyabiashara wadogo na wakuu nchini katika mtaa wa Kabare, "Aneza-Kabare" ilisimamia seminari moja maalum kabisi iliyodumu muda wa siku mbili katika makao wa mtaa huo chini ya uchunguzi wa prezidenti wa kamati hiyo, mwananchi Bashige Buyungu.
HABARI ZA JIMBO NA POPOTE
publié par
MALIYABWANA Mwin'Anu
il y a 3 ans
-
Watu 7 waliuawa na majambazi nchini "Pays-Bas"
Katika miezi mitatu, watu kumi na saba waliuawa nchini "Pays-Bas" na majambazi wasiojulikana bado (terroristes). Kati ya watu hao kumi na saba, watatu wao waliuawa mnamo siku hizi za mwisho wakiwemo siku hiziza mwisho wakiwemo kiongozi mmoja katika vyumba vya kazi za serikali na maakida wawili majeshiri.
HABARI ZA JIMBO NA POPOTE
publié par
MALIYABWANA Mwin'Anu
il y a 3 ans
-
Umoja wa nchi huru za Afrika walaumu vikali vita vya Sahara
Rais Stevens wa Sierra Leone, alie pia prezidenti kwa sasa wa Baraza la Umoja wa nchi huru za Aliyesindikizwa na katibu mkuu wa Baraza hiio, bwana Edden Kodjo waliwasili mjini Rabat ...
HABARI ZA JIMBO NA POPOTE
publié par
André Bisimwa L-B. Tserou
il y a 3 ans
-
Somalia na Ethiopia zawaza kusikilizana
Baada ya masimulizi yaliyofanyika kati ya wataalam wa jamhuri ya za Ufaransa na Somalia, Rais Hassan wa Jamhuri ya Djibouti alihimiza na kuonya wazi nia yake ya kutaka masikilizano na mahusiano bora yarudi kati ya Jamhuri ndugu na jirani za Somalia na Ethiopia kama ilivyokuwa mnamo siku zilizopita.
HABARI ZA JIMBO NA POPOTE
publié par
André Bisimwa L-B. Tserou
il y a 3 ans
-
Zaïre na Uganda zadumisha mahusiano za kiuchumi na kibiashara
Tangu siku ya tatu tarehe 15 mpaka siku ya tano tarehe 17 Aprili 1981 wakati wa saa nne za mchana waziri ahusikae na kilimo pia ujenzi na maendeleo ya vijijini nchini, mwananchi Kamitatu Massamba aliyehuzuriwa na Liwali wa Kivu Mwando Nsimba ...
Swahili
publié par
MALIYABWANA Mwin'Anu
il y a 3 ans
-
Seminari ya kisiasa imekoma
Tangu tarehe 14 mpaka 17 Aprili 1981, walilu wa vyuo mbali mbali ya sekondari jimboni wanaohusika na maelimsho ya binadamu ...
Swahili
publié par
MALIYABWANA Mwin'Anu
il y a 3 ans
-
Kinshasa : Majambazi Elemba, Kalamba, Mpinda na Otshumba wilhu
Siku ya pili tarehe 14 Aprili 1981 wakati ya asubuhi mapewa, majambazi Elemba, Kalamba, Mpinda na Otshumba ambao walimuua bure kina dada Nzumoa aligekuwa mtangazaji wa vipindi mbali mbali ...
Swahili
publié par
MALIYABWANA Mwin'Anu
il y a 3 ans
-
Barabara za mtaa wa Walikale zitatengenezwa kweli ?
Siku hizi, mwenye kiti wa Kivu ya Kashaziri, mwananchi Likita alituma vipawa mia mia moja makumi saba (sabini) katika mtaa wa Walikale ili kurahisisha kazi za kufungua upya barabara yenye urefu wa kilimetri mia mbili kumi na tatu ambayo yaunganisha mtaa huo na mji wa Goma.
Swahili
publié par
MALIYABWANA Mwin'Anu
il y a 3 ans
-
Chombo "Columbia" kilichozunguuka dunia kilitua kwa utartibu yote
Baada ya kuzunguuka dunia mara makumi matatu na sita katika saa makumi matano na nne, chombo cha Wamarekani kiitwacho "Columbia" kilichotupwa angani kilitua kwa utartibu na bila magumu yoyote ...
Swahili
publié par
MALIYABWANA Mwin'Anu
il y a 3 ans
-
"Bashamuka" 119 juu ya 145 walimchagua tena kina mama Nsimire kuwa kiongozi wao
Siku ya tatu tarehe 15 Aprili 1981, makamu wa Liwali wa Kivu ahusikaena kazi za serikali, mwananchi Makolo Jibikilay, alifanya safari ya uchugunzi pa Irhambi-Katana, makaomakuu ya mkoa mdogo wenye jina hilo.
Swahili
il y a 3 ans
-
Mwananchi Nguz na mkwewe wamecha kazi zao zote
Siku ya tano tarehe 17 Aprili 1981, wakati wa mchana, Muundaji wa Chama cha Mapinduzi, Jemadari Mobutu Sese Seko alisimamia mkutano usiokuwa wa kawaida wa chumba kikuu cha siasa nchini ...
Swahili
il y a 3 ans
-
Walimu wanaogopa viongozi wao ?
Tangu wakuu wa serikali kutangaza kuwa kutafanyika uchunguzi maalum ili kuwangundua wale walimu wenye vyeti vya uwongo, wale wasiofundisha na wanaoziditu kupokea bure feza za serikali ...
Swahili
il y a 3 ans
-
Siku gani kanuni za serikali zitakaguliwa tena ?
Mnamo siku zilizopita, chumba kikuu cha siasa nchini kilichukua na kutangaza hatua maalum zinazuhusu ukaguzi wa hatua na kanuni za serikali zilizokwisha chukuliwa na tangazwa ajili ya uongozi bora wa taifa letu.
Swahili
il y a 3 ans
-
Wenye mahoteli waheshimu kanumiza kazi zao ?
Mara nyingi, huwa tunawaona wasafiri toka mjini na chi mbali mbali wanakosa vyumba kulala mahoteleni.
Swahili
il y a 3 ans
-
Mwalimu, baba yangu ni mtajiri !
Siku hizi, wamoja kati ya wanafunzi tena adabu, heshima na hutii kwa walimu wao, hasa kabisa wale wanaojidai kuwa watoto wa matajiri. Ni hivi, utawasikiao kuwaona wenye kiburi kwa walimu wao wakiwakosea adabu, heshima na kukosa kuwatii.
Swahili
il y a 3 ans
-
Walungu : Mhubiri aweza kuwa mwami ya kiasili ?
Jua mpenzi, Jaribu kupokea msanganno wetu sisi wahuiri wa dini ya kiprotestanti katika mkoa mdogo wa Kabugi, katika mtaa wa Walungu. Msangao wetu waletwa na matendo ya kipagani ya bami wetu wa kiasili ambao wamehuisha choka na kazi zao.
NENO LA WASOMAJI
il y a 3 ans
-
"Tuna kanusha uwongo wa wananchi Kabinia, Muyumbu na Byamungu"
Jua mpenzi, Siku zilisopita, tulisoma kwa huzuni kubwa kibarua cha wasomaji wako kakina. Muyumbu na Byamungu waliojidal kuwa wanafunzi kunako "Institut Hekima" mjini Uvira.
NENO LA WASOMAJI
il y a 3 ans
-
Kitutu-Mwenga : Eti kiongozi wa mkoa mdogo ajifanya kuwa askari ?
Jua mpenzi, Ninakutaja kuwa rafiki yangu wa kweli sababu ninafuraha kubwa ninapokusoma na kufuata hivyo habari muhimu unazotangaza kila juma toka pepo nne za dunia.
NENO LA WASOMAJI
il y a 3 ans
-
Fizi : Chakula ni kingi, lakini
Jua mpenzi, baada ya kusoma maandishi ya msomaji wako mmoja yaliyotangazwa katika gazeti lako lenye namba 100 lililopingwa chapa mnamo tarehe ?
NENO LA WASOMAJI
il y a 3 ans
-
Kilimo, ufugo, uvuvi, mawindo n ujenzi wa mabarabara ndivyo ngao ya maisha bora
Ndugu, yara kabisa tuwe na moyo, juhudi na mazoezi bora ya kukubali makosa yetu ao mambo fulani mabaya tuliyotanya katika kudanganyika ao kudanganyiwa ili tupate kuyatengeneza baadae nakurudi katika njia ya usawa.
HABARI ZA JIMBO NA POPOTE
publié par
MALIYABWANA Mwin'Anu
il y a 3 ans
-
Kwako bibi : Ni vizuri kumueleza mmewe makosa yote ye ndugu zake ?
Kina dada, wewe ni mke mwenye ndoa. Nyumbani mwako unaishi pamoja na wakwe, shemeki ao ndugu za mme wako.
HABARI ZA JIMBO NA POPOTE
publié par
MALIYABWANA Mwin'Anu
il y a 3 ans
-
Kanuni mpya ya malipo ya walimu
Mnamo tarehe 13 Marsi mwaka 1981, baraza za mawaziri lilikutana mjini Kinshasa na kuchungua jinsi bora na limu katika masomo ya msingi na ya sekondari.
HABARI ZA JIMBO NA POPOTE
publié par
MUNYOLOLO KIPENE
il y a 3 ans
-
Amerika : itauzia tena Urusi unga wa ngano
Shirikisho la Amerika imetangaza siku hizi kuwa, itaanza tena kuuzia Uruzi unga wa ngano. Tutakumbuka kuwa, mnamo siku zilizopita shirikisho la Amerika limechukua hatua ya kuacha kuuzia Uruziunga wa ngano kutokana na maingilio yake ya kijesheshi katika Jamhuri ya Afganistan.
HABARI ZA JIMBO NA POPOTE
publié par
André Bisimwa L-B. Tserou
il y a 3 ans
-
Vita vya kienyeji vyaendeleshwa nchini Salvador
Redio ya Ufaransa mjini Paris, imetangaza siku ya nne wakati wa saa nne za usiku kuwa, tangu siku ya kwanza tarehe 20 Aprili 1981, vita vya kienyeji (guérilla) ni vyenye kuandeshwa katika vijijini mbali mbali nchini Salvadr.
HABARI ZA JIMBO NA POPOTE
publié par
André Bisimwa L-B. Tserou
il y a 3 ans
-
Rais Obote akusudia kurudisha mahusiano bora na Sudan
Habari zinazoaminika za julisha kuwa, Rais Milton Obote wa Uganda alikutana mjini Khartoum katika masimulizi ya kikazi na mwenzie Jemadari Gaffar El Nimeiry wa Soudan.
HABARI ZA JIMBO NA POPOTE
publié par
André Bisimwa L-B. Tserou
il y a 3 ans
-
Rais Mobutu ameunda serikali mpya
Baada ya kuunda serikali mpya, mawaziri wote waliongozwa na waziri mkuu Nsinga, waliapa siku ya tano tarehe 24 Aprili 1981 wakati wa saa tatu mchana kunako jumba kuu la taifa mbele ya Muundaji wa Chama cha Mapinduzi, Jemadari Mobutu Sese Seko.
Swahili
il y a 3 ans
-
Burundi itafungua ubalozi wake mdogo jini Bukavu
Mshauri mkuu kunako ubalozi wa JAmhuri ya Burundi nchini Zaïre, bwana Ngendarukiyo Damase aliyepokea katika masimulizi ya kiserikali na Liwali wa Kivu Mwando Nsimba Shaba alihakikisha katika mazungumzo yao kuwa ...
Swahili
il y a 3 ans
-
Goma : Rukimbira, Haruna na Siradji wagunduliwa na uuzaji wa sigareti kimagendo
Zaidi ya ubovu wa mabarabara, ukosefu wa zamiri ngema ya kazi "unaovundisha" vichwa vya wamoja kati ya viongozi na watumishi katika chama, serikalini, wafanyabiashara na wakaaji wenyewe ambavyo vyazidi kuharibu uchumi, maendeleo na maisha bora ya wakaaji jimboni mwa Kivu ...
Swahili
publié par
MALIYABWANA Mwin'Anu
il y a 3 ans
-
Bukavu : Kamati ya Chama cha Mapinduzi jimboni imechukua hatua mbali mbali
Baada ya kurejea mjini Bukavu na kuchungua kwa karibu mambo mbali mbali kuhusu Chama cha Mapinduzi serikali, uchumi, maisha bora ya wakaaji jimboni na vivi hivi, mwanamemba wa chuma cha siasa, Liwali Mwando Nsimba Shaba alisimamia siku ya pili tarehe 21 Aprili 1981 mkutano moja maalum wa kamati ya Chama cha Mapinsuzi jimboni.
Swahili
publié par
MALIYABWANA Mwin'Anu
il y a 3 ans
-
Kadutu : "Feza na wanawake ndio mambo mawili yanayoharibu dunia ?"
Ndungu zetu wapiga mziki katika Jamhuri jirani ya Kongo walipaliza sauti zao juu a kuimba katika lugha la lingala kwamba : "Feza na wanawake ndio mambo mawili yanayoharibu dunia".
Swahili
publié par
Nyuki
il y a 3 ans
-
Wezi ao askari ?
Mwanzo wa juma tunayo, kusangaza ulifanyika kunako duka moja mjini Uvira. Kila mkaji na mpita jia alijiliza ili kuja vema jinsi wizi huo ulitendeka.
Swahili
il y a 3 ans
-
Kuoenda binti unayetumika nae ni vibaya ? ...
Siku hizi, wabinti na kina mama wengi watumika katika vyumba mbali mbali vya kazi za Chama, vya serikali na katika maofisi. Wamoja kati ya viongozi na marafiki fulani wa kazi wapevushwa na urembo wa wabinti na kina mama hao na kuanza kuwaita waishi kirafiki.
Swahili
il y a 3 ans
-
Mashamba hayatalimwa tena Kadutu ?
Mwenye kiti wa mtaa Kadutu, mwananchi Mulyanga Mugobe alitangaza siku hizi hatua moja inayowakataza wakaaji wake kulima juu ya milima na popote mtaani mwake. Tujuavyo sisi, jambo hilo si jipya ao kutatazwa kwa mara ya kwanza.
Swahili
il y a 3 ans
-
Pinga-Walikale : Viongozi wa mkoa wa Wanyanga na askari walinzi wa usawa mikoani wapenda pesa mno !
Jua mpenzi, kwa huzuri kubwa moyoni mwangu, uniruhusu nikutolee mateso ya makaaji wa vijijini vya Ihana, Ikobo, Kisimba, Irameso, Mpofi, Limangi na Uvira katika mtaa wa Walikale.
NENO LA WASOMAJI
il y a 3 ans
-
Isopo-Mwenga : "Wakuu wetu watunyonya nguvu !"
Jua mpenzi, pokea malalamiko yetu sisi wakaaji wa mikoa midogo ya Isopo, Ngando na Kigalama katika mtaa wa Mwenga. Malalamiko yetu yaletwa hasa na matendo mabaya yakiongozi wa mkoa mdogo ya Kasika anayeshirikiana pamoja na kamanda wa askari ...
Swahili
il y a 3 ans
-
Kutafuta ndungu
Mwananchi Longolongo Kibonge, mwanafunzi kunako masomo ya sekodari ya Kama, amtafuta shemeki yake Mizumbi wa Mizumbi,mwaliwa wa kijiji cha bilembo katika mtaa wa Mwenga.
NENO LA WASOMAJI
il y a 3 ans
-
Uzazi
Kiongozi wa chumba kihusikacho na kazi za wapokea wageni kwenye ofisi ya katibu ya vijana katika Chama cha Mapinduzi jimboni mwa Kivu ...
Swahili
il y a 3 ans
-
Askofu Tshibangu alizungumza juu ya ujio wa Uniwasti katika mwaka elfu mbili
Tangu tarehe 8 mpaka 11 Aprili 1981, kiongozi wa Univasti nchini (recteur de l'UNAZA), Askofu Tshiangu Tshishiku, alifanya safari yake yakikazi mchini Bukavu akitokea Bujumbura, makao makuu ya Jamhuri ya Burudi ambako alikutana na wenzie wa Univasti za Rwanda na Burundi ...
HABARI ZA JIMBO NA POPOTE
publié par
MUNYOLOLO KIPENE
il y a 3 ans
-
Bukavu : Mwananchi Kapajika Kalota amkomboa mwenzie Namufetha
Baada ya Kumkomboa kazini mwake mwanzie Namufetha wa Mulumba, katibu mpya wa vijana katika Chama cha Mapinduzi jimboni, mwananchi Kapajika Kalota alionyeshwa kiserikali mbele ya wasaidizi wake wote mjini Bukavu.
HABARI ZA JIMBO NA POPOTE
publié par
MALIYABWANA Mwin'Anu
il y a 3 ans
-
Kasindi-Beni-Rutshuru-Ishasha : Barabara za shehemu hizo zashurulikiwa
Mtaalam jimboni katika kazi za ujenzi wa barabara na vilalo, bwan Chapon alipokewa katika masimulizi ya kikazi na mwanamemba wa chumba cha siasa, Liwali Mwando Nsimba Shab ambamo walizungumza mengi kuhusu ma barabara toka Kasindi, Beni, Rutshuru na Ishasha.
HABARI ZA JIMBO NA POPOTE
publié par
MALIYABWANA Mwin'Anu
il y a 3 ans
-
Kwako bibi : Umri wa uzee ndio wapoteza hasa uzazi
Kisha kutimiza umri wa miaka fulani ya kuzaliwa, wanawake kupoteza uzazi (mwanzo wa uzee). Umri huo wapatikana kati ya miaka 47 na 51 ya kuzaliwa kwa wanawake.
HABARI ZA JIMBO NA POPOTE
publié par
MUNYOLOLO KIPENE
il y a 3 ans
-
Kalehe-Rutshuru : Ugonjwa wa Kuhara damu wazidi kutawanyika na kuteketeza wakaaji
Mnamo siku zilizopita tuliwajulisha wasomaji wetu kuwa, wanapashwa kufanya angalisho kubwa kwa kuepuka ugonjwa wa hatari wa kuhara damu uiokwisha shambulia mtaa wa Rutshuru.
HABARI ZA JIMBO NA POPOTE
il y a 3 ans
-
Kamuronya-Masisi : Kiongozi mpya amesimikwa kiserikali
Siku ya Mungu tarehe 12 Aprili mwaka tunao, kiongozi mpya wa mkoa mdogo wa Kamuronya/Sake, mkoa wa Bahunde katika mtaa wa Masisi mwananchi Mauma Bitsibu, amesimikwa kiserikali katika madaraka yake.
HABARI ZA JIMBO NA POPOTE
il y a 3 ans
-
Shirikisho la Amerika lina watu milioni nane wasiokuwa na kazi
Habari zenye kuaminika toka Washington zahakikisha kwamba, katika shirikisho Amerika mwapatikana watu wapata milioni nane wasiokuwa na kazi yoyote
HABARI ZA JIMBO NA POPOTE
publié par
André Bisimwa L-B. Tserou
il y a 3 ans
-
Weusi 28 waliuawa kwa ubaguzi wa rangi mjini Atlanta
Kulingana na habari zilizotangazwa na sauti ya Ujerumani Magharibi yasikika kuwa, Weusi makuli mawili na nane waliuawa katika miezi makumi mawili na moja mjini Athanta ...
HABARI ZA JIMBO NA POPOTE
publié par
André Bisimwa L-B. Tserou
il y a 3 ans
-
Saraha Magharibi itashiriki kwenye mkutano wa Naïrobi
Jamhuri ya Kidemokratia ya Sahara Magharibi yatezamia kutuma ujumbe wake mjini Naïrobie, nchini Kenya ili kuomba ikubaliwa kuwa moja kati ya nchi wanamemba wa Umoja wa nchi huru za Afrika (O.U.A.)
HABARI ZA JIMBO NA POPOTE
publié par
André Bisimwa L-B. Tserou
il y a 3 ans
-
Jemadari Mobutu aliwahotubia wabunge mjini Kinshasa
Kulingana na umuhimu wa sikukuu ya wabunge nchini, Muudaji wa Chama cha Mapinduzi, Jemadari Mobutu Sese Seko aliwahotubia wabunge mjini Kinshasa siku ya pili tarehe 28 Aprili 1981 kunako jumba kuu la taifa.
Swahili
il y a 3 ans
-
Uganda : Watu 32 waliuwa na waziri Otime aliumizwa kwa risasi
Usalama haujarudi ao kudumisha kabisa nchini Uganda. Siku hizi, ilitangazwa tena kwamba, wapinzani wa siasa ya Rais Milton Obote nchini Uganda wanaojidai kuwa wakombozi nchini humo waliua kwa risasi watu makumi matatu n mawili katika mitego ...
Swahili
il y a 3 ans
-
Weusi 9 walifariki kwa zaruba kali Afrika ya kusini
Habari zenye kuaminika zahakikisha kwamba, Weusi tisa walifariki kwa zaruba kali iliyovuma kando kando ya mji w Johannesburg, moja kati ya mjini mikuu nchini Afrika ya Kusini.
Swahili
publié par
MALIYABWANA Mwin'Anu
il y a 3 ans
-
Liwali Mwando na mwenzie Shunguyinka walichungua hali ya mpaka kati ya Goma na Gisenyi
Baada ya kurjea mjini Goma. mwanamemba wa chumba cha siasa, Liwali Mwando Nsimba Shaba alisimamia siku ya tano tarehe 1 mayi 1981 mjini Bukavu sherehe maalum ya sikukuu ya wafanyakazi popote ulimwenguni.
Swahili
il y a 3 ans
-
Korti ndogo la kiaskari litasimikwa pa Kamituga
Habari zinazoaminika toka chumba kikuu cha kiaskari jimboni zaeleza kuwa, mnamo mwezi mayi tunaoanza, krti moja ndogo la kiaskari walinda sheria (inspection judiciaire) litashimishimikwa katika mkao mdogo wa Kamituga, mtaa wa Mwenga.
Swahili
il y a 3 ans
-
Gisenyi : Mkutano uhusikao na afia kati ya Burundi, Zaïre, na Rwanda utafanyika
Mkutano zenye kuaminika toka Goma, mji mkuu wa udongo wa wilaya ya Kivu ya kaskazini zahakikisha kwamba, mkutano moja maalum utakaohusika na kujifunza pia kutawanya matunzo bora ya afia katika shirikisho la kiuchumi za nchi zinazopakana kando kando ya maziwa makuu (CEPGL) ...
Swahili
publié par
MALIYABWANA Mwin'Anu
il y a 3 ans
-
Padri Dheiju ametajwa kuwa Askofu wa diosezi ya Uvira
Kulingana na hatua hiliochukuliwa na kutangazwa kiserikali na Papa Paulo wa pili wa kanisa Katolika Takatifu mjini Roma, padri Dheiju ametajwa kuwa Askofu wa diosezi ya Uvira.
Swahili
il y a 3 ans
-
Rais Mobutu alisema
Wananchi waliofanya umbalimbali na mapinduzi yetu, sio maadui wangu.
Swahili
il y a 3 ans
-
Mwananchi Lokomba analia kazini mwake ?
"Dunia haina wema na ni mbaya ? Hapana. Dunia si mbaya, na binadamu ndio wabaya kwani wanachukiana, kutiliana fitina na vivi hivi.
Swahili
il y a 3 ans
-
Binti mchana, malaya usiku ?
Kila mara wakati wa mchana, huwa tunakutana njiani na wabinti wakiwa na mavazi pamoja na mabuku yao ya kianafunzi.
Swahili
il y a 3 ans
-
Walioiba feza za serikali waazibuwe !
Kweli, feza za serikali ziliteketea kwa wizi uliofanywa na wamoja kati ya viongozi katima Chama, serikalini, majeshini, wakuu na walimu wa masomo pamoja na watumishi mbali mbali serikalini waliokuwa wakisikilizana na wale wahusikao na kulinda feza ao kulipa mishahara yao.
Swahili
il y a 3 ans
-
Watumishi wa serikali hawatumikaki tena ?
Mara nyingi, kila unapojielekeza katika chumba cha kiongozi fulani ao mtumishi hauwezi kukuta mtu. Utakapouliza utajibiwa kwamba alitoka kwa muda mfupi alipoenda kuitika kwa Liwali wa Kivu (yo !).
Swahili
il y a 3 ans
-
Uvira : Wa "karushavumbi" toka Bukavu waharibu maadibisho ya wabinti wetu
Jua mpenzi, nikiwa mmoja kati ya wasomaji wako wa daima, najiruhusu kukuandikia barua hili ili upate kuwashari wazazi wasiofanya kazi zao jinsi inavyostahili hasa kabisa kuhusu maadibisho bora ya watoto wao.
NENO LA WASOMAJI
il y a 3 ans
-
Bukavu : Yule "OPJ" wa Nguba ni rafiki ya wevi ?
Jua mpenzi, ikiwa ninakuandikia barua hii, ukomo wangu mkubwa ni kukujulisha jambo moja la kushangaza nililojionea binafsi ambalo lasaidia wevi kuiba mati ya wakaaji na kuwaangamiza.
NENO LA WASOMAJI
il y a 3 ans
-
Uvira : Vyumba vya kazi vya afia na hospitali
Jua mpenzi, nazani kama utaniunga mkono ninapokuambia kama wangwana husema eti "mbele ya kutoa uchafu katika jicho la mwenzio, toa kwanza jichoni mwako !". Ikiwa ninaanza barua yangu na msemwa huo wa wazee wetu, ni sababu ukweli huo waonekana hapa mjini Uvira.
NENO LA WASOMAJI
il y a 3 ans
-
Mapimo-Kalima : Wakaaji wafurahi kuongozwa na mwananchi Kenda Kenda
Jua mpenzi, kama tulivyokuandikia katika siku zilizopita kuhusu mahitaji ya wakaaji wa kijiji cha Mapimo – Kalima waliokuwa wakimilia mwananchi Kenda Kenda kuwa kiongozi wa kijiji choa, huyu amekwisha anza kazi zake katika kijiji hicho…
NENO LA WASOMAJI
il y a 3 ans
-
Mwananchi Makolo aendelea na safari yake ya uchunguzi
Tangu siku ya tatu tarehe 29 aprili 1981, naibu wa Liwali wa Kivu ahusikae na kazi za serikali, mwananchi Makolo Jibikilay ahusika na uchunguzi mbali mbali katika mawilaya ya Kivu ya Kaskazini. Maniema na Kivu ya Kusini.
HABARI ZA JIMBO NA POPOTE
publié par
MALIYABWANA Mwin'Anu
il y a 3 ans
-
Uvira : Wakaaji wakosa amani ?
Hapana ! Tangu siku nyingi sasa wakuu wa serikali jimboni waliruhusu makundi ya askari jeshi yasimikwe mahali mbali mbali mjini Uvira kwa kuweza kukinga usalama wa wakaaji na mali zao.
HABARI ZA JIMBO NA POPOTE
publié par
MALIYABWANA Mwin'Anu
il y a 3 ans
-
Kwako bibi : Kutoa mimba kwaleta vinyume vikali !
Kama tujuavyo sisi wote, kutoa mimba kwaleta vinyumba vingi vibaya hasa kabisa kuharibu afia na paisha ya kina mama kwa upekee na watoto wazaliwa kwa jumla.
HABARI ZA JIMBO NA POPOTE
publié par
MUNYOLOLO KIPENE
il y a 3 ans
-
Liwali wa Kivu ahusika na uchunguzi wa watumishi wa serikali
Kwa kuweza kulipa vema mishahara ya watumishi wa serikali katika mwezi wa nee 1981, makundi mbali mbali yaliundwa kwa kufanya uchunguzi maalum wa wafanyakazi wota wa serikali nchini.
HABARI ZA JIMBO NA POPOTE
publié par
MALIYABWANA Mwin'Anu
il y a 3 ans
-
Uvira : Japokuwa upo mtoto wa Basika, mimi ni dereva wa gari hili
Katika gazeti letu namba 109 lililopigwa chapa tarehe 11 mpaka 17 aprili 1981, tulizungumza na kutoa mashauri fulani yenye kuwaelekea ndugu zetu madereva wa "taxi" na wa magari yahusikayo na usafirishaji watu toka Bukavu mpaka Uvira na kurudi kuhusu tabia yao mbaya.
HABARI ZA JIMBO NA POPOTE
publié par
MALIYABWANA Mwin'Anu
il y a 3 ans
-
Belgrade-Yugoslavia : Ukumbusho wa mareshali Tito
Siku ya kwanza tarehe 4 Mayi 1981, wananchi wa Yugoslavia walikutana pamoja katika ukomo wa kusherekea ukumbusho wa mwaka moja tangi kurariki kwa rais waowa kwanza, marehemu Tito.
HABARI ZA JIMBO NA POPOTE
publié par
André Bisimwa L-B. Tserou
il y a 3 ans
-
Washington -Amerika : Bobby Sands ameaga dunia
Serikali ya Amerika yahakikisha kuwa mpinzani wa mgogoro unaopatikana nchini Irland, bwana Bobyy Sands aliyefanya mgomo wa njaa (grève de la faim) ili wananchi wa Irland ...
HABARI ZA JIMBO NA POPOTE
publié par
André Bisimwa L-B. Tserou
il y a 3 ans
-
Katibu mkuu Kurt Wadeim alitembelea Urusi
Karibu mkuu wa Baraza la Muungano wa Mataifa (ONU), bwana Kurt Wadeim, alitembelea Urusi. Ukomo wa safari yake huko Mosku, mji mkuu wa Urusi ilikuwa kukutana na wakuu wa nchi hiyo ili kuchungua vema mambo ...
HABARI ZA JIMBO NA POPOTE
publié par
André Bisimwa L-B. Tserou
il y a 3 ans
-
Askari 10.000 watanzania wazidi kurudi kwao
Kulingana na hatua iliyochukuliwa na Rais Julius Nyerere wa Tanzania, askari wake wengine elfu kumi walianza kurudi nchini mwao tangu siku ya tano tarehe mbili Mayi 1981.
HABARI ZA JIMBO NA POPOTE
il y a 3 ans
-
Uchuli na maisha bora ya kijamii
Uchumi, maisha bora ya kijamii, ujenzi, maendeleo, usalama na ukingo wa jimbo letu la Kivu ndio mambo muhimu yaliyoshurulikwa hasa siku hizi na Liwali wa jimbo Mwando Nsimba pamoja na wasasidizi wake popote walipo.
Swahili
il y a 3 ans
-
Hakuna mtu wa bure mbele ya mwengine
Siku ya Mungu tarehe 3 May 1981, kipofu mmoja mwananchi Kabakaba alifunga ndua ya kikristu mjini Kinshasa na binti mmoja aitwae Isina.
Swahili
il y a 3 ans
-
Kinshasa : Rais Mobutu alizungumza na wasaidizi wake katika chama na serikali kuhusu kilimo
Siku ya pili tarehe 5 Mayi mwaka huu, Baba wa taifa, Jemadari Mobutu Sese Seko alizungumza kikazi na wabunge pamoja na mawaziri mjini Kiwhasa.
Swahili
publié par
MALIYABWANA Mwin'Anu
il y a 3 ans
-
Bujumbura : Mkutano wa lazima ulifanyika kati ya Zaïre na Burundi
Siku hizi, mkutano moja wa lazima kabisa ulitanyika mjini Bujumbura, makoa makuu ya Jamhuri ya Burundi nchini ya mamizi wa waziri rundi anusikae na mambo nje pamoja ...
Swahili
publié par
MALIYABWANA Mwin'Anu
il y a 3 ans
-
Kindu : Mwananchi Makolo alitoa mwanga kuhusu kazi za serikali
Kama alivyokwisha fanya popote katika mawilaya ya Kivu ya Kaskazini na Kivu ya Kusini, naibu wa Liwali wa Kivu ahusikae na kazi za serikali, mwananchi Makolo Jibikilay alisimamya mkutano wa kikazi mjini Kindu ...
Swahili
publié par
MALIYABWANA Mwin'Anu
il y a 3 ans
-
Ujapani yakusudia kuacha uuzaji wa gari zake nchini Amerika
Habari yenye kuaminika toka Tokyo, mji mkuu nchini Ujapani, zahakikisha kwamba, serikali imekusudia kuacha uuzaji wa gari nchini humo kwa shirikisho la Amerika muda wa miaka minne.
Swahili
publié par
MALIYABWANA Mwin'Anu
il y a 3 ans
-
Binti ya mwenzako ni "Kitovero" ?
Siku hizi, wazazi wengi wanawake kama vile wanaume hawajui ku jiheshimu. Ni hivi utawasikia kina mama wamoja wenye umri mkuu kujigeuza marifiki ao vimada wa watoto wadogo na kujisifu eti : "tutoto todogo ndio twenye kutufaa vizuri kimwili".
Tunongonezane
il y a 3 ans
-
Kanyanga haiwapendaki ?
Yule kaka na mke wake wapatikanao katika barabara itwayo Kibombo, katika mtaa wa Ibanda, kanyanga ao lutuku haiwapendaki.
Tunongonezane
il y a 3 ans
-
"Taxi" za uwongo ni nyingi mno usiku
Kwa kuepuka wasilipishwe kodi ya magari "taxi" na ukosefu wa makarkasi mbali mbali ya kiserikali yanayoombwa kwa wenye kufanya kazi hiyo, wananchi wengi walikwisha vumbua werevu mwengine wa kuiba serikali na wakaaji.
Tunongonezane
il y a 3 ans
-
Wachuuzi wa vitika na kalanga wachafua pia mji
Mji wa Bukavu wazidi tu kupoteza kila mwenda siku uzuri na usafi wake wa zamani, kubomoka kwa mifereji, kutoboka kwa bomba za choo, uchafu wa viozo na mizoga ya mbwa wanaokufa na kuchelewa mabarabarani ukosefu wa mashimo ...
Tunongonezane
il y a 3 ans
-
Madereva wa magari toka Uvira-Bukavu wanazidisha magendo
Kwa kuepuka wasafiri toka Uvira - Bukavu - na Uvira wasichelewe zaidi kwenye mipaka, wakuu wa serikali jimboni walichukua hatua ya kupunguza vyumba vya kazi zingine na kuwaemba watumishi wa "O.F.I.D.A." pa Ruzizi ya pili na Kamanyola wasikafilishe na uchunguzi wao wa mizigo.
Tunongonezane
il y a 3 ans
-
Nyamakana-Kabara : Kwa nini kunichonganisha bure na wakuu wangu ?
Jua mpenzi, ninashika kalamu yangu ili nipate kukanusha maadishi ya uwongo yaliyochapwa katika gazeti lako namba 109 la tarehe 11 mpaka 17 Aprili 1981 ambamo nisiyoyajua kuhusu naibu wa mwenyekiti wa mtaa wa Kabare anayekuwa na makao yake pa Katana, mwananchi Botoko.
NENO LA WASOMAJI
il y a 3 ans
-
Birava-Katana : Eti kiongozi wa mkoa huo mdogo ni mla pupa ?
Jua mpenzi, pokea malalamiko yetu sisi wakaaji wa vijijini vya Lugendo, Ishunga, Kishike na Bushumba katika mkoa mdogo wa Katana/Kabare.
NENO LA WASOMAJI
il y a 3 ans
-
Bilembo-Mwenga : Kazi za watumishi wa "OR/B.A.505" ni kujenga ao kuharibu mabarabara ?
Jua mpenzi, sisi wafanyabiashara na wasafiri tunaojielekeza katika mkoa mdogo wa Kamituga tukitokea mjini Bukavu twajionea "kiamtema kuni".
NENO LA WASOMAJI
il y a 3 ans
-
Kapene-Pangi : Kuchimba zahabu kimagendo kwapingwa kabisa
Jua mpenzi, ninayo furaha kubwa moyoni mwangu ya kukujulisha mpango mzuri wa kazi za viongozi wetu wa mtaa wa Pangi na wale wa wilaya yetu ya Maniema wanaokusidia kupingana kamalieza kabisa kazi uchimboji zahabu kimagendo katika kijiji cha Kampene.
NENO LA WASOMAJI
il y a 3 ans
-
Liwali Mwando aliwapokea watangazaji habari
Siku ya pili tarehe tano Mayi 1981, mwanamemba wa chumba cha siasa, Liwali wa Kivu Mwando Nsimba Shaba na mkewe, waliwapokea nyumbani mwao watungazaji habari na wake zao katika karamu ya masimulizi.
HABARI ZA JIMBO NA POPOTE
publié par
MALIYABWANA Mwin'Anu
il y a 3 ans
-
Askari jeshi wanaweza kuomba uito wa maamzi yao
Mnamo tarehe tano septemba 1980, Muudaji wa Chama cha Mapinduzi, Rais wa Jamhuri, Jemadari Mobutu Sese Seko alitia sahihi yake juu ya hatua namba 80-015 kuhusu makorti mbali mbali ya askari jeshi nchini Zaïre.
HABARI ZA JIMBO NA POPOTE
il y a 3 ans
-
Maulizo na majibu
ULIZO Nifanyeje kwa kuwa na urahisi wa kupata gazeti jua kila mara ? malipo ni gani ?
NENO LA WASOMAJI
il y a 3 ans
-
Bukavu : Uchunguzi wa watumishi wa serikali umefanyika vema ?
Wakuu wa serikali nchini walipotambua kuwa feza nyingi zatumiwa na kuibwa ovyo kwa kuwalipa bure watu wasiotumika kazi, wale waliokwisha fariki kazi kwa umri wao wa uzee, wale wenye mishahara miwili na zaidi kwa mwezi ...
HABARI ZA JIMBO NA POPOTE
publié par
MALIYABWANA Mwin'Anu
il y a 3 ans
-
Mchezo wa kandanda
Kisha kulaza Simba (Lions) ya Cameroun kwa golimaji Kinshasa, Chui (Léopard) ziliumwa vikali bila huruma nchini Cameroun na jeshi la Simba zilizokuwa na hasira.
HABARI ZA JIMBO NA POPOTE
publié par
André Bisimwa L-B. Tserou
il y a 3 ans
-
Kwako bibi : Usiwatese bure watoto wa mme wako
Mazungumzo yetu ya leo yataelekea kina mama anayewatesa bure watoto walioachwa na mke mwenzake.
Swahili
publié par
MUNYOLOLO KIPENE
il y a 3 ans
-
Umuhimu wa Chama cha Mapinduzi
Tarehe 12 Desemba 1965, wanachama maelfu mjini Kinshasa walikusanyika pamoja katika uwanja wa mpira wa tarehe 20 Mayi ili kufuata kwa karibu hotuba na mafasirio kamili yaliyomtakwa na kutolewa na Jemadari Mobutu Sese Seko siku hiyo.
Swahili
il y a 3 ans
-
"M.P.R." ndio ustaarabu wa taifa !
Kesho tarehe 20 Mayi 1981, tutasherehekea sikukuu ua ukumbusho wa miaka kumi na nne tangu kuundwa kwa Chama chetu cha Mapinduzi. Chama cha Mapinduzi chatueleza nini?
Swahili
publié par
JUA
il y a 3 ans
-
Kwa nini kutaka kumuua Papa Paulo wa Pili ?
Ulimwengu mzima ulishtuka na kujiuliza eti : "dunia inaenda wapi ?". Kushtuka huko kwatokana na habari mbaya iliyotangazwa Roma kusikia kama mrugaruga Mehmed Ali Agea, mzaliwa Turkia, aliejaribu kumuua kwa bunduki siku ya pili, tarehe 12 Mayi 1981 Papa Yoane Paulo wa Pili.
Swahili
publié par
MALIYABWANA Mwin'Anu
il y a 3 ans
-
Liwali Mwando aomba "SNCZ" na "AIR ZAIRE" ziheshimu wasafiri
Liwali Mwando akusudia na moyo wake wote kuinua maisha ya kijami ya wakaaji wote wa jimbo la Kivu. Ni hivi siku ya nne tarehe 14 Mayi 1981, alizungumza na mwenyekiti wa mji wa Bukavu, mwananchi Lokomba Kumuadeboni, pamoja na vyongozi wa vyumba vya serikali ...
Swahili
il y a 3 ans
-
Zaïre-Angola : Mahusiano bora yazidi kudumisha
Siku ya tatu tarehe 13 Mayi 1981 wakati wa asubuhi, Muundaji wa Chama cha Mapinduzi, Rais wa Jamhuri, Jemadari Mobutu Sese Sesko liongoza ulumbe moja maalum mjini Luanda, makoa makuu ya Jamhuri ya kiraia ya Angola.
Swahili
il y a 3 ans
-
"DCMP"/Kivu imepokea toni 5 ya "penicilline"
Siku ya tatu tarehe 13 Mayi mwaka huu, Liwali wa Jimbo la Kivu, mwananchi Mwando Nsimba, alimpokea chumbani mwake mwa kazi mganga mkuu kwa mda jimboni, mwananchi Mutombo.
Swahili
il y a 3 ans
-
Rais Mobutu alisema
Hakuna hata mwananchi moja anayeweza kujiruhusu kuwatisha au kuwagopesha wananchama na wakaaji wengine, akusingizia na kujidai kuwa ...
Swahili
il y a 3 ans
-
Mufalme Baudouin wa kwanza ataenda Pekin
Siku hizi, magazeti mbali mbali ulimwenguni zilitangaza na kuhakikisha kwamba, mfalme Baudouin wa kwanza nchini Ubeleji anakusudia kabisa kufanya safari yake ya kiserikali mjini Pékin ...
HABARI ZA JIMBO NA POPOTE
il y a 3 ans
-
Waziri Mugabe alipokewa kwa shangwe
Kwa upande wake, waziri mkuu nchini Zimbabwe, Bwana Robert Mugabe alipokewa kwa heshima na shangwe kubwa mjini Pékin.
HABARI ZA JIMBO NA POPOTE
il y a 3 ans
-
Zimbabwe : Simba moja aliwatafuna watoto watatu na mama yao
Wakati ambao ulimwengu wote ulikuwa katika matayarisho ya kufurahi kwa shangwe kubwa siku kuu ya wafanyakazi, yaani tarehe moja mayi 1981.
HABARI ZA JIMBO NA POPOTE
il y a 3 ans
-
Zaïre yakusudia kuinua kabisa uchumi wake
Tangu tarehe 16 mpaka 18 Marsi 1981, mkutano moja maalum uliwakutanisha pamoja mjini Paris, makao makuu ya mchi ya Ufaransa wakuu na wataalam wa jamhuri za Ufaransa na Zaïre.
Swahili
publié par
NAP
il y a 3 ans
-
Ushahiri : Kovu la milele !
Kila tarehe 11 Mayi, ninapatwa na makiwai
Ni kovu bichi na la milele maishani mwagui
Tarehe hiyo, nilipotelewa
Swahili
publié par
MALIYABWANA Mwin'Anu
il y a 3 ans
-
Kombe la Zaïre : OC Muungano ilimtoa CS Bukavu-Dawa 5-3
Katika mapambano ya kandanda ya kugombea kombe la Zaïre, timu maarufu (grandes équipes) nchini mwetu zilona nyota mbele ya zile wanazoita kuwa ndogo (petites équipes).
Swahili
publié par
André Bisimwa L-B. Tserou
il y a 3 ans
-
Kombe za timu bingwa (CACC) : AS Vita Club ilichapa Silures 1-0 Canon de Yaounde na ASEC d'Abidjan 0-0
Baada ya matayarisho muhimu mjini Kishasa, timu bingwa la Zaïre, AS Vita Club ilimchapa FC Silures, jeshi bingwa la Volta ya Juu kwa goli moja kwa sifuri (1-0). Mchezo huo uliendeshwa pa Bobo Dioulasso. Goli hilo lilitandikwa na mwhezaji maarufu Bobutaka.
Swahili
publié par
André Bisimwa L-B. Tserou
il y a 3 ans
-
Kayna-Lubero : Viongozi wa masomo waweza kupunguza mishahara ya walimu ?
Jua mpenzi, ikiwa najiruhusu kukuandikia barua yangu hii kwa mara ya kwanza, ukomo wangu kamili ni kukanusha uwongo ulioandikwa na mwananchi Muteya Muhindo, mwalimu kunako masomo ya msingi ya kiprotestanti ya Kilambo-Kayna, tawi la "CEPZA" ...
NENO LA WASOMAJI
il y a 3 ans
-
Bushumba-Katana : Wakaaji wa Bushomba wakosa amani ?
Jua mpenzi, upendezwa kutangaza barua yangu hii katika ukurasa wetuwa neno la wasomaji ili malalamiko yetuu hayo yawafikie haraka wakuu wa jimbo letu na tupate kuishi katika amani.
NENO LA WASOMAJI
il y a 3 ans
-
Mme wangu, ulikwenda Uvira ?
Ndugu mmoja alimdanganya mke wake et ametumwa na wakuu wake wa kazi Uvira muda wa siku tatu. Baada ya kufunga vitu vyake, alichukua gari na kujielekeza moja kwa moja mpaka kwenye hoteli "La Frégate" alipopatana na kimada wake.
Tunongonezane
il y a 3 ans
-
Nipo na wazimu, nyinyi watu wasio na akili
Kujiheshimu, ni jambo muhimu kabisa. Siku ya Mungu tarehe 9 Mayi 1981 wakati wa saa kumi za chana, vijana wawili walijiruhusu kumzomea na kumtusi bure mwenda wazimu "Fabien".
Tunongonezane
il y a 3 ans
-
Mnofu wa nyama waharibu zamiri yao ya kazi !
Wachunguzi wa nyama na wachunguzi wa bei madukani, sokani na popote mjini Bukavu walikwisha pevuka na kuharibu zamiri yao ya kazi sababu ya mnofu wa nyama wanaotolewa kila siku na wachuuzi wa chakula hicho.
Tunongonezane
il y a 3 ans
-
Vyombo vya uuzaji chakula sokoni ni visafi !
Usafi, ndio ngao ya maisha bora ya kila binadamu. Jambo la kushangaza ni kuona kama wamoja kati yetu hawajajua umuhimu (importance) wa kanuni za usafi hasa kabisa wale wenye vyumba vya uuzajii chakula sokoni.
Tunongonezane
il y a 3 ans
-
"Essence" zinazonyangaywa zinapelekwa wapi ?
Kwa kutaka kupinga na kukomesha kabisa uuzaji wa "essence" na 'mazout" kimagendo popote mjini Bukavu, wakuu wa serikali jimboniwalichukua hatua ya kukataza uuzaji wa vifaa hivyo manyumbani na mahali pengine pote pasipokuwa stesheni.
Tunongonezane
il y a 3 ans
-
Kwako bibi : Kutumia "biberon" kwaweza kuleta magonjwa ya hatari
Siki hizi, magazeti, radio na mazungumzo mengi popote duniani yafanya vyote ili kuwasikilizisha raia vinyume vikali vya matumizi ya "Biberon" kwa watoto wazaliwa.
Swahili
publié par
MUNYOLOLO KIPENE
il y a 3 ans
-
Afia bora ndio yaleta maendeleo
Kulingana na mpango wa Umoja wa mataifa huru alimwenguni, miaka makumi matatu kisha nchi npingi za Bara la Afrika kupata uhuru, imetngazwa na kujulisha kuwa maendeleo yazidi kufanyika.
Swahili
il y a 3 ans
-
Afrika ya Kusini : Wachimba zahabu weusi 1.600 walifukuzwa kazini
Radio "Sauti ya Ufaransa" na "Ujerumani Magharibi" zilitangaza siku ya nne tarehe 28 Mayi 1981 wakati wa asubuhi kuwa, wakuu wa shirika la uchimbaji zahabu ...
HABARI ZA JIMBO NA POPOTE
il y a 3 ans
-
Uganda : Askari wafungwa 3.000 waliachwa huru
Siku ya tatu tarehe 27 Mayi 1981, Rais Milton Obote alichukua hatua maalum ya kuwahurumia na kuwaacha huruaskari jeshi elfu tatu waliokuwa wafuasi wa Idi Amin Dada.
HABARI ZA JIMBO NA POPOTE
il y a 3 ans
-
Abidjan : T.P.O.K. Jazz ilitembelea Pembe la Pwani
Kisha kujitembelea nchini mbali mbali za Ulaya Magharibi mwananchi Luambo Makiadi (mjomba Yorgho) na kundi lake la T.P.O.K. OK JAZZ aliwaburudisha wananchi wa Pembe la Pwani ...
HABARI ZA JIMBO NA POPOTE
il y a 3 ans
-
Amerika : Bob Marley alifariki
Kisha habari hiyo ya furaha tutawapasha hapa haari ya uchungu. Kwani wapiga mziki na wapendelevu wa mziki mtamu na malinga ya "reggae" wapo kilioni baada ya kufariki dunia kwa muimbaji na mpiga mziki wa kisasa ...
HABARI ZA JIMBO NA POPOTE
il y a 3 ans
-
Liwali Mwando amewachukulia wahuni hatua kali
"Tangu sasa, hakuna huruma yoyote kwa watenda maovu". Amehakikisha Liwali Mwando Nsimba katika hotuba yake maalum aliotamka siku ya pili tarehe 19 Mayi 1981 mbele ya wanachama wa mitaa mitatu ya mji wa Bukavu ...
Swahili
il y a 3 ans
-
Kadutu : Wakati wa kuomba viwanja umekwisha
Mwezi wa tano Mayi 1981, mkutano wa kamati ihusikayo na kazi za uchunguzi wa ujenzi wa nyumba katika mtaa wa Kadutu ulifanyika chini ya uongozi wa makamu wa mwenyekiti wa mtaa huo, mwananchi Musole Maharaza Nyabangere.
Swahili
il y a 3 ans
-
Jumba pya la uzazi limezinduliwa
Mnamo tarehe 20 Mayi iliyopita tuliposhangilia miaka kumi na nne ya siku kuu ya ukumbusho wa kuundwa kwa Chama chetu cha Mapinduzi, jumba mpya la uzazi kwa kina mama limezinduliwa kunako hospitali kuu mjini Bukavu.
Swahili
publié par
MUNYOLOLO KIPENE
il y a 3 ans
-
Mwananchi Djoho Tayeta alizungumza na washauri mjini
Siku ya pili tarehe 26 Mayi 1981, Makamu wa Liwali ahusikaena mambo ya Chama, mwananchi Djoho Tayeta alizungumza kikazi na washauri 26 wa mitaa na wilaya ya mji wa Bukavu ...
Swahili
il y a 3 ans
-
Rutshuru : Nani atakomesha wizi wa pembe za tembo
Kila mmoja wetu ni mwenye kujiuliza sasa kama ndugu zetu wageni toka nchi mbali mbali za Afrika nchini mwetu Zaïre katika ukomo wa kuharibu uchuli wa taifa letu.
Swahili
il y a 3 ans
-
Rais Mobutu alisema
Inafaa watu wema watukuzwe na kupewa zaidi na zawadi na wale wabaya wazidi kuazibiwa vikal ...
Swahili
il y a 3 ans
-
Eh, mama ... "kwenda kulala"
Mmoja kati ya wasomaji wetu na wanangazaji wa kipindi mbali mbali kwenye televisheni, walikwisha kujiuliza mara nyingi na kuwaghauri wazazi kuhugu mipango na vipindi wanavyopashwa kuwaruhusu watoto wao wafuate kwenye "televisheni".
Tunongonezane
il y a 3 ans
-
Ngaliza Mulimusho alijifezeesha
"Utartibu wavuta heri !" Lakini, siku ya sita tarehe 23 Mayi 1981, ilitambulikana wazi kuwa ndugu Ngaliza Mulimusho hajaelewa ao kuheshimu bado shauri hilo lazima kabisa kwa kuwa yeye ni mmoja katika wepwa wa mwenye garinamba ...
Tunongonezane
il y a 3 ans
-
Kiwete Moka asaidiwe ?
Mwaka 1981, ulitangazwa kuwa utashurulikiwa nchini mwetu na kuinua maisha ya kijamii. Shirikisho la Umoja wa mataifa huru ulimwenguni, lilikusudia kwa upande wake kushurulika hasa na kuinua maisha ya viwete.
Tunongonezane
il y a 3 ans
-
Suruali ya kiongozi ililoana
"Yafaa kueshimu kazi za wengine. Kionozi mmoja katika chumba fulani cha serikali,, ni mwenye mazoeni mabaya ya kuwasumbua wasaidizi wake, hasa kabisa wale wanaohusika na kazi za kufagia chumba chake cha kazi.
Tunongonezane
il y a 3 ans
-
"Iyolela" yaleta magomvi
Mara nyingi wakati kina dada na mama wakutana katika mazungumzo watumia msemwa "Iyolela" kwa kuonyesha faraha, mazarau ao ... wakati mwengine watumia msemwa huo kwa uchokozi.
Tunongonezane
il y a 3 ans
-
Kiliba : Kinywa chaweza Kuloga ?
Jua mpenzi, Mambo ya ajabu yalitendeka katika kambi la watumishi wa shirika "Sucrerie de Kiliba". Mambo hayo yaonekana kama vile hadisi ingawa yamefanyika na kuleta vinyume vikali vinavyoogopesha wakaaji wa kambi letu hilo.
NENO LA WASOMAJI
il y a 3 ans
-
Tumegombana sababu ya kufagia tu upango wetu !
Jua mpenzi, ukubali kunipa nafasi ndogo kwako ili nipate kuzungumza katika ukurasa wa wasomaji nawe kinsugu, kukutolea magumu yangu na baadae kuomba na kupata mashauri yako muhimu kabisa.
NENO LA WASOMAJI
il y a 3 ans
-
Luvungi-Uvira : Kiongozi ao hapana ?
Jua mpenzi, sisi wakaaji wa Luvungi tunateswa sana. Magumu yetu hayo yaletwa na kiongozi wa mkoa xetu mdongo wa Luvungi. Huyu azidi kutendea wakaaji mabaya mengi sana ambayo tutajaribu kukufasiria mfano kamili katika mistari yafuatayo.
NENO LA WASOMAJI
il y a 3 ans
-
Kanya-Lubero : Viongozi wa masomo washurulika na jamaa za walimu wao ?
Jua mpenzi, ikiwa nachukua kalamu yangu leo kwa kukuandikia, ukomo wangu mkubwa ni kupata mwanga wako kuhusu tazizo moja maalum linalonyangamiza siku hizi.
NENO LA WASOMAJI
il y a 3 ans
-
Kamanyola : Ndugu Murangiza Manyanga na Fololo hawataacha wizi ?
Siko ya nne tarehe 14 Mayi 1981, watoto familia moja, yaani ndugu Murangiza Manyanga na mdogo wake Fololo waliachwa huru ao kufunguliwa katika jela mjini Uvira baada ya kumaliza siku nyingi ya kutuba mali za watu ...
HABARI ZA JIMBO NA POPOTE
publié par
Nyuki
il y a 3 ans
-
Michezo : Vikombe vya jimbo
Katika michezo ya Kandanda ya kugombea taji la timu bingwa la jimbo, timu mbali mbali zilikutana mijini Uvira na Goma. Ni hivi, siku ya sita tarehe 23 Mayi 1981, wachezaji maarufu wa jeshi la shirika la Bralima walikwaruzana mjini Uvira na wezio wa shirika "Sucki" (Sucrerie de Kiliba) ...
HABARI ZA JIMBO NA POPOTE
publié par
André Bisimwa L-B. Tserou
il y a 3 ans
-
Kwako bibi : Tama ya mno si vema kwa mama wenye ndoa
Wangwana walisema kwamba kuku hula kadiri ya mdomo wake. Tunasema hivyo sababu tutachugua katika mistari ifatayo vinyume vikali vinavyoletwa na tamaa ya mno hasa kwa kina mama wenye ndoa.
Swahili
publié par
MUNYOLOLO KIPENE
il y a 3 ans
-
Mashauri ya Kati : Sadate na delea mazungumzo yao juu ya amani
Siku hizi, ilimeshimiwa Rais wa Misri, Bwana Anwar El Sabante, alikutana na waziri mkuu wa serikali ya Israeli, Bwana Begin, kusini mwa mlima wa Sinai.
HABARI ZA JIMBO NA POPOTE
publié par
André Bisimwa L-B. Tserou
il y a 3 ans
-
Katibu mkuu wa mambo ya kijamii akusudia kuinua maisha ya wakaaji nchini
Tangu siku ya sita tarehe 30 Mayi mpaka siku ya tatu tarehe 3 juni, Katibu mkuu wa mambo ya kijamii nchini, kina mama Kashemwa Laini Nyota alikua katika ziara ya kiserikalini ....
Swahili
publié par
MUNYOLOLO KIPENE
il y a 3 ans
-
Uganda : Watu 60 walifariki ziwani
Habari kutoka Kampata ambazo zilizotangazwa na redio ya Uganda zimejulisha kuwa meli moja ilikokuwa ikisafirisha watu juu ya ziwa Albato (Lac Albert) Kaskazini. Mashariki mwa nchi ya Zaïrena Magharibi mwa nchi ya Uganda ilizama.
HABARI ZA JIMBO NA POPOTE
publié par
André Bisimwa L-B. Tserou
il y a 3 ans
-
Kolumbia-Amerika : Gari za mabawa 200 zilifungwa
Gazeti "El Tiempo" inayochapwa Bogota, mji mkuu wa Kolumbia, yajulisha kuwa gari za mabawa yapata 200 nazaidi, kisha uchunguzi mkali wa askari polisi, zimenaswa na serikali ya Kolumba.
HABARI ZA JIMBO NA POPOTE
publié par
André Bisimwa L-B. Tserou
il y a 3 ans
-
Algeria : Jina za miji zitabadilishwa
Habari kutoka Alger, mji mkuu wa Jamhuri ya Algeria, zinaeleza kwamba, waziri wa mambo ya ndani alichukua hatua muhimu ya kubadilisha majina ya miji mbali mbali nchini humo.
Swahili
il y a 3 ans
-
Papa amekwisha pona
Kufuatana na habari kutoka Roma ambazo zimetagazwa na radio nyingi za kigeni, inaaminika kwamba Baba mtakatifu, Yohane Paulo wa pili, apatikana nyumbani mwake Vatica tangu siku ya nne tarehe 4 mwezi huu.
Swahili
publié par
MUSEMI KILONDO NKULA
il y a 3 ans
-
Bakisi-Mwega : Liwali Mwando atawatumia wakaaji madawa
Baada ya kuzungumza na kiongozi wa chumba kihusikacho na maisha bora ya wakimbizi katika majimbo ya Zaïre na Juu ya Kivu, Bwana Pierre Adouvo aliyemueleza mengi kuhusu ...
Swahili
publié par
MALIYABWANA Mwin'Anu
il y a 3 ans
-
Fizi : Mutunwa Lunda Lwaga ameua watu 3 wa Makobola
Usiku wa siku ya tano tarehe 29 kuamikia ule wa siku ya sita tarehe 30 Mayi 1981, wakaaji wa kijiji cha Makobola, katika mtaa wa Fizi, walishushwa pande za saa kumi za usiku kwa vigelele na vilio toka popote katika nyumba za majirani wao.
Swahili
publié par
MALIYABWANA Mwin'Anu
il y a 3 ans
-
Gbadolite : Rais Mobutu aliwapokea wenzie Obote na Nimeiry
Baada ya kubaki muda mchache mjini Bangui ambako alikutana na mwenzie David Dacko wa Jamhuri ya Afrika ya Kati, Rais Mobutu Sese Seko aliwapokea Gbadolite wenzie Milton Obote wa Uganda na Gaafar El Nimeiry wa Sudan.
Swahili
publié par
MALIYABWANA Mwin'Anu
il y a 3 ans
-
Rais Mobutu alisema
Mzairwa mwenye zamiri ngema anapashwa kuepukwa uvivu kwani wamgeuza mpuunzi, mwongo na mwizi, vitendo vibaya vinavyomzaraulisha.
Swahili
il y a 3 ans
-
Uheshimu mwili wako
Siku hizi, kina dada wengi hujizaraulisha. Furaha za dunia zawatuwa kutangatanga popote kama vile mabata. Na baada ya magumu yanayotukia nyumba, sawa vile mimba, hujiruhusu kuitoa kwa dawa fulani wasijojua matumizi yao kamili.
Tunongonezane
il y a 3 ans
-
Kwa nini kujilevya ?
Wewe bibi wa mkoa wa Maniema katika mtaa wa Ibanda, hata hukiwa mke wa pili (2e bureau) kwa nini kuchukua mtoto wako na kunywa pombe bila kukadirisha, kujilevya kama chawa usiku ?
Tunongonezane
il y a 3 ans
-
Alifunga ndowa kisiri lakini ...
Macho ya mbwa hayazui mwanaume kula.
Kweli siku zilizopita, katika mitaa wa Kadutu, mwananchi moja alifunga ndoa kisiri bila kumuarifu mkewe wa kwanza. Kwa nini hivyo ?
Tunongonezane
il y a 3 ans
-
Fizi : Kina mama ubeba vitunga vyao katika "brouette" ama "ngorofani" ?
Jua mpenzi, ninaposhika kalamu yangu hii kwa kukuandikia, shabaha yangu ni kutoa kwenye mwanga wako maendeleo ya kisasa ya kina mama wa mkoa mdogo wa Lusenda, mtaa wa Fizi.
NENO LA WASOMAJI
il y a 3 ans
-
Ndoluma-Lubero : Sifa kwa mwananchi Mambura Kibwana
Jua mpenzi, tunayo raha kubwa kukujulisha na kumsifu ndugu Mambura Kibwana, Makamu wa kiongozi katika mataa wa Lubero.
NENO LA WASOMAJI
il y a 3 ans
-
Uvira : Kijana Lubuye bin Fofo ajifunza mchezo wa mbio
Jua mpenzi, nikiwa mmoja kati ya wapendelevu nakusudia kukuandikia leo katika ukomo kamili wa kukujulisha habari zangu.
NENO LA WASOMAJI
il y a 3 ans
-
Pangi : Kwa msomaji wetu Shabani Busoga
Ndugu msomaji, tumepokea vema barua yako tarehe 26 Aprili 1981. Mambo uliyoyueleza ndani ni muhimu lakini mbele ya kutangaza ndani ni muhimu lakini mbele ya kutangazwa barua yako, tungetamani ututolee uhakika wote Kuhusu jina la kiongozi wa masomo uliyotaja ...
NENO LA WASOMAJI
il y a 3 ans
-
Kamvivira-Uvira : Eti mwami akafilisha kwa kuomba faini "za mwende mkaone"?
Jua mpenzi, ninayo huzuni kubwa moyoni mwangu ninapokuandikia barua hii. Huzuni huo waletwa na matendo mabaya ya mwami wetu mpya anayepitisha kiasi.
NENO LA WASOMAJI
il y a 3 ans
-
Tangazo la kifu
Mwananchi MUHYAHYA RUKWIRA, mtumishi wa shirika "LA PRESSE ZAIROISE" mjini Bukavu, anayo uchungu mkubwa moyoni mwake ya kutangaza kifo cha mkuwe mpenzi mwa RUBANGIZA.
Swahili
il y a 3 ans
-
Kadutu : Makatazwa kuuza na kunywa maziwa mazito
Katika mpango wa kupinga kabisa ugonjwa mkali wa kuhara damu unaowashambulia siku hizi wakaaji wa mikoa nyingi jimboni mwa Kivu, mwenyekiti wa mtaa wa Kadutu ...
HABARI ZA JIMBO NA POPOTE
il y a 3 ans
-
Bukavu : Kundi la waganga watatu lachungua magonjwa yanayoshika watu kwa rafla
Tangu sasa juma moja, kundi la waganga watatu linaloundwa na waganga MULUMBA MUKA, BIOGA MUVUNYI na KAKIENZA MWANA MBO lachungua kwa karibu magonjwa makali yanayoshambulia watu wengi kwa mara moja ama "épidémie" katika lugha ya kifaransa.
HABARI ZA JIMBO NA POPOTE
il y a 3 ans
-
Kwako bibi : Ni kuendelea ao ujinga ?
Tangu mwaka 1975 mpaka mwaka 1985 yalitangazwa kuwa wakati wakushurulika zaidi na maendeleo ya hali ya kina mama popote duniani, nchi nyingi zafanya nguvu yao yote ili hao wapate dunia ...
Swahili
publié par
MUNYOLOLO KIPENE
il y a 3 ans
-
Flambeau ya Baraka ilifika kutembea
Baada ya mchezo wa kabumbu uliowapambanisha wanafunzi wa Nyangezi na wenzao wa Kadutu kwa muda wa dakita 90, wachezaji wa C.S. Bralima/BR ya Bukavu na wapinza wao wa F.C. Flambeau kutoka Baraka katika mtaa wa Fizi waliokuwa kujionya mbele ya wahuzuriaji ili wapate kupima mizani yao uwanjani.
Swahili
publié par
André Bisimwa L-B. Tserou
il y a 3 ans
-
Mbuji-Mayi : Muungano na Sanga-Balende watezamiwa kuchuana tena
Kama vile tunavyoelewa sisi wote, huu ni wakati Jamhuri yetu yafanyika popote. Kufuatana na kalendari iliyotangazwa na wakuu wa shirikisho la mchezo wa kabumbu jeshi bingwa la jimbo letu-yaani ...
HABARI ZA JIMBO NA POPOTE
publié par
André Bisimwa L-B. Tserou
il y a 3 ans
-
Bralima ya Bukavu ilifezeesha Flambeau ya Baraka : 7-1 Kati ya F.C. Nyota ya Nyangezi na F.C. Instika ya Kadutu : mchezo ulikuwa mzuri
Siku ya Munu tarehe 31 Mayi 1981, wapendelevu wa kabumbu walihuzuria mapambano ya kandanda kunako uwanja wa Kadutu utwao "Mobutu Sese Seko".
HABARI ZA JIMBO NA POPOTE
publié par
André Bisimwa L-B. Tserou
il y a 3 ans
-
Bukavu : Serikali imekwisha wavumbua watumishi wasio wa kueli 703
Kisha uchunguzi uliofanyika na serikali katika mji wa Bukavu mnamo siku zilizopita (yaani mwezi wa Aprili mwaka huu) watu 703 waliokuwa wakilipwa mishahara na serikali ijapokuwa hawakuwa wanamtumikia wamekwisha vumbilia.
Swahili
publié par
MUNYOLOLO KIPENE
il y a 3 ans
-
Uhariri : Kuna kitu kitakachobadilika
Kufuatana na makusudio ya lazima yaliyochukuliwa na Kamati Kuu ya Chama chetu cha Mapinduzi; makusudio yaliyotangazwa wazi wazi siku ya pili tarehe 9 mwezi huu, wakaaji wa Kivu ...
Swahili
publié par
JUA
il y a 3 ans
-
Bukavu : Balozi wa Nigeria inchini alitembelea Kivu
Tangu siku ya pili tarehe 9 mpaka siku ya tano tarehe 12 Juni 1981, balozi wa nchi ya Nigeria nchini Zaïre, bwana NNOCHIRI, alikuwa mjini Bukavu.
Swahili
il y a 3 ans
-
Goma : Mipango mipya ya kuchungua vema hali kamili ya milima ya moto imechukuliwa
Kundi moja maalum linoundwa na wataalam wawili kutoka Japani, bwana Mukarani na bwana Kachongo na wale wa chumba cha "IRS Lwiro" chini mwetu wapatikana katika wilaya ya Kivu ya Kashazini kwa kusimika vyombo ...
Swahili
il y a 3 ans
-
Goma : Mkutano wa pili wa Benki ya maendeleo ya nchi za maziwa umekoma
Siku ya tatu tarehe 10 na siku ya nne 11 Juni tunayo, mkutano wa pili wa Banki ya maendeleo ya nchi zipatikanazo kando kando ya maziwa makuu umeendeshwa Goma mjii mkuu wa wilaya ya Kivu ya Kashazini.
Swahili
il y a 3 ans
-
Bukavu : Siku ya mwizi ni ...
Tangu muda wa siku nyingi sasa wakuu wa shirika "Breski" la Bukavu Alikuwa tayari kujiongoa nywele sababu ya kuvumbua mwizi aliyekuwa aki waiba kila mara vibweta vya rangi na masanduku ya vio.
Swahili
il y a 3 ans
-
Kinshasa : Uhusiano kati ya Uganda na Zaïre wadumishwa
Bwana Tawungwa, waziri wa Jamhiri ya Uganda ausikae na ushirikiano (coopération) alirejea Kampala baada ya kuuongoza ujumbe wa nchi yake katika matayarisho ya mkutano mkuu uliozikusanya nchi za Uganda ...
Swahili
il y a 3 ans
-
Nairobi-Kenya : Raïs Neelam Sanjiva azitembelea nchi za Afrika
Bwana Neelam Reddy, Rais wa Jamhuri ya Uhindi azitembelea siku hizi nchi mbali mbali za Afrika. Katika matembezi yake ya kiserikali.
HABARI ZA JIMBO NA POPOTE
il y a 3 ans
-
Mosku-Urusi : Rais Shagari alitembelea Urusi
Rais Shagari wa Nigeria alitembela siku hizi Urusi. Katika ziara yake ya kiserikali, rais huyo alikutana na mwenzie wa Urusi, bwana Leonid Brejnev katika masimulizi.
HABARI ZA JIMBO NA POPOTE
il y a 3 ans
-
Somalia : Watu waliuawa na wengine waliumizwa
Wizara ya mambo ya ndani ya Somalia imejulisha kuwa watu walifariki na wengine waliumizwa vikali katika mji wa Ogaden baada ya mashambukizi makali yaliyofanywa na ndege ...
HABARI ZA JIMBO NA POPOTE
il y a 3 ans
-
Lusaka-Zambia : vita vikali vitatukia Namibia
Habari kutoka redio Rwanda zajulisha kuwa Rais Kenneth Kaunda wa Zambia alipana angalisho na kupinga siasa ya makaburu mabeberu ya Afrika ya Kusini kuhusu uhuru wa Namibia.
HABARI ZA JIMBO NA POPOTE
il y a 3 ans
-
Je, Umesikia ... ?
KWAMBA watu huzoea kusema mtu akiisha wina hawezi kuiba. Katika juma hii, kumetukia jambo moja ambalo limeonyesha kinyume cha maneno yale tumekwisha kumbucha hapo juu.
Swahili
il y a 3 ans
-
Rutshuru : Hospitali ya "Cemubac" inakuwa yalala
Jua mpenzi, kwa jina ya ndugu na wasomaji wenzangu ambao tanaishi katika mtaa huu wa Rutshuru, kaskazini mwa jimbo letu, ninajiruhusu kutoa kwenye mwanga wako mawazo yatu machache juu ya magonjwa ya hatari yanayotushambulia vikali kila mara.
NENO LA WASOMAJI
il y a 3 ans
-
Kasongo : Shukuranyikwa sultani Baruani Baboga Mwanandeke
Jua mpenzi, kwa jina la wakaaji wengazu, najiruhusu kukujulisha habari mbali mbali za mkoa wetu unaojulikana kwa jina la Nonda katika mtaa wa Kasongo.
NENO LA WASOMAJI
il y a 3 ans
-
Walungu : Mishahara ya walimu yapunguzwa kwa kujenga kanisa pa Muku
Wakati ninapokuandikia baru hii kwa mara ya kwanza, kisa changu ni kukueleza magumu yetu sisi walimu katika masomo ya msingi ya kiprotestanti ya Muku ya nayoongozA na tawi la "CBK" (Communauté baptiste du Kivu)
NENO LA WASOMAJI
il y a 3 ans
-
Vikombe vya jimbo : Bankin ya Goma ilipima mizani yake na Muungano ya Bukavu 2-2
Juma iliyopita, wapendelevu wa mchezo wa kandanda walijielekeza kunako viwanja vya mchezo ule. Wale wa Bukavu walienda kunako kiwanja "Mobutu Sese Seko" cha mtaa wa Kadutu na wenzao kunako uwanja "Volcans" wa Birere.
HABARI ZA JIMBO NA POPOTE
publié par
André Bisimwa L-B. Tserou
il y a 3 ans
-
Kivu haikupumuwa mbele ya Virunga
Wakati timu za Bukavu, CS Bukavu-Dawa na OC Muungano, zilikuwa zikichuana mjini Bukavu na Bankin toka Goma na Koko toka Uvira, FC Kivu ya Bukavu iliona nyota mbele ya CS Virunga ya Goma.
HABARI ZA JIMBO NA POPOTE
publié par
André Bisimwa L-B. Tserou
il y a 3 ans
-
Kwako bibi : Tufanyeje wa kuwaokoa wabinti wetu ?
Dunia ya leo sio ya jana mambo mengi yamekwishageuka mwendendo wa wabinti wetu umekwisha badilika na kuwa mbaya zaidi.
Swahili
publié par
MUNYOLOLO KIPENE
il y a 3 ans
-
Une bonne leçon !
Celui n'est pas content qui s'est vu, l'autre semaine, conseillé dans nos rubrique swahili "Je, umesikiya ...?"
Nos potins-ville
il y a 3 ans
-
Je, umesikia ... ?
Kama bibi mmoja wa Kinshasa ambaye iko ngumba ameiba mtoto mchanga katika "maternite" ya Mama Yemo ?
Swahili
il y a 3 ans
-
Mwanga juu ya hatua zilizochukuliwa na serikali
Siki hizi tuko tunaishi katika kipindi kipya cha Mapinduzi yetu. Kwa kusema kweli, magumu tunayoishi leo yamekwisha pita mipaka.
Swahili
il y a 3 ans
-
Maelezo ya jemadari Mobutu
Kama ilivyokusudiwa na kutangazwa katika magazeti na redio, Jemadari Mobutu Sese Seko alisimamia mkutano wake wa kiraia mnamo tarehe 30 Juni kunako kijiji cha wavuvi pa Kinkole ...
Swahili
publié par
MALIYABWANA Mwin'Anu
il y a 3 ans
-
Mama mazazi wa miaka 10!
Ajabu ! Habari kutoka Venezuela katika Amerika ya Kusini zajulisha kuwa, binti mmoja, Carmen Escalona mwenyi umri wa miaka 10 alijifungua kitoto kiume chenyi uzito wakiilo 2,600 mjini Guarare.
Swahili
il y a 3 ans
-
Moto unawaka katika mkoa wa Barundi
Kwa wale wasioelewa vizuri mkoa wa Barundi, tnajiruhusu kuwapasha hapa kwamba mkoa ule ni moja kati ya sehemu tatu zinazounda pamoja mtaa wa Uvira. Mkoa wa Barundi wapatikana katika bonde la Ruzizi.
HABARI ZA JIMBO NA POPOTE
publié par
MUSEMI KILONDO NKULA
il y a 3 ans
-
Kwako bibi : Yafaa kuwa msafi kila siku
Mazungumzo yetu yataelekea hali unayopashwa kuwa nayo wakati unapokuwa sasa mama wa jamaa. Ni jambo la kusikitisha sana wakati unapoona wabibi wengi wanabadilisha tabia zao mzuri walizokuwa nazo wakati wa ubinti wao.
Swahili
publié par
MUNYOLOLO KIPENE
il y a 3 ans
-
Wabibi hawapendi unyumba wa mikoshi
Jua mpenzi, upendezwe kutangaza barua yangu hii katika ukurasa wetu wa Neno la wasomaji. Ukomo wangu kamili ni kupata mwanga wako kuhusu jambo la kuvunjwa kwa ndoa nyingi katika mkoa wetu wa Wanyanga.
Swahili
il y a 3 ans
-
Iko wapi ?
Des voyageurs qui font la navette entre Bukavu et Uvira sont désemparés par le tarif fluctuant que leur imposent les transporteurs. Ces derniers, avec semble-t-il la bénédiction des autorités économiques de la sous-région du Sud-Kivu ...
Nos potins-ville
il y a 3 ans
-
Je, umesikia... ?
KWAMBA kijana wa mtaa wa Kadutu amekwisha patwa na ugonjwa wa wazimu ? Wakati unapokutana naye njia ni utamsikia akieteza kama chanjo la ugonjwa wake ni mwendo mchafu wa mkubwa wake. Huyu anawaachilia sana.
Swahili
il y a 3 ans
-
Zaïre 15.600 zimetolewa kwa vilema
Kama vile tunavyofahamu sisi wote, Umoja wa mataifa huru ulimwenguni unatanaza kwamba mwake huu tunao ni wavilema. Hii ni kusema kama kila mmoja wetu amealikwa kushurulika zaidi na nafsi ya kila ndugu aliye kilema.
Swahili
publié par
MUSEMI KILONDO NKULA
il y a 3 ans
-
Zaïre imepata mkopo wa miliarni moja ya dolari za Arika
Tawi la Banki kuu ya dunia ambalo lashurulika na kazi ya kutolea mataifa yaliyo bado maskini mikopo ya feza, kwa kifupi "F.M.I." (Fond Mondial International) limekopa taifa letu miliardi ka.
Swahili
il y a 3 ans
-
Bukavu : Liwali Mwando anakataa malipo ya "O.N.L." yapandishwe
Siku ya kwanza tarehe 13 julay 1981, mwanasiasa Liwali Mwando Nsimba alichukua hatua katika kibarua chake namba 01/1822 alimowakataza kabisa wakuu wa shirika la "ONL" wasijaribu hata kidogo kwa sasa kupandisha malipo ya nyumba zao.
Swahili
publié par
MALIYABWANA Mwin'Anu
il y a 3 ans
-
Bei yapingwa sokoni na katika vilabu
Kulingana na kibarua cha Liwali wa jimbo la Kivu, Mwananchi Mwando Nsimba kuhusu hali ya vifaa mbali mbali kama vile chakula na vivi hivi mjini wa Bukavu, Mwananchi Lokomba Kumuadeboni aliyetangaza kibarua hicho kiserikali mnamo siku ya pili tarehe 14 julay ...
Swahili
publié par
MUSEMI KILONDO NKULA
il y a 3 ans
-
Kishasa : Vipofu watajengewa masomo makubwa ya kisasa
Habari kamili toka Kishasa zaeleza kuwa, Baba wa taifa Mobutu Sese Seko aliwatolea ndugu zetu vipofu wa chuo cha "Mama Mobutu" mjini Kinshasa zawadi ya kiasi cha zaïre milioni moja.
Swahili
il y a 3 ans
-
Malinde-Fizi : Sisi walimu twaangamizwa
Jua mpenzi, pokea malalamiko yetu sisi walimu wa masomo yanayoongozwana Kanisa la Katoliki katika kijiji cha Malinde ndani ya mkoa wa Mutambala, mtaa wa Fizi. Msini wa magumu yetu ni ndugu anayekuwa na kazi ya kuwatolea viongozi wa masomo mashauri ili wapate kuongoza vizuri kazi zao.
NENO LA WASOMAJI
il y a 3 ans
-
Kwako bibi : Wanawake wengi ni msingi wa fujo
Katika asili yetu, mababu walikuwa wanaruhusu mme fulani kuoa wanawake wawili ao zaidi kufuatana visa vilivyokuwa vikiwasukuma.
Swahili
il y a 3 ans
-
Shabunda : Mwananchi Assende Omari anaongoza vema Kingulube
Jua mpenzi, kwa jina la wakaaji wenzangu wa Kingulube, mtaa wa Shabunda, ninakuomba unipe nafasi ndogo katika ukurasa wetu sisi wasomaji wako ili nipate kukujulisha machache ninayo moyoni mwangu.
NENO LA WASOMAJI
il y a 3 ans
-
Uvira : Mke wangu ananizarau
Jua mpenzi, ikiwanajiruhusu kukuandikia barua yangu hii kwa mara ya kwanza, ukomo wangu mkubwa ni kuangaziwa na mashauri yako yaliyo bora.
NENO LA WASOMAJI
il y a 3 ans
-
Je, Umesikia ...?
KAMA watumishi matumishi kunako mkange (Barrière) wa Kamanyola wamekwisha kuwa sawa wa malaya ? Kila mara wanapoona gari kufika pale wao wanaishambulia sawa vile nzige. Ukomo wao sio kwelikuwachungua wasafari na mizigo yao bali kuomba wasafiri makuta.
Swahili
il y a 3 ans
-
Unicef yashurulika na ujenzi wa vijiji
Baada ya masimulizi aliyofanya na Liwali Mwando Nsimba, Bwana Vogel, kiongozi wa tawi la "UNICEF" ambalo lahusika na kazi ya vijiji katika majimbo ya Kivu na Zaïre ya Juu ...
Swahili
il y a 3 ans
-
Kinshasa : Serikali yawaalika wale watumishi
Mkutano wa serikali uliendeshwa chini ya uongozi wa waziri mkuu, mwananchi Nsinga. Kisha kuzunumza juu ya mamo yanayoelekekea maisha ya kijamii ...
Swahili
il y a 3 ans
-
Askofu Dhejju ndiye mkombozi wa askofu Catarzi wa Uvira
Kulingana na hatua iliyochukuliwa na kutangazwa kiserikali na Baba Mtakatifu wa Roma, Yoane Paulo w Pili, mwananchi Dhejju alitajwa kuwa askofu mpya wa diosezi wa Uvira.
Swahili
il y a 3 ans
-
Wajemadari Boteti na Itambo wamerudishwa kazini
Habari zinazoaminika kutoka Kinshasa mji kuu wa Jamhuri ya Zaïre zinaeleza kwamba Mheshimiwa Baba wa taifa, Rais wa Jamhuri, Jemadari Mobutu Sese Seko, amechukua siku hizi hatua ya kutengeneza vizuri uongozi wa majeshi yote ya askari halali nchini.
Swahili
il y a 3 ans
-
Serikali yakusudia kukomesha ule moyo wa kuombaomba kituliro
Siku hizi, watumishi wa serikali wamekwisha ambukiwa na tabia chafu ya kuombaomba kituliro mbele ya kufanya kazi fulani.
Swahili
il y a 3 ans
-
Kindu : Wahuni Londo na Kimuti walinaswa
Siku ya Mungu tarehe 19 Julay 1981, mwenyekiti wa wilaya ya Maniema, mwananchi Mbalanga, alisimamia mkutano moja maalum ya kiraia uliowakusanya wanachama maelfu ambao walionyeshwa wahuni ...
HABARI ZA JIMBO NA POPOTE
publié par
MALIYABWANA Mwin'Anu
il y a 3 ans
-
BUkavu : Vyombo vya muziki vilitolewa kwa kundi la uhimizaji jimboni
Siku ya sita tarehe 18 Julay 1981, vyombo vya kututa muziki vilivyotumwa na Rais Mobutu vilionywa kiserikali mbele ya LIwali wa jimbo la Kivu, mwananchi Mwando Nsimba.
HABARI ZA JIMBO NA POPOTE
publié par
MUNYOLOLO KIPENE
il y a 3 ans
-
Kwako bibi : Lugha gani kusimulia katika jamaa ?
Zamani, ulizo hilo halingeweza kuwa na maana yoyote kwani familia zilikuwa zikishi katika vijiji vyao vya asili ukoo kwa ukoo. Wakati nuo, watu wote walikuwa nafazimishwa kusimuliavema lugha ya mababu wao wababu hawakuwa nakutana sana na watu wa makabila mengine ao kuishi nao.
Swahili
publié par
MUNYOLOLO KIPENE
il y a 3 ans
-
Bukavu : Seminari ya maadibisho ya wateule wetu mjini Bukavu imekoma
Tangu siku ya tano tarehe 10 mpaka siku yay pili tarehe 21 Julay, seminari ya maadibisho ya wateule wetu mjini Bukavu iliendeshwa na walimu wa masomo ya wafanyakazi (CIDEP) kunako masomo ya kijamii katika mtaa wa Kadutu (centre social de Kadutu).
HABARI ZA JIMBO NA POPOTE
il y a 3 ans
-
Sake : USiku ni magari yenye kutembea, mchana ni yenyi kuharibika
Jua mpenzi, nikiwa mmoja kati ya wapendelevu wako, nilivutwa sana na barua ya ndugu Muhindo uliyotangaza katika gazeti lako mnamo siku zilizopita ambamo alitoa msangao wake kuhusu magari ya mkoa wetu mdogo wa Sake.
NENO LA WASOMAJI
il y a 3 ans
-
Zahabu itaanza kuuzishwa kiserikali jimboni
Siku hizi, katibu mkuu wa serikali anayeshurulika na uongozi bora wa kazi katika wizara ya kazi za kuchimba madini, mwananchi Elongo Pene Ongala, apatikana jimboni.
Swahili
publié par
MUSEMI KILONDO NKULA
il y a 3 ans
-
Hali ya maisha katika jimbo imefanyika
Kuhusu uchumi, wakuu wao wawili walitambua kwamba kufanya kwa bidii kabisa kazi bora za mlimo wa mashamba.
Swahili
publié par
MUSEMI KILONDO NKULA
il y a 3 ans
-
Liwali wa Kivu amemkokota kiongozi wa ONL masikio
Katika juma hii, Liwali wa jimbo letu la Kivu, mwancnhi Mwando Nsimba, alimpokea kwa mazungumzo kiongozi wa tawi la Shirika la liserikali linalohusika na kazi za kuwapangisha wakaji mikoani katika nyumba za Shirika hilo linalojulikana hasa kwa kifupi cha "ONL"katika kifaransa.
Swahili
publié par
MUSEMI KILONDO NKULA
il y a 3 ans
-
Kwako bibi : Leo uko ngumba kesho utakuwa mzazi
Ikiwa hatudanganyike tumekwisha zugumza nawe juu ya mambo mengi katika kipindi hiki ambacho gazeti letu limekutolea ili upate kutoa maoni yako juu ya mambo uliyokwisha sikia.
Swahili
publié par
MUSEMI KILONDO NKULA
il y a 3 ans
-
Idjwi : Walimaji wanakosewa mwalimu
Jua mpenzi, ukubali kutangaza malalamiko yetu sisi wakulima wa kijiji cha Nyakalengwa, mkoa wa Ntambuka katuka mtaa wa Idjwi.
NENO LA WASOMAJI
il y a 3 ans
-
Je, umesikia ...?
KAMA Regideso inaanzatena "iwake" ? Zaidi ya jambo lile kuwatoleaw akaaji maji machafu, Regideso inaanza tena kuwatumia tena "factures" zake za ajabu.
Swahili
il y a 3 ans
-
Homa kali ya siasa imetikisa pia nchi za Ulaya na zile za Mashariki ya Kat
Natumaini kama wakubwa wa "Jua" watanipatia nafasi ndogo ili nipate kuwatolea mawazo machache hao wasomaji wa Gazeti hii ambao wengi bado walinisoma katika HODI mara ya kwanza mwezi wa saba katika mwaka 1956 !
Swahili
publié par
Balozi Kititwa B.T.
il y a 3 ans
-
Kwako bibi : Usiwe kiwele-wele !
Wakati tunapotembea katika mikoa ya mji wetu, tuko tunasikia mambo mengi yenye kusemwa na wakaaji. Kati ya mambo ama maneno yale kuna, kwa mtano ...
Swahili
publié par
André Bisimwa L-B. Tserou
il y a 3 ans
-
Mwenga : Jumba la serikali limezinauliwa pa kamituga
Siku ya pili tarehe 28 julay 1981, wahamapinduzi wa Kamituga wanonekana wenye kicheko mdomoni wakati walipotukana wote kama vile watoto wa mtu mmoja vile ?
Swahili
publié par
MALIYABWANA Mwin'Anu
il y a 3 ans
-
Walungu : Sikukuu ya Mubande imefanyika
Wasomaji wataturuhusu hapa kuwatolea machache juu ya sikukuu ya "Mulande" iliyofanyika tarehe 26 julay mwaka huu katika mkoa wa Ngweshe, mtaa wa Walungu
Swahili
publié par
MUSEMI KILONDO NKULA
il y a 3 ans
-
Kabare : Wahimizaji wa chama wanakusanyika Lwiro
Kama ilivyotangazwa kiserikali katika siku zilizopita, wahimizaji wa Chama katika jimbo la Kivu wanakusanyika leo kunako tawi la Kivu wanakusanyika leo kunako tawi la shirika la kiserikali ambalo ...
Swahili
publié par
MUSEMI KILONDO NKULA
il y a 3 ans
-
Pangi : Kiongozi wa mkoa wa Wabene anatengeneza barabara
Jua mpezi, nakuomba unipe nafasi iliyo yangu katika ukurasa wetu ili nipate kukupasha machache ninayoweza kushuhudia juu ya hali ya maisha katika mkoa wetu wa Wabene, mtaa wa Pangi
NENO LA WASOMAJI
il y a 3 ans
-
Rutshuru : Mkuu wa shamba la wanyama hatunyweshe maji
Jua mpenzi, wakati ninaposema kwamba mkuu wa shamba la likana hasa kwa jina la "conservateur" katika kifaransa hatunyweshe tena sipendi kujifurahisha. Nia yangu ni kukufasiria jambo moja ninalotambua kuwa kinasonga bado maendeleo huku kwetu.
NENO LA WASOMAJI
il y a 3 ans
-
je, umesikia... ?
KWAMBA kilema cha wizi kimekwisha komaza mzizi yake katika kijiji cha Mulonge-Kaundji katika mkoa mdogo wa Bunyakiri. Sababu gani ? Kwani kiongozi wa kijiji hicho awaunga mkono wevi.
Swahili
il y a 3 ans
-
Bukavu: Mkuu wa mji anaomba bei zipunguke
Siku hizi, hali ya maisha imekwisha badilika kabisa katika mji mkuu wa jimbo letu. Pahali pa kusonga mbele, maisha yanazidi kurudi nyma.
Swahili
publié par
MUSEMI KILONDO NKULA
il y a 3 ans
-
Angalisho na malaria !
UGONJWA huu wazidi kuleta vifo vingi katika nchi nyingi za Afrika. Sio Afrika tu ishambuliwayo na ugonjwa huu bila pia nchi nyingine za Asia na Amerika.
Swahili
publié par
KIONGOZI
il y a 3 ans
-
Gambia: Rais Jawara amekwisha okoa kiti chake
Kwa ajili ya msaada aliotolewa na serikali ya Senegal, Rais Dauda Jawara wa Jamhuri ya Gambia, amekwisha okoa madarakA yake. Kwa sasa anapatikana Banjul, mji mkuu ambako iko anafanya juhudi za kurudisha usalama wa wakaaji na nchi zao.
Swahili
publié par
MUSEMI KILONDO NKULA
il y a 3 ans
-
Rwanda: Uchaguzi wa wateule watayarishwa
Habari kutuka Kigali, mji mkuu wa Jamhuri ya Rwanda, habari ambazo zilihakikishwa baada ya mkutano wa serikali ya ile, Mheshimiwa Rais Juvenal Habyarimana, afanya siku hizi matembezi yake ya kiserikali katika majimbo mbali mbali.
Swahili
il y a 3 ans
-
Kinshasa: Mwananchi Kimpanga atasambishwa
Kisha mkutano wa mawaziri uliofanyika siku ya tano tareheh 7 mwezi huu, mkutano uliondeshwa chini ya uongozi wa Mheshimiwa Baba wa Taifa; Jemadari Mobutuu Sese Seko, msemaji wa serikali aliye pia waziri wa upashaji habari ...
Swahili
publié par
MUSEMI KILONDO NKULA
il y a 3 ans
-
Yule mzee hapendi maendeleo
JUA mpenzi, ni mara ya kwanza najiruhusu kukuandikia kusudi nipate kukujulisha jambo moja kubwa lililotendwa huku kwetu na mtu, asiyependa Zaïre isonge mbele.
NENO LA WASOMAJI
il y a 3 ans
-
Uvira: Komanda wa kamvivira anauzi
JUA mpenzi, mbele ya vyote. Ukubali kupokea salamu zangu za kimapinduzi. Baadae, nitakusihi uzidi kutuangazia na mwanga wako sisi wakaaji wa mkoa mdogo wa Kilomoni ya kwanza, katika mtaa wa Uvira.
NENO LA WASOMAJI
il y a 3 ans
-
Je, umesikia...?
KWAMBA Regideso ni yenye kushindwa sasa na kazi yake ? Siku hizi wakaaji wa Bukavu hunungunika vikali sababu ya kuona hali chafu ya maji yenye Regideso iko inawatolea.
Swahili
il y a 3 ans
-
Bukavu : Gari la kusomba "Kasigisi" limeanguka Kadutu
Siku ya mungu, tarehe 9 mwezi huu, msiba wa gari ulitukia katika barabra ya kuondoka kunako panda, njia ipatikanayo mbele ya Kanisa la waprotestanti na kwenda pande za mkoa wa Tshimpunda katika mtaa wa Kadutu.
Swahili
publié par
MUSEMI KILONDO NKULA
il y a 3 ans
-
UGANDA : Wapinzani wa Rais Obote hawajachoka
Siku hizi, radio ya Ujerumani Magharibi ilitangaza kuwa, wapinzani wa Rais Milton Obote nchini Uganda hawajachoka bado: ilitangazwa hivyo baada ya kuona kama kundi lingine la askari wafuazi wa Idi Amin Dada walitoka tena porini na kushambulia kituo kimoja cha askari polisi.
Swahili
publié par
MUSEMI KILONDO NKULA
il y a 3 ans
-
UVIRA : Kilalo cha Kimanga kitajengegwa tena
Siki hizi, mwenyiekiti wa wilaya ya Kivu ya Kusini, mwananchi NGILO Vangula anakusudia kuandisha kazi za ujenzi wa kilalo cha Kimanga ambacho chaunganisha sehemu za Mulongwe na makao ya wakuu wa serikali mjini Uvira.
Swahili
publié par
MUSEMI KILONDO NKULA
il y a 3 ans
-
Bei ya samaki itapunguzwa kabisa
Kwa upande wake, mwenye kiti wa mtaa wa Uvira, mwananchi MIRINDI BULEFU alisimamia mnamo siku zilizopita mkutano moja wa kiuchumi ambamo alihuzuriwa na naibu wake, mwananchi KITABA SALEH pamoja na uchumi pia mchunguzi wa bei za biashara katika wilaya ya Kivu ya Kusini ...
Swahili
publié par
MUSEMI KILONDO NKULA
il y a 3 ans
-
MWENGA : Mwananchi Mande anazidi kuharibu mabarabara ya Bukavu-Kadutu
JUA mpenzi, ikiwa ninakuandikia kibarua hiki, ukomo wangu kamili ni kutaku kukujulisha hali mbovu ya mabarabara ya huku kwetu, pia kukujulisha mtu anayekuwa msingi wa hali hiyo.
NENO LA WASOMAJI
il y a 3 ans
-
BURUNDI : Huyo bibi hangestahili kifungo !
JUA mpenzi, upendezwe kutangaza barua yangu hii katika ukurasa wetu sisi wammoja wako. Ukomo (madhumuni) wangu wa kuzungumza nawe ni kupata mwanga zaidi juu ya azabu aliyopewa huyo bibi ngumba kisha kuvumbuliwa kuwa aliiba mtoto kunako hospitali "Mama Yemo" mjini Kinshasa.
NENO LA WASOMAJI
il y a 3 ans
-
Wamama wachuuzi wameunda kamati yao
Tarehe 27 Agusti mwaka huu, katika chumba cha mikutano za Chama, chumba kinachopatikana Kadutu, wamama wachuuzi wa mji wa Bukavu walikutanana humo siku ile kusudi ya kuunda kamoti ya shirika lao.
Swahili
publié par
Kusinza Nyenyezi
il y a 3 ans
-
Wapima nyama sokoni wanafia feza
Siku hizi wakuu wa serikali wafanya vyote wawezawyo kusudi ya kuweza kuinua maisha ya makaji. Ni katika mpango ule njo serikali yakusudia kukomesha kabisa ule wizi wa feza za serikali ambao ulikuwa ungali bado ukifanyika na watumishi wengi wa serikali pamoja na wale wenzao ...
Swahili
publié par
MUSEMI KILONDO NKULA
il y a 3 ans
-
Uvira : Mwananchi Ndaye wa Luvungi amekwisha kazi kwa muda
Mnamo tarehe 20 Agosti 1981, mwenyekiti wa mtaa wa Uvira alimuachisha kazi kwa muda wa miezi miwili kiongozi wa mkoa mdogo wa Luvungitara, mwananchi Ndaye Kimbumbu Mutahonga wa pili.
Swahili
publié par
MALIYABWANA Mwin'Anu
il y a 3 ans
-
Mwenga : Usultani wa Burhinyi wamrudilia Bashengezi
Mfilozofia mmoja amesema hivi : "Japokuwa watu hupenda kukolokanisha mambo ao maneno fulani juu ya kujifurahisha, ni azima ukweli upate kushinda mwisho wake". Haya maana ya wazo lake yaonekana wazi kisha uchunguzi wa hali ya kitisho iliyokuwa ikivuma huko Burhinyi; uchunguzi uliofanywa kwa utaratibu na wakuu wa jimbo ambaowalitolewa mashauri na wakuu wa serikali ...
Swahili
publié par
MUSEMI KILONDO NKULA
il y a 3 ans
-
Kasonge: Fujo imekwisha Nonda
Mimi msomaji wako nashukuru sana viongozi wa gazeti hili kwa juhudi wanazofanya za kututangazia habari mbalimbali kusudi ya kutusaidia tupate maarifa mapya.
NENO LA WASOMAJI
il y a 3 ans
-
Je umesikia ... ?
KWAMBA mwendo wa wabinti na vijana wengi wa Kadutu uhazia kuharibika siku hizi sababu ya yale maonyesho ao michezo ya sinema ambayo huyo padiri mgeni (mzaliwa wa ... huko Ulaya ya Magharibi) anazoea kila mara ?
Swahili
publié par
JUA
il y a 3 ans
-
Mwenga : Zahabu inayochimbwa Kamituga yawafaidia wanani ?
JUA mpenzi, kwa kusema kweli usishangae kuona kama natumla lile ulizo kama vile kichwa cha barua yangu hii fupi. Nisipodanganyika, hata kama wewe unafika huku Kamituga, nitazima utajiuliza sawa mimi.
NENO LA WASOMAJI
il y a 3 ans
-
Bukavu : "Bravo" mganga wa kabare
JUA mpenzi, Nakusihi sana kunipata nafsi iliyo yangu katika ukurasa wetu huu siyo katika nia ya kulalamika wala kumpinga mtu fulani.
NENO LA WASOMAJI
il y a 3 ans
-
Kutafuta ndugu
Kutoka Kindu, mji mkuu wa wilaya ya Maniema, msomaji wetu Kingi Miti-Miti (ex. Raphaël), mfanya biashara anayeishi katika mkoa wa Mangobo (Kunako "Rive droite" ya jito Zaïre) barabara litwayo Pene-Misenga namba 59, anamtafuta ndoa yake.
NENO LA WASOMAJI
il y a 3 ans
-
Kwako bibi : Sikia ukomo wa biro yenye kuhusika na maisha yako
Ni kweli kuwa wengi kati yetu wangali bado wakiljiuliza mafaa gani itakayowaletea hiyo biro mpya iliyofunguliwa nchini mnamo tarehe 4 Februari mwaka huu kufuatana na wazo lililotolewa na Mheshimiwa Rais wa Jamhuri yetu, mwananchi Mobutu Sese Seko.
Swahili
publié par
Kusinza Nyenyezi
il y a 3 ans
-
Uhuru wa Namibia wakaribia
Siku hizi, Afrika nzima _ kuacha tu ile sehemu yake ya Kusini; yaani Jamhuri ya Afrika ya Kusini ambayo yaongozwa bado na Wazungu walio wachache _ yashurulika sana na ujio wa Namibia.
Swahili
publié par
MUSEMI KILONDO NKULA
il y a 3 ans
-
Goma : Watu 9 walifariki na 5 wa aungua vikali
Habari kamili toka Goma, nakao makuu ya wilaya ya Kivu ya Kaskazini zahakikisha kuwa, katika jamaa ya wachuuzi wa tatu wa reja wajulikanao hasa kwa jina la "Kaddafi" tisa (kenda) waliteketea kwa moto wa esansi (essence).
Swahili
publié par
André Bisimwa L-B. Tserou
il y a 3 ans
-
RUTSHURU : Nyamilima ni parokia
Kufuatana na habari kutoka Rutshuru ambazo zimetumwa katika gazeti letu na kiongozi wa mtaa ule, mwananchi Kombozi Masua Bodjoko, inaaminika kwamba kina askofu Ngabu wa diosezi ya Goma anakusudia kugeuza kijiji cha Nyamilima kuwa paroki mpya ya Kanisa katoliki katika wilaya ya Kivu ya Kashazini.
Swahili
publié par
MUSEMI KILONDO NKULA
il y a 3 ans
-
Raïs Mobutu amesema :"Angalisho kwa makanisa nchini"
Wakati wa kuanzisha kiserikali kazi za mkutano wa tatu wa Kamati kuu ya Chama cha Mapinduzi, mkutano uliofunguliwa siku ya kwanza tarehe 14 mwezi huu, Raïs wa Jamhuri, Muundaji wa Chama chetu, mwananchi Mobutu Sese Seko ...
Swahili
il y a 3 ans
-
Bukavu : Ruhusa za kujega zitatolewa na mtaa
Kusudi ya kukomesha hiyo tabia mbaya ya kujenga ovyo na nafasi zisizo nzuri kwa majengo, mkuu wa mji wa Bukavu, alifanya mkutano moja maalum mnamo tarehe 10 Septemba mwaka huu.
Swahili
publié par
MUSEMI KILONDO NKULA
il y a 3 ans
-
Bukavu : Lugha yako ni utajiri wako
JUA mpenzi, unipe nafasi iliyo yangu katika ukurasa huu ili nipate kutowa mawazo machache ninayo juu ya jambo kubwa ama chombo cha lazima ambacho kila mmoja wetu anapashwa kutumia katika maisha yake. Chombo hicho ni lugha ya kuzaliwa ya kila mmoja wetu.
NENO LA WASOMAJI
il y a 3 ans
-
Pangi : Walimaji wanakasirika
JUA mpenzi, kwa jina la walimaji ama wakulima wenzangu wa mtaaw a Pangi kwa jumla na hasa walimaji wa Lutala katika mkoa wa Bela kwa upekee, najiruhusu kutoa kwenye mwanga wako tatizwa kubwa ambalo latusumbua bado akili.
NENO LA WASOMAJI
il y a 3 ans
-
Idjwi : Mtoto wa mwami analeta fujo
JUA mpenzi, si wangana husema kwamba "kusema mengi siyo kupata sheria" na tena "kuandikia kitabu kizima siyo kutasiria vizuri jambo fulani" ?
NENO LA WASOMAJI
il y a 3 ans
-
KABARE : O.T.C.Z. ijiheshimu
JUA mpenzi, ikiwa ndugu wengine hawapata kukuandikia juu yay vitendo tunavyotendewa na watumishi wa OTCZ, mimi naona kwamba ni vema nivitoe nje, kusudi wale wakubwa wanaoshurulika na talizo hilo wapate kuvitolea majawabu (solutions).
NENO LA WASOMAJI
il y a 3 ans
-
Utengenezaji wa pombe ya lutuku ukatazwe
JUA mpenzi, ukubali kupokea malalamiko yetu. Mbele ya kuzungumza nawe tunakupigia aksanti sana kwani tunaanza kupata nasi gazeti letu la Kivu huku kwetu Idjwi. Ninakuomba uwashauri waongozi wetu kusudi wapate kujua wazi kama hii kisanga ni sehemu halali ya Zaïre ambako sharia inapashwa kuhesimiwa na watu wote.
NENO LA WASOMAJI
il y a 3 ans
-
Kwako bibi : Usiwe mpuuzi wakati wa mimba
Siku hizi, tuko wenye huzuni kubwa wakati tunapotambua kwamba wengi kati ya wamama wenye kuwa na mimba wamekwisha kuwa wapuuzi sana. Kwa kusema kweli ni jambo la huruma sana kukuona wewe bibi unayekuwa na mimba hautimiza afya kusudi upate kuishi vizuri kwa muda ule wa maisha yako.
Swahili
publié par
Bujiriri Mwangaza
il y a 3 ans
-
Kwako bibi : Wauguzi wa chumba cha uzazi wanauzi
Watu wote wanajua kama wauguzi wa chumba cha uzazi wana kazi kubwa wana. Daktari, peke yake, anaitika kama wamama hawa wanatumika mingi saana, kwani kuna siku wanatumika usiku pia.
Swahili
publié par
Bujiriri Mwangaza
il y a 2 ans
-
Kivu : Wanawake waamshwe
Mnamo siku ya tano tarehe 2 mwezi huu, kina mama Munyololo Kipene, katibu wa serikali ahusikaye na maisha ya kina mama, na dada katika jimbo letu ameondoka Bukavu na kujieleza Kinshasa.
Swahili
publié par
MUSEMI KILONDO NKULA
il y a 2 ans
-
Bukavu : Wavuvi wahesabiwe
Siku ya tatu tarehe 30 Septemba 1981, mwenye kiti wa mji wa Bukavu, mwananchi Lokomna Kumuadeboni, amekutana na wavuvi wanaokuwa na zoezi ya kuua samaki katika ziwa Kivu.
Swahili
publié par
MUSEMI KILONDO NKULA
il y a 2 ans
-
Bukavu yampata Komanda mpya
Lietenan - koloneli Mukuta, mkuu wa kazi za kiaskari katika jimbo la Kivu amemuonya kiserikali Major Tshisungu Katanga kwa kiongozi wa mji wa Buavu ...
Swahili
il y a 2 ans
-
China : Pekin yaomba Wachina waungane
Katika toleo la tarehe 30 Septemba iliyopita, AZaP imetangaza habari maalum ambazo zahusu mahitaji ya Mheshimiwa Rais wa China (kubwa), Mareshali Ye Jianying.
Swahili
publié par
MUSEMI KILONDO NKULA
il y a 2 ans
-
Je, umesikia ... ?
KUWA sababu ya kupenda mno feza binti mmoja ambaye kazi yake kubwa ni kuwayawaya popote mikoani akitafuta kuwapevusha wabwana wa wengine alikuwa karibu ya kumuuwisha baba yake mzazi siku ya sita iliyopita ?
Swahili
il y a 2 ans
-
Kwako bibi : Weka dawa ya jamaa vizuri
Dawa ni kitu kizuri lakini kuna WALAKINI ... Na walakini yanyewe yaoneka vibaya. Uzuri wake waonekana kwa hatari ya kufa. Wakati ufe inaponya kabisa magonjwa mbali mbali ambayo yalikuwa yanatutesa kwa muda fulani.
Swahili
publié par
Kusinza Nyenyezi
il y a 2 ans
-
Bukavu : Vilema wamepewa zawadi ya zaïre elfu tatu
Siku zilizopita tuliwatukaza mjini Bukavu ndugu zetu vilema. Baada ya mapambono ya kandanda yaliyoendeshwa kwa jimbo la Kipu aliye kuwa kwa muda, mwananchi Lokomba Kumuadeboni walitoa kwa ndugu zetu vilema zaire elfu tatu.
Swahili
publié par
Bujiriri Mwangaza
il y a 2 ans
-
Waganga wa Rwanda na Zaïre walikutana
Siku hizi, waganga wa nchi huru na jirani za Rwanda na Zaïre walikutana katika Hoteli Residence ya Bukavu. Shabaha muhimu ya kukutana kwa waganga hao ilikuwa ya kutafuta majawabu kwa kukomesha magonjwa nanayoangamiza vikali wakaaji wapatikanao mipakani mwa nchi za Rwanda, Burundi na Zaïre.
Swahili
publié par
André Bisimwa L-B. Tserou
il y a 2 ans
-
Dawa ya kuponya ukoma imevumbuliwa ?
Habari zinazoaminika ambazo zilichapwa katika gazeti "Nap _ Nouvelle Agence de Presse" zahakikisha kwamba, kamati ya waganga wa Umoja wa nchi huru ulimwenguni wahusikao na kitoa cha uta ufuta wa kiganga ...
Swahili
il y a 2 ans
-
Mkutano wa kamati ya Chama jimboni umemalizika
Siku ya pili tarehe 3 mwezi huu, kazi za mkutano maalum wa kamati ya Chama cha Mapinduzi katika jimbo zimemaliza. Kama ilivyo desturi mwananchi Mwando N'Simba, mkuu wa tawi la Chama katika jimbo letu amesimamia binafsi mkutano ule.
Swahili
il y a 2 ans
-
Lwiro : Seminari itafayika juu ya afya
Habari ziazoaminika kutoka biro ya Liwali wa jimbo letu, mwananchi Mwando N'Simba, zinasema kwamba seminari moja maalum itafanyika kunako majengo ya IRS/Lwiro.
Swahili
publié par
MUSEMI KILONDO NKULA
il y a 2 ans
-
Walungu: Mchafuko utaisha lini huko Ngweshe ?
Siku hizi mkoa wa Ngweshe watikishwa vikali na fujo moja kubwa. Fujo hiyo yawatenga Mwamikazi na wakaaji wake na mwenyekiti wa mtaa wa Walungu, ndugu Onauchu.
Swahili
publié par
MUSEMI KILONDO NKULA
il y a 2 ans
-
Kalehe: Msalamwekundu utamaliza wakaaji wa Bunyaki
JUA mpenzi, nisipodanganyika ukurasa huu ni baraza ulilotutolea sisi wasomaji ili tupate kuzungumza kimapinduzi kila juma. Sivyo ?
NENO LA WASOMAJI
il y a 2 ans
-
Uvira : Ubaguzi utaisha lini ?
JUA mpenzi, usiwe na mchangao wa kuniona natumia ulizo lile kama vile kichwa cha barua yangu hii fupi. Kile kinachonishukuma kukuuliza hivyo si kingine bali kujua kwa nini ubaguzi wazidi kufanyika huku kwetu.
NENO LA WASOMAJI
il y a 2 ans
-
Kodi yazidishwa
JUA mpenzi, siku hizi, sisi wakaaji wa Uvira tunasikia ya kwamba kodi italipiwa sawa vile mwaka jana. Lakini hapa kwetu Uvira huyo kiongozi wa mataa atulazimisha kulipa zaire makumi ine.
NENO LA WASOMAJI
il y a 2 ans
-
Shabunda: Jamaa nyingi zapunguka
JUA mpenzi, Kwa kusema kweli, idadi ya jamaa nyingi zinazoishi katika mkoa wa Bakisi inaanza kupunguka kabisa. Katika mkoa wa Bakisi inaanza kupunguka kabisa.
NENO LA WASOMAJI
il y a 2 ans
-
Tangazo la mganga
Enyi wakaaji wa Goma na wa kandokando, mnajulishwa kama kuna mgnga wa kiasili kutoka Afrika ya Mashariki, kisiwani Zanzibar-Tanzania.
Swahili
il y a 2 ans
-
Je, umesikia ... ?
KWAMBA jeshi la Muungano linapopambana, macho kwa macho, na jeshi la Bralima katika mchezo wa kabumbu wa kugombania kikombe cha mashindano yasiyokuwa kawaida ni sherki Muungano ilazwe machali ?
Swahili
il y a 2 ans
-
Miaka 16 ya Mapinduzi yatimia
Katika historis ya taifa letu mwezi wa Novemba ni wa lazima sana. Ni katika mwezi huu ndipo sisi Wazairwa tunazoea kufanya sherehe za kimotomoto.
Swahili
publié par
MUSEMI KILONDO NKULA
il y a 2 ans
-
Je, umesikia ... ?
KWAMBA baada ya bibi mmoja kumtoroka mme wake, huyu, aliwahi kupeleka mashtaki kwenye wakwe wake ? Basi kisha masikilizano, jamaa ya bibi ikaona ni vizuri mme atanguliye kwake na kisha, kama desturi ya asili yao, mke wake atasindikizwa na ndugu, kwa ajili hiyo mamakuu na mama ya mke wakachukua bjia na kumsindikiza bibi huyo.
Swahili
il y a 2 ans
-
Dolari milioni sita zitatumiwa kwa kutawanya biblia Barani
Habari zinazoaminika kutoka Kinshasa zinasema kwamba Shirika linaloshurulika na kazi ya kutawanya biblia ulimwenguni (Alliance biblique universelle) lakusudia kutumia dolari milioni sita mwaka huu.
Swahili
il y a 2 ans
-
Mashariki ya Kati Msiri na Israëli wabaki marafiki
"Patano linalounga Msiri na Israëli ni la kweli", Maneno yale yalitamkwa na Mheshimiwa Rais Hosni Moubarak mbele ya wadeule wakikutana katika ukomo wa kwendelea na kazi yao ya kawaida kisha mapumziko yao.
Swahili
il y a 2 ans
-
Burundi : Raia wamechangua katiba mpya
Mnamo tarehe 18 novemba mwaka huu, raia wa Jamhuri ya Burundi walikubali mwito wa wakuuw wa Chama "UPRONA". Wenyeviti wale waliwaalika kuboa msimamo wao juu ya katiba (Construction) mpya iliyotajarishwa chini ya utawalo wa Mheshimiwa Rais Jean-Baptiste Bagaza.
Swahili
publié par
MUSEMI KILONDO NKULA
il y a 2 ans
-
JUA yatimiza mwaka 9
Ni katika furaha na shangwe kubwa njo karanu ya kutimiza miaka kenda ya kuzaliwa kwa gazeti letu ilifanyika kunako biro yake.
Swahili
publié par
MUSEMI KILONDO NKULA
il y a 2 ans
-
Uvira : Majambazi Kadutu, Mutungula na Baroli wametupwa jela
Wangwana wamesama : "Mtoto alikilia wembe, mwachie. Kwani atajuta mwenyewe baadae". Fumbo hilo muhimu nq lenye maadibisho mengi, limetoa matunda yake bora siku hizi mjini Uvira hasa kabisa katika sehemu ya Mulongwe.
HABARI ZA JIMBO NA POPOTE
publié par
MALIYABWANA Mwin'Anu
il y a 2 ans
-
Kwako bibi : Haifai kumuachia boy kazi zote
Wabibi wengi wanazani kama wakisha olewa, hawawezi tena kufanya kazi za nyumba kama vile walivyokuwa wakifanya wakati walipokuwa bado wabinti kwao. Kwa nini kubadirisha tabia hiyo nzuri ? Kwa sasa bifulani ukiisha muona bwana anaenda kazini, anakuacha bado kitandani, pahali pa wewe kuamba mapema, unaamja saa nne.
HABARI ZA JIMBO NA POPOTE
publié par
Bujiriri Mwangaza
il y a 2 ans
-
Mkuu wa Banki "U.Z.B." yupo safarini katika jimbo
Siku hizi mkuu ama mkurugenzi (président directeur général) wa banki ya biashara iitwayo "Union Zaïroise des Banques" kwa kifupi "U.Z.B." katika lugha ya kifaransa, mwananchi Tshilomba wa Nsimba yuko katika matembezi ya serikali jimboni.
HABARI ZA JIMBO NA POPOTE
il y a 2 ans
-
Mkuu wa Banki "U.Z.B." yupo safarini katika jimbo
Siku hizi mkuu ama mkurugenzi (président directeur général) wa banki ya biashara iitwayo "Union Zaïroise des Banques" kwa kifupi "U.Z.B." katika lugha ya kifaransa, mwananchi Tshilomba wa Nsimba yuko katika matembezi ya serikali jimboni.
HABARI ZA JIMBO NA POPOTE
publié par
MUSEMI KILONDO NKULA
il y a 2 ans
-
"A.N.E.Z.A." ikotayari kupiganisha magonjwa
"Shirika letu lipo tayari kuwaunga wakuu wa jimbo mkono katika juhudi yao ya kupinga bila huruma magonjwa yanayowaambukia wakaaji wengi siku hizi".
HABARI ZA JIMBO NA POPOTE
il y a 2 ans
-
Mabadiliko katika uongozi wa mabiro ya "E.P.S." yamefanyika
Mnamo tarehe 7 mwezi huu, katibu mkuuwa serikali anayebusika na kazi za uongozi bora wa masomo ya msingi na vyuo vya sekondari, mwananchi Ndolela Siki Konde, ametia sahihi yake mhuri wa serikali juu ya hatua aliyokamata kuhusu mabadiliko ya viongozi wa mabiro ya "EPS" nchini.
HABARI ZA JIMBO NA POPOTE
il y a 2 ans
-
DAFTARI KAMILI YA WANAMEMBA WA SERKALI
Hapo majuzi Prezindenti-muundaji wa Chama cha Mapinduzi, Mareshali Mobutu, kabadidi wenyekiti madarakani katika Chama-serkali. Mabadiliko kafanya Baba wa Taifa yaonya kuwa ahusika na mwenendo bora unaopaswa kuweko katika kazi zahendeshwa kwa manufa.
Swahili
publié par
André Bisimwa L-B. Tserou
publié par
Lubunga Bya 'Ombe
il y a 2 ans
-
BENKI KUU YA ZAIRE KAFUNGUA SOKO LA UNUNUZI WA ZAHABU
Ukomo wa Benki kuu la Zaïre kwa kununua zahabu ni kuipiatia nchi ya Zaïre feza nyingi, kanena Liwali wa Benki hilo mwanchi Pay-Pay wa Syakassighe ambaye hapo majuri kafungua keserkali soko la ununuzi ...
Swahili
publié par
Chirume Simba
il y a 2 ans
-
Adabu za saa zote: DEREVA AO MTEMBEZA GARI
Hapa tutasimulia juu yule ambaye gari si lake, yule ambaye kutembeza gari ndio kazi yake. Maana yake yule anayetumikia myu mwengine ao shirika fulani.
Swahili
publié par
Kimengele Kimode
il y a 2 ans
-
Kivu ya Kusini: NJAA YAANGAMIZA WAKAAJI
Katika jimbo la Kivu ya Kusini yaani mitaani Kabare, Walungu, Fizi, Shabunda, Mwenga na mji wa Bukavu, maisha ya wakaaji huhatarishwa kwa kuwa waangamizwa nanjaa, sawa vile mwaka wa 1984.
Swahili
publié par
Chirume Simba
il y a 2 ans
-
Peru
Sherehe za Noeli kapigwa marufuko Uyahudi: Misaada ya Amerika yapigwa Ethiopia: Watu milioni moja hatarini! Panama: Huenda Noriaga akahukumiwa kifungo cha miaka 140 Walikale: Watu 15 wamepo ...
HABARI ZA JIMBO NA POPOTE
il y a 2 ans
-
BABA WA TAIFA AZUNGUMZA NA RAIA KIDEMOKRASIA
Muda wa siku tatu, tangu terehe 30 januari hadi 1 februari 1990, Baba wa Taifa, Mareshali Mobutu alistarehe na raia jimboni mwa Kivu ya Kusini katika ziara ya kiserkali mjini Bukavu ambako kapokelewa ...
Swahili
publié par
André Bisimwa L-B. Tserou
il y a 2 ans
-
Uhariri: UTASHI BORA
Muungano wa kiuchumi wa nchi zinazopakana na maziwa makuu (CEPGL) ambao kaundwa mnamo tarehe 20 septemba 1976 na kufikilia hapo makesho miaka 14, ingawa muda huo si mrefu
Swahili
publié par
André Bisimwa L-B. Tserou
il y a 2 ans
-
Marais Buyoya, Habyarimana na Mobutu wajikamilisha
Ni katika mpongo wa uhusiano wapaswa kuweko kati nchi tatu, ndugu , rafiki na jirani yaani Burundi, Rwanda na Zaïre, nchi hizo kaunda muungano wa kiuchumi "CEPGL".
Swahili
publié par
André Bisimwa L-B. Tserou
il y a 2 ans
-
Raïs Mobutu awahimiza raïa kutoa maoni yao juu ya Chama-serkali
Juma kwa juma, siku hizi Mareshali Mobutu, Prezident-Muundaiji wa Chama cha Mapinduzi "MPR" kaendelea na ziara yake kiserikali majimboni kwa kuwahimiza raïa kutoa maoni na mahitaji yao kuhusu uongozi na mwenendo wa Chama-seikali baadaya miaka 25 ya kimapinduzi na karibu sasa miaka 30 ya uhuru.
Swahili
publié par
André Bisimwa L-B. Tserou
il y a 2 ans
-
Wabunge wa Jimbo la Kivu ya ksini wapigwa bumbwazi
Wakati wamapumziko yao jimboni, wabunge wa Kivu ya Kusini waliweza kutembelea mitaa kazaa ili kujionea na kujisikilia binafsi ginsi uongozi wa Chama-sekl wafanyikao huko Matukio ya matembei ...
Swahili
publié par
André Bisimwa L-B. Tserou
il y a 2 ans
-
Uhariri: Mishahara na bei
Kwa kweli tukitchungua hali ya maisha ya leo ummani, bei ya vyakula, ya vifaa ne mengineo biashara, bei ambayo yapanda siku kwa siku mwendo wa kungurru, watumishi nchini, hasa hao wa daraja za chini wasulubishwa na maisha magumu ambayo yamasonga.
Swahili
publié par
André Bisimwa L-B. Tserou
il y a 2 ans
-
Kwako bibi: Mimi si ndumba !
Kutokana na magonjwa mengi yanayoshambulia watu, kati yap magonjwa ya kisonono na kwa leo ugonjwa haramu na mkali wa "SIDA", yafaa kweli kujikinga tukichukua hatua kazaa na kufuata mashauri ya wanganga na wataalam wote wahusikao ambao kutaja jina ttu ...
Swahili
publié par
André Bisimwa L-B. Tserou
il y a 2 ans
-
Na mwishoe, Namibia nchi huru
Nchi ya Namibia ambayo ipatikanayo Kusini mwa Bara la Afrika na kuangamizwa na ubaguzi wa rangi na mabeberu wa Afrika ya Kusini kasherehekea uhuru wake mnamo tarehe 21 Marsi 1990 ...
Swahili
publié par
André Bisimwa L-B. Tserou
il y a 2 ans
-
Muungano wa Bunyikiri "SIBU" wajikamilisha
Wanamemba wa muungano kuhusu maendeleo yaa Bunyikiri "SIBU" walikutana hapo majuzi kunako masomo ya segondari ya Funu/kadutu . Siku hiyo ilitolewa ripoti ya mkusanyo uliofany n wasimamizi wa "SIBU" hapo Bunyiakira mnamo mwezi wa pili ...
Swahili
publié par
Bakanirwa Bachiyeka
il y a 2 ans
-
Je, umesikia ... ?
KUWA chawa yaweza kuambukiza ugonjwa wa Sida ? Imejulikana kuwa mahali kazaa duniani watoto wengi wenyi umri ya miaka kuingia shuleni na wangineo wachanga wazaliwa tangu tumboni mwa mama zao ...
Swahili
il y a 2 ans
-
Fizi: Lulenge yawaka moto
JUA mpenzi, sisi hapa Lulenge katika mtaa wa Fizi twajioneya cha mtema kumi. Kwa kuwa mambo yanayoendeshwa na viongozi wa mikoa yatuangamiza sana na kututia katika uwasiwasi.
NENO LA WASOMAJI
il y a 2 ans
-
Ukadirisho wa uzazi muhimu jamaani
Kulokana na matatizo kazaa wa kazaa kuhusu uchumi, dini, utamaduni na ongezo la jumba la watu kusudio la kukadirisha uzazi uchukuliwa ummani siku kwa siku.
Swahili
publié par
André Bisimwa L-B. Tserou
il y a 2 ans
-
Wakaaji wa Bukavu wamtumainia Regideso
Wakaaji wataweza kushota tena maji safi kama hapo zamani mjini Bukavu siku zijazo. Kwa kuwa kiwanda kipya chakutoa maji safi chajenwa huko Murhundu.
Swahili
publié par
Bakanirwa Bachiyeka
il y a 2 ans
-
Makanisa na maendeleo jimboni mwa Kivu ya Kusini
Kama tulivyoyaeleza katika nakala zetu zilizopita, isiyo tu kanisa la kikatoliki lahusika na maendeleo ya umma nchini bali pia hayo ya kiprotestanti na ya Kimbangu.
HABARI ZA JIMBO NA POPOTE
publié par
André Bisimwa L-B. Tserou
il y a 2 ans
-
UHARIRI : Hewa yay mabadiliko !
Kutokana na maoni ya Prezidenti-muundaji wa Chama cha Mapinduzi, Raïs wa Jamhuri ya Zaïre, Mareshali Mobutu, kwatezamiwa mabadiliko muhimu katika uongozi wa Chama-serikali katika hotuba yake ya tarehe 24 Aprili 1990 kwa raïa.
Swahili
publié par
André Bisimwa L-B. Tserou
il y a 2 ans
-
Raïs Mobutu ahusika na maisha ya raia
Baba wa Taifa, Mareshali Mobutu, ajifikiri siku kwa leo pia hapo makesho nchini Zaïre. Kweli, twazani wote kuwa Mareshali Mobutu tangu kuchukua madaraka ya uongoziwa nchi afanya vyote aweza kwa kufikilia maisha rahisi na bora kwa raïa.
Swahili
publié par
André Bisimwa L-B. Tserou
il y a 2 ans
-
UNICEF imo mbioni kulinda afya ya watoto
Hapo majuzi, liwali wa jimbo la Kivu ya Kusini, mwananchi Dilingi Liwoke La Milengo, kasimika kamati ya kufuatilia kwa karibu kazi za kampeni kamambe zitakazoendeshwa kuhusu chanjo kwa watoto jimboni.
HABARI ZA JIMBO NA POPOTE
publié par
André Bisimwa L-B. Tserou
il y a 2 ans
-
Kwako bibi: Tumia feza kwa ukarimu
Katika shule nyingi wasichana waelimishwa mambo kazaa kuhusu utumizi wa feza katika jamaa watakaloliunda siku za usoni. Maelimisho hayo yaelekea zaidi ujuzi wa utumizi wa feza nyumbani.
HABARI ZA JIMBO NA POPOTE
publié par
Bakanirwa Bachiyeka
il y a 2 ans
-
Je, umesikia ... ?
KUWA mjini Bukavu wamoja kali ya akina mama wachuuzi walifezeesha kunako soko kuu la kadutu siku kwa siku ? kwa nini ?
Swahili
il y a 2 ans
-
Tuzungumze: Heshima ni kujiheshimu
Leo! Hatujui kama watu nasa wakaaji mijini mikuu wamekua viziwi-vipofu kwa kuwa hotuba majukwani (tribune, échafaud) pamoja na kalele zisizo kifani (pareil) za vyombo vya habari nchini vyasikika mara nyingi kuhusu nizamu na tabia ya kiutu.
NENO LA WASOMAJI
publié par
André Bisimwa L-B. Tserou
il y a 2 ans
-
Kitabu "Adabu za saa zote" kifundishwe shuleni
Hapo majuzi mwananchi Kimengele Kimode katoa mwanga kuhusu adabu ambazo mtu yeyote apaswa kushika njiani, mezani, shuleni, jamaani na kazalika.
NENO LA WASOMAJI
publié par
Bakanirwa Bachiyeka
il y a 2 ans
-
Urusi kabadili siasa yake, lakini
Mabadiliko ya siasa kufanyika Ulaya ya Mashariki ambako nchi nyingi kaendesha siasa ya kisosialisti katikisa nchi kazaa wa kazaa ulimwenguni.
HABARI ZA JIMBO NA POPOTE
publié par
André Bisimwa L-B. Tserou
il y a 2 ans
-
Kivu ya Kusini: Wakaaji wa Bukavu walaumu shirika "SNEL"
Baada ya ziara ya Prezidenti-muundaji wa Chama cha Mapinduzi "MPR" mjini Bukavu, shirika "SNEL" halina amani. Kwani, siku kwa siku, wakaaji wenyi kutuma moto wa stimu walienda na watumishi wake.
HABARI ZA JIMBO NA POPOTE
publié par
André Bisimwa L-B. Tserou
il y a 2 ans
-
Je, umesikiya
Kuwa uko katika mtaa wa kadutu wasichana (wabinti) waendelea na iwao iwa kutosha mimba na kutupa watoto katika mifereji ama yalala ?
Swahili
il y a 2 ans
-
Baada ya mahitaji
Mabadiliko ya siasa nchini kujulishwa na Raïs wa Jamhuri, Mareshali Mobutu, kapokelewa na furaha na raïa ambao kaionya kwa mandamano, pongezi za kumfukuza ...
Swahili
publié par
André Bisimwa L-B. Tserou
il y a 2 ans
-
Uwingi wa vyama wakubaliwa nchini Zaïre, lakini ...
Katika hotuba wake muhimu kafanya Raïs wa Jamhuri ya Zaïre, Mareshali Mobutu mnamo tarehe 24 aprili 1990 kijijini N'sele kwa wajumbe wa majimbo wakiweko mabalozi wa nchi rafiki na wapashohabari toka nchi kazaa za kigeni
Swahili
publié par
André Bisimwa L-B. Tserou
il y a 2 ans
-
Lunda Bululu, Waziri mkuu mpya
Baada ya kusimikwa kwa Jamhuri ya tatu hapo tarehe 24 aprili 1990 Kutokana na mabadiliko kafanywa nchini Zaïre kuhusu siasa, ilimpendeza Raïs wa Jamhuri, Mareshali Mobutu, kumtaja mwananchi Lunda Bululu.
Swahili
publié par
André Bisimwa L-B. Tserou
il y a 2 ans
-
Kivu ya kusini yahatarishwa na wakimbizi
Zaidi ya wakimbizi 100.000 toka nchi za Rwanda na Burundi waishi katika majimboo ya Kivu Kusini na ya Kashazini. Ingawa wengi wakimbizi hao toka nchi hizo mbili idadi ...
Swahili
il y a 2 ans
-
COOCEC/Kivu
Kama illivyo kawaida kila mwisho wa mwaka; Koperative kuu ya akiba na mkopo jimboni mwa Kivu (COOCEC-KIVU) kafanya mkusannyo wakee mkuu hapo majuzi mjini Bukvu.
Swahili
publié par
Bakanirwa Bachiyeka
il y a 2 ans
-
Adabu, hali na tabia ya mtu
Katika maandishi ifuatayo, mwananchi Risasi Mwanabateni atoa maoni muhimu kuhusu adabu kila mtu yeyote apaswa kuwa nazo ili kuheshimisha utu wake.
NENO LA WASOMAJI
il y a 2 ans
-
Kwako bibi: Mke ndiye "Malkia wa jamaa"
Ni lazima sana mke ajue mapaswa yake. Mara nyingi mume hayopu nyumbani; kwa hiyo madaraka zote zabaki mikoni mwa mke. Happo elimu zake zahitajika kabisa.
NENO LA WASOMAJI
publié par
Bakanirwa Bachiyeka
il y a 2 ans
-
"Homa" yaikumba michezo jimboni
Miaka michache iliyopita, michezo kama vile ya kandanda, riaza, makonde, kinga na hata ya vikapo na nyavu ilikuwa yakitiliwa maanani sana gazeti ngazi ya vijijini, mji mikuu hadi taifa kuanzia shuleni.
Swahili
publié par
André Bisimwa L-B. Tserou
il y a 2 ans
-
Uhariri: Nani ahitajika kuongoza nchini ?
Uhongozi nchini sio mzaa. Kwani kila mwananchi anayetezami wa kuongozi nchini katika ngazi mbalimbali yafaa afanye kila analoweza ili kuongeza kiwango cha elimu anayo, ujuzi mbalimbali, ufundi pamoja na mbinu za kumudu madaraka wanayozaminiwa na umma.
Swahili
publié par
André Bisimwa L-B. Tserou
il y a 2 ans
-
Uchumi wavutia siasa ya kidemokrasia
Tangu tarehe 24 Aprili 1990, hali ya kidemokrasia yaonywa na kurudishwa ukamilifu wa uwezo na madaraka ya Bunge, Barza la Mawaziri na Barza la Sheria. Kwa kweli, hali ya kidemokrasia yategemea uhuru wa maoni, mwanzo na masemi hasa huo wa upashaji wa habari, haki ya kugoma ...
Swahili
publié par
André Bisimwa L-B. Tserou
il y a 2 ans
-
Kivu ya Kusini: Njaa yaikumba mtaa wa Beni
Siku hizi mtaa wa Beni wasulumishwa kwa ukosefu wa chakula kingi na chenye kufaa shirika SOLIDARITE PAYSANNE kaonya jambo hilo wazi mbele ya wataalam wengine ambao katangulia huko.
Swahili
il y a 2 ans
-
Adabu za saa zote: Soga na maongezi
Kwa siku za leo, sababu ya kujua luga nyingi, tunao uwezo wa kuongea popote tunapokuwa kitundini. Lakini namna gani soga (michezo, maburudiko) zetu zinapaswa kufanyiwa na maongezi yetu ni sherti ielekee nini?
Swahili
publié par
Kimengele Kimode
il y a 2 ans
-
Mzozo kunako univasti na vyuo vikuu nchini Zaïre utaisha lini ?
Tangu tarehe 18 mpaka 19 Juni, Bunge la Taifa katafua mzozo kazaa ambao kalewa na wanafunzi wa univasti na wa vyuo vikuu mbalimbali inchini mwetu.
Swahili
publié par
Bakanirwa Bachiyeka
il y a 2 ans
-
Kwako bibi: Ukahaba msinji wa maisha rahisi, mazuri na starehe ?
Watu ambao wavikwa madaraka ya kuadibisha na kuongoza vikundi vya vijana wapiga yohwe. Wale wasimamizi wa makanisa wasema eti tayari mwisho wa dunia wakaribia.
Swahili
publié par
Bakanirwa Bachiyeka
il y a 2 ans
-
Ascofu Munzihirwa akamilisha katika diosezi ya Kasongo
Kutokana na hatua kachukuliwa na Baba Mtakatifu wa Roma, Yoane Paulo wa Pili. Askofuu Munzihirwa katamilishwa kama vile askofu mwenyekiti wa diosezi ya Kasongo akimgomba hivi askofu Pirigisha Mukombe ambaye katimiza ...
Swahili
publié par
André Bisimwa L-B. Tserou
il y a 2 ans
-
Je, umesikia
KUWA mjini Kindu wanatufunzi hujionea cha "mtema kuni"? Yasemekana huko heti walimu na viongozi wa shule ...
Swahili
il y a 2 ans
-
Wabibi wa unyumba muturegezee
Katika nakala hii, twaloa mkoani ya msomaji wetu Ngabo Zihindula, mkaaji wa Goma, ambaye atishwana mwenendo usio halali wa akina mama ambao wajitishwa ...
NENO LA WASOMAJI
il y a 2 ans
-
Wataka maisha marefu ?
Gazeti "La Relève" la jamhuri ya Rwanda katoa katika nakala yake mambari 114 ta tarehe 23 mpaka 29 marsi 1990, nusu ya maoni kuhusu siri ya kiushi mda mrefu duniani. Maoni hayo katolewa na mwandishi J. Ndabamenye ambaye kagusia mafasirio ya mwalimu mjerumani Prinzingere.
NENO LA WASOMAJI
publié par
Bakanirwa Bachiyeka
il y a 2 ans
-
Kivu ya Kusini: Shirika la kutoza ushuru lahaidiwa zaïre 800.000.000,00
Mwananchi Mapasi Bula, kiongozi wa shirika la watoza ushuru (contribution) katika jimbo la Kivu ya Kusini, kaeleza hapo majuzi mbele ya wapaswahabari kuwa kodi zote kwa jumba la mwaka huu jimboni ...
Swahili
publié par
Bakanirwa Bachiyeka
il y a 2 ans
-
Vilema, watu kama sisi
Hapo mwezi wa tano 1990 tarehe 27, kiuo cha vilema "Heri Kwetu" Kilisherechekea siku kuu ya vilema. Sherehe hizo ziliweza pia kuhuzuriwa na mke wa liwali wa jimbo, Mama Dillingi wakiweko pia makamu wa liwali Ngoy Shambuyi ...
Swahili
publié par
André Bisimwa L-B. Tserou
il y a 2 ans
-
Uamzi: Mke wa pili adai zaire 1.000.000,00 kwa mwananchi Sampi
Katika kitabu ya uamzi mambari RC 2486 kwenye mahakma kuu ya mji wa Bukavu, mama Mbayu M'Ndeko(Paola) adai zaïre 1.000.000,00 kila mwezi kwa mwananchi ...
Swahili
il y a 2 ans
-
Zaïre: Kwa nini watumishi wa serkali kagoma ?
Hapo majuzi mnamo mwezi wa Julay watumishi wa serkali kagoma hasa wakitupilia kazi kutokana na kutoongezewa mishahara kama vile kahaidwa na wakuu serikalini.
Swahili
publié par
André Bisimwa L-B. Tserou
il y a 2 ans
-
Bukavu: Shirika P.E.V. kaendesha chanjo za ukingo wa mama na mtoto
Hapo majuzi shirika P.E.V. kaendesha mjini Bukavu chanjo za ndui za uukngo wa mama wenye umri wa miaka 14 hadi 44 na watoto kuhusu magonjwa ya kuambukia.
Swahili
publié par
Bakanirwa Bachiyeka
il y a 2 ans
-
Uhariri: Nafasi gani kwa vijana nchini Zaïre ?
"Vijana wetu wa takua ginsi tullivyowatayarisha". Usemi huu waishi midomoni mwa viongozi nchini mwetu. Kila mara wanema wazi kuwa vijana hao ndiwo tegeme la nchi na iongozi wa kesho.
Swahili
publié par
Bakanirwa Bachiyeka
il y a 2 ans
-
GOMA/Kivu ya Kaskazini: Diosezi katolika imo mbioni kwa maendeleo ya raïa
Hapo majuzi kafanuika mda wa wiki nzima mjini Goma mkutano wa baraza la Diosezi ya Goma. Mapadiri, watawa na wajumbe wa kanisa la kikatoliki kakusanyika chini ya uongozi wa Askofu wa Goma, mheshimiwa Ngabu.
HABARI ZA JIMBO NA POPOTE
publié par
Gabriel Lukeka Bin Miya
il y a 2 ans
-
Kwako bibi: Chakula bora kwa mama mwenyi mimba
Wakati kanenwa kuwa mtaalam wa mlimo ni wa lazima sawa na nganga, watu wamoja wamoja wapingwa bumbwazi, kwa kweli, masemi hayo ni ukeweli mtupu.
HABARI ZA JIMBO NA POPOTE
publié par
Bakanirwa Bachiyeka
il y a 2 ans
-
Kwako bibi: Chakula bora kwa mama mwenyi mimba
Wakati kanenwa kuwa mtaalam wa mlimo ni wa lazima sawa na nganga, watu wamoja wamoja wapingwa bumbwazi, kwa kweli, masemi hayo ni ukeweli mtupu.
HABARI ZA JIMBO NA POPOTE
publié par
Bakanirwa Bachiyeka
il y a 2 ans
-
Maniema: Kazi za afia zaendeshwa vurugeni
Siku hizi wakaaji wa mjini Kindu wapigwa bumbwazi. Kwa kuwa tu viongozi wa kazi za zile ambazo si mhimu sana, wakitupilia mapaswa yaliyo ya mustari wa mbele
HABARI ZA JIMBO NA POPOTE
publié par
Swedy Bin Alaiu
il y a 2 ans
-
Nyama za kuoza zaonywa sokoni
Katika soko mahali kazaa jimboni mwa Maniema wanuuzi wajionea "Iwa mwende mkaone". Huko Maniema, yasemekana kuwa ni vema kula sombe ao maharagi kuliko nyama.
HABARI ZA JIMBO NA POPOTE
publié par
Swedy Bin Alaiu
il y a 2 ans
-
Je, umesikia ...?
KUWA namna "Salongo" yaendeshwa kila siku y tatu mjini Bukavu yauzikisha wakaaji ? Kwa nini ? Kila mara kazi hizo zaendeshwa tu na wamama wachuuzi wadogo kwenye soko.
Swahili
il y a 2 ans
-
Kindu/Maniema: Malipo yawatisha wachuuzi sokoni Mama Yemo
Soko "Mama Yemo" ya Kindu kajengwa mwaka wa 1973. Wakati huo jimbo ndogo la Maniema lilikuwa chini ya uongozi wa mwananchi Kusasimba Diamasisa.
NENO LA WASOMAJI
publié par
Swedy Bin Alaiu
il y a 2 ans
-
Uwanja wa mpira utajengwa lini ?
Mwaka uliopita 1989,wazaliwa wa Maniema toka mahali mbalimbali wanakoishi kakusanyika mjini Kindu ili kutatua magumu ya ujenzi wa uwanja wa mpira na wa mji wa Kindu kwa jumla.
NENO LA WASOMAJI
publié par
Swedy Bin Alaiu
il y a 2 ans
-
Adabu za saa zote: Katika ofisi
Ofisi zaweza kuwa za namna nyingi. Hapa tutasimulia tu juu ya ofisi yaa siasa na ile ya biashara. Ikiwa unatumika katika siasa jua kama wepesi na haraka ni fadhila kubwa sana.
NENO LA WASOMAJI
publié par
Kimengele Kimode
il y a 2 ans
-
CRONG: Mabadiliko ya siasa nchini na maendeleo vijijini
Miungano 25 zisizokuwa za serikali ambazo zahusikana mendeleo ya nchi jimboni mwa Kivu ya Kusini kakusanyika tarehe 25 hadi 27 Juni mjini Bukavu chini y uongozi wa muungano waoo mkuu "CRONG".
HABARI ZA JIMBO NA POPOTE
publié par
Bakanirwa Bachiyeka
il y a 2 ans
-
Kanisa la Kianglikani: Roho njema katika mwili wenyi afia njema
Kanisa la kianglikani mjini Bukavu kaendesha mwezi wa Julay mkutano wa mafundisho maalum wa maendeleo kwa ajiliya viongozi 45 wa kanisa lake katika majimbo ya Kivu ya Kusini, Kaskazini na Maniema.
HABARI ZA JIMBO NA POPOTE
publié par
Bakanirwa Bachiyeka
il y a 2 ans
-
Kombe la dunia la kandanda: Ujerumani Magharibi binga
Timu ya Jamhuri ya Ujerumani Magaribi ndilo sasa bingwa wa mchezo wa kandanda duniani. Timu hilo kajinyakulia ushindi kisha kulilaza timu la jamhuri ya Argentina kwa bao moja kwa sifuru.
HABARI ZA JIMBO NA POPOTE
publié par
Bakanirwa Bachiyeka
il y a 2 ans
-
Zaire: Serkali yakubali migomo, bali ...
Baraza la mawaziri kaundwa baada ya hotuba ya Raïs wa Jamhuri mnamo tarehe 24 Aprili 1990 kaleta mabadilliko mengi na muhimu katika siasa ya nchi Zaïre tangu hapo kasimikwa.
Swahili
publié par
André Bisimwa L-B. Tserou
il y a 2 ans
-
Maniema: Raïa walaumu Kithima na Tshiala
Hapo majuzi, mnamo mwezi wa Julay (saba) 1990, bwana Kithima bin Ramazani hapo zamani katibu mkuu wa Chama Mapinduzi "MPR", kakusanya mjini Kindu raïa wa mji wa Kindu waliojielimisha.
Swahili
publié par
André Bisimwa L-B. Tserou
il y a 2 ans
-
Uhariri: Mkuu kwa wote
Miaka 2000 kapita tangu hapo Yesu wa Nazareti kashulubiwa na kufariki msalbani kwa kuwaokoa watu. Ni hiyo kwa mapenzi ya Babaye. Yesu kweli kajitolea. Kifo chake ni mwanzo wa maisha mapya ya waumini na wa wasio waumini.
Swahili
publié par
André Bisimwa L-B. Tserou
il y a 2 ans
-
Afrika ya Kusini: Maadui wa Mandela kavumbuliwa
Maadui wa Mandela kavumbuliwa. Mfungwa mashuhuri ulilmwenguni, aliyekuwa huru miezi tano sasa, na mzaliwa wa Afrika ya Kusini katembelea shirikisho la Amerika.
Swahili
publié par
André Bisimwa L-B. Tserou
il y a 2 ans
-
Kivu ysa Kusini: Mkoa wa Kabare wakaa juu ya majivu ya moto
Katika ziara ya kiserikali kaendesha liwali Dilingi wa jimbo la Kivu ya Kusini kwa kutoa mafasirio kamili juu ya mabadiliko itakayofanywa katika Katiba ya nchi ya Zaïre.
HABARI ZA JIMBO NA POPOTE
publié par
André Bisimwa L-B. Tserou
il y a 2 ans
-
Chama "MPR" chasimikwa jimboni mwa Kivu ya Kusini
Viongozi na wakuu wa vikundi kazaa vya siasa kapewa miezi mitatu ya kutoa maelezo kamili kwa kutoa ombi lao la kuviunda kunako wizara ya mambo ya Ndani, (uongozi wa nchi) na siasa ya kujitengemea ...
HABARI ZA JIMBO NA POPOTE
publié par
André Bisimwa L-B. Tserou
il y a 2 ans
-
Kwako bibi: Usafi wa nymba waonya zamiri yako, mama
Kila mutu anayejiona mngwena anayo taarifa ya kai zake. Iwenyumbani wala kazini. Huyu ajua mbele ya wakati kazi gani atafanya paa saa Kamili. Ni wazi taarifa hiyo yaweza kubadili kutokana na visa fulani.
Swahili
publié par
André Bisimwa L-B. Tserou
il y a 2 ans
-
Je, umesikia ...?
KUWA katika mmkoa wa Buholo II mke moja toka Kinshasa ... kuiba mtoto moja mke mwenyi umri wa miaka 9 ...
Swahili
il y a 2 ans
-
Utamaduni: Dada Mastaki Nyabana "Lili" kachaguliwa binti mzuri wa mji wa Bukavu na wa jimbo la Kivu ya Kusini
Akiwa na umri wa miaka 18 na miezi mitano, dada Mastaki Nyabana "Lili" kachaguliwa mnamo tarehe 12 Ogusti 1990 kunako Soko la kiuchumi na kiutamaduni la mji wa Bukavu kama vile kijana binti mzuri kuliko hao waliojionya mjini Bukavu na jimboni lote la Kivu ya Kusini.
Swahili
publié par
André Bisimwa L-B. Tserou
il y a 2 ans
-
Mama Mutiri Nyirkwezi Uwimana, kiongozi mpya wa barabara Kalehe
Hapo mnamo tarehe 18 ogusti 199, mwananchi Kasongo Bila Muhasa Mpungu kasimika kiserkali Mama Mutiri Nyirakwezi Uwimana kama vile kiongozi mpya wa barabara Kalehe katika mtaa wa Ibanda mjini Bukavu.
NENO LA WASOMAJI
publié par
André Bisimwa L-B. Tserou
il y a 2 ans
-
Adabu za saa zote: Kwa mkubwa na kwa mdogo
Kunao watu ambao wanazani kama ni haki yao kuheshimiwa yaani kupatiwa adabu yote na kwamba ni mwiko kwao kuheshimia jirani.
NENO LA WASOMAJI
publié par
Kimengele Kimode
il y a 2 ans
-
Goma: SNEL na REGIDESO yatisha wakaaji
Habari toka Jimbo la Kivu ya Kashazini zajulisha kuwa mji wa Goma watishwa na vitendo vyaendeshwa na mashirika SNE na REGIDESO ambayo yapigana naz wakaaji ambao watumia moto wa stimu na maji safi ya kunywa toka mirija na mashomba.
HABARI ZA JIMBO NA POPOTE
publié par
André Bisimwa L-B. Tserou
il y a 2 ans
-
Afia: Ugonjwa wa SIDA waendelea kupingwa
Mnamo tarehe 15 Ogusti 1990, Liwali wa jimbo la Kivu ya Kusini, mwananchi Dilingi Liwoke la Milengo aliye pia prezidenti wa Kamati yenyi kuhusika na upingo wa ugonjwa wa SIDA jimboni mwa Kivu ya Kusini ...
HABARI ZA JIMBO NA POPOTE
publié par
André Bisimwa L-B. Tserou
il y a 2 ans
-
Matunda ya kazi yamfalia nani ?
Katika dunia hii ya leo, makosa mengi na makubwa ambayo watu wengi wenye madaraka walifanya ni kule kupenda mali za dunia kuliko watu waongoza.
HABARI ZA JIMBO NA POPOTE
publié par
André Bisimwa L-B. Tserou
il y a 2 ans
-
Michezo ya kandanda: Zaïre kainyuka Tanzania 2-0
Kulingana na mapambano yanayoendeshwa kwakuigombea Kombe la 18 baina ya Mataifa Barani Afrika (CAN) ambalo litaonywa kugombewa kweli katika mapambano ya mwisho itakayowachonganisha timu za mataifambali mbali hapo mwaka 1992 ...
HABARI ZA JIMBO NA POPOTE
publié par
André Bisimwa L-B. Tserou
il y a 2 ans
-
Zaïre: Raia bado katika uwasiwasi
Kutokana na maelezo katoa spika wa Baraza la mawaziri siku zilizopita kuhusu maoni ya serikali juu ya kidemokrasia, yahitajika nchini na hasa inayoelekea uwingi wa vyama, uchumi na siasa ya kijamii, bado uwasiwasi washika raia siku kwa siku
Swahili
publié par
André Bisimwa L-B. Tserou
il y a 2 ans
-
Uhariri: Bonana, mwaka mpya 1991
Mwaka 1990 kapita labda kama umeme. Twafurahia sasa mwaka 1991. Kweli mambo yamefyatuka kwa mwendo wa kuruka kama kunguru kwa ginsi tukitupa jicho nyama tutajionea wenyewe namna gani mwaka 1990 wabeba mzigo wa magumu ...
Swahili
publié par
André Bisimwa L-B. Tserou
il y a 2 ans
-
Maadibisho Bora
Kwakweli, imeonekana kuwa wazazi wengi hukwepa kwa sasa mapaswa ya kuwalea vema na kuwaadibisha watoto wao. Na dalili nyingi za kuonya kitendo hicho zinazidi kujitokeza siku kwa siku hapa nchini na hasa zaidi katika miji mikubwa.
Swahili
publié par
André Bisimwa L-B. Tserou
il y a 2 ans
-
Kweli, ninao ugonjwa wa SIDA
Binti mmoja mtaa wa Kadutu pa Bukavu anaugua ugonjwa wa upungufu wa kingo mwilii (UKIMWI, kwa kifupi ama SIDA) tangu siku nyingi kufwatana na mafasirio alipata kwa waganga pale Bujumbura na Goma.
HABARI ZA JIMBO NA POPOTE
publié par
Imata Raphael Déwen
il y a 2 ans
-
Tuzungumze: Mke wa mwenzio, harimu
Ikiwa kweli maburudiko ni ya lazima kwa maisha wa mtu, yafaa yafanyike katika usawa bila kumtuma mtu kwendesha vitendo visivyo halali, kuchafua utu wake na kuzoofisha mwili wake bure.
HABARI ZA JIMBO NA POPOTE
publié par
André Bisimwa L-B. Tserou
il y a 2 ans
-
Bwegera: Mahali pa kuchunguzwa vema
Katika bonde la Ruzizi, njiani pa kwenda Uvira, kati ya Kamanyola na Sange, kuna mahali paitwapo Bwegera huko ambako abiria na wapita njia wajinunuliwa maziwa ya ngombe.
Swahili
il y a 2 ans
-
Mobutu hospitalini mchini Uswisi!
Ni tangu tarehe 22 agusti 1996, mareshali Mobutu Sese Seko, Prezidenti wa jamhuri ya zaïre kajielekeza mjini Geneva nchini Uwisi kwa ajiji ya kuttunzwa ugonjwa wa Kansa ya Prostate.
Swahili
il y a 2 ans
-
Ijali ya gari pa Isango
Ajali ya gari imetokea mnamo siku ya posho tarehe 31 agosti 1996 huko kibindibindi kunako ulalo wa mto isango kati ya kitutu na misioni ya kiprotestanti ya nyamibungu mtaani Mwenga
Swahili
il y a 2 ans
-
Mgomo wa wafanyabiashara pa Kamituga
Kiongozi wa umoja wa wafanyabiashara wa mtaa wa Mwenga (Aneza), bwana Masumbuko Kyalumba kafanya ziara ya kazi mjini Bukavu kwa kutafuta kutatutua shida iliyokabili wachuuzi wa mtaa huo.
Swahili
il y a 2 ans