-
Neno la wasomaji, Itombwe yasonga mbele
Jua mpenzi,
Nikiwa mmoja kati ya wasomaji wako watukufu, nafurahiwa sana na Gazeti letu "JUA" kwa kuwa latujulisha mambo yapitayo katika jimbo letu, nchini Zaïre na duniani kwa jumla.
Swahili
publié par
Wissoba Lusambya
il y a 5 ans
-
Neno la wasomaji: Wachuuzi wa Salamabila watetemeshwa
Jua mpenzi, ni mara ya kwanza nachukuwa kalamu yangu kwa kukuandikia kutokana na vitisho vyatushambulia toka na vyongozi ya hapa Salamabila. Na ninatumaini kama utaweza kunitolea mawazo kwa jambo hilo.
Swahili
publié par
JUA
il y a 3 ans
-
Neno la wasomaji: Wembe warahisisha uwizi katika soko la Kadutu
Ndungu mpenzi JUA, ninakujilisha kwamba mimi ni moja kati ya basomaji wako mashuhuri. Kupendelea kwangu kosoma GAzeti "JUA" kwatokana na vipindi vyaelekea akina mama (kwako bibi) na "Je, umesikia...?
Swahili
il y a 3 ans
-
Kalehe: Msalamwekundu utamaliza wakaaji wa Bunyaki
JUA mpenzi, nisipodanganyika ukurasa huu ni baraza ulilotutolea sisi wasomaji ili tupate kuzungumza kimapinduzi kila juma. Sivyo ?
NENO LA WASOMAJI
il y a 2 ans
-
Uvira : Ubaguzi utaisha lini ?
JUA mpenzi, usiwe na mchangao wa kuniona natumia ulizo lile kama vile kichwa cha barua yangu hii fupi. Kile kinachonishukuma kukuuliza hivyo si kingine bali kujua kwa nini ubaguzi wazidi kufanyika huku kwetu.
NENO LA WASOMAJI
il y a 2 ans
-
Kodi yazidishwa
JUA mpenzi, siku hizi, sisi wakaaji wa Uvira tunasikia ya kwamba kodi italipiwa sawa vile mwaka jana. Lakini hapa kwetu Uvira huyo kiongozi wa mataa atulazimisha kulipa zaire makumi ine.
NENO LA WASOMAJI
il y a 2 ans
-
Shabunda: Jamaa nyingi zapunguka
JUA mpenzi, Kwa kusema kweli, idadi ya jamaa nyingi zinazoishi katika mkoa wa Bakisi inaanza kupunguka kabisa. Katika mkoa wa Bakisi inaanza kupunguka kabisa.
NENO LA WASOMAJI
il y a 2 ans
-
Ukadirisho wa uzazi muhimu jamaani
Kulokana na matatizo kazaa wa kazaa kuhusu uchumi, dini, utamaduni na ongezo la jumba la watu kusudio la kukadirisha uzazi uchukuliwa ummani siku kwa siku.
Swahili
publié par
André Bisimwa L-B. Tserou
il y a 2 ans
-
Adabu, hali na tabia ya mtu
Katika maandishi ifuatayo, mwananchi Risasi Mwanabateni atoa maoni muhimu kuhusu adabu kila mtu yeyote apaswa kuwa nazo ili kuheshimisha utu wake.
NENO LA WASOMAJI
il y a 2 ans
-
Wataka maisha marefu ?
Gazeti "La Relève" la jamhuri ya Rwanda katoa katika nakala yake mambari 114 ta tarehe 23 mpaka 29 marsi 1990, nusu ya maoni kuhusu siri ya kiushi mda mrefu duniani. Maoni hayo katolewa na mwandishi J. Ndabamenye ambaye kagusia mafasirio ya mwalimu mjerumani Prinzingere.
NENO LA WASOMAJI
publié par
Bakanirwa Bachiyeka
il y a 2 ans
-
Kindu/Maniema: Malipo yawatisha wachuuzi sokoni Mama Yemo
Soko "Mama Yemo" ya Kindu kajengwa mwaka wa 1973. Wakati huo jimbo ndogo la Maniema lilikuwa chini ya uongozi wa mwananchi Kusasimba Diamasisa.
NENO LA WASOMAJI
publié par
Swedy Bin Alaiu
il y a 2 ans
-
Mama Mutiri Nyirkwezi Uwimana, kiongozi mpya wa barabara Kalehe
Hapo mnamo tarehe 18 ogusti 199, mwananchi Kasongo Bila Muhasa Mpungu kasimika kiserkali Mama Mutiri Nyirakwezi Uwimana kama vile kiongozi mpya wa barabara Kalehe katika mtaa wa Ibanda mjini Bukavu.
NENO LA WASOMAJI
publié par
André Bisimwa L-B. Tserou
il y a 2 ans
-
Adabu za saa zote: Kwa mkubwa na kwa mdogo
Kunao watu ambao wanazani kama ni haki yao kuheshimiwa yaani kupatiwa adabu yote na kwamba ni mwiko kwao kuheshimia jirani.
NENO LA WASOMAJI
publié par
Kimengele Kimode
il y a 2 ans